UTACHEKA UFE VITUKO VYA MAMA MAWIGI, MAMA MZAZI WA COY MZUNGU, EXCLUSIVE INTERVIEW

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2024

Комментарии • 26

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 4 месяца назад +4

    Nampenda sana huyu mwandishi yaani anajua kufanya Mahojiano

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 4 месяца назад +2

    Huyu mama anabusara sana pia anaenda na wakati vzr❤ Mungu akutunze mom🎉

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr 4 месяца назад +1

    Huyu mdad mie na mpendag san anaongea vizur nasaut mzur mashallah mtangazaj mwenye saut yake

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 4 месяца назад +2

    Huyu mama ana akili nzuri sana ongera sana mama. asili 70% ya wana mama wangekuwa kama wewe dunia ingekuwa pazuri sana.wewe ni jembe kweli kweli.

  • @benedictinelusambo069
    @benedictinelusambo069 4 месяца назад +3

    Kwamba mtu anamaisha magumu mpaka shetani anayaogopa😂😂😂😂

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 4 месяца назад +1

    Huyu mama nampenda sana

  • @RakaPk
    @RakaPk 4 месяца назад

    Hongera sana mama hongera pia mtangazaji nakupenda alafu kumbe wifi yangu ❤❤🎉🎉

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 4 месяца назад

    safi sana mama mawingi umegonga point kweli yako

  • @user-be7ux5hd6s
    @user-be7ux5hd6s 4 месяца назад +1

    Huyu mama nimempenda jamani huwa simfatilii ilq kwa hii interview acha nimeshabiki wake

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 4 месяца назад

    Dada nakupenda sana,kuna siku ile unakuwa koda,unapika kisavu bint anakula kwa watu yaan safi sana na ongera sana.❤❤❤

  • @user-zr5rg5ul3q
    @user-zr5rg5ul3q 4 месяца назад +1

    Dada ukiuliza swali mara ya kwanza akikujibu usiulize tena unauwa vibes

  • @obedymwilenga7490
    @obedymwilenga7490 4 месяца назад +2

    Haya mama mawigi

  • @SelinaMdoe-jv1pu
    @SelinaMdoe-jv1pu 4 месяца назад +1

    Sio kweli mnasifa tu na mnaubaguzi hat a kama mhaya hana anaringa tu kwa uju mla mnasifa sana hata kama hamna ki tu

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 4 месяца назад +2

    Wawoooo😘

  • @aishandayishimiye5127
    @aishandayishimiye5127 4 месяца назад +3

    😂😂😂😂😂😂 love you mam

  • @RahimRaiTZA
    @RahimRaiTZA 4 месяца назад +1

    Ila Bi mkubwa Daah ha ha

  • @aishaawadhimalokichobu1962
    @aishaawadhimalokichobu1962 4 месяца назад

    Mama chanja❤❤❤

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc 4 месяца назад +1

    Kumbe ni mama ake coy mzung huyu

  • @user-ts6fh4si3m
    @user-ts6fh4si3m 4 месяца назад

    Kumbe mama yake Coy mzungu

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂😂 mboneke ana balaa na mama ake

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 4 месяца назад

    Nikaribishe kwako

  • @mwanahawamohammed8540
    @mwanahawamohammed8540 4 месяца назад

    😂 Chenza ni Clementine kizungu.

  • @aziza9093
    @aziza9093 Месяц назад

    😂😂😂

  • @aqmmsm55
    @aqmmsm55 4 месяца назад

    chenza nalo linaitwa orange

  • @meowzna
    @meowzna 4 месяца назад

    🤣🤣🤣🤣