Mwanaume anachagua, mwanamke anachaguliwa | Ukihitaji hela ujue wewe ni bidhaa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 44

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 6 месяцев назад

    Wanawake huchagua sana wanaume . Ile siku watawacha tabia hii, wataolewa kwa wingi .

  • @abduljabbarmohammed4188
    @abduljabbarmohammed4188 6 месяцев назад

    Mwanamke ndiye huchagua niaminini wadau .

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Kwa sura hii yani nitakiwe kuolewa auwahuyalam anajuwa mungu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Nipo oman sitakiwi ndiyo nikaja kufanya kazi sura yangu kama kifuu akitokeya mwaname anitaka kuniowa akiwa mwislam sawa sihitaji muwaji tu na bangi na mlevi na mwizi simtaki na tabeli

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mimi nachanguliwa nina sura kama kifuu

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 2 года назад

    Mimi nataka huyo kibonge

  • @jamilasaid1764
    @jamilasaid1764 3 года назад +1

    Mm nilichaguliwa mchumba nasikumpenda nandowa haikufika mbali tukaachana

  • @nazmaabdullkarim8022
    @nazmaabdullkarim8022 4 года назад +4

    Hata Kama nachaguliwa siwez kuolewa namwanaume ambae sio nnae mmpenda

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 4 года назад

      Nazma Abdullkarim ndio maana dk kasema una haki ya kukataa, lkn unakuwa ww ndio ushachaguliwa.

    • @fatushabdi2786
      @fatushabdi2786 3 года назад

      Umiweza 👍

  • @thedeo472
    @thedeo472 4 года назад +2

    Kulinganisha kununua gari na kuchagua mpenzi ni haviendani Kabisa, acha ujinga, eti huyo ni mtaalamu wa mahusiano? Wanawake siku zote uchagua nani wa kuzaa naye au la! Hawa jamaa bado wapo kwenye miaka ya nyuma sana!!!

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija6672 4 года назад +1

    Dr Umefunuwa akili inabidi tupate kipindi chengine.

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад

    Mr Robert uko vizuri nashukuru MUNGU akulinde nafamily

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 4 года назад +4

    Mimi napenda mwanaume mwenye dini, na upendo mengine yote majaaliwa,

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 года назад +2

      Wanaume wenye dini naskia wakali balaa kisha mashart kama yote yani hata akikosea yeye wew huna haki ya kusema mi siwez

    • @asmaafamau8307
      @asmaafamau8307 4 года назад

      Swadakta

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 4 года назад

      @@maryammaram2612 Mmh, mbn kama husemikweli

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 4 года назад +2

      @@khatibuhijja459 kwelii na ushahidi ninaoo rafiki yangu kipenz kaolewa na shekhe kabisaaa wajua alikondaa shekhe ana choyoo mkalii hauji kubembeleza hana mahaba mtoto wa watu ndoa ilimshindaa

    • @khatibuhijja459
      @khatibuhijja459 4 года назад +1

      @@maryammaram2612 Sasa dadaangu hiyo ni kasoro ya mtu mmoja mmoja, usijumlishe viongozi wote wa dini, mm nnaushahidi sio mmoja wa kwanza ni wa mwlm wangu na imam alimuacha mkewe huru lkn mwisho wa siku yule mke akawa anatoka na jamaa pale K/koo yule sheikh akawa analalamika mwisho wa siku kaka wa mwanamke a kaanza kufatilia dadaake na kweli akamkuta na huyo jamaa, kwa ile aibu jamaa alimoiga dadaake mpk alimvunja mguu akaenda kuwekewa chuma mguuni, lkn yule sheikh wala hakumuacha mpk leo anae lkn ni mlemavu, nnao ushahid mwingi tu, lkn unapoolewa kwanza tazama Unaolewa na mtu wa namna gani, viongozi wa dini wana heshma zao, huwezi kuachwa utembee kama mbuzi hasa wanawake wenyewe wa Sasa nyie, mkiachiwa dkk 2 tu mpo kwa masharobaro na lazma abiria achungemzigo wake, uhuru ukizid sana Mnakuwa hamna adabu nyinyi.

  • @mariamscuisine8503
    @mariamscuisine8503 4 года назад +1

    Swebe anaongeaga nonsense....atolewe tu 🙄

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад

    Soph unasauti nzuri my dear MUNGU akutunze

  • @hejopantumsifusimon21
    @hejopantumsifusimon21 4 года назад +1

    Cichagui sura wala pesa upendo tu

  • @magrethsimtenda926
    @magrethsimtenda926 3 года назад

    MUNGU nipe mwenye upendo na hofu ya MUNGU

  • @fatimaabdulla1320
    @fatimaabdulla1320 3 года назад +1

    Wekeni no zenu sisi tuliopo omani tuna mengi ya kuongea na nyny

  • @kojahelly9165
    @kojahelly9165 4 года назад +1

    Mimi namtaka mwenye pesa kiukweli

  • @fauzafauza1873
    @fauzafauza1873 3 года назад

    Maneno sadakta ila na ss pia tunachaguwa

  • @dinatalib2703
    @dinatalib2703 4 года назад

    Swebe leo raha raha yako leo mada umeikubali leoo unaona rahaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 4 года назад +1

    Huyu Dr amefanana na kibonde

  • @hjhj6230
    @hjhj6230 4 года назад

    Swebe Swebe mada imekufurahisha sanaa 😃😃😃

  • @elizabethchales2663
    @elizabethchales2663 3 года назад

    Atari

  • @سالمهالرقادي
    @سالمهالرقادي 3 года назад

    Kabisa dda

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 года назад +2

    😂😂😂😂Sweb utazeekea kweny sebule y bb yk😂

  • @munirssalzakwani7316
    @munirssalzakwani7316 4 года назад

    Tupo ila wachache

  • @nazalenapatrick33
    @nazalenapatrick33 4 года назад

    Swebe leo anakihere here balaa