ufafanuzi wa chapa ya 666 na habari za ayubu mzee wa upako
HTML-код
- Опубликовано: 26 май 2020
- Askofu Antony Lusekelo ni kiongozi wa kiroho mwenye ushawishi na maono. Yeye ndiye mwanzilishi na mchungaji mwandamizi wa kanisa la Tutashinda.
Watazamaji zaidi ya million 5 hutazama jumbe zake za kutia moyo kila wiki kupitia runinga ya channel ten na zaidi ya watu milioni 1.7 wanaungana na Mzee wa upako kupitia majukwaa yake ya mitandao ya kijamii ulimwenguni.
Mzee wa upako anaweza kusikika 24/7 kwenye channel zake za RUclips Mzee wa upako na TUTASHINDA CHURCH. Ungana na Askofu Antony Lusekelo kwenye Instagram Mzeewaupakotz.
Amina Aminaa MUNGU akutie Nguvu Pastor
Asate mchungaji mungu akulinde kweli najifuza mengikupitia wewe
Ubarikiwe mtumishi wa BWANA nyongeza ndogo halumage donia nikati wanaomtafuta BWANA kwa moyo wao wote nawasio mfata BWANA
Nakuelewa 🙏🏿
Yauwiiiiiiii Baba umekasirika Sana na hao wapinga christo. Waambie msaidie Rais wetu. 2020 hawataonekana kwenye mjengo.
Unayarudi kweli magoma. Mungu Skype uhai mrefu baba wa upako. Watashindana lkn hawatashinda. Amina.
Mungu akubaliki kwasomo zuli
Napenda sana mtumishi wa namna hii..unaongea Biblia na si mipasho kama watumishi wengine,mtu anasoma mstari mmoja kisha anaanza kupasha watu mala wanawake wakonkama bajaji,mala sijui nini..lakini hii ndiyo injili isonge mbele. Barikiwa mtumishi Lusekelo
Amina mtumishi
Amen
Nakupenda.una.mafundisho.mazuri.baba
Amina baba mch
Amina
Hakika MUNGU Ukasimame na baba mchungaji,hii kazi ni ngumu
Amen Mtu wa Mungu
Amina baba.
Amina.baba
Thanks
Nashukru mchungaji Wangu naitwa Emmanuel Niko musoma
John 😢
Ameen
Pamoja
Ameni
Injili ya toba
Naona mzee umerudi kwenye mstar
Nashangaa mtu anayetumikia nguvu za giza anajifanya anapambana nazo!
Ww umejuaje
We ulijuaje
Ameen
Amen
Amen
Ameni.....kubwa Sana