Jinsi ya kupika supu ya ngo’mbe (Beef soup )

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • #Meat#potato#Ginger#Galic#carrot#capsicum#Black pepper

Комментарии • 472

  • @aloycemugendi9243
    @aloycemugendi9243 11 месяцев назад +2

    Hapa Nairobi tunaiita "tumbukiza"... But yako ni advanced yani imeenda shule. Good stuff😋😋😋

    • @Leilah-wx8nt
      @Leilah-wx8nt 23 дня назад

      I swear, this is such a Kenyan comment and it made me so happy.. 😂😂😂😂 Ari imeenda shule

  • @FloraNdibalema
    @FloraNdibalema 9 месяцев назад +3

    Waoooo nimeipenda sana iyo jaman

  • @DamianKwahhay-i9i
    @DamianKwahhay-i9i 2 месяца назад +1

    Hongera dada nimekupenda mapishi mazuri

  • @FionaMaturanya
    @FionaMaturanya 11 месяцев назад +21

    Nzuri kwa muonekano ila supu inatakiwa iwe simple and clear and not too much viungo inaonekama kama mchuzi wa nyama au mchemsho wa nyama lazima utofatishe mpenzi.

    • @janethsylvester1704
      @janethsylvester1704 3 месяца назад +1

      Wew nae ushazoea michuzi hujui hiyo ndo supu nzito 😅🔥🔥🔥

    • @benjaminshayo32
      @benjaminshayo32 2 месяца назад

      Hamna bhana.... Kama yeye anataka kulia chapati je...😂😂

    • @EpifaniaMasawe
      @EpifaniaMasawe 21 день назад

      ​@janethsylvester1704 😁😁😁mim na wekaga mpka njegere siku akili iki ruka naweka na bamia tatu, ngogwe mbili na maharage changa . Sasa sijui Mimi niwekwe wap 😂😂😂😂

    • @salomemwakapeje8996
      @salomemwakapeje8996 10 часов назад

      Hii itakua nzuri zaidi kuliko.​@@EpifaniaMasawe

  • @benjaminshayo32
    @benjaminshayo32 2 месяца назад

    Mama hongera kwa mafunzo, ila nunua mifuniko ya sufuria bhanaa😂, unapofundisha mapishi jitahidi kutumia vyombo vzr ili kuleta unadhifu na kuonyesha kuwa cio kwamba unajua kupika tu ila pia unalithamini jiko lako, chakula chako na uanamke wako pia..... Maana moja ya sifa ya mwanamke ni nyumba pamoja na kila kilichomo ndani ya nyumba yake.... Otherwise uko byee mama 😊

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Год назад +3

    😂😂😂😂😂mchemsho wa mzazi huo sio supu jamani unakula bandozi zetu tuu

  • @salomemwakapeje8996
    @salomemwakapeje8996 9 часов назад

    Supu inaandaliwa kwa nyama freshi isiyogandishwa, na kama imeganda hakikisha unailoweka inayuka mabarafu ioshe visuri kisha ipike, usipike na mabarafu.

  • @Boaz22
    @Boaz22 Год назад +8

    Ungepika na ugali ule na huo mchuzi, maana hamna supu ina maviungo mengi hivyo😢

    • @vitusugulumu9079
      @vitusugulumu9079 Год назад +1

      Ushazoea supu zako za mapupu, hii supu mzee

    • @hellenprosper4738
      @hellenprosper4738 Год назад

      @@vitusugulumu9079 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @GracieTyno
      @GracieTyno 11 месяцев назад

      @@vitusugulumu9079😂😂😂😂

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Год назад +3

    Katia viazi vitunguu nyanya sasa supu gani yani mitandio inamambo kamahujui acha kutupia mitandioni

  • @NellySovanike
    @NellySovanike 4 месяца назад

    Iko good nimependa

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 Год назад +8

    Hongera dada kwa kazi nzuri wanawake wengi kizazi hiki hawajui kupika mpo wachache xana

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 Год назад +3

    Hiliki kwenye nyama mmmh, eti kiliki kwenye supu mmh kuchelewa kufa kuona mengi🥴

    • @williammalwana7406
      @williammalwana7406 11 месяцев назад

      🤣🤣🤣

    • @Gunnar1208
      @Gunnar1208 20 дней назад

      Hujaonja ndio maana jaribu kuonja uwone kama utabanduka 😂 iyo supu ipo great

  • @WanyendaMbuli-mu3kt
    @WanyendaMbuli-mu3kt Год назад +1

    I like it hongera dada

  • @abubramah9024
    @abubramah9024 Год назад +6

    Kila nchi na mapishi yake hongera dada🥰

  • @sofrinasway1808
    @sofrinasway1808 Год назад +9

    Waooo! Nimeyapenda mapishi yako dear hongera sana

  • @KastuliJohn-p1p
    @KastuliJohn-p1p 11 месяцев назад

    Like my friend

  • @joysdelicacies
    @joysdelicacies Год назад

    Yakaa tamu sana... Will try it out

  • @Farida-t5q4v
    @Farida-t5q4v 10 дней назад

    Jmn mbn iko vzr tu

  • @wilkistermbaria9427
    @wilkistermbaria9427 Год назад +3

    Asante sana dada,bali comments,wueh!watu waache kucriticize upishi wa wengine.kila mtu na mapishi yake.

  • @zainabumartin9520
    @zainabumartin9520 Год назад +1

    Kwanza hajui kuchemsha anaweka tangawizi wakati hata kuchemka bado sasa yale mapovu yauchafu kayatoa saagapi hivi watu wanajua sisi hatujui kupia kama umetembea nchi zakiarabu kupika utajuaty nitafute nikufundishe

    • @Angelicia-n8b
      @Angelicia-n8b 6 месяцев назад +1

      Hivyo vya kiarabu kawapikie waarabu wenzako...watu mmejaa chuki si ungeanzisha channel yako ukaweka mapishi yako ..eti njoo nikufundishe kupika hatutaki hayo mauzauza yako ututokee hapa😂💔

  • @harrietkhamisi2357
    @harrietkhamisi2357 11 месяцев назад +1

    This is not a supu.this is stew

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 11 месяцев назад +1

    Nyau kitchen mean’s Paka jikoni au 😂sorry

  • @elizabethmwambu5704
    @elizabethmwambu5704 6 месяцев назад +1

    Itakuwa tamu sana

  • @joshwaooro7259
    @joshwaooro7259 4 месяца назад

    That is not a soup,it is sauce becoz of too much spices. Soup does not need spices.,water and salt only.Ngombe

  • @JoyceJoseph-i6c
    @JoyceJoseph-i6c 9 месяцев назад +1

    Duh hy so supu jaman viungo vyote hvy au nimim sijui supu kuwa ni chumv tu

  • @MaryMayala-hl8cm
    @MaryMayala-hl8cm Год назад +1

    Kwann umewek tangawizi ya unga naulianza na tangawiz ya kusaga

  • @jacksonpetermnebwe844
    @jacksonpetermnebwe844 Год назад

    Dar hatari sana nimependa saaana mapishi hayo yummyum

  • @BidalaMwinyi-c3s
    @BidalaMwinyi-c3s 6 месяцев назад

    Nimeipenda xna

  • @millyapopo4457
    @millyapopo4457 Год назад +1

    Hongera kwa supu tamu dada

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Год назад +6

    Weweweee hata Kama nyama imelala kwenye friza hakikisha umeitoa mapema imeyeyuka Kishan OSHA nyama moja baada ya nyingine eeeeee Yani unatoa Kisha waipika na dam, mibarafu duuuuu ,,,,, ni mtazamo wangu bibie wala usijali mpenzi❤❤❤

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 10 месяцев назад +1

      Uenda kabla hajaiweka kwenye frizer aliishaisafisha vizuri

  • @MwajumaAbdallah-u2w
    @MwajumaAbdallah-u2w 8 месяцев назад

    Nimeenda mpendwa asante kwamaelekezo

  • @godfreychristian7196
    @godfreychristian7196 Год назад +7

    Safi sana kazi nzuri nimeipenda

  • @elizabethchigua4675
    @elizabethchigua4675 10 месяцев назад

    Upo vizuri

  • @atubwenemwakipongo
    @atubwenemwakipongo Год назад +4

    Wow Asante maana nilikuwa sijui kupika supu jamni but Leo nimejifunza

  • @georgenyoni9879
    @georgenyoni9879 Год назад +2

    Kuna tofauti ya supu , stock stew, sauce😂😂😂😂😂hii sio supu

  • @mikemaina1626
    @mikemaina1626 Год назад

    Umetaja 'shombo' ningependa kujua shombo ni nini?..... Good cooking!

    • @NK-DF-ST-10-3
      @NK-DF-ST-10-3  Год назад

      Shombo ni harufi ya nyama mbichiii ko hutoweza isikia wakati wa kula

    • @mikemaina1626
      @mikemaina1626 Год назад

      @@NK-DF-ST-10-3 asante nashukuru

  • @THERESEOMOYI-bf6zn
    @THERESEOMOYI-bf6zn 9 месяцев назад

    Jambo
    Tafadhali kuna tumbegu
    Tweusi tunaitwa nini?
    Kiungo cha mwisho
    Nikama pilipiili hoho
    Ni nini

  • @kennedynthiwa5100
    @kennedynthiwa5100 Год назад +1

    Looks appetising. Well done

  • @mariamsaidi6147
    @mariamsaidi6147 11 месяцев назад

    Woooo nyam nyam

  • @khadijakiroboto1135
    @khadijakiroboto1135 Год назад +3

    Hadi iliki jaman🤔

  • @milkammakasa
    @milkammakasa 5 месяцев назад

    Kwani dada ulikua hunampango wakupika umestukizwa maana umeosha nyama za juu tu kwanza unaharaka Gani mpaka uchemshe nyama ambayo haija yeyuka so kiufupi haijaoshwa vizury

  • @Irensteven-zg1um
    @Irensteven-zg1um Год назад +1

    Raha ya supu iwe nyepes asa ww umejaza viungo over unapika pilau bhn

  • @carolinemungure6066
    @carolinemungure6066 11 месяцев назад +1

    Ungeweka ndizi ufanye mchemsho au ungefanya kuwa trupper 😊😊

  • @beatricesylvester9917
    @beatricesylvester9917 Год назад +1

    Hiyo supu ama mchemsho?

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 Год назад +1

    Supu na iliki haaa we dada kabila gani mana sielewi mchuzi supu keki🤔🤔🤔

  • @Gracenassary-zv4qc
    @Gracenassary-zv4qc 9 месяцев назад

    Supu nzuri sana dada

  • @FekiHappy
    @FekiHappy 5 месяцев назад

    Nimeielewa hii supu nzuri sanas

  • @hamidasalum7763
    @hamidasalum7763 2 месяца назад

    Sasa hyo ni supu, mchemsho au ni mboga mana hapo imekosekana nyanya tu kutimia mboga kamili....

  • @ahmedsuleimani-gc9tk
    @ahmedsuleimani-gc9tk Год назад +82

    watu wengi wanashindwa kutofautisha kati ya supu na mchemsho hiyo nimchemsho siyo supu ila nivigumu kuelewa

  • @Gunnar1208
    @Gunnar1208 20 дней назад

    Ni nzuri sana lakini naomba punguza tangawizi make utapika chai siku nyingine

  • @IsraMjema
    @IsraMjema 9 месяцев назад

    Pow san

  • @TheresiaKonga-r1w
    @TheresiaKonga-r1w 6 месяцев назад +1

    Safi sana maana wengine wanachemsha maji na chumvi alafu wanaita supu Asante Kwa nyongeza

  • @shaibchigwere4645
    @shaibchigwere4645 Год назад +1

    I miss Supu men...

  • @maruhesadi7825
    @maruhesadi7825 Год назад +2

    Asant san dada yangu Leo nitajaribu iyo nakupend san

  • @Yangaone-h8j
    @Yangaone-h8j 9 месяцев назад +1

    hapo unapika supu au unapika mboga

    • @JanethMadios
      @JanethMadios 4 месяца назад

      Yaani hii kweli mboga supu hadi kitunguu saumu😢

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 Год назад

    Safi lakini,viyonjo vimekuwa vingi sana imekuwa mboga sasa.

  • @catherineezekiel3292
    @catherineezekiel3292 Год назад +6

    Supu haitakiwi kuwa na viungo vingi km mchuzi wa ugali

  • @habibagarad9394
    @habibagarad9394 9 месяцев назад

    Good work but please don't touch the tap when ur hands have blood it will contaminate everything

  • @Monicalushola
    @Monicalushola 5 месяцев назад

    Ki2 Radha akikupatu nyama na maji yake utaila nakishi dear wala usijali

  • @SalmaSwai-k2x
    @SalmaSwai-k2x Месяц назад

    Unge funika nywele ingekuw pow zaid

  • @StellaShayo-js9pq
    @StellaShayo-js9pq 6 месяцев назад

    Ikipoa tu !na jinsi inaviaziii inakuw ni mtori wa viazi

  • @joanithageorge568
    @joanithageorge568 Год назад +3

    Viungo vingi jamani Kama mchuzi vile🤔🤔

    • @deboranadoo8434
      @deboranadoo8434 Год назад

      Dada nimejifunza kwa kweli asante, ila rekebisha matamshi yako, hiyo ni nyama ya ng'ombe siyo yako wala yetu, pia viungo, sio viungo vyako, wala supu yako.

  • @elmanichombe7198
    @elmanichombe7198 Год назад

    Safi nimeipenda hiyo supu

  • @idrissamola6087
    @idrissamola6087 Год назад

    Maashallah

  • @JanethMadios
    @JanethMadios 4 месяца назад

    Yaani supu umetia hadi iliki kweli 😢😢😢😢😢😢😢😢weeeee kiboko kupika hujui shoga sasa hiyo supu au mboga????? Supu haitaki mbwembwe dada umezididha ujuaji hapo

  • @sumaiyachilemba400
    @sumaiyachilemba400 Год назад +3

    Wasiojua mapishi utawajua tu 🤣🤣🤣🤣

  • @sosman9171
    @sosman9171 День назад

    Supu inafaa chuvi pekee yake

  • @THERESEOMOYI-bf6zn
    @THERESEOMOYI-bf6zn 9 месяцев назад

    Ni pili pili hoho ama cereli?

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo6172 8 месяцев назад

    Haki tusioujua kupika tunavurugwa mbna kama mboga

  • @PriscaMahenge-s8o
    @PriscaMahenge-s8o Год назад

    Nicee

  • @anthonykipkemoi8253
    @anthonykipkemoi8253 Год назад

    Supu tamuu sana dada

  • @oscarojuku3567
    @oscarojuku3567 Год назад

    Nimetamani sanaa unapatikana wapi?

  • @ernestmshanabakari1352
    @ernestmshanabakari1352 Год назад

    Nice nyau

  • @hadijasharifu1463
    @hadijasharifu1463 Год назад +8

    Hiyo supu au mchuzi?

  • @C7Simulizi
    @C7Simulizi Месяц назад

    Sili nyama ya mnyama aliye kufa au kuuliwa

  • @asiamsemo6172
    @asiamsemo6172 8 месяцев назад

    Tena inakorogwa duu

  • @AMINAMOHAMED-de7gb
    @AMINAMOHAMED-de7gb 8 месяцев назад +1

    Naskia njaa tayari.

  • @SalmaSwai-k2x
    @SalmaSwai-k2x Месяц назад

    Hapo bado ngogwe 4 na bamia 4 ni mchemsho tosha....hongera lakini umeweza

  • @mwakamakame542
    @mwakamakame542 10 месяцев назад +1

    Kitunguu maji kwenye supu inafanya uwe chuzi

    • @milkammakasa
      @milkammakasa 5 месяцев назад

      Nkajua Mimi tu. Ndio nimeona

  • @FurahaEliya-df5fo
    @FurahaEliya-df5fo Год назад +5

    Dada hiyo sio supu tena ni mboga ya kulia ugali.

  • @Userog254
    @Userog254 Год назад

    Kapika mboga co supu songs ugali tu ule ziache chapati usiharibu.
    Tangawizi umeweka mara 3 viungo kibao
    Umekataa rangi nyekundu tu ndio maana hukuweka nyanya

  • @marycosmas4043
    @marycosmas4043 Год назад +50

    Wapishi wengine bhana mnatumalizie MB zetu tu! ndio nn sasa kututilia hoho na viungo ving kwenye supu 😍

    • @far-hatharoub5511
      @far-hatharoub5511 Год назад +1

      Huo ni mchuzi sio supu 🤣🤣

    • @jean-daffairesmanirakiza4759
      @jean-daffairesmanirakiza4759 Год назад +4

      Watajikuta wanatengeneza uchawi wakidhani ni chakula.

    • @emmanuelzani2889
      @emmanuelzani2889 Год назад +7

      Aliyekuambia supu siyo viungo ni nani? Asante.

    • @marycosmas4043
      @marycosmas4043 Год назад +1

      @@emmanuelzani2889 Mmm Emma : siyo kuweka viungo vyote hivyo, viungo vikizid Sana hiyo siyo supu ni mboga ya k-katia viungu 😍

    • @marycosmas4043
      @marycosmas4043 Год назад

      @@jean-daffairesmanirakiza4759 😁😁😁😁 jamani 🤦

  • @muhsinkombo3736
    @muhsinkombo3736 Год назад +1

    Sijaona ukali ktk sup, au hauhitajiki

  • @StevenBhoke
    @StevenBhoke 7 месяцев назад

    Nakukumbusha ukiwa unapiga funga nywele na kitamba sawa mamii but umepika vzr cngltl

  • @vincentmanyili1207
    @vincentmanyili1207 Месяц назад

    Umetupiga ya kichwa

  • @HudhaimaRajun
    @HudhaimaRajun Год назад

    Nice

  • @SaudaAdamu
    @SaudaAdamu 4 месяца назад

    Nice ila huo ni mchemsho sio supu

  • @felicianachuwa3848
    @felicianachuwa3848 Месяц назад +1

    Nimependa sana

  • @BabuNL
    @BabuNL 5 месяцев назад

    Yummy

  • @souvenirweber7169
    @souvenirweber7169 Год назад

    Hiyo ni mchuzi wa ugali au wali.pia kutest chumvi mala 2 unalamba kiganja na mwiko kugusisha kiganja sio sawa

  • @arushalivetv4021
    @arushalivetv4021 Год назад +1

    neno "ntakwenda" umelitumia sanaa

  • @jacklinetobiasi
    @jacklinetobiasi 10 месяцев назад

    Sasa hiyo inatofaut gan na mboga

  • @prackedarwechungura7788
    @prackedarwechungura7788 Год назад

    Jamani wabongo mmegoma 🙌😂😂😂😂 jmn embu jaribuni kujifunza vitu vipyaaaa

  • @mmumambondo
    @mmumambondo 6 месяцев назад

    Ni biga naye ibna nikubvizuri una tu wezeshabku kuwa na uwezo wakubji oigiya 7:58 😅❤🎉

  • @FrorahMwatue-mo8tf
    @FrorahMwatue-mo8tf 10 месяцев назад

    Hujuwi kiswahili nyama yangu au nyama ya Ng'ombe?

  • @sobbyesmail5278
    @sobbyesmail5278 4 месяца назад

    Ma shaa Allah ungerahisisha mwanzo usafi wa nyama na kukatwa ndio uhifadhi kwenye friza ukitaka kupika unabadika na kutia viungo inayayuka ikiwa kwenye moto..supu nzuri sana.

  • @StellaShayo-js9pq
    @StellaShayo-js9pq 6 месяцев назад

    Hiyo mambo waachiee wachaga😂hiyi sio soup..ni mchemsha wa viazii

  • @SophiaAbdy
    @SophiaAbdy 4 месяца назад

    Hakuna mwendo hapa huo ni mchuzi tu kama michuzi mingine😂😂😂

  • @NasmaLule
    @NasmaLule Месяц назад

    Kwa kuonja tuu upo juuu😂

  • @nancembaga43
    @nancembaga43 Год назад

    Kabla sijafungua nilivyo ona tu kituu swaum na kituu maji nikajua mwendo tumeumaliza