Nipo oman sitakiwi ndiyo nikaja kufanya kazi sura yangu kama kifuu akitokeya mwaname anitaka kuniowa akiwa mwislam sawa sihitaji muwaji tu na bangi na mlevi na mwizi simtaki na tabeli
Kulinganisha kununua gari na kuchagua mpenzi ni haviendani Kabisa, acha ujinga, eti huyo ni mtaalamu wa mahusiano? Wanawake siku zote uchagua nani wa kuzaa naye au la! Hawa jamaa bado wapo kwenye miaka ya nyuma sana!!!
@@khatibuhijja459 kwelii na ushahidi ninaoo rafiki yangu kipenz kaolewa na shekhe kabisaaa wajua alikondaa shekhe ana choyoo mkalii hauji kubembeleza hana mahaba mtoto wa watu ndoa ilimshindaa
@@maryammaram2612 Sasa dadaangu hiyo ni kasoro ya mtu mmoja mmoja, usijumlishe viongozi wote wa dini, mm nnaushahidi sio mmoja wa kwanza ni wa mwlm wangu na imam alimuacha mkewe huru lkn mwisho wa siku yule mke akawa anatoka na jamaa pale K/koo yule sheikh akawa analalamika mwisho wa siku kaka wa mwanamke a kaanza kufatilia dadaake na kweli akamkuta na huyo jamaa, kwa ile aibu jamaa alimoiga dadaake mpk alimvunja mguu akaenda kuwekewa chuma mguuni, lkn yule sheikh wala hakumuacha mpk leo anae lkn ni mlemavu, nnao ushahid mwingi tu, lkn unapoolewa kwanza tazama Unaolewa na mtu wa namna gani, viongozi wa dini wana heshma zao, huwezi kuachwa utembee kama mbuzi hasa wanawake wenyewe wa Sasa nyie, mkiachiwa dkk 2 tu mpo kwa masharobaro na lazma abiria achungemzigo wake, uhuru ukizid sana Mnakuwa hamna adabu nyinyi.
Wanawake huchagua sana wanaume . Ile siku watawacha tabia hii, wataolewa kwa wingi .
Mwanamke ndiye huchagua niaminini wadau .
Kwa sura hii yani nitakiwe kuolewa auwahuyalam anajuwa mungu
Nipo oman sitakiwi ndiyo nikaja kufanya kazi sura yangu kama kifuu akitokeya mwaname anitaka kuniowa akiwa mwislam sawa sihitaji muwaji tu na bangi na mlevi na mwizi simtaki na tabeli
Mimi nachanguliwa nina sura kama kifuu
Mimi nataka huyo kibonge
Mm nilichaguliwa mchumba nasikumpenda nandowa haikufika mbali tukaachana
Inamaanisha hukuvutiwa naye
Hata Kama nachaguliwa siwez kuolewa namwanaume ambae sio nnae mmpenda
Nazma Abdullkarim ndio maana dk kasema una haki ya kukataa, lkn unakuwa ww ndio ushachaguliwa.
Umiweza 👍
Kulinganisha kununua gari na kuchagua mpenzi ni haviendani Kabisa, acha ujinga, eti huyo ni mtaalamu wa mahusiano? Wanawake siku zote uchagua nani wa kuzaa naye au la! Hawa jamaa bado wapo kwenye miaka ya nyuma sana!!!
Dr Umefunuwa akili inabidi tupate kipindi chengine.
Mr Robert uko vizuri nashukuru MUNGU akulinde nafamily
Mimi napenda mwanaume mwenye dini, na upendo mengine yote majaaliwa,
Wanaume wenye dini naskia wakali balaa kisha mashart kama yote yani hata akikosea yeye wew huna haki ya kusema mi siwez
Swadakta
@@maryammaram2612 Mmh, mbn kama husemikweli
@@khatibuhijja459 kwelii na ushahidi ninaoo rafiki yangu kipenz kaolewa na shekhe kabisaaa wajua alikondaa shekhe ana choyoo mkalii hauji kubembeleza hana mahaba mtoto wa watu ndoa ilimshindaa
@@maryammaram2612 Sasa dadaangu hiyo ni kasoro ya mtu mmoja mmoja, usijumlishe viongozi wote wa dini, mm nnaushahidi sio mmoja wa kwanza ni wa mwlm wangu na imam alimuacha mkewe huru lkn mwisho wa siku yule mke akawa anatoka na jamaa pale K/koo yule sheikh akawa analalamika mwisho wa siku kaka wa mwanamke a kaanza kufatilia dadaake na kweli akamkuta na huyo jamaa, kwa ile aibu jamaa alimoiga dadaake mpk alimvunja mguu akaenda kuwekewa chuma mguuni, lkn yule sheikh wala hakumuacha mpk leo anae lkn ni mlemavu, nnao ushahid mwingi tu, lkn unapoolewa kwanza tazama Unaolewa na mtu wa namna gani, viongozi wa dini wana heshma zao, huwezi kuachwa utembee kama mbuzi hasa wanawake wenyewe wa Sasa nyie, mkiachiwa dkk 2 tu mpo kwa masharobaro na lazma abiria achungemzigo wake, uhuru ukizid sana Mnakuwa hamna adabu nyinyi.
Swebe anaongeaga nonsense....atolewe tu 🙄
Soph unasauti nzuri my dear MUNGU akutunze
Cichagui sura wala pesa upendo tu
MUNGU nipe mwenye upendo na hofu ya MUNGU
Wekeni no zenu sisi tuliopo omani tuna mengi ya kuongea na nyny
Niambie mimi
Mimi namtaka mwenye pesa kiukweli
We unazo?
Maneno sadakta ila na ss pia tunachaguwa
Swebe leo raha raha yako leo mada umeikubali leoo unaona rahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu Dr amefanana na kibonde
Nami nilitaka kusema hivo
Swebe Swebe mada imekufurahisha sanaa 😃😃😃
Atari
Kabisa dda
😂😂😂😂Sweb utazeekea kweny sebule y bb yk😂
Tupo ila wachache
Je ukotayari ??
Swebe leo anakihere here balaa