Lava Lava X Meja Kunta - Wamepagawa (Official Audio)
HTML-код
- Опубликовано: 8 июл 2020
- Wimbo Maalum Wa Kumpongeza Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mh. John Pombe Magufuli Na Chama Cha Mapinduzi (CCM)
For Bookings: Email:ricardomomo70@gmail.com
Follow Lava Lava On:
Instagram: iamlavalava...
Facebook: / iamlavalavapage
Twitter: iamlavalava?lang=en
#wasafi #lavalava #magufuli Видеоклипы
Nyimbo nzur lava lava watu wanakuchukulia poa sana Ila me nakusapot kinoma Kama unasapot like apa
Mikono juu Kam unamkbr lavalava Kish ugonge like twend sawa
Rayvanny naye kaachiye mbili , Hongera wasafi ya #Magufuli 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 na Congo🇨🇩 tunamukubali baba Magu
Kaacha 4
Tunamukubali mpaka🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿
Wazanzibar tujuane naomba like 🙏
Huhuhuhuhuhu
Ndogo ana sauti nzuri sana. Kazi nzuri sana.
Duh jamaa eeeh cja wahi pata ata likes 500 kama una mkubali lava lava achie like ili twende swa sote show love kwa Sanaa ❤❤💯💯
Mungu abariki Mangufuli, kama unamkubali pita na like🙏🙏
Nawatapagawa sana t mwaka huu maana maguful hana mpinzan💪💪💪
Natamani kampeni zikianza niwe tz sio kwa singeli hili 🔥🔥🔥😘😘
Pambania maisha yako achana na upepo wa tz faida yako nini kweny hizo kampeni
@@emanuelmwanga4 sawa kaka 😂😂😂🙏
Nyimbo nzuri sana hongeleni
Faiyaaa yake na isonge na likes hapa
Kazi zuri lavalave x meja kuntu
Lavalava umezubaa mnoo yani huko nyuma nyuma tuuu
Hapo good. Remix zinahanza kuwa moto. Keep it up🙂🙂🙂
Daah huu ni moto au mnasemaje!
Hii mgoma kali anaye hikubali anipatie like yake
Nyimbo kali sana kutoka kwa lava wamepagawa
Major wa moto sana 🔥
4rm +245 me natambua CCM f🔥I🔥r🔥e Me natambua magufuli🙌🏻🙌🏻🙌🏻🔛🔝☑️☑️
Aiseee ili dude noumaa aseeeeee
Hii itakimbiza sanaa nimeielewa sanaa
sijui kama wataelewa, mwaka huu wameliwa
Wamepagawaaa Kweli Kabisaaa
Kenyans natik register💯💯wamepagawa on fayaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kenya tumepagawa 😂😂..
Mwenye nayo naomba hii
Good Job...Wangapi pamojha Na CCM..
Kenya lakin Chama nakubali🔥🔥
Jaman natamn hizi sio kwa song hili✌💃
wasafi is the best in Tanzania
Kwakweli achawapagawe ss hatuna habariiiii
Eti waongoze kwioooo
Waoooo ngoma nzur sana 🔥🔥🔥♥️♥️
Nice music,,+254 🇰🇪 tuko ndani
Kwelii wamepagawaaaa
Nyimbo qal saanaaaaaaa!
Nice ❤️❤️❤️🔥🔥🔥
I from Australia
Kali
Meja kauuwaaaaa
This should be the official song for CCM
Nzuri nayenyewe mko fiti
Mr Love Bite Die Hard Fan Tujuane Hapa👇👇
Lava lava love from 254🇰🇪🇰🇿
Wamepagawa Sana... Like zake Mr Lavalava
Mmeua Sana yani
Nice song bro
From : USA 🇺🇸🇺🇸
Hii noma zaidiiiiiiiiii
Sasa Toa ngoma baba
Acheni mziki bas mkafanye siasa
Nakubali sana yani
Because of lavalava am the best upcoming artists
Amen keep it up
Good songs
Woyooooo ccm yakeee
team meja kunta tujuane hapa chini kwa like
Nipeni like zangu mimi wakwanza #wizooblack
MAGU on fire
Ipo vizuri
wapegawa so pwa so pwa haina kwele
Best song
wasa tena masuri
Wakwanza leo ..naombeni likes
Duuuuuuuuuh hivi vichwa sio mchezo!!
Awww!!!hongera lavalava ...tamu sana
Magu Magu oyeee
Oyoooooooo
Love sana lava lava &meja
Ninja umeua sana
Ngoma kali sana
Pure love from 🇰🇪🇰🇪
Wow nice song you guys get lit for real
Jamani navua shati
Lava lava waga haangushi watu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥👇👇
Makamanda tujuane kwa like hapa
Love from kenya 🇰🇪🇰🇪 kwa CCM
Jamai like zenu leo nimekua wa kwaza
like hapa kama unaamin wamepagawa
Nyinyi mahanisi kweli mwajipendekeza bure mikundu yenu
Mh ccm oyeeeeeeee
LavaLava.ccm
Ahaaa kama unaamini wapizani watapagawa guz like ❤,
Niko keny na nshaelewa...🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uyu anajipoteza sn yn anakaa kimya sn
@@nshonabdll9363 ahaaa aiseee
Weweeeeeee itakuwa hatarii na nusuu
Nikwer wataisoma mwaka huu
Nice Collaboration
Wasanii wa kibongo bhna kaz kufata mkumbo engekuwa chamatawala ni chadema wote mngehamia chadema
kaz nzur
Weuweee
Lava lava nakukubali sana we jamaa 🙌🙌
Kiboko🔥🔥🔥🔥
Tunao mkubali LAVA LAVA na MEJA KUNTA pia #LIKE hapo na neno moja kwa #COMMENT
Tunakubali
Nawakubali sana meja kunta na lavalava
@@OmanCom-ky8tn KIZAZI SANA
@@praxedasevelian3775 👊👊👊
Like. Kwa. Lav. Na. Mej. Kwa. CCM. 👍👍
Nomaaaa
Nakubali
Weuweeeeeee Htreeee👌
Good job bro
Oh wapinzani wamepagawa!
CCM oyeeeeeeeeeeeeee
Oyeee. LavalAva
#Lavalava #meja #magufuli like zenu hapA
First viewer from Kenya kama unamkubali lavalava aka Messi Wa bongo fleva Tia alama apa chini
Wamepagawa
Cjawai pata like jomoni naomba like kumi wadau
WCB mmeamuaaaaaaaaaaa
Mamae wenye muziki wamesaraaaa
Noma sana
Nice lava and beautiful music 😍👌❤️
Wayawayaaaaaa
Hakuna kampeni nitaacha kuhudhuria Mana so kwa magoma haya ya ccm waliyoimba wasafi weweeeeee
mwaka huu, kazi kweli kweli naona vijora vikitimua vumbi