Malkia wa nyumbani- Maulid M.Machaprala

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Old is Gold Taarab Zanzibar..

Комментарии • 84

  • @labardan56
    @labardan56 4 года назад +5

    Just great, oh, when corona times are over... I'd like to visit Zanzibar!

  • @SalimSalim-bb4gj
    @SalimSalim-bb4gj 7 лет назад +8

    Nakumbuka zama zetu... mziki taratibu wa jioni huku ukinwa kahawa barazani

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 3 месяца назад

    aaaa iko wapi zanzibar yetu ukowapi utamaduni wetu ziko wapi silka zetu ziko wapi desturi zetu nalalia mazuri ya zanzibar tumeporwa mpaka utamaduni na umezikwa utambulisho wetu😊😊

  • @MrBorndrunk76
    @MrBorndrunk76 4 года назад

    Allah akupe darja ya juu, ulikuwa legend, ila tu sisi tulishindwa kutambua hilo jambo

  • @inversedelcruise676
    @inversedelcruise676 4 года назад +1

    Hii ndio Zanzibar ninayoijua mie wallahi, ila hii ya sasa ni siasa na ubadhilifu tuu

  • @SalimSalim-bb4gj
    @SalimSalim-bb4gj 7 лет назад +11

    Mungu akueke mahali pema peponi machaprala mungu amekupenda zaudi ndio ukatangulia mbele za haki. mungu akueke pema palipo na wema Amin.

  • @nassermaqbaly5231
    @nassermaqbaly5231 4 года назад +1

    Hatokei tena mwimbaji mzuri kama machapralla sasa hakuna tena tarab bali kuna matusi tu na upumbavu wa kibara.

  • @shamscookery5989
    @shamscookery5989 7 лет назад +13

    Natamani nirudi niwe mtoto Tena nikicheza nje ya studio zao stone town nikiskia tu sauti zao wakifanya mazoezi

    • @cholloriyamiy2249
      @cholloriyamiy2249 4 года назад

      Daaah Umenena kweli Broo..
      Hua sibanduki pale Club yao kokoni Malindi (stone town.)

  • @albusaidkhelef6655
    @albusaidkhelef6655 6 лет назад +2

    wakat huo Zanzibar ipo katoto kabisa ata ukienda hospital kupima kama ni ugonjwa ni ule ule mmoja lakin nenda leo ukapime utasema dokta anakuongopea maradhi lukuki.ZanZibar ya Machaprala wap tena

  • @Omarsi2000
    @Omarsi2000 3 года назад +7

    Malkia wa Nyumbani
    Lyrics: Kassim Mohamed
    Music: Ali Salim Basalama
    Singer: Maulidi Mohamed Machaprala
    Ewe Malikia wangu ... Ulotulia enzini.
    Kulikoni pendo langu ... Ili niwe furahani.
    Katika maisha yangu ... Tuishi kwenye amani.
    Umetua moyo wangu ... nikiwa nje na ndani.
    Tabia za kutukuka ... Kwa daraja namba wani.
    Mola alivyokupika ... Kama wanja na uyuni.
    Uzidi kutakasika ... Tia hina mwilini.
    Kila kukipambazuka ... Eva utini machoni.
    Mola alivyokuumba ... Natoa shukurani.
    Si mnene ni mwembamba ... Kimo chako wastani.
    Umepata hukuomba ... Sifa na yako ayuni.
    Ndipo nami nikitamba ... Kama siwewe ni nani.
    Cheo Chako Malkia ... Wewe ni yangu ramani.
    Himaya hunipatia ... Hapa hapa duniani.
    Dira nakutumia ... Nikiwamo safarini.
    Nikitaka kupotea ... Hunileta karikani
    Moyo hauna akili ... Mwengine haonekani.
    Natoa yangu kauli ... Kama siwewe ni nani

  • @MrBorndrunk76
    @MrBorndrunk76 6 лет назад +1

    Hizi ndio taarab sio leo fujo tu

  • @jumaothman2092
    @jumaothman2092 5 лет назад +3

    Samahani mwenye wimbo wa yeye ameniwafiki machaprala ameimba nauhitaji

  • @baalawy100
    @baalawy100 5 лет назад +2

    mola amrehemu Maulid Machaprala ,kipenzi cha watu wengi.Amewacha pengo kubwa katika ulimwengu wa taarab

  • @yussufbaga4726
    @yussufbaga4726 8 лет назад +18

    Mohd Machapulara King of Voice!
    Hii ndio Zanzibar ya kale kabla uvamizi na uharibifu wa maadili.

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 4 года назад

    Allaah amrehemu nguli huyu.

  • @saheelameir4313
    @saheelameir4313 5 лет назад +3

    Ya Allah turudishie zanzibar yetu ya maadili ya uislam

  • @binbadru1654
    @binbadru1654 3 года назад

    zanzibar ndio kwetu

  • @shekhansaid9543
    @shekhansaid9543 4 года назад

    Miaka kumi iliopita tuliahidiwa taarab asilia itarudi, lakini waapii masikini Zanzibar iwapi tena!! !!.

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 года назад

    Tizama hao wana wake humus walivyovaa utajua ni watu we nye he's him a zao,sio hawa Waterbeach uchi wa sasa,ndo maana Mungu analeta mabalaa tumefikia kumuasi

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 3 года назад +1

    Yaani hapa wakati huo ulikuwa hutamani hata ulaya maana Raha zote zilikuwa nyumbani zanzibarrrr

  • @mbarouk09
    @mbarouk09 3 года назад +2

    Ndio muimbaji wangu bora wa muda wote

  • @masoudapology9230
    @masoudapology9230 6 лет назад +2

    Nazipenda sam hizi nyimbo jamani hadi nackia kuumwa najivunia kuwa Mzaznzibar ktk viziwa vya marashi ya karafuu.

  • @monday1278
    @monday1278 5 лет назад

    Laiti kama masiku yangelikuwa yanarudi.. ila tarabu zamani tu..

  • @abdul-rahmanabdullah7626
    @abdul-rahmanabdullah7626 4 года назад

    taabarak Allah

  • @nassermaqbaly5231
    @nassermaqbaly5231 4 года назад +2

    Hakuna mtu hata mmoja ambaye alitaka kuondoka zanzibar wakati ilipokua zanzibar kweli tulikua tunaona tuko peponi kabla ya mauwaji ya kidhalim na kuifisidi nchi iliyokua inasifika dunia nzima kwa ustaarab na elimu wapi leo imebakia inanuka mavi kila kipembe na njaa na uchafu wa zina na ulevi kila corner na kaum luuti. ALLAH tunakuomba uturejeshee zanzibar yetu kama ilivokua Ameen.

  • @nuramoboy
    @nuramoboy 8 месяцев назад

    Allah amsamehe makosa yake na amlaze pema poponi Amin ( Aliwashinda wanaume na wanawake sauti yake haikutokea) Ya allah msamehe mja wako huyu na hata nyimbo zake zikisikilizwa usimuandikie madhambi . Amin

  • @mwajuma1734
    @mwajuma1734 7 лет назад

    nice wimbo machaprala

  • @chidashafi3438
    @chidashafi3438 4 года назад +1

    Rest in peace machaprala

  • @yussufnahoda4069
    @yussufnahoda4069 5 лет назад +2

    kwanini Alakeifak imekufa

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 9 месяцев назад

    Nikikumbuka sauti nzito,za kina Machapralla,Seif Salim Asha Simai( Um kulthoum wa znz) Mungu awarahamu

  • @johnkuma6867
    @johnkuma6867 10 месяцев назад

    Zanzibar mwapendeza. Nilikupenda sana wakati wa likizo yangu na familia yangu. Nihame nisihame Makueni kenya?

  • @nuramoboy
    @nuramoboy 8 месяцев назад

    8:22 Sheik Ali Allah amsameh nae makosa yake na amuweke pema peponi , Amin

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 8 лет назад +4

    mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi

  • @khelefomar3867
    @khelefomar3867 8 лет назад +3

    mungu akusamehe makosa yako machprala na akuingize peponi kuimba hakumzuwi mtu peponi

    • @hamadrajab8042
      @hamadrajab8042 7 лет назад +2

      eddy roger. ya salaam ya salaam inanikumbusha mbali machozi yananitoka Zanzibar yetu

    • @fanijumahajj9636
      @fanijumahajj9636 4 года назад

      unasemaa

  • @nassramalik5666
    @nassramalik5666 5 лет назад +2

    Mmh nakumbuka haile wakati huo tunasoma hapo mmh Zama zimepita

    • @yussufmussa3809
      @yussufmussa3809 5 лет назад

      Nassra Malik dah mm machoz yanantoka jman

    • @saheelameir4313
      @saheelameir4313 4 года назад

      Duh maneno yenu yanantia simazi sikosi kulia nkisikiliza hizi. Nalilia mda na utamaduni wetu ulivopotea

  • @tatumakadara5793
    @tatumakadara5793 9 месяцев назад

    Yuko wapi Aboubakar mzula ?

  • @seifhafidhsuleiman3643
    @seifhafidhsuleiman3643 5 месяцев назад

    Allah kauli thabit

  • @mangofish9079
    @mangofish9079 4 года назад

    Ehh bwana hapo mie niko nursery nikikumbuka jinsi skuli za chekechea xilivyokua kama za ulaya sitanii kila hitaji lilikuwepo leo hii wapi?

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 года назад

    Sasa hivi hakuna zanzibar kuna wezi na wahuni tu kuanzia raise mpaka raia

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 4 года назад

    Mungu akurahamuni mlio fariki ameen na mungu ajaalie irudi iwe znz ya zamani ya rabb ameen

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 лет назад +1

    Yaani apo nina miaka 2 tu 😅😅

  • @omarali1053
    @omarali1053 Год назад

    Namkumbuka wakati huo ni kuwa tanga makorora,

  • @ummimohammed1856
    @ummimohammed1856 7 лет назад

    khelef omar usiseme usokua na elimu nacho ...wewe muombee dua tu mengine muachie Allah.

  • @joewairimanson3380
    @joewairimanson3380 5 лет назад +1

    wow what a wonderful song

  • @najjatharoub197
    @najjatharoub197 2 года назад +1

    Mashallah sauti muruwa hapo nna miaka 6

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 года назад

    Hapo ndo nazaliwaadau

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 года назад

    D

  • @chidashafi4009
    @chidashafi4009 4 года назад

    Nasikitika now hayapo Tena

  • @zainabzainab2422
    @zainabzainab2422 3 года назад

    Shukran mzee machaprala

  • @suleimanimganga4212
    @suleimanimganga4212 3 года назад

    Yes hii ndio taarabu

  • @seifabdulwahid4579
    @seifabdulwahid4579 2 года назад

    Huo

  • @johnjalisco3385
    @johnjalisco3385 3 года назад

    Old is gold for sure.

  • @abubakarkhamis3884
    @abubakarkhamis3884 3 года назад

    MashaAllah nice taarab

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 3 года назад

    💖🔥🔥💖🔥🔥💖

  • @ahmeidyoung2410
    @ahmeidyoung2410 4 года назад

    Nice

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman2663 6 лет назад

    Huyu mc nazani anafanya kazi airport znz apo alikua kijana kweli au lkn sina uhakika

    • @iddiiddi5585
      @iddiiddi5585 6 лет назад +2

      Nakumbuka alikuwa Zanzibar Wharfage Corporation.

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 лет назад +2

      Jaman mm nampend cn machapral cjuw kwnn nimezaliw 92 naumia cn nikiskia nyimbo zk ila najuw km kz ya mung hain makosa

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 лет назад

      Kw wale ambao wanaziimba tn nyimbo za zamn wasiimbe tn maan hawazipatii wanaziharibu km kwl wanawez waimbe za kwao

    • @abduillmakei7238
      @abduillmakei7238 5 лет назад +1

      Inaniuma cn nikiskia nyimbo zk ktk dunia hii hakun mt ambae nampend km c prof machap ila najuw km mung kakupenda zaid ila naamini km tutaona t peponi bado cjakat tamaa pumzk gwiji

    • @jumamahmoud9411
      @jumamahmoud9411 5 лет назад +1

      Wakati huo Nina miaka 11 nakumbuka enzi hizo kipindi cha burdani SAA. 8 STZ

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 5 лет назад

    Muda wa kwenda chuoni umefika

    • @ghanimaali4507
      @ghanimaali4507 3 года назад

      hahahaaaa umenikumbusha mbali sna

    • @ghanimaali4507
      @ghanimaali4507 3 года назад

      ss ndio tukikaa shamba uko kaskazini kwetu upembani unaambiwa nataka ukidika juma bbinaali akupige makwaju maana saa8 na nusu iyo

    • @sadakhamis1261
      @sadakhamis1261 2 года назад

      Muda huu naukumbuka

    • @abuuthaurat1930
      @abuuthaurat1930 2 года назад

      Ah nyie acheni tuu . Mola awasemehe makosa yao pmj nasi