NATIKISA PENDO - BURUDANI ZA MASHAKA (1)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 мар 2018

Комментарии • 16

  • @aminisuleiman1837
    @aminisuleiman1837 6 лет назад +1

    Zenji yetu, kazi zetu na wasanii wetu zenj forever

  • @alirajab3882
    @alirajab3882 6 лет назад +1

    Hongera sana jitadi kutupa mambo mazur zaid

  • @AliHassan-xr3yb
    @AliHassan-xr3yb 6 лет назад +1

    Bin sef nakukubali Sana yaani ila samahani nikuombe kitu Mana sijui Kiko kwenye uwezo wako au vipi Mana nimezowea kukuona kwenye Mambo ya kwetu tu Zanzibar kuanzia tarab mpaka movie za kwetu Sasa Mimi bin sef naomba movie moja ya bongo inaitwa zawadi yangu ya jb part two nimemiss Sana hongera kwa kazi nzuri mungu akubarik from katar

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 3 года назад

    Nakubali kazi zako binseif kama itaeezeka tutafutie muvi ile ya marehemu halikuniki na sekembuke inaitwa *kizungu* naipenda lkn sin pakuipat na km utaipat nitafurahi san Asante

  • @khamisali6159
    @khamisali6159 4 года назад +1

    Unafundisha sana

  • @momadesuali6683
    @momadesuali6683 4 года назад +2

    Ah ipo wap zanzibar wapo wapi wasanii wetu imebak story

  • @nuuzuli5176
    @nuuzuli5176 6 лет назад +1

    Hahahaha wallah nampenda Mashaka na vituko vyake😂😂😂

  • @rahimaally9838
    @rahimaally9838 6 лет назад

    Hahaha napenda michezo ya mashaka ukiangalia unafurahi hasa

  • @haidarali6839
    @haidarali6839 6 лет назад

    👍🏼

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp8314 6 лет назад

    Zanzibar ni yetu

  • @ruqaiyyajumaruqaiyyajumaty7536
    @ruqaiyyajumaruqaiyyajumaty7536 6 лет назад

    😂😂😂😂Mashaka