Dah nilikua nawaza sana balozi dola soul yuko Wapi? Maana huyu jamaa ni moja wa marapa waliocha alama kwenye mziki huu Leo hii umenufaisha wengi Balozi a.k.a mtaalam
Mziki Ulianza Kufa Pale Radio Djs Ambao Hawana Spirit Ya HipHop Moyoni Walipoamua Kuwa Ma Managers Wa Wasanii Dats Y Wakajikuta Wanatoa Airtime Kwa Waimbaji Tu Badala Ya Wachanaji Media Iko Na Nguvu Sana Ya Kuskuma Content Yeyote Hivi Sasa Wanatupa Content Za Aina Moja Tu Since Then Na Zingine Sasa Ni Wack Contents
Shenzy sana wabongo comments chache sana tokea mwaka jana...kazi kumtazama amber rutty
hhaahhhaah🤣 kweli ndugu
Ha ha ha ha watz hovyo saaana
hahahahaaaaaaa
Amber rutty naye eti ni legend?
Shenzy sana wabongo
Jamaa anaongea sense sana, LEGEND!
Kuna kitu nimemuelewa Balozi kwamba yeye ni hip-hop sio bongo flava.. salute sana legend (hip-hop)never die
kiswahili mwanzo mwisho, japokuwa anaishi state,
Daniel Werema kawaida watu wanajua english vizuri hawana hashuo sio hawa akijua neno moja basi hujifanya hata kiswahili kinampa shida
Sio tuu anaishi state jamaa Ni familia Bora kitambo sanaaaa
@@mtanzaniamzalendo7001 tangu anazaliwa wazazi ni mabalozi wanaishi nje ya nchi
@@mtanzaniamzalendo7001 62 68342
Salute to Diplowmats DPT👍Respect kwako baloz dola
Legendary Dola Soul.....niliangalia video yako moja ukiwa Bronx...
Halafu mnaanza kuongea ongea ujinga tuu, Nick wapili ndio msanii msomi,. Nadhan mmewasikia wasimi sasa
Sana kaka
Hajasahau wadau wake wa bongo safi Sana legend
Dah nilikua nawaza sana balozi dola soul yuko Wapi? Maana huyu jamaa ni moja wa marapa waliocha alama kwenye mziki huu Leo hii umenufaisha wengi
Balozi a.k.a mtaalam
Mziki Ulianza Kufa Pale Radio Djs Ambao Hawana Spirit Ya HipHop Moyoni Walipoamua Kuwa Ma Managers Wa Wasanii Dats Y Wakajikuta Wanatoa Airtime Kwa Waimbaji Tu Badala Ya Wachanaji Media Iko Na Nguvu Sana Ya Kuskuma Content Yeyote Hivi Sasa Wanatupa Content Za Aina Moja Tu Since Then Na Zingine Sasa Ni Wack Contents
Nakukubali sana sky mtafute na imamu abbas
Balozi yuko vizuri kwenye interview
Legend
I'm appreciate brother
Akil kubwaaa sana
Ilikua Balozi Dola soul,Mr II,Saigon na Triple dogs
Dpt na Mr ilikuwa combination ya hatarii..🔥
Balozi dola soul... Last Legend
Heshima kwa Bradha Balozi doll soul
Respect to you legend
Bro uko juu
Respect bro dola soul
Sana kbs
Kwenye chati ni bonge Moja la ngoma nilie wahi kuisikiliza mfululizo Kwa muda mrefu sanaaaa
Nawakubari sana
Dulla Soli jembe sana hili
Sam stigid yeeeah r.i.p braza
hatari sana wakongwe hawa
Mziki ule kwenye chati huwa unanikuna sana.
Dpt for life
Solute
Safi
Salut brother umetisha wengi wamepita ila ww bado upo balozi
Dola soo, balaa tupu.
Heshima kubwa
Brother mpaka umesahau swahili..!!
Kazaliwa familia ya kishua, mchawi umeanza, kazaliwa unyamwezini huyo, sio kuwa aliimba hiphop kimaskini na hajaongea kiswaenglish hapo
2023
Kuna ngoma naitafuta inaitwa balozi wenu
Hip hop ❤❤
Respect to you legend