UTACHEKA UFE! MAMA BILIONEA WA KIHAYA, MSOMA WOSIA, VITUKO VYAKE UTABAKI HOI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024

Комментарии • 435

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 2 года назад +141

    Kama nawewe umejua leo ,huyu ndo mamake koy mzungu ,gonga like tujuane

  • @nicksonrevelian2014
    @nicksonrevelian2014 2 года назад +40

    Wahaya oyeee, I love you My mamy

  • @edgarmwijuki7481
    @edgarmwijuki7481 2 года назад +10

    Hua napenda pale mtu aki like comment yangu.....

  • @gosbertrwezahura3645
    @gosbertrwezahura3645 2 года назад +8

    Mama uko sawa. Tunakupenda na tunakutakia kila la kheri katika yote ufanyayo. Mwenyezi Mungu akubariki.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 2 года назад +19

    Mama yuko vizuri mno mno. Mungu akutunze mama.

  • @starniceofficial5492
    @starniceofficial5492 2 года назад +44

    Bukoba the land of blessed one's

  • @watsonzakaria2502
    @watsonzakaria2502 2 года назад +6

    Mama umenikumbusha sanaaa
    Ulivy taja KIZUNGUZI
    kilosa sec school,daaaah amizing sanaaa

    • @patrickelias5385
      @patrickelias5385 2 года назад

      Kizunguzi noma Sana, mwendo wa parea na nyari...nimemaliza 2018 pale mimi

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 2 года назад +28

    Aseee sipatii pichaa watoto wakoo wanaishi kwa rahaaa sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌

  • @pennyjohn2816
    @pennyjohn2816 2 года назад +17

    Wow nimekupenda sana mama

  • @TitozTitoz
    @TitozTitoz 2 года назад +33

    Uyu mama hatar sana, I love her

  • @ukweli255
    @ukweli255 2 года назад +20

    "Nina mabinti 7 ambao tunashirikiana nao"
    Kauli za True Leader

    • @johannesishengoma1232
      @johannesishengoma1232 2 года назад

      Narrow thinking and negative attitude. In this style, commenters still have a long way to go!!!

  • @hamissahamissa105
    @hamissahamissa105 2 года назад +27

    Mama nakupenda sana🥰🥰

  • @chuggaboylucksome6160
    @chuggaboylucksome6160 2 года назад +33

    Safi mama yangu nimekuelewa sana....!!!

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 2 года назад +19

    Hongera Sanaa kwa kuki promote kinyumbani kwake maana wengi huwa wana act lugha za wengine 👏👏👏👏🙏🙏🙏😀😀😀

  • @miriamdavis3893
    @miriamdavis3893 2 года назад +8

    Mama mzuri kweli Mungu amtunze zaidi

  • @enjoomaliya1399
    @enjoomaliya1399 2 года назад +34

    Wenye kabila letu Sasa , mashauzi kama yote , wahaya mtuache jamaniii.

    • @cestjolie5574
      @cestjolie5574 2 года назад +2

      Napendag san Kihay mie jamn il lugha yen ni kam KIGANDA 100% ais :).

    • @floraflora5964
      @floraflora5964 2 года назад

      Na tena watuache kabisa

    • @samwelimoshi5614
      @samwelimoshi5614 2 года назад

      @@floraflora5964 katerero

    • @JKQGAME
      @JKQGAME 2 года назад +1

      @@cestjolie5574 njoo nikufundishe

    • @rahelimuhehe7068
      @rahelimuhehe7068 2 года назад

      Tenaa na sura zetu nzito kama uji wa mapande.

  • @monicamwanakatwe5645
    @monicamwanakatwe5645 2 года назад +29

    Mama nimempenda mno😂😂😂👏👏👏👏

  • @mamasuleman7322
    @mamasuleman7322 2 года назад +22

    Nakumbuka ulikuwa unatuletea vibaanio vya vibration na nilishakuja kwako mikocheni kufuata

  • @UzalendoNaUtu
    @UzalendoNaUtu 2 года назад +14

    Ahahaha Mama yupo vizuri sana, ofcoz nawakubali sana Wahaya

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 2 года назад +32

    Huyu mama kiukweli anafuraisha sanaa

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +27

    Huyu mama toka haonekani cheka tu wasafi media hawajamfatilia tena ila kwa vile ameibuka tena kupitia ayo tv basi watamfata mbio mbio sijui wana matatizo gani.

    • @ronaldomessi978
      @ronaldomessi978 2 года назад +4

      Acha uongo huyu ni mama yake na coy mzungu na coy ni business partner na huyo nasibu kwahiyo wewe kama huendagi cheka tu kila muda usidhani utampata coz ana shughuli zingn

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 2 года назад

      wewe ni matako sana,huyu ni mamaake koyi mzungu wa Cheka tu!!!

    • @emariusrush3285
      @emariusrush3285 2 года назад

      huyu mama kapanda Cheka tu,na katokea Cheka tu,na moto wake ni koyi mzungu wa Cheka tu, unaongea mavi gani wewe jamaa??
      sikiliza za maelezo ya mama (kaanza lini Cheka tu kuigiza mavi wewe)

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 2 года назад +22

    🤣🤣yani nlitaman sana interview ya huyu mama nampenda mno anavoigiza

  • @hansonie1553
    @hansonie1553 2 года назад +18

    Mama mzazi.... Coy mzungu....

  • @angelmariaotieno2253
    @angelmariaotieno2253 2 года назад +22

    Bigup mama

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 2 года назад +21

    Kwa kwel wahaya Wana sifa Leo nmeamin, et lazma akafir VIP🤣🤣🤣

  • @patricksungura881
    @patricksungura881 2 года назад +5

    Uyu tumeishinae miaka ya tisini kunduchi mtongani barikiwa sana mama

  • @yasodishonest9792
    @yasodishonest9792 2 года назад +12

    Kumbe mama coy mzungu huyu.nakupenda ww na mwanao🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂❤❤❤

  • @DespereuxRaizo
    @DespereuxRaizo 2 года назад +14

    Millard Ayo channel muwe munaandika description bhana, muandike majina , kama kuna links za social media na mengineyo. Boresheni posts kidg

  • @edwigaupendo
    @edwigaupendo 2 года назад +3

    Hahahahaha! Daaah. Mama ananifanya nacheka kwa sauti. Ubarikiwe sana mama Koy.

  • @namtoewaziri5604
    @namtoewaziri5604 2 года назад +12

    Mama ni zaidi ya comed

  • @josephinemuringo2453
    @josephinemuringo2453 2 года назад +4

    Good job👍be blessed mum. Big ❤️ from 🇰🇪

  • @wilfredlucas6311
    @wilfredlucas6311 2 года назад +12

    Upo vizuri mama

  • @joyceadhiambo9140
    @joyceadhiambo9140 2 года назад +7

    I love you mama Clinton.Kumbe Koi aliendeleza utundu wake kwa Mafanikio yake.

  • @aivanandrea2160
    @aivanandrea2160 2 года назад +11

    I like her naturality..go mamaa

  • @gracetete3761
    @gracetete3761 2 года назад +14

    Umependeza mama Jana çjui ulikuwaje

  • @jacklinmasawe2697
    @jacklinmasawe2697 2 года назад +9

    Nimekupenda mama bureeeee

  • @matildamasonda377
    @matildamasonda377 2 года назад +12

    Hongera Sana mama

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 2 года назад +19

    "Muhaya hawezi kufia njiani,wahaya tunapenda Ku maintain status " ha ha ha ha

  • @mwasubilasaimoni4119
    @mwasubilasaimoni4119 2 года назад +2

    Nimechekaaaa sana kiwanda cha kuzalisha wtt

  • @amenaameeena3317
    @amenaameeena3317 2 года назад +12

    Nimecheka eti wazazi wanaua.vipaji yeye alikuwa kikojozi lakini mama yake akawa anampiga

  • @groveyagroya1280
    @groveyagroya1280 2 года назад +13

    Haha mhaya hawez kufia njian Uwiii shangaz yake wanangu

  • @sabbob574
    @sabbob574 2 года назад +20

    This woman she is a legend 👏

  • @AfricanMoran
    @AfricanMoran 2 года назад +98

    I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a new subscriber this motivates me and make me work tirelessly
    God bless you.

  • @vannesseramadamalick3038
    @vannesseramadamalick3038 2 года назад +3

    Mhaya hawezi kufia njiani mpaka aingizwe VIP😂

  • @jumakilinja6341
    @jumakilinja6341 2 года назад +31

    Mama nimekupenda sana kwa akili yako uliyokajaaliwa na mungu

  • @emanuelleopod3949
    @emanuelleopod3949 2 года назад +20

    Huyu Bimkubwa ni mcheshi na amechangamka balaaa

  • @juliethfrancis7799
    @juliethfrancis7799 2 года назад +6

    Uko vizuri Mama's❤️

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 2 года назад +11

    Muhaya akifanya kazi ya ulinzi utasikia " natoa sechurity service hapo kwenye ShopRite 😜😜

  • @don_dallartz
    @don_dallartz 2 года назад +17

    Hahahaaaa mama yetu bwna eti ana kipaji cha ukikojozi daaaa bi mkubwa umeuaaaa daa😂😂🔥🔥🔥🔥🔥❤️

    • @ayushsaeed1051
      @ayushsaeed1051 2 года назад

      😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @jellynesssemu9406
      @jellynesssemu9406 2 года назад

      Anakwambia nacho ni kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @mariambachubiala7609
    @mariambachubiala7609 2 года назад +4

    Kagera oyeeeeeee bukoba mrimu mama up vzur sana ababuaya tukoro obumo

  • @edinaclement7714
    @edinaclement7714 2 года назад +25

    Ongera sana mama nami niomba sana roho ya kuachilia

  • @web2.095
    @web2.095 2 года назад +8

    Mama yake Coy Mzungu

  • @jamesobedy3940
    @jamesobedy3940 2 года назад +6

    Kiwanda wa kuzalisha wototo dah 😂 afu kumbe coy mwanaye 🙌🙌

  • @STAN_MACOMPUTER
    @STAN_MACOMPUTER 2 года назад +2

    Noma sna mama umetisha

  • @isayaenock1644
    @isayaenock1644 2 года назад +4

    We mama unanivunjaa mbavu kweliii, kumbee we mhayaa OG nikajua ni vituko tu

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +9

    Wahaya tukikojoa kitandani ni kipaji😀😀😀😀

  • @avand4237
    @avand4237 2 года назад +14

    Mama Anaupiga mwingi sana huyu ni hatari sana

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +8

    😂😂😂😂😂😂alikuwa kiwanda cha watoto mama ni hatariiiiiiiiiiii

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 года назад +8

    Wahaya Mpo juu
    😁😁😁😁

  • @iamberdon4375
    @iamberdon4375 2 года назад +7

    Mimi huyu mama nimempenda sana 😀

  • @luluray2115
    @luluray2115 2 года назад +4

    😄😄😄 nimecheka Sana et nilipgopa kuaribu watoto wa watu coz kichwa changu ni wenge🤣🤣

  • @rehemahassan8915
    @rehemahassan8915 2 года назад +8

    Kweli akili yk Ina mawenge

  • @sehemunzuri
    @sehemunzuri 2 года назад +13

    Chi umeona jinchi mama Mawigi ni mcheshi 😂

  • @rosemary3816
    @rosemary3816 2 года назад +1

    Wow wakola mawe endelea kutuwakilisha

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 2 года назад +5

    Love you Mom 💌

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +4

    Mashallah, Mama Mrembo

  • @selemanshechonge5456
    @selemanshechonge5456 2 года назад +11

    Piga kazi mama

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 2 года назад +8

    🤣🤣🤣 jamani kumbe kila kitu ni kipaji

  • @simmabutungo4142
    @simmabutungo4142 2 года назад +10

    Hahahahahh huyu mama nimemkubali

  • @tumaininestory4037
    @tumaininestory4037 2 года назад +1

    Ooh Jamani hadi nimemkumbuka mama yangu mzazi.

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 2 года назад +5

    Mama anajua kuchekesha.

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 2 года назад +14

    Wahaya oyeeeeeeeee❤️❤️❤️

  • @salhakristina9434
    @salhakristina9434 2 года назад +11

    🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda bure mama yangu

  • @Dapeopletz7
    @Dapeopletz7 2 года назад +1

    Muhaya hawezi kufia njiani atatuharibia wazifu. Mpaka afike VIP 😂😂😂

  • @badymedia9648
    @badymedia9648 2 года назад +5

    Chivinginevyo🤣🤣🤣,je umegundua mama ,kutamka -KI- ni tizi ,nimwendoo wa chiiiiii

  • @velejilyomhongole1641
    @velejilyomhongole1641 2 года назад +1

    Mama Ameshatoboa kweli tusikate tamaa

  • @mkuluwaukae2221
    @mkuluwaukae2221 2 года назад +9

    Chiwanda chetu cha uwekezaji wa watoto

  • @swalehesaad2692
    @swalehesaad2692 2 года назад +17

    Huyu ni mama yake na coy mzungu yule wa cheka2

  • @dannysonny2795
    @dannysonny2795 2 года назад +2

    Huyo mama anachekesha hadi kwenye interview

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 2 года назад +8

    Namkubali sana uyu mama angu. Nacheka sana😅😅😅😅.

  • @angelmariaotieno2253
    @angelmariaotieno2253 2 года назад +15

    Furahi mama yetu uongeze siku

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 2 года назад +10

    Hahaha mama umetisha🤣🤣

  • @ashuraidi2453
    @ashuraidi2453 2 года назад +4

    Super woman ❤️

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 2 года назад +3

    Ukoo vizurii mama

  • @johnkyara8655
    @johnkyara8655 2 года назад +14

    Mama anasema uwekezaji wa ndoa yake ilikuwa miaka 13 😂😂😂

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 2 года назад

    Usitunze hasira hapo nimekuelewa
    Asante mama

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 2 года назад +5

    Waooooh!Kumbe mama koy mzungu😍...mtoto karithi

  • @josephjulio6112
    @josephjulio6112 2 года назад +4

    Nalikubali Sana kabila hili ndio nikaoa kabisa mhaya

  • @ashazuber6548
    @ashazuber6548 2 года назад +1

    Nimecheka wallah daah mama kiboko

  • @aminamsimbe4034
    @aminamsimbe4034 2 года назад +1

    Kwa kweli unafurahisha unaweza piga kazi

  • @phakundigervas1360
    @phakundigervas1360 2 года назад +5

    Shikamoo dada

  • @jacquilinenoah949
    @jacquilinenoah949 2 года назад +8

    jojiketi mwegelo😂😂😂😂😂

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 2 года назад +5

    Kiwanda Cha kuzalisha watoto

  • @luluray2115
    @luluray2115 2 года назад +3

    Love you mom

  • @chescomwigune7886
    @chescomwigune7886 2 года назад +3

    Watu wa Kizunguzi njooni hapa ebu

  • @bigboss6813
    @bigboss6813 2 года назад +8

    Hahahaha nimecheka kweli

  • @asellaarnold4526
    @asellaarnold4526 2 года назад +4

    Haya oyeeeee 🥰😃

  • @thomasmtawa8153
    @thomasmtawa8153 2 года назад +3

    V.i.p ,,,,, inafurahisha hadi nimeongeza siku zakuishi

  • @onesphoryo407
    @onesphoryo407 2 года назад +2

    haaaaaa,,,,big up mama here we stand nyomire

  • @neema_mollel
    @neema_mollel 2 года назад +7

    😂😂😂😂kiwanda Cha kuzalisha