John Komba wa CCM - Sasa Kumbekucha Jogoo limekwisha wika, yule pale nnamuona, apewe kura za ndio.
HTML-код
- Опубликовано: 14 июн 2020
- Captain John Komba akiwa pamoja na wana TOT wakiimba "Sasa Kumekucha" pale Dodoma kumuombea Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kura za ndio.
Kwa wale wote tunaomkumbukaka baba yetu JPM weka like hapa Kwa ishara ya kumbukizi ya heshima kwake♥️♥️🙏🏿🙏🏿
Ni
Hiiii Nyimbo Niliipenda Sana kwenye Coras Jakaya kikwete Amechukua Ameweka waaaaaaaaah CCM Shangilia Ushindi Unakuja like twende Sambamba
Mimi ni Kada wa Chadema lakini nilikuwa namkubali sana komba na nyimbo nzake ingawa siipendi Ccm....R.I.P KOMBA HAKUNA WA KUZIBA PENGO LAKO
Mwenyezi Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi kapten John Komba
Wimbo mzuri Sana Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi tutakukumbuka daima
Captain Komba haupo nasi kimwili, ila tunazidi kuburudika na nyimbo zako nzuri zisizochuja. Mungu akupumzishe mahali pema peponi🙏
😢😢😢
Komba kama komba. Wangoni tuna tone nzuri
Komba bana alikua fundi kupitilizaa kwakweli mungu akupe unachostahili ktk mchango wako kwa taifa hli tulikupenda sana homefather kutoka lituhi village kweli tumepoteza kitu
Rest in Peace, hakika nyimbo zako zinaishi hakuna nyimbo za kuamasisha km za Mr Komba 💔
Du hakika mwenyezi ampunguzie azabu ya kaburi komba kept
Naupenda sana huu wimbo woyoooo na kumekucha kweli ssa n John Magufuli tena kachukuwa kaweka waaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥
Huyo amechaguliwa na mungu kwaajili ya wanyonge mungu amubaliki sana makufuli
I shall never forget my forever president JPM 😥 , this song makes me cry 😭
Pole sana
Ok
@@erickhaule5591 000!0000!00+!00000000000000
Aseee😭😭😭😭
Komba ni mmoja! Fundi wa muziki.
Mungu akupunguzie azabu za kaburi akuwekee wepesi
Naupenda Sana huu wimbo
Sijui ni vipi nikisikia ngoma ya ccm yyt nasikia vinyweleo vinasisimka! Yani nasikia raha mwili mzima! Sio mwanasiasa Ila nazielewa pigo za ccm! Ngoma zimetulia najikuta nacheza mwenyewe chumbani kwangu!💓💓💓💓
Hahaaaaaaa yan ww km nm kbccc
@@mariamgeofrey6390 hahahajahahah acha tu ndg yangu
Ikianza bit tu hata km nimekaa migu inahimiza kusimama🤣siyo kwa utamu huuuu jmn
@@shalomizrael667 😂😂😂😂raha jipe mwenyewe mwaya! Ila ngoma ni tamu hizi uongo mbaya
@@prettynesspastory3111 utasema Mzee Komba alidondoshea tone la asali hazichoshi kabisaaa😋
Mungu amweke mahala pema peponi ndugu Capt, Komba
Jamani aliyerirhishwa kipaji cha baba ajeaendeleze au hakuna aliye bahatika kupata urithi Capten komba ameondoka na muziki wake tunaendelea kufurahia nyimbo zake but hakuna tena ladha hii jamani da! Rest in peace baba
Wewe kifo mbona watuliza sana j.knyerere,mkapa,jpm,capten comba, wote hawa umewameza wee kifo mshenzi huna adabu⚰️👈😭😭😭😭r.i.p viongozi we2😭😭😭😭😭😭😭
Nyimbo yangu bora ya mda wote wa chama cha mapinduzi CCM
Hii nyimbo n kali San, Captain Komba was talented ...
Nimeirudia kama mara mia nane 😂😂 na mimi nimkenya inabamba mbaya
Dah utunzi wako bado Upo imara RIP cap John Komba
Taifa limepoteza hazina kubwa sana. Capten John komba was not only a ccm pilar but also tz as a country...
,,,,,,,his songs had great contribution to the victory of the ruling party CCM, but I don't think so far, if the party members have done enough to honour the great job done by this man during his life time! RIP
R.I.P.komba daima tutakkmbka.
dah ungemuimbia magufuli leo anaagwa dodoma rip komba magufuli self mkapa kijazi na nyerere
Nimezimis hizi nyimbo
Nyimbo nzuri na bora
Naamini Kikwete asikiapo nyimbo hizi lazima atokwe na machozi kidogo, kuna vitu vingi atakuwa anavikumbuka
Izo ndo zilikua nyimbo ccm oyee hatuiachi ng,oo
2024 daaah nyimbo za Captain Komba zilifanya 2015 nipige kura kwa mara ya kwanza Ccm pumzika salama huko ulipo😢
Jamani naitafuta ile nyimbo ya "Watanzania CCM yawina"
Naipenda ccm sana chama langu la nguvu.
Rip Captain Komba sauti yako ni balaa mno na hyo anayeimba na wewe pia mashaalaah Kwa kweli 💓
Naipenda ccm adi basi nakumbuka nikicheza kwaya
Oooh my God miaka inaenda sanaaaaa
Saund good iyo
Enzi yetu ya dodoma kumekucha tukiwa tunakula bata chako ni chako mungu amlaze mahali pema peponi
Daima mbele nyuma mwiko 💯💞
Nitakukumbuka daima john komba
Aisee komba lilikuwa jembe sanaaaa mana sio kwa mapigo hayaa
naipenda sana
❤
Kali sana!May Jemedari rest well!
NDUNGU John komba tumekukumba sana
A nice one, seems like it was a common thing in African countries, can only compare it to Mobutu Seseko of tpok jazz
2023❤❤❤ like here
Yulepale namuona jonipombe magufur ameket juuyakti chake akuna awezae kumshusha kamaunamkubar magufur achia ishara yeyote ileee
Mmmh, kuwa na akiba ya maneno
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
😊😊😊
Huu wimbo unanikumbusha mbali sana nilikuwa Bado binti mdogo sana nikiwa grinigadi kata ya dungunyi ikiwa wilaya ya ikingi kwakampeni za kikwete
Tutakumiss mzee wetu komba, pumzika kwa aman
Akuna tena ccm wanaimba akina nandi
Mpen kura za ndio kada wa CCM MAGUFURI
yes ccm number one
Komba number one,not ccm
Pumzika kwa amani baba etu komba.
Capt dah hajawahi kuimba song mbaya
Komba captain hawatakuiga,kipaji cha pekee barani Africa umefunika.utakumbukwa daima na Wana CCM na upumzike Kwa Amani/01/04/2021.kutoka Haydom-manyara.
Daaah!! nakumbuka mbali sana ,mwaka 2005 nilikuwa nae katika harakati za kampeni mkoani Kagera wilaya ya biharamlo
Jamaa alikiwa vizuri
Mungu ajua umhim uliokua nao kwa chama letu duuu
R.I.P John,we miss you
Lala salama komba
Rest easy Magufuli
wonderful
Apumzike kwa aman
Rest in peace wakunyumba
JK amechukua ameweka waaaah
Caption Komba R.I.P ulikua mkongwe T.O.T
Tiktok imenifanya nije niutafute huu wimbo. RIP JPM, RIP KOMBA
Hatari saàna ukisikia hii jua kz ipo
Rest easy Magufuli 💔😭😭😭
Pain😢
Siwezi kumsahau raisi wangu magufuri yule ndo kada wangu pumzuka baba
Jamani magufuli wangu ndo mtu wa kwanza kumpa kura ya gu nammic sana magu 😢
Apewe kura za ndiyo
,😂😂😂ukikisikia hiyo kura zitaenda kwanjia yoyote ani 😂😂😂ukisema haaa SUKUMA NDANI😂😂😂
Masanja umenifanya nije kuangalia hiii nyimbo daaah aiseee tunakumbuka mbali sanaaa
Nyimbo za ccm
Wacha walie chama cha mapinduzi kina wenyewe 💪🇹🇿
Ccm Sasa.ivi imechuja
@@kobelochamanga9757 tukutane October
Noma sana mzee Alikuwa Ana jua
Kizota mahali amezaliwa mzee wangu Yohan Michael Mphanda mzee mwanzilishi wa kizota nzima ukienda ukiulizia kwa mzee Michael Mohanda unapelekwa mpaka miss hom
Once a CCM always a CCM❤️
Apewe kuna za ndiyo
Komba ulitishaa kipindi Cha uhai
Apo naukumbuka utawala wa mcheshi wetu jakaya unapotaka kuchukua nchi
CCM mbele kwa mbele
Saw bos
❤
Kipaji kikubwa..Komba tuko na were kupitia kipaji chako!
2024 nani anasikiliza😂
Ilimuradi nikada wa CCM hata Kama Hana akili nzuri apewe kura za ndiyo😁😁😁😁#pumba kweli hizi# nyooooooooooooo kaimbie mizimwi kaburini
lazima apewe
Hii nyimbo lazma jk kikwete huwa ina mliza
Bado kitambo kidogo tu, Kada wetu wa CCM ndg Samia Suluhu Hassan tutamwimbia na tutampa kura za ndiyo kwa wakati mwingine
Pengo la huyu mwanaume John komba halitazibika
Wacha waseme Chama cha mapinduzi kina wenyewe 👻👻
😊😊sawa
nani atakae vaa viatu vya john komba mashaili yake ndani ya ccm?.
Furaha Dominic Jacob apewe kura za ndio
2005
Unakumbukwa sana hasa kipindi hiki cha campaign. Nyimbo hizi ziliamsha kila mmoja
Nimemkumbka jpm daaaaa pumzika kwa amani wazeee wetu
Ndio
Good song
Duuu nasitika sana komba
Tuwekee la mgambo limelia dodoma
Dah R.i.p Mzee wetu
R i p komba
Wacha walie CCM ina sisi WENYEWE