KUDANGANYWA NIMECHOKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025

Комментарии • 9

  • @febiomar808
    @febiomar808 11 лет назад +1

    shukran bin seif sisi tupo mbali na nchi yetu hufarijika kusikia nyimbo za zamani ila naomba msaada kitu kimoja ukiweka nyimbo weka na ina la muimbaji ili tumbuke vizuri pia tukituma tuletewe nyimbo iwe rahisi shukran

    • @cholloriyamiy8995
      @cholloriyamiy8995 5 лет назад

      Wazo Zuri sanaa ILa huyo muimbaji anaitwa Khamis Juma.
      Aliwahi kuimba nyimbo hizi:
      #Hatupendani kwa pesa wala tamaa ya kitu.
      #Yeye ni mchumba wangu..
      #

  • @SalimSalim-bb4gj
    @SalimSalim-bb4gj 7 лет назад +2

    daima tutawakumbuka mungu awe nanyi popote mulipo

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 5 лет назад

    Zanzibar music

  • @saidabdallah684
    @saidabdallah684 11 лет назад

    nzuri

  • @jamissa4497
    @jamissa4497 11 лет назад +1

    jamani wanaume nyinyi hamuna ahadi za kweli

  • @omarhariri5447
    @omarhariri5447 8 лет назад

    Zanzibar bado Tamu!!!zilipwendwa