Picha Kali hii itafika mbali hujawahi kukosea mkojani natamani siku moja nipige picha na wewe mana nakupenda mpaka naumwa by Hafidh Ali Juma From Nyarugusu Zanzibar
Jamani mungu akulipe kila la kher mkojani yaani naweza kuwa na mawazo ila nikiangalia filamu zako nacheka hadi nakera watu😂😂😂😂😂😂😂😂 mkojani na chandimu mutanivunja mbavu😅❤
Picha Kali hii itafika mbali hujawahi kukosea mkojani natamani siku moja nipige picha na wewe mana nakupenda mpaka naumwa by Hafidh Ali Juma From Nyarugusu Zanzibar
Leo Mke wa Samofi kawa mke wa mkojani 😂😂😂😂🔥🔥🔥
Wamrudishie samofi mke wake🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂Icho ndotulokuwa tukikitaka chandimu. Na boss wake kama mapacha aisee❤❤🇿🇦🇿🇦
Niliwambia Ile ya mwanzo ilikuwa rasha rasha mvua Sasa imemwagika karibuni mkojani geng tulikuwa tunawasubiri kwaham Sana 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Ng'ombe wote watakujua safari hii😂 watching live from Kenya
Jmn huyu mtu na baba ake nawapentaaa bureee♥️♥️ sio Kwa kunichezea huko kihindi me hoi🙌
Nawapenda San mkojan gang 🎉🎉🎉🎉kaz nzuri mungu awape afya njema muzidi kutupa burudani🎉🎉🎉🎉🎉
Hapa nakubali kinoma
Mkojani gang kwahii move nimeikuvali sana kabula ata sijaiangalia nikaielewa ni kwalit sana sana mpka laha
Kenya tunawapenda Wana geng
Nilikua nasubiri
Jmn njoooooni mkojani kashusha kituuuuuuuu❤❤
From 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 nafuatilia mkojani toka finya umoyo wakiwa na dulla makabilla
Kitu kipya tayari,shabiki wenu kutoka kenya.❤❤❤❤❤❤ Makopa yenu wote
Nimekuwa wa kwanza leo naombeni like zangu 👍
WA Kwanzaa mkojani gang
Ww mke haufai kuwa wa mkojani ni mkali ww nimke Bora unatakiwa uwe namume Bora Kama samofi mkojani bangua kichwa
Kazi nzuri sana mkojan 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Sasa series inaanza na chandimu anaianza na kupigwa 😂😂😂😂
Mkojani amepata mke
Jamani kumbe kazi mpya tayari halafu ata hamsemi 😂
Dah!! Nilikua natafuta mrithi was hayati majuto kitambo Sasa nimempataaaaa mkojani we no msta comed
One love mkojani gang watching from doha
tuko pamoja sana wapendwa timu mkojani gang
Jamani mkojani anza yako tu njo inanimalizaga😂
Mzgo mpya huo
Mkojani kiboko kweli😂😂
tuliwamisi sana 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
sawa mkojani gang raha imerudi.mozambique
Pamoja sana from Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Jamani mungu akulipe kila la kher mkojani yaani naweza kuwa na mawazo ila nikiangalia filamu zako nacheka hadi nakera watu😂😂😂😂😂😂😂😂 mkojani na chandimu mutanivunja mbavu😅❤
Mama chandimu humu kawa mke wa mkojani nimeipenda iyo nilijua kuna picha itatoka yenye mfumo huu
Ujawai kukosea mkojani unajua baba❤❤❤🎉🎉🎉
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Dr Congo 🇨🇩
No 2 kuview no 1 kulike❤❤❤❤
Wow nilikua nimewamiss sana 😂😂😂😂❤
Ume Tisha sana mkojan
Mkojaniiiiiii gang oyeeeeee
Namba one nawamis from Omani 🇴🇲🇴🇲❤❤
Hahahahhaha
@@kulwanzobe7657 nn
Team oman
@@ashaaliameir2271 woyoooooo
❤❤❤
Hii ndo movie sasa mkojani ila c o ile ya watoto ile inafaa kutazamwa na watoto wetu
Hatimae kitu kipya kimetoka kutoka mkojani gang❤❤❤
Mmmmmh mzee mkojani hajui kmana mtoto 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 vituko ivo
Kazi kazi wanangu siwapingi jambazi tin Apa
Wa kwanza
Watching from Zenjii ❤❤❤❤ mkojani gang like hapa
Zenji sehem gn bi harus
tujuane wa kutoka zénj ndani ya mkojani gang ❤
Zenji
Zenj
Vizuri tutatengeneza group letu ikiwezekana tutakujakutembeleana soon..au mnasemaje?
Bindalueshi nakukubali sana
Abdala mzunda😂😂.. from mozambique 🇲🇿🇲🇿
Nakubali chandimu Yuko ndani
Mim sitaki lik yamtu ila naitaji kujifunza kitu kwenye igizo ilii❤❤🇿🇦🇿🇦
Chandim ananiuwe kweli🤣🤣🤣
😂😂chandimu mateso yapo palepale kwa mkojani
Mkojani GANG hamjawahi kufeliiii 😂😂😂😂 Great job😂😂😂😂
Nilikuwa bz na kunyowa vichwa vyawa kosa Sasa mzigo mezani❤❤🇿🇦🇿🇦
Huu mtoto Chandimu Mkojani kamuaharib vby mnoo.
Mkojan is back to work
Kazi kazi2
❤🔥🔥🔥 iko sawa
Nipeni likes zang 😂 here we go🎉
Mke Wa samofi Uyo jamani😂😂😂
Uuunyama ni mwingii mzee mkojan gang ❤❤❤
From south Africa❤
Nawapenda sana Mkojani na Samofi pamoja na Kundi leno yote ndabakunda can ino Burundi 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Niliwamic sana mkojani geng like kama wapo waliwamic kama mm
Mke wa samofi leo amekuwa mke wa mkojani
Yaan nikiona episode imetungwa na Abdallah mzunda ndio najua movie nzuri
A.k.a kipupwe ama mkojani bin daruwesh tarabush
Naona wasanii wa white films na mkojani gang mnatuletea kaz nzur anyway Bwena hyooo hii imeenda
Big up 🎉wenetuuu
😂😂😂😂 watching this from gulf
😂😂😂😂😂 kazi imeanza kwa mkojani na chandimu dah ni shidaaa
Mkojani ...anatisha sana😂
Leo wapili comment naomba maua yangu jaman
Nakubali sana mukojani
Chandimu ungwadu hukomi kua n baba huyo ushasaha kuchapwa n kufunwa kiguzoni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 ama ushazoea makonde
Wakubwa wakiongea chandimu kaa kando hahaha big up mkojani safisana
Watching from zanzibar ❤❤❤❤
❤❤❤ 🇹🇿 mkojani unanikosha sana😂😂😂
HUYU MAMA BIBI YA MKOJANI ANAKITU SANA
MAMA POKEA MAUA YAKO WEWE UNAJUA NA UNAJUA TENA
Watching from Finland 🇫🇮❤❤
Hhhh mkojani ni balaa 😂😂😂
😂😂😂Big up Mkojan Gang
Nice one❤❤❤
Mkojani yupo vizur kitambo
Nyieee mkojan mashavu et nini
🙌👐🙌🙌🙌🙏 unajua kaka kama kwetu
🔥🔥🔥❤🇸🇦🇰🇪
Sanaaaa
😂😂et chandi
Daruweshi🙌🙌🙌♥️
Duh, from Pemba
watching Live from kenya Nairobi parklandi
😂😂😂😂😂 mkojani 🎉🎉
Love from ..🇳🇬🇳🇬
Jamani mpka rahaaa❤
much love
kali sana ❤❤❤👊👊
Niliwamiss kweli ♥️♥️♥️ from Moçambique 🇲🇿
😊😊😊
Big up brother
Ila uyu mama mke wa mkojan namuelewaga sna
Wa pili leo