DOGO MTANZANIA ATENGENEZA KITUO CHA RADIO KIGOMA, KINASIKIKA LIVE MTAANI "TCRA MNISAMEHE KWA HILI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 1,1 тыс.

  • @denisjr11media21
    @denisjr11media21 2 года назад +10

    Kanifurahisha sanah uyoo yani tayarii anamilikii kituocha radio alafuu tayarii ameshajiajiri ni mtangazaji wa kituo chakee .. talent ya kiwango cha juu sanah

  • @imeldasamwel539
    @imeldasamwel539 2 года назад +83

    Jaman jaman mpaka nimelia mm 😭😭😭😭🙏🙏🙏dar huyo dogo wachukue haraka iwevyekanavyo sna mengi Zaid ya hongera sana

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv 2 года назад +122

    Hongera sana Broo Hakika Naipenda sana nchi yangu TANZANIA,, kikubwa tunakuombea serikali ikufikie Ili ufikie malengo yako inshaallah 🙏✍️

    • @Zurushylab
      @Zurushylab 2 года назад +3

      Serekali ya nn tena jaman sema matajir wanyooshe mikono kwa huyu ndugu yetu aiseee hapa tumuombe maboss wetu wamdhamin huyu ndugu yetu ikiwemo Bakhiressa , diamond na Mooo pamoja na matajiri wote Tanzania..
      (Ukisubilia kiatu kikuvae wakati ujaamua hutoweza kukivaa yani hakitoonekana kabisa)

    • @nuuringoogle4104
      @nuuringoogle4104 2 года назад

      🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🥰🥰🥰

    • @cosmasmbugi8570
      @cosmasmbugi8570 2 года назад

      .sanaa

    • @kingelishathomasonline4842
      @kingelishathomasonline4842 2 года назад

      @@Zurushylab Kabisa

  • @wycliffeaoro9865
    @wycliffeaoro9865 2 года назад +125

    This young boy is genius, any relevant authority in his region to give him special approach as one way of building his skills to the next level, big up boy from mombasa 🇰🇪

    • @hoseamgabo4886
      @hoseamgabo4886 2 года назад +3

      😂From Mombasa tena

    • @mosseskanini255
      @mosseskanini255 2 года назад +1

      Wakenya ni machoko kwel nyie na vipaj wap na wap🤣🤣

    • @ghatilucas7709
      @ghatilucas7709 2 года назад

      Wakenya mna shobo mbaya mnakera eti a boy from mombasa🙄Mombasa ya nyokwe☠️

    • @gracejulius3966
      @gracejulius3966 2 года назад +14

      Hamjamuelewa Wycliffe Aoro, hajasema huyu kijana mbunifu anatoka Mombasa Kenya bali yeye Wayclif ndo anampa big up akitokea Mombasa.

    • @wycliffeaoro9865
      @wycliffeaoro9865 2 года назад +3

      Grace julius, thanks for the interpretation

  • @mohammediddi5385
    @mohammediddi5385 2 года назад +118

    He’s talented boy
    1/technology
    2/presenters
    3/journalists
    Tanzania 🇹🇿 got talent

    • @omaradan3442
      @omaradan3442 2 года назад +1

      Kizungu Mingi Ukasau Namba (3) 😂😂Chizi tu weweee ?

    • @mohammediddi5385
      @mohammediddi5385 2 года назад +1

      @@omaradan3442 😳😳

    • @omaradan3442
      @omaradan3442 2 года назад

      You Fokin edited 😂😂😂😂stop capping Nigga

    • @jsamtz4460
      @jsamtz4460 2 года назад +1

      Umeamua uongee cha st......

    • @mohammediddi5385
      @mohammediddi5385 2 года назад +1

      @@jsamtz4460 nothing

  • @joysoka3575
    @joysoka3575 2 года назад +16

    Dah kuna watu wamejaliwa vipawa nimetafakari adi kichwa kimechoka duh utundu wote uwo na wala ajatumia umeme yan duh mungu mkumbuke uyu kijana afike mbali awe faida kwa watanzania na kwa familia yake amen

  • @farajafaraja3494
    @farajafaraja3494 2 года назад +33

    Huyu dogo ni tajiri, tajiri wa akili nyingi, mungu akuongoze na kukusimamiA

  • @ariseinspiration
    @ariseinspiration 2 года назад +15

    Kutoka hapa Kenya hongera sana Kijana kwa ubunifu wako. Sisi wa bara la africa twatakiwa kuendeleza ubunifu wa aina hii na kuufanikisha

  • @dianashautiel7099
    @dianashautiel7099 2 года назад +27

    Eee Mungu ifunulie macho serikali imuone huyu Mtoto katika viwango vya juu! Anazidi tuliomaliza madgree na madgree, Mtoto wa la sita wa Maskini.🙏

  • @issamanyota
    @issamanyota 2 года назад +25

    Dah hongera sana Dogo kigoma fm ...watu kama hawa ni genius blessed from GOD ... watu kama hawa wapewe support sana 👐🇹🇿🇹🇿

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 2 года назад +22

    Nimemkubali Sana Huyu Kijana Mungu Aliempa Hichi Kipawa Akamfanyie Wepesi Katika Hili Lengo Lake Litimie Na Akafanikiwe Kwa Jina La Yesu Kristo Amen

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 года назад

      Kwani yesu ni mungu😫.Kama lipo andiko kwenye biblia naomba

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 2 года назад +3

      @@KATOPE1 hiyo sio Kaz yangu pambana na imani yako mpendwa

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 года назад

      @@listerlujiso6009 hujui imani yangu ndio nataka nijue je yesu ni mungu kwani ukinifahamisha siutapa baraka kwa roho safi tu

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 2 года назад +1

      @@KATOPE1 hatupo kwenye mjadala wewe ulivyoelewa ndo hvyo na mm ninavyoelewa ndo hvyo ukitaka kuelewa zaidi mtafute mchungaji akueleweshe vzr

    • @muhammadsalim1301
      @muhammadsalim1301 2 года назад

      kwa jina la mungu sio yesu,yesu mwenyewe Ana mungu wake,pale aliposema mungu wangu,munguwangu mbona unaniacha.

  • @necromanger272
    @necromanger272 2 года назад +17

    Wooooow magnicent brain 🧠 and talent , this young boy really need the government support to go further, tanzania 🇹🇿 government please support this wonderful talent, stay bless young man

  • @khadijaali4657
    @khadijaali4657 2 года назад +4

    Mashallah hongera sana kijana mzuri Allah akuzidishie inshallah from (Kenya)

  • @maarufumusic
    @maarufumusic 2 года назад +1

    Hii ni Moja kubwa .....,this guy is blessed...n inshAllah mola ataazijidi kumshushia ujuzi zaidi

  • @muzihiljabili340
    @muzihiljabili340 2 года назад +53

    Ewe ya rabi tujalie vipaji vyetu viwe vya kheri na vyenye kusaidia jamii 🙏🙏🙏

  • @hassanamran3637
    @hassanamran3637 2 года назад +2

    Tukubali tukatae wa2 wakigoma 2navipaji vingiiii👏👏👏👏

  • @faza4023
    @faza4023 2 года назад +14

    Mungu akusaidie ufike mbali sanaaaa mdogo wangu, uwe unasali pia wanaobana ni wengi ila kamwe usikate tamaa,Kwa uwezo wako ilitakia uwe umefanya makubwa zaidi. Sio mara ya Kwanza kusikia mtanzania anakipaji alafu badae hakiendelei wala hatuoni faida yake, mzungu pia hapendi. Dogo mwamini MUNGU Tu, hakuna anaeweza kukuzima.

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Год назад +1

    mashaAllah hongera sana kijana...kama nawe umemkubali gonga like tuende sawa

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 2 года назад +19

    Nakubali sana, Dogo zidi kupambania Ndoto zako...Never give up.

  • @africangoldenmusic8061
    @africangoldenmusic8061 2 года назад +2

    Kurudi kwake kijijini ndo bahati yake.Asingerudi,asingefikiria kuhusu ubunifu huu.....big up bro

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 2 года назад +6

    Nilisemaga Sana KIGOMA 🇹🇿 NI kisiwa Cha vipaji""Serikali ituangalie kwakweli,,na kijana awezeshwe ikiwezekana apewe redio kabisa daaa"homeboy nakubarii sana usijari MUNGU atakuwezesha tu maana studio ako niyakimataifa kwani hujawezeshwa ni upeo uliopewa na MUNGU,BE BLESSED BRO

  • @mussayombo2311
    @mussayombo2311 2 года назад +1

    Hongera Sana bwana Zuberi.
    Ni Jambo la kujivunia Sana kuwa na watu wabunifu Kama wewe.Ifikie muda uwepo Uhuru wa kujitengenezea vitu vya kiteknolojia wenyewe ,siyo MTU anakuwa ametawaliwa na hofu ya Kukamatwa.Haya Mambo tusikaririshane kuwa ni ya wazungu tu.Big up Sana bwana!

  • @alimondbenson1751
    @alimondbenson1751 2 года назад +27

    Najivunia kuzaliwa Kigoma,najivunia kuzaliwa TANZANIA, mungu ibarika Tanzania

  • @honorascusmatembe2987
    @honorascusmatembe2987 Год назад +1

    This what we need in Tanzania 🇹🇿 ongera sana dogo serikali na watu muliopiga atua mbele kidogo ndo wakati wetu Sasa wa kuendeleza vipaji vya watanzania

  • @captenndunga6745
    @captenndunga6745 2 года назад +9

    Sina hata cha kuongea niseme tuu hongera mdogo wangu pambana ipo siku tanzania itakujua wee ni nani kama sio dunia kwa ujumla... Hongera sana sana sana sana tena saaaaaanaa.

  • @MuedasomosnosMML
    @MuedasomosnosMML 2 года назад +1

    Hongera Sana rafiki I'm boy from 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 naomba like kwake

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 2 года назад +3

    Naomba serikali imchukue huyu dogo aingie kwenye jeshi kule aje ajikite na maswala ya mawasiliano tu 🙏🙏🙏🙏🙌

  • @rosemaryjanuary7146
    @rosemaryjanuary7146 2 года назад +2

    Nimeipenda hii jamani hongera sana kijana Mungu aendelee kukufanya ukue zaidi ya hapo

  • @MRST_1662
    @MRST_1662 2 года назад +14

    Wowww that amazing! That crazy amazing, he’s a Genius. I hope someone will see him one day, and amshike mkono na hopeful atakamilisha ndoto zake. Coz we need people like him. Coz the have lots potential in life and nation, Africa, world as whole! Ndo Wakina Tesla wajao hao kama wakiwezeshwa. All the best buddy!👏🏿🙌🏿👍🏿🇹🇿🇨🇦

    • @Kiluviadreadlocs
      @Kiluviadreadlocs 2 года назад

      ruclips.net/video/v2_xwnpUH00/видео.html

  • @user-hn1dg2cu9f
    @user-hn1dg2cu9f 5 месяцев назад

    Ongera sana kijana munguakunyeshee njia na njia ndoto zako zizid kutimia

  • @hamidayanga8224
    @hamidayanga8224 2 года назад +39

    Kigoma ndo mkoa wakwanza wenye vipaji vyakila aina najivunia kuwa mwana kigoma mwisho wa reli🔥🔥

  • @northfixtz
    @northfixtz 2 года назад +17

    Bravo,,nimependa sana confidence yako katika ubunifu,,Mungu akubariki zaidi ufikie malengo yako..

  • @djgthehotstepper
    @djgthehotstepper 2 года назад +7

    genius 👏🏽👏🏽😢😢😢😢 Mungu amfungulie milango insha'Allah 🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @winterkasela9033
    @winterkasela9033 2 года назад +16

    Daaa! Hawa watu wa kigoma ni watu hatari kwa akiri nimewakubali

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 2 года назад +8

    Yani dogo hongera sana sana.ila jitetee mwenyewe usimuweke mavunde.uko vizuri sana sana pambana watakusaidia mtafute nape yuko vizuri atakusaidia

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 2 года назад +18

    Tatizo litakuja Kwa TCRA watampiga marufuku hadi wampe masafa na wampige faini! Habari za hivi punde NI kuwa Mkuu wa Wilaya ametembelea Studio yake Leo 27-06-2022 na Waziri wa Habari na Mawasiliano ameagiza TCRA wa waende na kuona NI jinsi gani wanaweza kumsaidia!

    • @Commentsplus
      @Commentsplus 2 года назад

      Hajafanya ubunifu katumia FM car transmitter acheni kuhemukwa

    • @GloriousRestorationTV
      @GloriousRestorationTV 2 года назад +4

      @@Commentsplus
      Wewe unaweza??? Au unadhani ubunifu ni nini??? Wivu tu unakusumbua, na nyie ndio mnakuwaga wachawi, ww umefanya nn....

    • @Shokolokobango9385
      @Shokolokobango9385 2 года назад

      @@Commentsplus fm car transmita inakuaje emb elezea

    • @magafootball6569
      @magafootball6569 2 года назад

      @@Commentsplus wabongoo wivuuu sanaaa kumamayeeee

    • @abdalahsambala6667
      @abdalahsambala6667 2 года назад

      @@Commentsplus matako we fm car transmete r gan inafika meter 150

  • @monicamagesa8571
    @monicamagesa8571 2 года назад +3

    Mungu akutanguliye na akukutanishe na watu sahihi wakukuinua na kukupa support ili uzidi kuwa viwango vya juu, na ufike mahala ambapo Mungu amekukusudia, wewe umebarikiwa sana na Mungu juu ya vipaji vyako ila muombe Mungu akukutanishe na yule atakayekuvusha ili usonge mbele na ukafanikiwe zaidi na zaidi, uje kuwa mtengenezaji wa hapa nchini. Hongera sanaaa kijana.

  • @frankbinadola5816
    @frankbinadola5816 2 года назад +60

    More talent,more creativity Allah bless self effort 🙏🙏🙏

    • @machalilajulius688
      @machalilajulius688 2 года назад

      Kwamba cmart 4n huwez okota jalalani hahah daah talented boy good idea

  • @jacksonmakariusmac8846
    @jacksonmakariusmac8846 2 года назад +6

    God be with you.... 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Ur blessed ...keep moving keep shinning

  • @wilfredroberttv841
    @wilfredroberttv841 2 года назад

    Mungu hakuinue viwango vya juu sio kazi rahisi

  • @jsamtz4460
    @jsamtz4460 2 года назад +5

    Hiyo ni 87.5 Kigoma Fm. Hongera sana Zuberi

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 2 года назад +2

    Hongera sana dogo m/mungu akuzidishie kipaji zaidi ili ufikembali selikali mumuwezeshe kijana afike mbali

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel6616 2 года назад +18

    Ulaya uyo dogo angeshatoboa maisha na wenda ikawa exposure Ila hapa bongo daah😢

    • @rebecashao798
      @rebecashao798 2 года назад

      Kwel kabisa. .serikali ya bongo sijui wanakwamwa wap kuinvest kwa vijana kama hawa

    • @rahmaabdulla4949
      @rahmaabdulla4949 2 года назад

      @@rebecashao798 yaani hata mimi na shangaa kwakweli

  • @user-rd6mo1zb6g
    @user-rd6mo1zb6g Год назад

    Apewe mtaji uyu dogo..mashaallah

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 года назад +5

    Maskini mungu ampe maisha marefu.serkal mumsamee kwakweli.

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 2 года назад +6

    Hongera sana dogo, wewe ni kipaji sana, Mungu akusimamie

  • @nth3512
    @nth3512 2 года назад +8

    Sasa huu ndo ubunifu, hapa nakubali MASHA ALLAH BAARAKALLAH FYH

  • @katore1982
    @katore1982 2 года назад +1

    Masha Allah tabarakaAllahfi....angeiondoa hio picha kubwa ukutani ambayo inaashiria mungu wakihindi kama Shree

  • @hamadsuleiman5177
    @hamadsuleiman5177 2 года назад +49

    Familia za kimaskini ni mtihani sana kwani siku zote wenye hela ndio wanapata nafasi kila sehemu kwani wanasoma katika mazingira mazuri na shule za bei ghali tu na kivyovyote wanafaulu sana kwa force hiyo...But unfortunaley maskini wanaishia kufeli na kufa na vipaji vyao....Kiukweli inauma sana sana sana...Mda mwengine maskini analazimika kusoma asichokipenda kutoka na kutopata nafasi ya kuendelea na fani anayoitaka....Duh huyu dogo asaidiwe

    • @mwanaishazain7985
      @mwanaishazain7985 2 года назад +1

      Mtihani Serikali sio maskini ngoja TRA waende kumbeba koo. Loo kuzaliwa TZ mtihani Bora tungezaliwa Faru Johni

    • @alexwailod5589
      @alexwailod5589 2 года назад

      Huku Mbeya umalila Kuna jamaa alitengeneza cha ajabu diwani akaenda kumfokea afunge mara moja daaa!!!

    • @swaumdodoma7591
      @swaumdodoma7591 2 года назад

      Na Mara nyingi utakuta walokua hawana uwezo Ata Ada inawashinda ndo wanakuaga na akili sana but wa nashindwa kosoma ama kufanya maendeleo ya vipaji kutokana na kukosa ela lakini uyu dogo nina Imani Atafika mbali in Sha'Allah maana tayari diwani keshamtembelea na wamemuahidi kumsaidia asome ili aweza kuimarisha kipaji chake

  • @roselinemoshi5008
    @roselinemoshi5008 2 года назад +4

    Mwenye Enzi Mungu akubariki sana na usiachie hapo sky is not a limit you can go beyond!👍

  • @Ashelymhangazo
    @Ashelymhangazo 2 года назад +9

    HAKUNA KIPAJI KAMA HIKI TANZANIA, VIONGOZI MPO WAPI MUANGALIENI KWA JICHO LA 3 ,SIO WA KUMUACHA AMEONYESHA UWEZO WAKE TANGU ZAMANI, naumia sana kumuona bado yupo katika mazingira hayo bila msaada wowote wa juu😰😪😪

  • @mwanahawaayoub6647
    @mwanahawaayoub6647 2 года назад +14

    Kuna watu wamezaliwa na vibaji jmn daaaa hongera mungu akuzidishie

  • @bakarimohammed9851
    @bakarimohammed9851 2 года назад +9

    Dogo wew ni Zaid ya talent 🙌🙌🙌🙌

  • @jamiiredio91.0turkana
    @jamiiredio91.0turkana 2 года назад +1

    Hongera kaka inchinia M wenzangu. Mimi nilitengeneza 7km Lakini sapoti sijapata. Kweli Tanzania kwema.

  • @hamidusibye5241
    @hamidusibye5241 2 года назад +3

    SIJAJUTIA KUTUMIA MB ZANGU KUANGALIA HII VIDEO,,,,,,,MAASHAALLAH

  • @bensonbenezeth
    @bensonbenezeth 2 года назад +3

    Hongera Sana Unajua, Serikali sidhani kama utaweza kukusaidia zaidi ya kukurudisha Veta, Wadau mnaopenda maendeleo Msaidieni Dogo a najua.

  • @fredntibigerayo7890
    @fredntibigerayo7890 2 года назад +14

    KWELI!! hawavumi lakini wapo. Mungu akupe afya, utafanya makubwa zaidi

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 2 года назад +1

    Kijana hongera sana nakuombea kwa Mungu ufike mbali sana

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 2 года назад +6

    Hadi raha yani, Mungu azidi kukusogeza mbele na kukubariki🙏💪

  • @baimarrajahbuayan6237
    @baimarrajahbuayan6237 2 года назад

    Yan tanzania tupo vzr jaman
    Tukiwezeshwa hatuna umasikin hata
    Mungu ibarik 🇹🇿 yangu
    Inshallah Utafika mbali kijana

  • @castobenjamin4074
    @castobenjamin4074 2 года назад +19

    Wazungu wakimjua huyo dogo watamuiba wampeleke kwaoo😂😂🤗🤗

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад +2

    Congratulations kijana. Siio mchezooo. Serikariii walitambue hilooo. Kijana. Amejitahidii sana

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 2 года назад +4

    Mashaa Allah Allah akuhifadhi akujaaliye utimize ndoto zako.

  • @denisjr11media21
    @denisjr11media21 2 года назад +1

    Mmmmh uyuu chalii mi mjanja mnoo
    Mwenyenzi munguu ambaeikii katika maisha yakee

  • @yahyakigezi120
    @yahyakigezi120 2 года назад +7

    Hongera sana na ongeza bidii pia mungu akujalie ufike mbali

  • @archtecturaldesigner5916
    @archtecturaldesigner5916 2 года назад

    Tcra mwacheni kijana atanuke zaidi, good job 🙏🙏🙏

  • @uzungupoint
    @uzungupoint 2 года назад +53

    Daaah! Yaani katengeneza jiko la kutumia umeme wa jua, angekuwa anatoka familia yenye mali au Taifa lenye kujali vipaji vyake tungesahau kabisa matumizi ya gesi na mitungi kuripuka kila wakati na kuua watu daaaah! Oooh MUNGU wa AFRIKA tusamehe sisi wanao ndiyo maana hatujali vya kwetu.

    • @khalfanseiph491
      @khalfanseiph491 2 года назад +7

      Tatizo kumuendeleza mtu kama huyu ni changamoto sana inabidi tumuombe mungu sana

    • @fatumasirakwi3700
      @fatumasirakwi3700 2 года назад +1

      @@khalfanseiph491 Changamoto kivip

  • @allychikoko11
    @allychikoko11 Год назад

    Ongela sana kijana mwenzangu mwenyez mungu atakusimamia

  • @songamberetv2219
    @songamberetv2219 2 года назад +78

    Africa Africa Africa amuka amuka 😭😭 nasikitika kuona huyu kijana hajasaidiwa na serekari na vipaji alivyonesha tangu zamani

    • @KATOPE1
      @KATOPE1 2 года назад +9

      Kweli kabisa ni miaka sasa na anakipaji sana

    • @abdulabdallah9688
      @abdulabdallah9688 2 года назад +2

      Waambie kuongea umbea tu

    • @nurathkhamiss5925
      @nurathkhamiss5925 2 года назад +1

      Ndo apo sasa

    • @TamuzaKale
      @TamuzaKale 2 года назад +2

      Wale wa kukariri maandishi hawahusiki hapa. Dogo sio mtu mzuri!

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 2 года назад +2

      Naapo kaishia darasa la sita tu

  • @nahanakadiri3969
    @nahanakadiri3969 2 года назад

    Hongera dogo fro Kigoma,kweli icho ni kipaji kutoka kwa MUNGU maana ata co km ni msomi xanaa, MUNGU akubariki na serikali imtazame kwa jicho la tatu

  • @aloyceooga
    @aloyceooga 2 года назад +6

    Ata kenya tumekupata sana brother keep up bro never give up

  • @KalilavKinyentam
    @KalilavKinyentam 3 месяца назад

    Asante Mungu. Kwa kuzaliwa kigoma

  • @mdta8161
    @mdta8161 2 года назад +4

    Mashallah upo vizuri sana mdogo wangu mungu hazidi kukuinua zaidi na zaidi

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 2 года назад +2

    Awesome awesome awesome duh😍💕🔨🔨congratulations

  • @meggygitau4079
    @meggygitau4079 2 года назад +3

    Hongera sana, very Genius and creative Mungu azidi kukuongoza 🙏

  • @KalilavKinyentam
    @KalilavKinyentam 3 месяца назад

    Mungu asaidie sana. Ila Asante kwa kuzaliwa kigoma

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 2 года назад +8

    Woow amazing saana dogo katisha pig up saana kwake 🙌🙌🇶🇦🇹🇿

  • @allyadam9586
    @allyadam9586 2 года назад +2

    Super talented guy...he managed all systems with a single brain, waooh. Amaizing ivan

  • @lancemulaki5132
    @lancemulaki5132 2 года назад +15

    Big up kijana pambana dogo hulu Bashu wa TAMISE kafanyake. Hamna aja yakwenda schl

  • @issakellykalonji8879
    @issakellykalonji8879 2 года назад +1

    BIG TELENTED ✌️✌️✌️🔥 GOD BLESS U MY YOUNG BROOH

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 2 года назад +11

    Mashallah, hongera sana kijana Wetu wa kitanzania

  • @maarifatv4778
    @maarifatv4778 2 года назад +2

    Mungu akufanyie wepesi kijana wetu tunajivunia kuzaliwa kigoma tunajivunia kuzaliwa Ujiji

  • @edwriter
    @edwriter 2 года назад +25

    Uyu jamaa ni Genius🙌

  • @mhadajr1122
    @mhadajr1122 2 года назад

    High confidence intelligent daah bro umenienspire xana kutokukata tamaa kweny ubunif

  • @ybmtaakwamtaaofficial3415
    @ybmtaakwamtaaofficial3415 2 года назад +9

    Hongera sana mkuu
    Mungu atutangulie Kakaa

  • @narymwamba7723
    @narymwamba7723 2 года назад +1

    Aiseee we jamaa nouma Sana ...hongera mnoo duu🙌🙌

  • @rizikikasongo4388
    @rizikikasongo4388 2 года назад +7

    The boy needs a proper support bcs he has a beautiful talent. Guys go and support this boy

  • @ramsikhamis7083
    @ramsikhamis7083 2 года назад

    Akika Mungu atakufikisha mbalii na sehem unayostahilli dam yanguu 🎉🍾⛲🙏🏾🙏🏾🙏🏾

  • @waheedhamad4558
    @waheedhamad4558 2 года назад +3

    Inshallah naamini ipo siku allah atakukunjulia na utafikia ndoto zako na mafanikio yako kwa uhalali kabisa.....

  • @vbnmmnbv5292
    @vbnmmnbv5292 2 года назад +1

    Hongera sana Mungu akujalie zaidi inshallah

  • @justinegerald5095
    @justinegerald5095 2 года назад +3

    Nimecheka sana kwa furaha sana,dogo nimekuvulia kofia, hongera sana kwa ubunifu

  • @totoclass2470
    @totoclass2470 2 года назад

    Hongera bro mwenyezi mungu hakujalie upate Itaji lako

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 2 года назад +8

    Jamani Serikali Yetu Ya Tanzania Mko Wapi Vipaji Kama Hivi Hamuvioni Huyu Kijana Nawengine Wa Namna Hii Siyo Wakuishia Kusomeswa.Tu Inabidi Waendelezwe Kimasomo Na Kuwezeswa Mikopo Ya Hela Nyingi Ili Tanzania 🇹🇿 Tuwe Mifano Ya Mataifa Mengine🙏

  • @pagatv559
    @pagatv559 2 года назад

    Honger aisee unajitahid san

  • @kaittheleast
    @kaittheleast 2 года назад +19

    Kigoma,, nyumba ya vipaji👊👊

    • @yahayamaulana1561
      @yahayamaulana1561 2 года назад

      Kigoma au Tanzania? Rekebisha kauli

    • @issayajackson360
      @issayajackson360 2 года назад

      Hahaha mwenewachu

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 2 года назад

      @@issayajackson360 kipaji chako ni kipi mwenewachu 😂😂

    • @kaittheleast
      @kaittheleast 2 года назад +1

      @@yahayamaulana1561 kigoma sirekebishi kauli 😂😂

    • @issayajackson360
      @issayajackson360 2 года назад

      @@kaittheleast mwenewachu hata sina kipaji wee acha tu

  • @michaeljm2739
    @michaeljm2739 2 года назад +2

    Ongera sana kaka Mungu Atakusahidiya kwakipaji ulicho Nacho🙏🙏

  • @charlesrongo3615
    @charlesrongo3615 2 года назад +7

    TANZANIA GOT TALENTS ... KUNA WATU WENGI WENYE VIPAJI VYA HALI YA JUU.

  • @wandibaitonge8832
    @wandibaitonge8832 2 года назад +1

    Waafrica tunaakili ya kuzaliwa lkn tunapotezwa na hii elimu ya vyeti na kuachana na elim ya ubunifu na kubakia masikini na tegemezi hongera mdogo wng hakika hiki nikitu kikibwa sana mungu aendelee kukupa baraka uendelee zaidi na zaidi

  • @sinarahaissa7927
    @sinarahaissa7927 2 года назад +3

    Mungu akutangulie Mr. Zuberi

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 2 года назад +1

    Tanzania tuna hitaji vijana kama hawa Good job bro Mungu akutangulie ufike mbali zaid ya hapo