- Видео 2
- Просмотров 443 756
Msafiri Ismail
Танзания
Добавлен 26 янв 2010
John Komba wa CCM - Sasa Kumbekucha Jogoo limekwisha wika, yule pale nnamuona, apewe kura za ndio.
Captain John Komba akiwa pamoja na wana TOT wakiimba "Sasa Kumekucha" pale Dodoma kumuombea Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kura za ndio.
Просмотров: 443 347
Nakumbuka nikiwa chuo pale mlimani ,nikaacha kupiga mitihani,nikakimbilia gari ya kampeni la Chama du maisha yanaenda Kasi kweli
CCM oyeeeeeeeeeeeee 2025 tunachukua kama kawaida yetu
CCM mbele kwa mbele
naipenda sana ❤
❤
Apewe kura za ndiyo
Apewe kuna za ndiyo
2024 daaah nyimbo za Captain Komba zilifanya 2015 nipige kura kwa mara ya kwanza Ccm pumzika salama huko ulipo😢
Mimi ni Kada wa Chadema lakini nilikuwa namkubali sana komba na nyimbo nzake ingawa siipendi Ccm....R.I.P KOMBA HAKUNA WA KUZIBA PENGO LAKO
❤😂🎉😢😮😮😅
2024 nani anasikiliza😂
nani atakae vaa viatu vya john komba mashaili yake ndani ya ccm?.
Nyimbo nzuri na bora
Apo naukumbuka utawala wa mcheshi wetu jakaya unapotaka kuchukua nchi
Hatari saàna ukisikia hii jua kz ipo
Hii nyimbo lazma jk kikwete huwa ina mliza
Komba ulitishaa kipindi Cha uhai
Jamani magufuli wangu ndo mtu wa kwanza kumpa kura ya gu nammic sana magu 😢
,😂😂😂ukikisikia hiyo kura zitaenda kwanjia yoyote ani 😂😂😂ukisema haaa SUKUMA NDANI😂😂😂
Nyimbo za ccm
Kwa wale wote tunaomkumbukaka baba yetu JPM weka like hapa Kwa ishara ya kumbukizi ya heshima kwake♥️♥️🙏🏿🙏🏿
Ni
2023❤❤❤ like here
Bado kitambo kidogo tu, Kada wetu wa CCM ndg Samia Suluhu Hassan tutamwimbia na tutampa kura za ndiyo kwa wakati mwingine
Rest easy Magufuli 💔😭😭😭
Pain😢
😊😊sawa
Siwezi kumsahau raisi wangu magufuri yule ndo kada wangu pumzuka baba
Wacha walie CCM ina sisi WENYEWE
Masanja umenifanya nije kuangalia hiii nyimbo daaah aiseee tunakumbuka mbali sanaaa
Tiktok imenifanya nije niutafute huu wimbo. RIP JPM, RIP KOMBA
Naamini Kikwete asikiapo nyimbo hizi lazima atokwe na machozi kidogo, kuna vitu vingi atakuwa anavikumbuka
Rip Captain Komba sauti yako ni balaa mno na hyo anayeimba na wewe pia mashaalaah Kwa kweli 💓
Mungu akupunguzie azabu za kaburi akuwekee wepesi
A nice one, seems like it was a common thing in African countries, can only compare it to Mobutu Seseko of tpok jazz
Nimemkumbka jpm daaaaa pumzika kwa amani wazeee wetu
Daima mbele nyuma mwiko 💯💞
Saw bos
Kipaji kikubwa..Komba tuko na were kupitia kipaji chako!
Pumzika kwa amani baba etu komba.
Kizota mahali amezaliwa mzee wangu Yohan Michael Mphanda mzee mwanzilishi wa kizota nzima ukienda ukiulizia kwa mzee Michael Mohanda unapelekwa mpaka miss hom
Naipenda ccm adi basi nakumbuka nikicheza kwaya
Caption Komba R.I.P ulikua mkongwe T.O.T
Ccm yawina
Jamani aliyerirhishwa kipaji cha baba ajeaendeleze au hakuna aliye bahatika kupata urithi Capten komba ameondoka na muziki wake tunaendelea kufurahia nyimbo zake but hakuna tena ladha hii jamani da! Rest in peace baba
Wacha waseme chama cha mapinduzi kina wenyewe
Oooh my God miaka inaenda sanaaaaa
Once a CCM always a CCM❤️
JK amechukua ameweka waaaah
wonderful
Wewe kifo mbona watuliza sana j.knyerere,mkapa,jpm,capten comba, wote hawa umewameza wee kifo mshenzi huna adabu⚰️👈😭😭😭😭r.i.p viongozi we2😭😭😭😭😭😭😭
taendelea kueshimi mawazo yako rais wangu magufuri