Wwwoooeww nyimbo hii hata kama una hasira ama umechoka u get relief ama wapata nguvu tena.What an arrangement lyrics and composition and singer Saida Jawad. Wwwwooooowwwwwww
Nakumbuka kipindi hiki Niko bwamgodo kijijini saa nane tushashiba mihogo ya nazi na samaki tumetandika majamvi chini ya mwembe tunakula upepo saa 8 sauti ya unguja inatuburudisha namna hii, Ama kweli mambo yapiti kale
What a mesmerising and tantalising lyrics by the Legend RIP KHADIJA BARAMIA AND MUSIC COMPOSER HIMSELF AND above all what a mesmerising and 1 of best singer female of Waswahili Saida Jawad. Wwwwwwooooooowwwwwwww
Nyimbo hii haifi na ni moja kati ya nyimbo za kiswahili bora na evergreen 1. Wwwooowwwwwww
Utunzi wake Marehemu kipenzi chetu Bi Khadija Baramia. Mungu akurehemu dada yetu kipenzi
I just love this song. It will never be outdated.
❤ Mashallah sauti inanikumbusha mbali asnte kwa ladha tamu
Unforgettable song.ufisadi original
The best of the best
Wwwoooeww nyimbo hii hata kama una hasira ama umechoka u get relief ama wapata nguvu tena.What an arrangement lyrics and composition and singer Saida Jawad. Wwwwooooowwwwwww
Wow
Saana mashaallha mm napenda sana. Jamani hizi nyimbo zanifariji sana katika moyo wangu
Dunia ina mafisadi tena wengi hasa wanaojigeuza rangi kila time heko mama mtanzania saddakta i love it
Nakumbuka kipindi hiki Niko bwamgodo kijijini saa nane tushashiba mihogo ya nazi na samaki tumetandika majamvi chini ya mwembe tunakula upepo saa 8 sauti ya unguja inatuburudisha namna hii, Ama kweli mambo yapiti kale
Tena hivyo ni vinyonga asubuhi wanakuonesha sura za binaadamu usiku ni majini subhannallah
Tena sana yani binadamu kazi sana katika makazi yetu mungu awalani naroho zao mbaya
Old is Gold Taarab Zanzibar
Never give up Zanzibar
I love my home Zanzibar
Asili haipotei
Maishaaa Allah Zanzibar juuuuuuu
The one of my best song. Na pia nimeipenda more for hii lyric waloweka.
im streming this masterpeace right now
What a mesmerising and tantalising lyrics by the Legend RIP KHADIJA BARAMIA AND MUSIC COMPOSER HIMSELF AND above all what a mesmerising and 1 of best singer female of Waswahili Saida Jawad. Wwwwwwooooooowwwwwwww
A
The song was originally sung by Madame Saida Abdullah and music by her husband Jawad, no Khadija
@@kindi4926lyricist was Khadija Baramia this song❤❤❤
Wwwaaaawww hizi zilikuwa taarab...
mazoweya yana taabu- nyumba uliozowea kuihama ina kazi kwa kweli wazanzibari ni mashabiki wa mashairi.
Aaah sana mashaallha ❤❤
Old is gold taarab Zanzibar
Viva Zanzibar,Asili Haipotei
@Abdulhamid Mmakunduchi
This song was originally SANG BY MRS JAWAD , SAIDAH ABDULLAH IN 60'S AND 70'S
Dunia ina fisadi walimwengu mtambue naipenda sana
IKIWA SHUBIRI NI TAMU ASALI NI LATHA GANI
Wale walonikamia nawaambia waz waz
Nyumba uloizoea kuihama inakaz
Naipenda nyimbo nyumba uloizoea
Zanzibar beautiful Island of Africa
Saana
wale walonikamiya nawambia waziwazi nyumba uloizowea kuihama ina kazi
Dunia ina fisadi🤗🤗
MyFvSong❤🎻🎹🎤
Aaaaa bi Saida huyooooo mungu akuweke bin Seif.
tutafitie wimbo kuvishwa Pete si kuolewa
Kama kuvunja rahisi wangojea kitu gani? ameshindwa ibilisi mkubwa wa mashetani na wewe hatukuhisi bandia uweze Nini..... Raha tupu
my word what a song. Saida Jawad wwwooowww
Hizi kazi wazanzibari lazima tuzitunze na kuzienzi maana haziishi ladha na ujumbe mzigolove Zanzibar
Old is gold
Hakika ni za kwetu
Nawaombeni jina la huyu msanii
Yaitwa Dunia inamafisadi
mashaallah Bi Saida
Nzuri safi sana
Heeee! Heee.. ...Ataishia kufukia HERIZI tu huyo lakini hawezi kupokonya Mwandani.
DAUD SALUM haha
Kama kuvunja rahisi wangojea kitu gani
Ameshindwa ibilisi mkubwa wa masheitwan
Hatukuhisi bandia wewe uweze nin
I love Zanzibar
na miziz hufukia, nahrz milngon
upte kunichukia, wakutie mikononi
allah atvnja dhamir@ zao hawasmami ng,00
Hizi ndizo nyimbo za kusikiliza
Umeona eeh hata kama una machungu kiyasi Gani katika moyo wako yatuliya tu
Nyimbo za siku hizi zinazidisha stress 😩
Nice song
Maneno swadakta
Nyumba uliizoea kuihama ina kazi
yaa thank you
😍
evergreen song of kiswahili
Kama shubiri ni tamu asali ni ladha gani usije kumeza sumu kwa kufaa kutamani utabaki marehemu alikuako fulani dada mtanzania maneno shwari
👍
abdullmazrui
wazanzibari wacheni uchoko,kazi uchoko tu,mara talabu na mbatata za ulojo
mbatata za urojo tamu sema kipi kilokuuuma
sio ulojo no urojo unatoka lalago au wazanzibari wafalme wako sema
hahaa
ahlan2wasahlan .ndio nini kajifunze kiswahili kwanza lugha hujui nyau wee
Unawaonea wivu tu' kwanza nenda shule kajifunze kiswahili usitupondee lugha yetu eti talabu na ulojo😀
sijui kiswahili cha wapi🤔
mh
maneno kuntuu
Kama wewee ni mzanzibar khalisii hivi vitu vikipigwaa lazima mwili ukusisimkeee