IWAPI ILE AHADI - ZANZIBAR TAARAB

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 80

  • @nassirnassor8603
    @nassirnassor8603 4 года назад +10

    Enzi hizo nimerud chuon nimeshatandika mkeka nimeshaleta chakula Wali juu Kuna matandu tuna subiria baba kiredio kimefunikwa kitambaa

  • @ChumanaSusi
    @ChumanaSusi 5 дней назад

    Hii taarab ahhh wacha tu! inaingia hadi kwa mishipa ya damau yangu na kunilemeza kwa sauti na mpangilia mzuri ajabu. 🇰🇪

  • @marhabamarhaba459
    @marhabamarhaba459 8 лет назад +11

    Si kikubwa asilani kitu nnachotaka, pendo lako la moyoni wapi unalipeleka aaaaaaaaaahhhhhh

  • @azizaalwi8720
    @azizaalwi8720 5 лет назад +13

    I'm a kenyan but will forever cherish old zanzibar music

  • @AhmedMzee-j2e
    @AhmedMzee-j2e Год назад +1

    Mashallah nyimbo zilikuwa na ujumbe sio hizi za rusha roho

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 7 лет назад +11

    kuweka ahadi au kumaliza ahadi inataka muungwana ambaye anajua nini miadi, jamani si kila mtu ndo anajua hayo kwa sababu uungwana ni vitendo, lakini si sura nzuri wala rangi nzuri. we miss home zanzibar ishaallah tutafika tena.

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 5 лет назад +3

    Ninakumbuka saa nane nimetoka Skuli naenda chuoni kipindi chetu cha Taarabu za Znz WALLAHI ZNZ kwetu subhanallah penda
    Mimiiii

  • @SeluSelu-lc8rp
    @SeluSelu-lc8rp 2 года назад +1

    Napenda vya Kale had leo kwakwel vinadum

  • @mohammedsaidalsulaimani2460
    @mohammedsaidalsulaimani2460 10 лет назад +11

    The old Zanzibar Taarab songs were the best Taarab Songs ever.

  • @aliali-zu5jb
    @aliali-zu5jb 3 дня назад

    Hii ndio taarab ya yenye mahadhi ya Zanzibar
    Safi sana hii

  • @munneyjaneiro2664
    @munneyjaneiro2664 4 года назад +3

    2020....Hunipi mimi kwa nini?

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 4 года назад +2

    Naihurumia kizazi cha 2000s , sihaba tufaidi kidogo mashairi ya wazee wetu, Kiswahili kimepotea sana

    • @saidmajeba9791
      @saidmajeba9791 Год назад +1

      Kina hasara kabisa
      Na hakijui vitu vizuri,ni fujo tu na kelele

  • @sulaiman9113
    @sulaiman9113 11 лет назад +4

    Habibty wetu huyu Asha Simai Keshatangulia lakini atuekea mauwa na nyota moyoni hawa ndo waimbaji tarab ya kweli znz.Wapi leo znzi mekufaaaaaaaa na watazidi kuidandamiza.

    • @swahilikids271
      @swahilikids271 7 лет назад

      Suley J Nadia ruins

    • @shirazyameir2403
      @shirazyameir2403 5 лет назад

      wallah hatuna lakufanya ila ALLAH atatusaidia wazanzibar suley

    • @cholloriyamiy2249
      @cholloriyamiy2249 4 года назад

      Aliimba Asha simai..
      Ila hio unayosikiliza imerudiwa na Faudhia Abdallah with Nadhii ikhwaan Safaa

  • @greatiq8234
    @greatiq8234 4 года назад +8

    Ni Fauziyyah Abdallah huyo. Allah amrehem. Allah amsameh!

  • @RukiAlShatry-q2b
    @RukiAlShatry-q2b 29 дней назад

    Liya tu habibty usione haya hizo ndizo taarab

  • @directoresuleiman6935
    @directoresuleiman6935 4 года назад +2

    natamani ningekuwa wa kizazi hiko! music with flavour

  • @breakfr5549
    @breakfr5549 2 года назад +2

    HACHIMIA 🇰🇲 : IWAPI ILE AHADI WEWE ULIONIWEKA

  • @likedatshorty
    @likedatshorty 5 лет назад +5

    Iwapi ile ahadi wewe uliyo iweka? Umeitupa baidi hupendi kuikumbukaa

  • @zeinabbreik3585
    @zeinabbreik3585 3 года назад

    Ipo nyimbo inaitwa kiporo aliimba Hiba Ally naomba ututafutiye

  • @hajiashhur4406
    @hajiashhur4406 5 лет назад +3

    hizi ndizo nyimbo za kuburudisha, hazishi ladha

  • @zeinabbreik3585
    @zeinabbreik3585 3 года назад +2

    Hizi ndio nyimbo za taraab asilia zina raha hadi basi

  • @robertingramu
    @robertingramu 13 лет назад +3

    Hiyo basi ndiyo inaitwa taarab original(asili). Mtindo na sauti nyororo hiyo pamoja na uchapaji gita ama piano wa weza komoa mapenzi pale yalikuwa yamekwamilia. Mapenzi juu,taarab juu, kenya juu,Watu wapendane na ahadi zitimizwe.Wimbo nzuri sana.

  • @sakinaabd5898
    @sakinaabd5898 9 лет назад +3

    d ont mind ahadi ni ya muungwana kuna wanosura za kibinaadamu na ilhali ni wanyama kwa hivyo mungu yupo na sote niwaja wake lakini ina bidi wajue kuwa ahadi ni kitu muhimu wanakimbia mvua wanananguka kenye mamo

  • @snahlicious
    @snahlicious 4 года назад

    iwapi ile ahadi wewe uliyoiweka
    umeitupa baidi hutaki kuikumbuka
    au wafanya kusudi nipate kuadhirika
    kudanganywa mwenzio nnateseka
    pendo lako nalitaka nipate kufurahika

  • @maryamyussuf5674
    @maryamyussuf5674 6 лет назад +4

    umenigusa moyoni naupenda sn

  • @RioIpo
    @RioIpo 2 года назад

    Asante Asha Simai ujumbe muruaaa

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 5 лет назад +1

    I love zanzibar m'y lovely country

  • @mayamohd3323
    @mayamohd3323 8 лет назад +1

    Masha Allah, upumzike kwa amani

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 лет назад +2

    Sikikubwa ni pendo la moyoni safi

  • @inshrahnassor8773
    @inshrahnassor8773 2 года назад +2

    Pendo lako bado nalitaka nipate kufurahika

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад

    VERY FEW FELLOWS HAVE TRUE LOVES! BUT MOST! HAVE FAKE N LIES LOVES! BEC. OF MONEY N THINGS ONLY! CALL IT: MONEY LOVES! NOT REAL N TRUE! LOVES!😫😔

  • @ZubedaHamudu-bn3gc
    @ZubedaHamudu-bn3gc 4 месяца назад

    Hunipi mm kwa nn

  • @MaxSaidTrainer
    @MaxSaidTrainer 2 года назад

    Au wafanya kusudi

  • @salehmuhammad6728
    @salehmuhammad6728 6 лет назад +1

    mbona ndo zangu hizi tangu Pemba.

  • @rahimaally6471
    @rahimaally6471 6 лет назад +1

    Hizi ndio taarab za kusikiliza unasikia rahaa

  • @hussenmilao5791
    @hussenmilao5791 3 года назад +1

    Simply is the best, long last.

  • @amriyyahamad3946
    @amriyyahamad3946 8 месяцев назад

    Nice

  • @jumaali6441
    @jumaali6441 6 лет назад +1

    Sweet song

  • @khadijaramadhani288
    @khadijaramadhani288 4 года назад +1

    Itoe yako kauli

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад

    I LIKE THE SONG VERY MUCH, HAS GOOD MEANINGS OF TRUE LOVES OR FAKES LIES LOVES SO NEED THE ANSWERS!? OF IT!??FOR U! THE 2 LOVERS TO REPLY!👌YES! OR 😫 NOT!

  • @alisaeedndosi6365
    @alisaeedndosi6365 11 лет назад +1

    Imenikosha moyo nimesuuzika...

  • @amiabdallah2862
    @amiabdallah2862 7 лет назад +1

    love music

  • @a.856
    @a.856 5 лет назад +1

    Iwapi ile ahadi...🤔

  • @paulompelwa5866
    @paulompelwa5866 12 лет назад +2

    Dis 4 all who lov mwambao msic

  • @rahimasalim1064
    @rahimasalim1064 9 лет назад +1

    very nice song

  • @salmanyimbonaipendamohd7002
    @salmanyimbonaipendamohd7002 6 лет назад

    Home sweet home

  • @mashakhamiskh8880
    @mashakhamiskh8880 4 года назад

    nice song

  • @halimajuma6234
    @halimajuma6234 3 года назад

    ♥️♥️♥️♥️

  • @habibamaandiko942
    @habibamaandiko942 6 лет назад

    Nice song

  • @rugeiyasaid8933
    @rugeiyasaid8933 6 лет назад +2

    pendo nalitakaaa

  • @hbbtysaid1163
    @hbbtysaid1163 7 лет назад +1

    Hehee sisemii

  • @saleheshauri782
    @saleheshauri782 6 лет назад +1

    shola napenda

    • @omarari6113
      @omarari6113 5 лет назад

      Ahh Asha Simai.. Mungu akurehemu nakumbuka ulipokua ukipita.. Mfenesi mazizi ukiimba Nyimbo hii Njiani

  • @hassankasim8222
    @hassankasim8222 11 лет назад +2

    nice wallah

  • @ramadhanimshahara986
    @ramadhanimshahara986 5 лет назад +1

    penda sana

  • @juma643
    @juma643 12 лет назад

    nice

  • @saidmajeba9791
    @saidmajeba9791 Год назад

    Hivyo vyombo vikipigwa kwenye taarab asilia,moyo wabgu huhisi niko peponi
    Sijui ukiwa unaona live inakiaje
    Raha zilikuwa zamani

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад

    YES!? OR NO!? EXCEPT IT!? OR REFUSED IT!? N THAT'S IT!!! (😔)!!! (😄)!!! AND NO! MORE FURTHER DISCUSSIONS!! N THAT'S IT!!! THAT'S IT!!!!!!!!

  • @bas2823
    @bas2823 2 года назад

    YES!?? OR NOT!??