NAMUNIKOME

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 фев 2025

Комментарии • 22

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 Год назад +4

    Dah umenikumbusha mbali sana miaka ya 79 nikiwa msichana

  • @amrijuma8597
    @amrijuma8597 4 месяца назад

    Nam kumbuka sana babangu kwa nyimbo hii kongwe.

  • @singoeienterprises2127
    @singoeienterprises2127 Год назад +1

    Hapa nakumbuka mwaka wa 2000 pale SISI KWA SISI (Mwajabu) Mombasa. Mamangu Jacinta mola akulaze mahapema penye wema... Changamwe primary class of 2004

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 Год назад

    Dah naukumbuka wimbo nikiwa msichana una mashairi mazuri sana

  • @abdifatahabdillahi1006
    @abdifatahabdillahi1006 5 месяцев назад

    ❤😂 nawanyamaze kabisa

  • @halimalachpat1927
    @halimalachpat1927 Год назад +2

    Juma bhallo umeimba nyimbo zenye mafunzo

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 Год назад +1

    Kwili nyimbo za mafundisho

  • @nafisaabdallahmohamed
    @nafisaabdallahmohamed 5 месяцев назад +1

    Sawa to mmkoma😅

  • @JacobScouss
    @JacobScouss 8 месяцев назад

    🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲 Macha Alllah

  • @hamisally9255
    @hamisally9255 Год назад

    Hongera sana

  • @MamaSaida-si6bu
    @MamaSaida-si6bu Год назад +1

    Umenikumbusha mbali 😪😓

  • @adinanhashim3630
    @adinanhashim3630 Год назад

    Huu wimbo nimekumbuka miaka ya 86 kipind hicho nasoma darasa la 4 shule moja ipo Tanga maeneo ya pangani kipind hicho shida tupu kula mlo mmoja kwa siku daah hatar

  • @JumaAli-h6g
    @JumaAli-h6g Год назад

    Ina maonyo kwa wambea ni dhahir hawashughliki na yao

  • @lyntonalyna5898
    @lyntonalyna5898 4 месяца назад

    kumbukumbu za pwani nikiwa pale. wimbo ulio na mafunfisho.

  • @NanaAhmed-jc8hd
    @NanaAhmed-jc8hd Год назад

    umenikumbusha mbali

  • @salumbaa7378
    @salumbaa7378 Год назад

    time za asbh kule zanzibar unawaamshwa wende madrasa halafu radioni unamskia juma bhalo😂😂😂

  • @ahmoha706
    @ahmoha706 8 месяцев назад +1

    Mtu akitaka sema kwanza hutizama lake
    akazunguka na nyuma kutizama yalo kwake
    hainuki kusimama kutangaza ya wenzake........
    hapo chacha

  • @SaidiHango
    @SaidiHango 3 месяца назад

    Nondo za kale kiswahili faswaha

  • @FreddyHailu
    @FreddyHailu 8 месяцев назад

    Unanipeleka Tudor ,85'.

  • @zuhurakhalfan663
    @zuhurakhalfan663 Год назад

    Yani moyo umeukonga

  • @MamaSaida-si6bu
    @MamaSaida-si6bu Год назад

    UMETISHA

  • @Shafiihabau76
    @Shafiihabau76 9 месяцев назад