Huyu mama toka haonekani cheka tu wasafi media hawajamfatilia tena ila kwa vile ameibuka tena kupitia ayo tv basi watamfata mbio mbio sijui wana matatizo gani.
Acha uongo huyu ni mama yake na coy mzungu na coy ni business partner na huyo nasibu kwahiyo wewe kama huendagi cheka tu kila muda usidhani utampata coz ana shughuli zingn
huyu mama kapanda Cheka tu,na katokea Cheka tu,na moto wake ni koyi mzungu wa Cheka tu, unaongea mavi gani wewe jamaa?? sikiliza za maelezo ya mama (kaanza lini Cheka tu kuigiza mavi wewe)
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a new subscriber this motivates me and make me work tirelessly God bless you.
Kama nawewe umejua leo ,huyu ndo mamake koy mzungu ,gonga like tujuane
Duuh ndio nimejua leo
Mi mwenyewe ndo nimejua leo
Wahaya oyeee, I love you My mamy
Hua napenda pale mtu aki like comment yangu.....
Mama uko sawa. Tunakupenda na tunakutakia kila la kheri katika yote ufanyayo. Mwenyezi Mungu akubariki.
Mama yuko vizuri mno mno. Mungu akutunze mama.
Bukoba the land of blessed one's
Mama umenikumbusha sanaaa
Ulivy taja KIZUNGUZI
kilosa sec school,daaaah amizing sanaaa
Kizunguzi noma Sana, mwendo wa parea na nyari...nimemaliza 2018 pale mimi
Aseee sipatii pichaa watoto wakoo wanaishi kwa rahaaa sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Wow nimekupenda sana mama
Uyu mama hatar sana, I love her
"Nina mabinti 7 ambao tunashirikiana nao"
Kauli za True Leader
Narrow thinking and negative attitude. In this style, commenters still have a long way to go!!!
Mama nakupenda sana🥰🥰
Safi mama yangu nimekuelewa sana....!!!
Hongera Sanaa kwa kuki promote kinyumbani kwake maana wengi huwa wana act lugha za wengine 👏👏👏👏🙏🙏🙏😀😀😀
Mama mzuri kweli Mungu amtunze zaidi
Wenye kabila letu Sasa , mashauzi kama yote , wahaya mtuache jamaniii.
Napendag san Kihay mie jamn il lugha yen ni kam KIGANDA 100% ais :).
Na tena watuache kabisa
@@floraflora5964 katerero
@@cestjolie5574 njoo nikufundishe
Tenaa na sura zetu nzito kama uji wa mapande.
Mama nimempenda mno😂😂😂👏👏👏👏
Nakumbuka ulikuwa unatuletea vibaanio vya vibration na nilishakuja kwako mikocheni kufuata
Ahahaha Mama yupo vizuri sana, ofcoz nawakubali sana Wahaya
Huyu mama kiukweli anafuraisha sanaa
Huyu mama toka haonekani cheka tu wasafi media hawajamfatilia tena ila kwa vile ameibuka tena kupitia ayo tv basi watamfata mbio mbio sijui wana matatizo gani.
Acha uongo huyu ni mama yake na coy mzungu na coy ni business partner na huyo nasibu kwahiyo wewe kama huendagi cheka tu kila muda usidhani utampata coz ana shughuli zingn
wewe ni matako sana,huyu ni mamaake koyi mzungu wa Cheka tu!!!
huyu mama kapanda Cheka tu,na katokea Cheka tu,na moto wake ni koyi mzungu wa Cheka tu, unaongea mavi gani wewe jamaa??
sikiliza za maelezo ya mama (kaanza lini Cheka tu kuigiza mavi wewe)
🤣🤣yani nlitaman sana interview ya huyu mama nampenda mno anavoigiza
Mama mzazi.... Coy mzungu....
Bigup mama
Kwa kwel wahaya Wana sifa Leo nmeamin, et lazma akafir VIP🤣🤣🤣
Uyu tumeishinae miaka ya tisini kunduchi mtongani barikiwa sana mama
Kumbe mama coy mzungu huyu.nakupenda ww na mwanao🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂❤❤❤
Millard Ayo channel muwe munaandika description bhana, muandike majina , kama kuna links za social media na mengineyo. Boresheni posts kidg
Hahahahaha! Daaah. Mama ananifanya nacheka kwa sauti. Ubarikiwe sana mama Koy.
Mama ni zaidi ya comed
Good job👍be blessed mum. Big ❤️ from 🇰🇪
Upo vizuri mama
I love you mama Clinton.Kumbe Koi aliendeleza utundu wake kwa Mafanikio yake.
I like her naturality..go mamaa
Umependeza mama Jana çjui ulikuwaje
Nimekupenda mama bureeeee
Hongera Sana mama
"Muhaya hawezi kufia njiani,wahaya tunapenda Ku maintain status " ha ha ha ha
😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂
Marehemu ikabidi ajitahidi ili afike VIP ndio afe ha ha ha haaa
Nimechekaaaa sana kiwanda cha kuzalisha wtt
Nimecheka eti wazazi wanaua.vipaji yeye alikuwa kikojozi lakini mama yake akawa anampiga
Haha mhaya hawez kufia njian Uwiii shangaz yake wanangu
This woman she is a legend 👏
I always love it when notification says someone liked your comment and you have received a new subscriber this motivates me and make me work tirelessly
God bless you.
F
😂😂😂
Tumekupenda bure. Chitu ambacho tumechipenda
Mhaya hawezi kufia njiani mpaka aingizwe VIP😂
Mama nimekupenda sana kwa akili yako uliyokajaaliwa na mungu
Saw konde
Watan zangu kwamasifa
@@zulfaissa7814 hatupoi
Huyu Bimkubwa ni mcheshi na amechangamka balaaa
Uko vizuri Mama's❤️
Muhaya akifanya kazi ya ulinzi utasikia " natoa sechurity service hapo kwenye ShopRite 😜😜
🤣🤣🤣
Hahahaaaa mama yetu bwna eti ana kipaji cha ukikojozi daaaa bi mkubwa umeuaaaa daa😂😂🔥🔥🔥🔥🔥❤️
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Anakwambia nacho ni kipaji 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kagera oyeeeeeee bukoba mrimu mama up vzur sana ababuaya tukoro obumo
Tulimu
Ongera sana mama nami niomba sana roho ya kuachilia
Mama yake Coy Mzungu
Kiwanda wa kuzalisha wototo dah 😂 afu kumbe coy mwanaye 🙌🙌
Noma sna mama umetisha
We mama unanivunjaa mbavu kweliii, kumbee we mhayaa OG nikajua ni vituko tu
Wahaya tukikojoa kitandani ni kipaji😀😀😀😀
Mama Anaupiga mwingi sana huyu ni hatari sana
😂😂😂😂😂😂alikuwa kiwanda cha watoto mama ni hatariiiiiiiiiiii
Wahaya Mpo juu
😁😁😁😁
Mimi huyu mama nimempenda sana 😀
😄😄😄 nimecheka Sana et nilipgopa kuaribu watoto wa watu coz kichwa changu ni wenge🤣🤣
Kweli akili yk Ina mawenge
Chi umeona jinchi mama Mawigi ni mcheshi 😂
Wow wakola mawe endelea kutuwakilisha
Love you Mom 💌
Mashallah, Mama Mrembo
Piga kazi mama
🤣🤣🤣 jamani kumbe kila kitu ni kipaji
Hahahahahh huyu mama nimemkubali
Ooh Jamani hadi nimemkumbuka mama yangu mzazi.
Mama anajua kuchekesha.
Wahaya oyeeeeeeeee❤️❤️❤️
Oyeee...piga kelele Iweee....
Weuweeeeee
🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda bure mama yangu
Muhaya hawezi kufia njiani atatuharibia wazifu. Mpaka afike VIP 😂😂😂
Chivinginevyo🤣🤣🤣,je umegundua mama ,kutamka -KI- ni tizi ,nimwendoo wa chiiiiii
Mama Ameshatoboa kweli tusikate tamaa
Chiwanda chetu cha uwekezaji wa watoto
Huyu ni mama yake na coy mzungu yule wa cheka2
Na wamefanana kweli
Ndio
Huyo mama anachekesha hadi kwenye interview
Namkubali sana uyu mama angu. Nacheka sana😅😅😅😅.
Furahi mama yetu uongeze siku
Hahaha mama umetisha🤣🤣
Super woman ❤️
Ukoo vizurii mama
Mama anasema uwekezaji wa ndoa yake ilikuwa miaka 13 😂😂😂
Hahhhh yani kanichekesha sana @uwekezaji
Usitunze hasira hapo nimekuelewa
Asante mama
Waooooh!Kumbe mama koy mzungu😍...mtoto karithi
Nalikubali Sana kabila hili ndio nikaoa kabisa mhaya
Nimecheka wallah daah mama kiboko
Kwa kweli unafurahisha unaweza piga kazi
Shikamoo dada
jojiketi mwegelo😂😂😂😂😂
Kiwanda Cha kuzalisha watoto
Love you mom
Watu wa Kizunguzi njooni hapa ebu
Hahahaha nimecheka kweli
Haya oyeeeee 🥰😃
V.i.p ,,,,, inafurahisha hadi nimeongeza siku zakuishi
haaaaaa,,,,big up mama here we stand nyomire
😂😂😂😂kiwanda Cha kuzalisha