Mwenyez Mungu kanibariki na vitu vyote, napopanda afrika mashariki.... naongeza mashabiki. Wanga wote nawatwanga nawapepeta kwenye hii bongo sanaa nameremeta, nafanya mambo mazito makubwa manene.... naacha gumzo kila sehem, ili watu wote wafahamu! Mimi ni nani na nani na nani yuko nami, siogopi wapinzani, wote nawaweka mizani. Hamwez kufikia kwangu miii.... 😂😂😂
Hakika miaka hiyo nilikuwa mdogo Sana, 1994 ndio nazaliwa lakini hiyo ngoma naikubali mno na nilikuwa natamani nimjue ni nani, napenda hip-hop, na natamani umlete KIBACHA wa KU, nawafatilia leo hii 16/09/2023
Maxim Respect to Legends Balozi ,Saigon,Stiggo and All Diplomatz Family...
nilikuwa najiuliza yuwapi huyu jamaaa ahsante Dizzim tv maana mmeniletea mtu mhimu sana ndio maana naipenda sana hii chanel mbarikiwe
Kwenye Chat, akina Saigin, SUGU, wakongwe kipindi hicho muziki unaitwa muziki, sio claps za zama hizi..Amani kwenu balozi, SUGU, Saigon, Prof.Jay wamitulinga
LEGENDARY BALOZI DOLA SOUL
Balozi,Saigon,Stingo....
Mwenyez Mungu kanibariki na vitu vyote, napopanda afrika mashariki.... naongeza mashabiki. Wanga wote nawatwanga nawapepeta kwenye hii bongo sanaa nameremeta, nafanya mambo mazito makubwa manene.... naacha gumzo kila sehem, ili watu wote wafahamu! Mimi ni nani na nani na nani yuko nami, siogopi wapinzani, wote nawaweka mizani. Hamwez kufikia kwangu miii....
😂😂😂
umetisha kaka,Respect👊
kazi yako bado inaishi yaani ikipigwa mpaka kesho bado ni hit
Hongera sky wa dizzim t.v...napenda aina ya watu unaowaleta kwenye interviews zako...walete na kina KBC tafadhali Saigon Chief raimsin na wengine😇
balozi bado nipo ninashika kwenye chati nashika ile ile nambaa natambaaaaa nakukumbuka sanaa
Hakika miaka hiyo nilikuwa mdogo Sana, 1994 ndio nazaliwa lakini hiyo ngoma naikubali mno na nilikuwa natamani nimjue ni nani, napenda hip-hop, na natamani umlete KIBACHA wa KU, nawafatilia leo hii 16/09/2023
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
LEGEND
Maximum Respect to Legendary Balozi Dola Soul #Diplomatz
Balozi Bado nipo ,ninapanda kwenye chati daaaa huyu jamaa namkubaki Sana
Pia Kuna mwingine was kurasini
Mtafute na Yule alieimba Sina dem
Alieimba sina demu anaitwa B Boy
Sina gari sina nyumbaa, sina dem sina mchumba! Gk nafikiri
b boy alishakufa kitambo (rip)@@glorytechnicalsolutions9591
Viva the Legend!
Homa ya Dunia
nakukubali sana broo
Mchiz kakaa mbele lakini kiswahili kimenyooka hajivungi kama wale maneno mawili ngeli tayari
Tutaftie na yule . kal p
Alafu madogo sshv wanaviiiiiimba! Haya wenye mziki wao hao apo ckieni madogo
🔥🔥🔥👊✌️
Jamaa inaonekana ameondoka bongo muda sana hadi lafudhi imeathirika.
Huyo bongo hakuishi sana tangu mtoto anaishi nje ya nchi
2023