Msafiri Ismail
Msafiri Ismail
  • Видео 2
  • Просмотров 443 756
John Komba wa CCM - Sasa Kumbekucha Jogoo limekwisha wika, yule pale nnamuona, apewe kura za ndio.
Captain John Komba akiwa pamoja na wana TOT wakiimba "Sasa Kumekucha" pale Dodoma kumuombea Mh. Jakaya Mrisho Kikwete kura za ndio.
Просмотров: 443 347

Видео

MASTER OF CONFERENCE INTERPRETING
Просмотров 84712 лет назад
MASTER OF CONFERENCE INTERPRETING

Комментарии

  • @Luganoamos-jv5in
    @Luganoamos-jv5in 6 дней назад

    Nakumbuka nikiwa chuo pale mlimani ,nikaacha kupiga mitihani,nikakimbilia gari ya kampeni la Chama du maisha yanaenda Kasi kweli

  • @VeredianaKalembi-gs4vs
    @VeredianaKalembi-gs4vs Месяц назад

    CCM oyeeeeeeeeeeeee 2025 tunachukua kama kawaida yetu

  • @Shabanguga
    @Shabanguga Месяц назад

    CCM mbele kwa mbele

  • @mwanaalybuda
    @mwanaalybuda 2 месяца назад

    naipenda sana ❤

  • @DoctorEdwin-mr7zx
    @DoctorEdwin-mr7zx 2 месяца назад

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 2 месяца назад

    Apewe kura za ndiyo

  • @julianabudigila6023
    @julianabudigila6023 2 месяца назад

    Apewe kuna za ndiyo

  • @wardaYohana-fp8vb
    @wardaYohana-fp8vb 2 месяца назад

    2024 daaah nyimbo za Captain Komba zilifanya 2015 nipige kura kwa mara ya kwanza Ccm pumzika salama huko ulipo😢

  • @azizizabron7792
    @azizizabron7792 2 месяца назад

    Mimi ni Kada wa Chadema lakini nilikuwa namkubali sana komba na nyimbo nzake ingawa siipendi Ccm....R.I.P KOMBA HAKUNA WA KUZIBA PENGO LAKO

  • @user-jc7nh8um1j
    @user-jc7nh8um1j 2 месяца назад

    ❤😂🎉😢😮😮😅

  • @jonahmathayo5156
    @jonahmathayo5156 2 месяца назад

    2024 nani anasikiliza😂

  • @AllyIssya-cy9yg
    @AllyIssya-cy9yg 4 месяца назад

    nani atakae vaa viatu vya john komba mashaili yake ndani ya ccm?.

  • @PaverinaChitanda
    @PaverinaChitanda 4 месяца назад

    Nyimbo nzuri na bora

  • @DayanaSuphian
    @DayanaSuphian 4 месяца назад

    Apo naukumbuka utawala wa mcheshi wetu jakaya unapotaka kuchukua nchi

  • @abdillahkamonga9477
    @abdillahkamonga9477 5 месяцев назад

    Hatari saàna ukisikia hii jua kz ipo

  • @gigoyrn4394
    @gigoyrn4394 5 месяцев назад

    Hii nyimbo lazma jk kikwete huwa ina mliza

  • @araphatnyagala3924
    @araphatnyagala3924 5 месяцев назад

    Komba ulitishaa kipindi Cha uhai

  • @geoffreyeliezaelieza7390
    @geoffreyeliezaelieza7390 6 месяцев назад

    Jamani magufuli wangu ndo mtu wa kwanza kumpa kura ya gu nammic sana magu 😢

  • @othmanramadhani6962
    @othmanramadhani6962 6 месяцев назад

    ,😂😂😂ukikisikia hiyo kura zitaenda kwanjia yoyote ani 😂😂😂ukisema haaa SUKUMA NDANI😂😂😂

  • @user-zn7hj2uu2r
    @user-zn7hj2uu2r 6 месяцев назад

    Nyimbo za ccm

  • @reubenmwengela8015
    @reubenmwengela8015 6 месяцев назад

    Kwa wale wote tunaomkumbukaka baba yetu JPM weka like hapa Kwa ishara ya kumbukizi ya heshima kwake♥️♥️🙏🏿🙏🏿

  • @user-bi1xt3nq5o
    @user-bi1xt3nq5o 9 месяцев назад

    2023❤❤❤ like here

  • @sogoyikissoyi8400
    @sogoyikissoyi8400 10 месяцев назад

    Bado kitambo kidogo tu, Kada wetu wa CCM ndg Samia Suluhu Hassan tutamwimbia na tutampa kura za ndiyo kwa wakati mwingine

  • @catherine-BK
    @catherine-BK Год назад

    Rest easy Magufuli 💔😭😭😭

  • @HamisMtumba-zs1wb
    @HamisMtumba-zs1wb Год назад

    😊😊sawa

  • @shedrack01ilomo68
    @shedrack01ilomo68 Год назад

    Siwezi kumsahau raisi wangu magufuri yule ndo kada wangu pumzuka baba

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 Год назад

    Wacha walie CCM ina sisi WENYEWE

  • @innocentgeorge1117
    @innocentgeorge1117 Год назад

    Masanja umenifanya nije kuangalia hiii nyimbo daaah aiseee tunakumbuka mbali sanaaa

  • @Gideonnaire
    @Gideonnaire Год назад

    Tiktok imenifanya nije niutafute huu wimbo. RIP JPM, RIP KOMBA

  • @jutomzelu3692
    @jutomzelu3692 Год назад

    Naamini Kikwete asikiapo nyimbo hizi lazima atokwe na machozi kidogo, kuna vitu vingi atakuwa anavikumbuka

  • @lidyamensah174
    @lidyamensah174 Год назад

    Rip Captain Komba sauti yako ni balaa mno na hyo anayeimba na wewe pia mashaalaah Kwa kweli 💓

  • @salamaseifu6008
    @salamaseifu6008 Год назад

    Mungu akupunguzie azabu za kaburi akuwekee wepesi

  • @benardotieno3584
    @benardotieno3584 Год назад

    A nice one, seems like it was a common thing in African countries, can only compare it to Mobutu Seseko of tpok jazz

  • @ezbornrogath7352
    @ezbornrogath7352 Год назад

    Nimemkumbka jpm daaaaa pumzika kwa amani wazeee wetu

  • @allyshafi4391
    @allyshafi4391 Год назад

    Daima mbele nyuma mwiko 💯💞

  • @stephanokalisti9107
    @stephanokalisti9107 Год назад

    Saw bos

  • @nobertcyriacus4762
    @nobertcyriacus4762 Год назад

    Kipaji kikubwa..Komba tuko na were kupitia kipaji chako!

  • @mamalamama7010
    @mamalamama7010 Год назад

    Pumzika kwa amani baba etu komba.

  • @amosmichael8986
    @amosmichael8986 Год назад

    Kizota mahali amezaliwa mzee wangu Yohan Michael Mphanda mzee mwanzilishi wa kizota nzima ukienda ukiulizia kwa mzee Michael Mohanda unapelekwa mpaka miss hom

  • @user-jz8sj5us1h
    @user-jz8sj5us1h Год назад

    Naipenda ccm adi basi nakumbuka nikicheza kwaya

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 Год назад

    Caption Komba R.I.P ulikua mkongwe T.O.T

  • @kaimurashidi7658
    @kaimurashidi7658 Год назад

    Ccm yawina

  • @florabenard5504
    @florabenard5504 2 года назад

    Jamani aliyerirhishwa kipaji cha baba ajeaendeleze au hakuna aliye bahatika kupata urithi Capten komba ameondoka na muziki wake tunaendelea kufurahia nyimbo zake but hakuna tena ladha hii jamani da! Rest in peace baba

  • @ridhiwanimaulidi9457
    @ridhiwanimaulidi9457 2 года назад

    Wacha waseme chama cha mapinduzi kina wenyewe

  • @amosmichael487
    @amosmichael487 2 года назад

    Oooh my God miaka inaenda sanaaaaa

  • @theaidanny753
    @theaidanny753 2 года назад

    Once a CCM always a CCM❤️

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 2 года назад

    JK amechukua ameweka waaaah

  • @FreddyLemapoorme
    @FreddyLemapoorme 2 года назад

    wonderful

  • @joshuakalinga5970
    @joshuakalinga5970 2 года назад

    Wewe kifo mbona watuliza sana j.knyerere,mkapa,jpm,capten comba, wote hawa umewameza wee kifo mshenzi huna adabu⚰️👈😭😭😭😭r.i.p viongozi we2😭😭😭😭😭😭😭

  • @abuumussa1560
    @abuumussa1560 2 года назад

    taendelea kueshimi mawazo yako rais wangu magufuri