John Komba wa CCM - Sasa Kumbekucha Jogoo limekwisha wika, yule pale nnamuona, apewe kura za ndio.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2020
  • Captain John Komba akiwa pamoja na wana TOT wakiimba "Sasa Kumekucha" pale Dodoma kumuombea Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kura za ndio.

Комментарии • 146

  • @reubenmwengela8015
    @reubenmwengela8015 5 месяцев назад +23

    Kwa wale wote tunaomkumbukaka baba yetu JPM weka like hapa Kwa ishara ya kumbukizi ya heshima kwake♥️♥️🙏🏿🙏🏿

  • @nyabisemaro8885
    @nyabisemaro8885 4 года назад +36

    Hiiii Nyimbo Niliipenda Sana kwenye Coras Jakaya kikwete Amechukua Ameweka waaaaaaaaah CCM Shangilia Ushindi Unakuja like twende Sambamba

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 Месяц назад +1

    Mimi ni Kada wa Chadema lakini nilikuwa namkubali sana komba na nyimbo nzake ingawa siipendi Ccm....R.I.P KOMBA HAKUNA WA KUZIBA PENGO LAKO

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 4 года назад +10

    Mwenyezi Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kapten John Komba

  • @anithaisraely5808
    @anithaisraely5808 3 года назад +9

    Wimbo mzuri Sana Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi tutakukumbuka daima

  • @thegreatsource2953
    @thegreatsource2953 4 года назад +30

    Captain Komba haupo nasi kimwili, ila tunazidi kuburudika na nyimbo zako nzuri zisizochuja. Mungu akupumzishe mahali pema peponi🙏

  • @mariakomba1646
    @mariakomba1646 3 года назад +7

    Komba kama komba. Wangoni tuna tone nzuri

  • @erickhaule5591
    @erickhaule5591 2 года назад +5

    Komba bana alikua fundi kupitilizaa kwakweli mungu akupe unachostahili ktk mchango wako kwa taifa hli tulikupenda sana homefather kutoka lituhi village kweli tumepoteza kitu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 3 года назад +9

    Rest in Peace, hakika nyimbo zako zinaishi hakuna nyimbo za kuamasisha km za Mr Komba 💔

  • @alliyseleman162
    @alliyseleman162 4 года назад +10

    Du hakika mwenyezi ampunguzie azabu ya kaburi komba kept

  • @blasidajulius2240
    @blasidajulius2240 4 года назад +8

    Naupenda sana huu wimbo woyoooo na kumekucha kweli ssa n John Magufuli tena kachukuwa kaweka waaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥

    • @arecmahwela5057
      @arecmahwela5057 4 года назад

      Huyo amechaguliwa na mungu kwaajili ya wanyonge mungu amubaliki sana makufuli

  • @imanrashid6450
    @imanrashid6450 3 года назад +16

    I shall never forget my forever president JPM 😥 , this song makes me cry 😭

  • @emmanuelkid85
    @emmanuelkid85 3 года назад +7

    Komba ni mmoja! Fundi wa muziki.

  • @salamaseifu6008
    @salamaseifu6008 Год назад +3

    Mungu akupunguzie azabu za kaburi akuwekee wepesi

  • @bahatimagwira5499
    @bahatimagwira5499 4 года назад +9

    Naupenda Sana huu wimbo

  • @prettynesspastory3111
    @prettynesspastory3111 4 года назад +8

    Sijui ni vipi nikisikia ngoma ya ccm yyt nasikia vinyweleo vinasisimka! Yani nasikia raha mwili mzima! Sio mwanasiasa Ila nazielewa pigo za ccm! Ngoma zimetulia najikuta nacheza mwenyewe chumbani kwangu!💓💓💓💓

    • @mariamgeofrey6390
      @mariamgeofrey6390 3 года назад

      Hahaaaaaaa yan ww km nm kbccc

    • @prettynesspastory3111
      @prettynesspastory3111 3 года назад

      @@mariamgeofrey6390 hahahajahahah acha tu ndg yangu

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 3 года назад

      Ikianza bit tu hata km nimekaa migu inahimiza kusimama🤣siyo kwa utamu huuuu jmn

    • @prettynesspastory3111
      @prettynesspastory3111 3 года назад

      @@shalomizrael667 😂😂😂😂raha jipe mwenyewe mwaya! Ila ngoma ni tamu hizi uongo mbaya

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 3 года назад

      @@prettynesspastory3111 utasema Mzee Komba alidondoshea tone la asali hazichoshi kabisaaa😋

  • @richardzakaria8669
    @richardzakaria8669 4 года назад +8

    Mungu amweke mahala pema peponi ndugu Capt, Komba

  • @florabenard5504
    @florabenard5504 2 года назад +2

    Jamani aliyerirhishwa kipaji cha baba ajeaendeleze au hakuna aliye bahatika kupata urithi Capten komba ameondoka na muziki wake tunaendelea kufurahia nyimbo zake but hakuna tena ladha hii jamani da! Rest in peace baba

  • @joshuakalinga5970
    @joshuakalinga5970 2 года назад +1

    Wewe kifo mbona watuliza sana j.knyerere,mkapa,jpm,capten comba, wote hawa umewameza wee kifo mshenzi huna adabu⚰️👈😭😭😭😭r.i.p viongozi we2😭😭😭😭😭😭😭

  • @farealapple7962
    @farealapple7962 3 года назад +5

    Nyimbo yangu bora ya mda wote wa chama cha mapinduzi CCM

  • @kim45734
    @kim45734 4 года назад +10

    Hii nyimbo n kali San, Captain Komba was talented ...

    • @skulfees5453
      @skulfees5453 Год назад

      Nimeirudia kama mara mia nane 😂😂 na mimi nimkenya inabamba mbaya

  • @tajaelmichael227
    @tajaelmichael227 4 года назад +4

    Dah utunzi wako bado Upo imara RIP cap John Komba

  • @kefamariba6622
    @kefamariba6622 3 года назад +1

    Taifa limepoteza hazina kubwa sana. Capten John komba was not only a ccm pilar but also tz as a country...

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +4

    ,,,,,,,his songs had great contribution to the victory of the ruling party CCM, but I don't think so far, if the party members have done enough to honour the great job done by this man during his life time! RIP

  • @yusuphndundu8836
    @yusuphndundu8836 4 года назад +12

    R.I.P.komba daima tutakkmbka.

  • @shadracksilayo9699
    @shadracksilayo9699 3 года назад +1

    dah ungemuimbia magufuli leo anaagwa dodoma rip komba magufuli self mkapa kijazi na nyerere

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +14

    Nimezimis hizi nyimbo

  • @PaverinaChitanda
    @PaverinaChitanda 3 месяца назад

    Nyimbo nzuri na bora

  • @jutomzelu3692
    @jutomzelu3692 Год назад +3

    Naamini Kikwete asikiapo nyimbo hizi lazima atokwe na machozi kidogo, kuna vitu vingi atakuwa anavikumbuka

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 3 года назад +4

    Izo ndo zilikua nyimbo ccm oyee hatuiachi ng,oo

  • @wardaYohana-fp8vb
    @wardaYohana-fp8vb Месяц назад

    2024 daaah nyimbo za Captain Komba zilifanya 2015 nipige kura kwa mara ya kwanza Ccm pumzika salama huko ulipo😢

  • @deodarius8513
    @deodarius8513 3 года назад +4

    Jamani naitafuta ile nyimbo ya "Watanzania CCM yawina"

  • @makungamapalala7982
    @makungamapalala7982 3 года назад +1

    Naipenda ccm sana chama langu la nguvu.

  • @lidyamensah174
    @lidyamensah174 Год назад

    Rip Captain Komba sauti yako ni balaa mno na hyo anayeimba na wewe pia mashaalaah Kwa kweli 💓

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Год назад +1

    Naipenda ccm adi basi nakumbuka nikicheza kwaya

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 года назад +2

    Oooh my God miaka inaenda sanaaaaa

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 4 года назад +6

    Saund good iyo

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 года назад +1

    Enzi yetu ya dodoma kumekucha tukiwa tunakula bata chako ni chako mungu amlaze mahali pema peponi

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Год назад +1

    Daima mbele nyuma mwiko 💯💞

  • @anonmgoo7960
    @anonmgoo7960 3 года назад +1

    Nitakukumbuka daima john komba

  • @rajabumwegango7645
    @rajabumwegango7645 4 года назад +10

    Aisee komba lilikuwa jembe sanaaaa mana sio kwa mapigo hayaa

  • @mwanaalybuda
    @mwanaalybuda 17 дней назад

    naipenda sana

  • @peteradams5494
    @peteradams5494 3 года назад +1

    Kali sana!May Jemedari rest well!

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 года назад +2

    NDUNGU John komba tumekukumba sana

  • @benardotieno3584
    @benardotieno3584 Год назад

    A nice one, seems like it was a common thing in African countries, can only compare it to Mobutu Seseko of tpok jazz

  • @user-bi1xt3nq5o
    @user-bi1xt3nq5o 8 месяцев назад +2

    2023❤❤❤ like here

  • @charlesmuhagama2358
    @charlesmuhagama2358 4 года назад +31

    Yulepale namuona jonipombe magufur ameket juuyakti chake akuna awezae kumshusha kamaunamkubar magufur achia ishara yeyote ileee

  • @lucympinda7979
    @lucympinda7979 3 года назад +2

    Huu wimbo unanikumbusha mbali sana nilikuwa Bado binti mdogo sana nikiwa grinigadi kata ya dungunyi ikiwa wilaya ya ikingi kwakampeni za kikwete

  • @mafwelemalima2548
    @mafwelemalima2548 4 года назад +2

    Tutakumiss mzee wetu komba, pumzika kwa aman

  • @mafwelemalima2548
    @mafwelemalima2548 3 года назад +3

    Mpen kura za ndio kada wa CCM MAGUFURI

  • @ayubumkojera7144
    @ayubumkojera7144 4 года назад +5

    yes ccm number one

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад +1

    Pumzika kwa amani baba etu komba.

  • @isihakangereza187
    @isihakangereza187 3 года назад +2

    Capt dah hajawahi kuimba song mbaya

  • @williamkirway4620
    @williamkirway4620 3 года назад

    Komba captain hawatakuiga,kipaji cha pekee barani Africa umefunika.utakumbukwa daima na Wana CCM na upumzike Kwa Amani/01/04/2021.kutoka Haydom-manyara.

  • @respiciuszephania6035
    @respiciuszephania6035 3 года назад +1

    Daaah!! nakumbuka mbali sana ,mwaka 2005 nilikuwa nae katika harakati za kampeni mkoani Kagera wilaya ya biharamlo

  • @rosekisogole4161
    @rosekisogole4161 3 года назад +2

    Mungu ajua umhim uliokua nao kwa chama letu duuu

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 3 года назад +14

    R.I.P John,we miss you

  • @emaliezachilemeji105
    @emaliezachilemeji105 4 года назад +2

    Lala salama komba

  • @yusuphidd6068
    @yusuphidd6068 3 года назад +4

    Rest easy Magufuli

  • @FreddyLemapoorme
    @FreddyLemapoorme 2 года назад +2

    wonderful

  • @jacobedward598
    @jacobedward598 3 года назад +1

    Apumzike kwa aman

  • @edwiniedwin3347
    @edwiniedwin3347 3 года назад +3

    Rest in peace wakunyumba

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 года назад +1

    JK amechukua ameweka waaaah

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 Год назад +1

    Caption Komba R.I.P ulikua mkongwe T.O.T

  • @Gideonnaire
    @Gideonnaire Год назад

    Tiktok imenifanya nije niutafute huu wimbo. RIP JPM, RIP KOMBA

  • @abdillahkamonga9477
    @abdillahkamonga9477 3 месяца назад

    Hatari saàna ukisikia hii jua kz ipo

  • @catherine-BK
    @catherine-BK 11 месяцев назад +2

    Rest easy Magufuli 💔😭😭😭

  • @shedrack01ilomo68
    @shedrack01ilomo68 Год назад +1

    Siwezi kumsahau raisi wangu magufuri yule ndo kada wangu pumzuka baba

  • @geoffreyeliezaelieza7390
    @geoffreyeliezaelieza7390 4 месяца назад

    Jamani magufuli wangu ndo mtu wa kwanza kumpa kura ya gu nammic sana magu 😢

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 24 дня назад

    Apewe kura za ndiyo

  • @othmanramadhani6962
    @othmanramadhani6962 4 месяца назад

    ,😂😂😂ukikisikia hiyo kura zitaenda kwanjia yoyote ani 😂😂😂ukisema haaa SUKUMA NDANI😂😂😂

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 Год назад

    Masanja umenifanya nije kuangalia hiii nyimbo daaah aiseee tunakumbuka mbali sanaaa

  • @user-zn7hj2uu2r
    @user-zn7hj2uu2r 4 месяца назад

    Nyimbo za ccm

  • @shalomizrael667
    @shalomizrael667 3 года назад +4

    Wacha walie chama cha mapinduzi kina wenyewe 💪🇹🇿

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 Год назад

    Kizota mahali amezaliwa mzee wangu Yohan Michael Mphanda mzee mwanzilishi wa kizota nzima ukienda ukiulizia kwa mzee Michael Mohanda unapelekwa mpaka miss hom

  • @theaidanny753
    @theaidanny753 2 года назад +4

    Once a CCM always a CCM❤️

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 24 дня назад

    Apewe kuna za ndiyo

  • @araphatnyagala3924
    @araphatnyagala3924 4 месяца назад

    Komba ulitishaa kipindi Cha uhai

  • @DayanaSuphian
    @DayanaSuphian 3 месяца назад

    Apo naukumbuka utawala wa mcheshi wetu jakaya unapotaka kuchukua nchi

  • @Shabanguga
    @Shabanguga 9 дней назад

    CCM mbele kwa mbele

  • @stephanokalisti9107
    @stephanokalisti9107 Год назад

    Saw bos

  • @DoctorEdwin-mr7zx
    @DoctorEdwin-mr7zx 23 дня назад

  • @nobertcyriacus4762
    @nobertcyriacus4762 Год назад

    Kipaji kikubwa..Komba tuko na were kupitia kipaji chako!

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 Месяц назад

    2024 nani anasikiliza😂

  • @malingazeboss9351
    @malingazeboss9351 3 года назад +1

    Ilimuradi nikada wa CCM hata Kama Hana akili nzuri apewe kura za ndiyo😁😁😁😁#pumba kweli hizi# nyooooooooooooo kaimbie mizimwi kaburini

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 4 месяца назад

    Hii nyimbo lazma jk kikwete huwa ina mliza

  • @sogoyikissoyi8400
    @sogoyikissoyi8400 9 месяцев назад

    Bado kitambo kidogo tu, Kada wetu wa CCM ndg Samia Suluhu Hassan tutamwimbia na tutampa kura za ndiyo kwa wakati mwingine

  • @boscokagali6240
    @boscokagali6240 3 года назад

    Pengo la huyu mwanaume John komba halitazibika

  • @momepeter9161
    @momepeter9161 3 года назад +1

    Wacha waseme Chama cha mapinduzi kina wenyewe 👻👻

  • @HamisMtumba-zs1wb
    @HamisMtumba-zs1wb Год назад

    😊😊sawa

  • @AllyIssya-cy9yg
    @AllyIssya-cy9yg 3 месяца назад

    nani atakae vaa viatu vya john komba mashaili yake ndani ya ccm?.

  • @ramadhanishabani8503
    @ramadhanishabani8503 4 года назад

    Furaha Dominic Jacob apewe kura za ndio

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 3 года назад +1

    2005

  • @felisternjovu7198
    @felisternjovu7198 3 года назад +2

    Unakumbukwa sana hasa kipindi hiki cha campaign. Nyimbo hizi ziliamsha kila mmoja

  • @ezbornrogath7352
    @ezbornrogath7352 Год назад

    Nimemkumbka jpm daaaaa pumzika kwa amani wazeee wetu

  • @awalishabani5082
    @awalishabani5082 4 года назад

    Ndio

  • @ramadhansalum3878
    @ramadhansalum3878 4 года назад +3

    Good song

  • @iddyomary213
    @iddyomary213 3 года назад

    Tuwekee la mgambo limelia dodoma

  • @elizabetsabuni9636
    @elizabetsabuni9636 4 года назад +3

    Dah R.i.p Mzee wetu

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 Год назад

    Wacha walie CCM ina sisi WENYEWE