Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Sasa jamani kulamba mchanga imekuwa lazima😂😂😂😂
Jamani hilo tumbo limekaa vibaya hivyo hawakulifunga vizur......ila mke wa mkojani ni mzuri mashaallah❤
Viola mzuriiiiiiii nyie
Duh! Hio imenigusa ya sele anavyomfanyia mkewe 😢😢true story
Imenigusa pia 😭wanaume nishida 😭
Hongera sana mkojani nimefurahi sana kumuona viola.Mkojani Te amamos muito aqui em mozambique 🇲🇿
Mkojan umepoaa umepoaaaaa😂😂
Sema wanaume tuna tamaa sana hivi sele kweli anamchukuliaje viola lakini
Du hongera mkpjani kumbe unajua majukumu iwe ivo kwa mkeo kumpenda
Wanawake mungu awabakir😂 kasameh bwana😂
Sijui tuna mioyo ya vp walai😢😂
Asanteeeee.....njoon wadogo zangu nimewafungulia Dimba 🎉🎉🎉🎉
Ubaya ubaya linii tushaikumbukaaa
Sele umeniweka papaya 😂😂😂😂
UKILEWA USICHATI😁
Sele sele sele wewe nimekuita mara tatu hiyo kesi ya kutokulala kwa mkeo akisikia bwana mkubwa kazi unayo maana baba ako akili zake zinafyatukaga
Viola na Mwa4 ni pisi Kali sana❤❤
Leo wa 25 naomba like zangu Team mkojani Gang apa Mr ph
Chandimuuu nyieee😂😂😂😂😂
Chandimu umejisahau kwenye chupa ungeweka angau eneji😂😂
Zaka modise from dzonga cape Town....team mkojani tuko pamoja....
❤❤❤
Ramba mchanga mzee😂😂
Very nice kaz nzur san 🔥💯💯
Sele kila time wasema haurudi tena 😅😅
Woyowoyo ana vibe 😂😂
Yaani kwaushenzi anao ufanya sele ,ndomaana tunauwa having havi..pumbavu!!
Mkojana anaigiza na mkewe saiz
Naona umeamua kumuweka mkeo kabisa
Hongera kaka mkojan hapa atlist huyu mumeendana kama mkeo lakn sio kama yule bibi kwenye siri nzito ata hamkuendana
Namkubali sele. Namkojani natoka congo
Viola homba talaka kweli, mbona mimi nakupenda sana from Moz 🇲🇿
Wamwagie wamwagie Sheikh Abdallah.
Twasubiri sana kwenye series mpya mtakayoitoa mumjuimuishe Ngoma Nagwa....Kontawaa😂😂Twamtambua pia....vile hata huwa anasema Abdallah ndiye mlezi wake.Tufurahie Sanaa 🎉🎉🎉
Move imepoa sanaaaa
Mkojani anajuwa san dahh
Chandimu hapo huna baba atakuwamba makofi sasa hivi
Movie nzuri, asanteni
Humu chandimu umeharibika kabsaa Wala ckukubal kwa uzinzi wako na kulewa
N acting ndugu😂sio kweli
Rufiji mhhhhhh,. Mmepima ????? Maana huomkoa shauriako chandimu😂😂😂😂
aliyekuambia rufiji ni mkoa ni nani??
Kamuulize Paula wamepima maan Marioo ndy kwao huko halafu ule mkoa wa Pwani sio Rufiji😂😂😂
Wa 100 leo
VIOLA CHUMA BHANA 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Si wanawake tukipenda bwana wanyonge sana ila tukichoka sasa hatar sele utavuna unachokipanda kaz nzur inagusa
Naaaaaaaam nimeotea sekunde ya 20
Kazinzuri mkojani gange
Yaani nimepend mkojani ulivyojituliz kwenye hii movie 😊😊😊
Jamani duh kumbe wanawake wa ndoa waume zetu wakiwa na mchepuko wanatudharau hivi nakutuita maboya huhuhuhuuuuuuuu uboya kwishney utabaki kwenu nyie
Popo kanyea mbingu jmni😂😂😂😂
Sele sele 😂 ukimuacha viola tu m namchukua kabisa😁
Viola KAZI yako nzuri
Popo kanyea mbingu😂😂😂😂😂mtaka chauvunguni😂😂😂😂 duuuh mabibi wa kindengeleko mmmmh
Daaah nimemuonea huruma mkojani
Hilo tumbo la mke wa mwenyekiti 😂😂😂nimelielewa
😂😂😂😂
Duu hilo tumbo asipojifungua mapacha kumi mtaniambia😂😂
jamani mkewake kwel mkojan huyu mweny mimba humu ama namfananisha
Ndy yy huyo😂
Mke wake kweli
Uwakika sana sele 🎉🎉🎉😂😂😂😮
Nipo namieee
Ukipata mwanamke kama Viola raha sana
Oyaa mkojani ashafanya yake huku😂😂😂
Kwaio unafanya makusudi mjinga wew ,na muongo mkubwaa
Mwanamke na roho ya huruma
Balaaaaaaa 😂😂😂
Duuuh huyu Sele katisha san
Wakwanza Leo naomben like zangu
Noma sana hii
Jamaani hizo mimba zenu mwa fundika nini😢
🔥🔥🔥
❤❤❤❤ viola
Sasa apo Nan mwenyemimba
Tuletee ubaya
Lamba mchanga chandimu mbele ya baba yako pamoja na mkeo
Wala hapendezi chandimu kua hivyo
Unapigwa such kama mkula bangi mwenye amekutwa na asikari😂 peana talaka basi
Bado kuna wnawake kam hawa mpaka sas
Lamba mchangaaa😂😂
Nambari moja +254 , watching from Qatar 🇶🇦
Mbn mimba ya mke wako mkojani kubwa kuliko ww mwenyewe 😂
Good good 👍🏾
❤❤❤❤🎉🎉
🎉🎉
Jmn kifo wacha kiitwe kifo tu
🎉
❤❤
Muda wote wanaonekan watu watatu wakina kijiko hamna au😢
Unaharaka mbona tulia
Please
1
Mke wa mkojani hajiamin anaogopa camera alafu anashikashika tumbo linataka kudondoka au ? Hamjalifunga vizur mbona uhondo unakosekana
Pombe haina povu hata akitikisa jamani Mungeweka hata soda ya spuprt itowe povu
Labda konyagi
Nimekuwa wa kwanza leo jamani😅
😂😂
😂
😢😢😢😢😢bl
748
Samofi yuko wap mzee
ety viola anajua dog tu inamaana hata kifo cha mende hajui😅😅😅😅😅😅😅😅
Leteni ubaya ubaya hii imepoa bhana
Sasa jamani kulamba mchanga imekuwa lazima😂😂😂😂
Jamani hilo tumbo limekaa vibaya hivyo hawakulifunga vizur......ila mke wa mkojani ni mzuri mashaallah❤
Viola mzuriiiiiiii nyie
Duh! Hio imenigusa ya sele anavyomfanyia mkewe 😢😢true story
Imenigusa pia 😭wanaume nishida 😭
Hongera sana mkojani nimefurahi sana kumuona viola.
Mkojani
Te amamos muito aqui em mozambique 🇲🇿
Mkojan umepoaa umepoaaaaa😂😂
Sema wanaume tuna tamaa sana hivi sele kweli anamchukuliaje viola lakini
Du hongera mkpjani kumbe unajua majukumu iwe ivo kwa mkeo kumpenda
Wanawake mungu awabakir😂 kasameh bwana😂
Sijui tuna mioyo ya vp walai😢😂
Asanteeeee.....njoon wadogo zangu nimewafungulia Dimba 🎉🎉🎉🎉
Ubaya ubaya linii tushaikumbukaaa
Sele umeniweka papaya 😂😂😂😂
UKILEWA USICHATI😁
Sele sele sele wewe nimekuita mara tatu hiyo kesi ya kutokulala kwa mkeo akisikia bwana mkubwa kazi unayo maana baba ako akili zake zinafyatukaga
Viola na Mwa4 ni pisi Kali sana❤❤
Leo wa 25 naomba like zangu Team mkojani Gang apa Mr ph
Chandimuuu nyieee😂😂😂😂😂
Chandimu umejisahau kwenye chupa ungeweka angau eneji😂😂
Zaka modise from dzonga cape Town....team mkojani tuko pamoja....
❤❤❤
Ramba mchanga mzee😂😂
Very nice kaz nzur san 🔥💯💯
Sele kila time wasema haurudi tena 😅😅
Woyowoyo ana vibe 😂😂
Yaani kwaushenzi anao ufanya sele ,ndomaana tunauwa having havi..pumbavu!!
Mkojana anaigiza na mkewe saiz
Naona umeamua kumuweka mkeo kabisa
Hongera kaka mkojan hapa atlist huyu mumeendana kama mkeo lakn sio kama yule bibi kwenye siri nzito ata hamkuendana
Namkubali sele. Namkojani natoka congo
Viola homba talaka kweli, mbona mimi nakupenda sana from Moz 🇲🇿
Wamwagie wamwagie Sheikh Abdallah.
Twasubiri sana kwenye series mpya mtakayoitoa mumjuimuishe Ngoma Nagwa....Kontawaa😂😂Twamtambua pia....vile hata huwa anasema Abdallah ndiye mlezi wake.Tufurahie Sanaa 🎉🎉🎉
Move imepoa sanaaaa
Mkojani anajuwa san dahh
Chandimu hapo huna baba atakuwamba makofi sasa hivi
Movie nzuri, asanteni
Humu chandimu umeharibika kabsaa Wala ckukubal kwa uzinzi wako na kulewa
N acting ndugu😂sio kweli
Rufiji mhhhhhh,. Mmepima ????? Maana huomkoa shauriako chandimu😂😂😂😂
aliyekuambia rufiji ni mkoa ni nani??
Kamuulize Paula wamepima maan Marioo ndy kwao huko halafu ule mkoa wa Pwani sio Rufiji😂😂😂
Wa 100 leo
VIOLA CHUMA BHANA 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Si wanawake tukipenda bwana wanyonge sana ila tukichoka sasa hatar sele utavuna unachokipanda kaz nzur inagusa
Naaaaaaaam nimeotea sekunde ya 20
Kazinzuri mkojani gange
Yaani nimepend mkojani ulivyojituliz kwenye hii movie 😊😊😊
Jamani duh kumbe wanawake wa ndoa waume zetu wakiwa na mchepuko wanatudharau hivi nakutuita maboya huhuhuhuuuuuuuu uboya kwishney utabaki kwenu nyie
Popo kanyea mbingu jmni😂😂😂😂
Sele sele 😂 ukimuacha viola tu m namchukua kabisa😁
Viola KAZI yako nzuri
Popo kanyea mbingu😂😂😂😂😂mtaka chauvunguni😂😂😂😂 duuuh mabibi wa kindengeleko mmmmh
Daaah nimemuonea huruma mkojani
Hilo tumbo la mke wa mwenyekiti 😂😂😂nimelielewa
😂😂😂😂
Duu hilo tumbo asipojifungua mapacha kumi mtaniambia😂😂
jamani mkewake kwel mkojan huyu mweny mimba humu ama namfananisha
Ndy yy huyo😂
Mke wake kweli
Uwakika sana sele 🎉🎉🎉😂😂😂😮
Nipo namieee
Ukipata mwanamke kama Viola raha sana
Oyaa mkojani ashafanya yake huku😂😂😂
Kwaio unafanya makusudi mjinga wew ,na muongo mkubwaa
Mwanamke na roho ya huruma
Balaaaaaaa 😂😂😂
Duuuh huyu Sele katisha san
Wakwanza Leo naomben like zangu
Noma sana hii
Jamaani hizo mimba zenu mwa fundika nini😢
🔥🔥🔥
❤❤❤❤ viola
Sasa apo Nan mwenyemimba
Tuletee ubaya
Lamba mchanga chandimu mbele ya baba yako pamoja na mkeo
Wala hapendezi chandimu kua hivyo
Unapigwa such kama mkula bangi mwenye amekutwa na asikari😂 peana talaka basi
Bado kuna wnawake kam hawa mpaka sas
Lamba mchangaaa😂😂
Nambari moja +254 , watching from Qatar 🇶🇦
Mbn mimba ya mke wako mkojani kubwa kuliko ww mwenyewe 😂
Good good 👍🏾
❤❤❤❤🎉🎉
🎉🎉
Jmn kifo wacha kiitwe kifo tu
🎉
❤❤
Muda wote wanaonekan watu watatu wakina kijiko hamna au😢
Unaharaka mbona tulia
Please
1
Mke wa mkojani hajiamin anaogopa camera alafu anashikashika tumbo linataka kudondoka au ? Hamjalifunga vizur mbona uhondo unakosekana
Pombe haina povu hata akitikisa jamani Mungeweka hata soda ya spuprt itowe povu
Labda konyagi
Nimekuwa wa kwanza leo jamani😅
😂😂
😂
😢😢😢😢😢bl
748
Samofi yuko wap mzee
Nipo namieee
ety viola anajua dog tu inamaana hata kifo cha mende hajui😅😅😅😅😅😅😅😅
❤❤❤
😂😂
Leteni ubaya ubaya hii imepoa bhana