Balozi Dola Soul huyu hapa, fahamu alipo na anachokifanya sasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024

Комментарии • 28

  • @husseinjarufu5047
    @husseinjarufu5047 5 лет назад +8

    Maxim Respect to Legends Balozi ,Saigon,Stiggo and All Diplomatz Family...

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад +10

    nilikuwa najiuliza yuwapi huyu jamaaa ahsante Dizzim tv maana mmeniletea mtu mhimu sana ndio maana naipenda sana hii chanel mbarikiwe

  • @peternansio5305
    @peternansio5305 6 лет назад +10

    Kwenye Chat, akina Saigin, SUGU, wakongwe kipindi hicho muziki unaitwa muziki, sio claps za zama hizi..Amani kwenu balozi, SUGU, Saigon, Prof.Jay wamitulinga

  • @fazeelshomary8743
    @fazeelshomary8743 6 лет назад +7

    LEGENDARY BALOZI DOLA SOUL

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 6 лет назад +10

    Balozi,Saigon,Stingo....

  • @mosesg.pendael8381
    @mosesg.pendael8381 4 года назад +4

    Mwenyez Mungu kanibariki na vitu vyote, napopanda afrika mashariki.... naongeza mashabiki. Wanga wote nawatwanga nawapepeta kwenye hii bongo sanaa nameremeta, nafanya mambo mazito makubwa manene.... naacha gumzo kila sehem, ili watu wote wafahamu! Mimi ni nani na nani na nani yuko nami, siogopi wapinzani, wote nawaweka mizani. Hamwez kufikia kwangu miii....
    😂😂😂

  • @eventelias3566
    @eventelias3566 6 лет назад +7

    kazi yako bado inaishi yaani ikipigwa mpaka kesho bado ni hit

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh 5 лет назад +3

    Hongera sky wa dizzim t.v...napenda aina ya watu unaowaleta kwenye interviews zako...walete na kina KBC tafadhali Saigon Chief raimsin na wengine😇

  • @zaudatmakula3454
    @zaudatmakula3454 6 лет назад +6

    balozi bado nipo ninashika kwenye chati nashika ile ile nambaa natambaaaaa nakukumbuka sanaa

  • @yunusrnb5227
    @yunusrnb5227 Год назад +1

    Hakika miaka hiyo nilikuwa mdogo Sana, 1994 ndio nazaliwa lakini hiyo ngoma naikubali mno na nilikuwa natamani nimjue ni nani, napenda hip-hop, na natamani umlete KIBACHA wa KU, nawafatilia leo hii 16/09/2023

  • @victoredwin9480
    @victoredwin9480 5 лет назад +3

    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND
    LEGEND

  • @husseinjarufu5047
    @husseinjarufu5047 5 лет назад +2

    Maximum Respect to Legendary Balozi Dola Soul #Diplomatz

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo7001 4 года назад +1

    Balozi Bado nipo ,ninapanda kwenye chati daaaa huyu jamaa namkubaki Sana
    Pia Kuna mwingine was kurasini

  • @juriasangelo2110
    @juriasangelo2110 6 лет назад +7

    Mtafute na Yule alieimba Sina dem

  • @ramadhaninyamonde2854
    @ramadhaninyamonde2854 11 месяцев назад

    Viva the Legend!

  • @lazaroletion2420
    @lazaroletion2420 6 лет назад +3

    Homa ya Dunia

  • @salimsiri5735
    @salimsiri5735 6 лет назад +1

    nakukubali sana broo

  • @agreysaimon7817
    @agreysaimon7817 3 года назад +1

    Mchiz kakaa mbele lakini kiswahili kimenyooka hajivungi kama wale maneno mawili ngeli tayari

  • @mussamc641
    @mussamc641 2 года назад +1

    Tutaftie na yule . kal p

  • @sebastianwilson213
    @sebastianwilson213 4 года назад

    Alafu madogo sshv wanaviiiiiimba! Haya wenye mziki wao hao apo ckieni madogo

  • @spencermaterial7681
    @spencermaterial7681 Год назад

    🔥🔥🔥👊✌️

  • @husseinhussein9971
    @husseinhussein9971 Год назад

    Jamaa inaonekana ameondoka bongo muda sana hadi lafudhi imeathirika.

  • @mastaplan
    @mastaplan Год назад

    2023