Balozi Dola Soul: Bifu yetu (Diplomats) na Kwanza Uniti ilikuwa kama ya Notorious BIG na Tupac

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 52

  • @ramanhoibrahim3383
    @ramanhoibrahim3383 5 лет назад +17

    Shenzy sana wabongo comments chache sana tokea mwaka jana...kazi kumtazama amber rutty

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 6 лет назад +7

    Jamaa anaongea sense sana, LEGEND!

  • @kingsoboropayani5127
    @kingsoboropayani5127 2 года назад +1

    Kuna kitu nimemuelewa Balozi kwamba yeye ni hip-hop sio bongo flava.. salute sana legend (hip-hop)never die

  • @danielwerema23
    @danielwerema23 6 лет назад +20

    kiswahili mwanzo mwisho, japokuwa anaishi state,

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 6 лет назад +3

      Daniel Werema kawaida watu wanajua english vizuri hawana hashuo sio hawa akijua neno moja basi hujifanya hata kiswahili kinampa shida

    • @mtanzaniamzalendo7001
      @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад +1

      Sio tuu anaishi state jamaa Ni familia Bora kitambo sanaaaa

    • @Waberoya
      @Waberoya 4 года назад +1

      @@mtanzaniamzalendo7001 tangu anazaliwa wazazi ni mabalozi wanaishi nje ya nchi

    • @ramadhankhamis1493
      @ramadhankhamis1493 3 года назад

      @@mtanzaniamzalendo7001 62 68342

  • @stepheng9765
    @stepheng9765 5 лет назад +3

    Salute to Diplowmats DPT👍Respect kwako baloz dola

  • @Chemba67
    @Chemba67 6 лет назад +4

    Legendary Dola Soul.....niliangalia video yako moja ukiwa Bronx...

  • @jimmyx8412
    @jimmyx8412 4 года назад +10

    Halafu mnaanza kuongea ongea ujinga tuu, Nick wapili ndio msanii msomi,. Nadhan mmewasikia wasimi sasa

  • @kiuwamhina2802
    @kiuwamhina2802 5 лет назад +1

    Hajasahau wadau wake wa bongo safi Sana legend

  • @mohamedamir7831
    @mohamedamir7831 4 года назад +3

    Dah nilikua nawaza sana balozi dola soul yuko Wapi? Maana huyu jamaa ni moja wa marapa waliocha alama kwenye mziki huu Leo hii umenufaisha wengi
    Balozi a.k.a mtaalam

  • @bigwhipy9114
    @bigwhipy9114 6 месяцев назад +2

    Mziki Ulianza Kufa Pale Radio Djs Ambao Hawana Spirit Ya HipHop Moyoni Walipoamua Kuwa Ma Managers Wa Wasanii Dats Y Wakajikuta Wanatoa Airtime Kwa Waimbaji Tu Badala Ya Wachanaji Media Iko Na Nguvu Sana Ya Kuskuma Content Yeyote Hivi Sasa Wanatupa Content Za Aina Moja Tu Since Then Na Zingine Sasa Ni Wack Contents

  • @kadrihussein152
    @kadrihussein152 6 лет назад +1

    Nakukubali sana sky mtafute na imamu abbas

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 4 года назад +1

    Balozi yuko vizuri kwenye interview

  • @youngdula5409
    @youngdula5409 3 месяца назад

    Legend

  • @majaliwaandulile8379
    @majaliwaandulile8379 3 года назад

    I'm appreciate brother

  • @godfreymbukwa6921
    @godfreymbukwa6921 2 года назад +1

    Akil kubwaaa sana

  • @jisamjoseph4558
    @jisamjoseph4558 4 года назад +2

    Ilikua Balozi Dola soul,Mr II,Saigon na Triple dogs

    • @husseinjarufu5047
      @husseinjarufu5047 4 года назад +1

      Dpt na Mr ilikuwa combination ya hatarii..🔥

  • @bongeone
    @bongeone 4 года назад

    Balozi dola soul... Last Legend

  • @athanasmgungusi9996
    @athanasmgungusi9996 5 месяцев назад

    Heshima kwa Bradha Balozi doll soul

  • @salimkaole2471
    @salimkaole2471 Год назад

    Respect to you legend

  • @bushzerahamusic4762
    @bushzerahamusic4762 5 месяцев назад

    Bro uko juu

  • @ahmadyrotty5478
    @ahmadyrotty5478 3 года назад

    Respect bro dola soul

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo260 6 лет назад +1

    Sana kbs

  • @marthalufingo7054
    @marthalufingo7054 3 месяца назад

    Kwenye chati ni bonge Moja la ngoma nilie wahi kuisikiliza mfululizo Kwa muda mrefu sanaaaa

  • @moziidavchonchi3338
    @moziidavchonchi3338 3 года назад

    Nawakubari sana

  • @kaporosalum6123
    @kaporosalum6123 5 лет назад

    Dulla Soli jembe sana hili

  • @pesangwasalim5258
    @pesangwasalim5258 3 года назад +2

    Sam stigid yeeeah r.i.p braza

  • @peternansio5305
    @peternansio5305 6 лет назад +2

    hatari sana wakongwe hawa

  • @johnmgejwa9754
    @johnmgejwa9754 4 года назад

    Mziki ule kwenye chati huwa unanikuna sana.

  • @therevolutionbrandtanzania4909
    @therevolutionbrandtanzania4909 4 года назад

    Dpt for life

  • @anwarfundi5748
    @anwarfundi5748 4 года назад

    Solute

  • @mandyfitnesstv6738
    @mandyfitnesstv6738 6 лет назад

    Safi

  • @Skomi-0nedayyes
    @Skomi-0nedayyes 3 года назад

    Salut brother umetisha wengi wamepita ila ww bado upo balozi

  • @kelvinallen8395
    @kelvinallen8395 4 года назад +1

    Dola soo, balaa tupu.

  • @shukurkatembo2807
    @shukurkatembo2807 4 года назад

    Heshima kubwa

  • @mohammedally5185
    @mohammedally5185 4 года назад

    Brother mpaka umesahau swahili..!!

    • @Waberoya
      @Waberoya 4 года назад

      Kazaliwa familia ya kishua, mchawi umeanza, kazaliwa unyamwezini huyo, sio kuwa aliimba hiphop kimaskini na hajaongea kiswaenglish hapo

  • @mastaplan
    @mastaplan Год назад

    2023

  • @dzeekilumbe6277
    @dzeekilumbe6277 4 года назад

    Kuna ngoma naitafuta inaitwa balozi wenu

  • @sabrenamputa2894
    @sabrenamputa2894 Год назад

    Hip hop ❤❤

  • @salimkaole2471
    @salimkaole2471 Год назад

    Respect to you legend