MKE wa Marehemu Prof MAJI MAREFU Yamfika MAZITO, Amlilia MAGUFULI!
HTML-код
- Опубликовано: 21 фев 2019
- MKE wa Marehemu Prof MAJI MAREFU Yamfika MAZITO, Amlilia MAGUFULI!
IKIWA imepita takribani miezi 8 tangu aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Korogwe vijijini (CCM) Profesa Maji Marefu, afariki dunia, mkewe mdogo aliyefahamika kwa jina la Alwiya Ahmed, yamemkuta mazito.
#RIPProfesaMajiMarefu
www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook:
globalpublishers Instagram: globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho
Ucjali mdogo wangu haya maisha tu.Kuwa na moyo wa subra.Mungu atakusaidia.lnshaallah
pole Dada mungu yupo tena mkenya mwenzetu nakuurumia
maashaallah cute mam
pole sana dada yangu mwenyezi mungu akupe nguvu na uvumi inshallah
Penye wengi kuna mengi Dada. Ulivyofaidi akiwa hi vinatosha.isitoshe we bado mzuri tu..watakuua bureee Dada..wabongo si watu wazuri.
Pole sana my sister kwa matatizo, sijui kwanini jamani uliolewa na mganga na wewe ni mrembo sana na tena ni umri wa baba yako. Vijana angalieni sana kwenye ndoa ambazo mnaingia
Jamani ndugu na jamaa wa marehemu Majimarefu. Tafadhali msaidieni huyu dada na muoneeni huruma TAFADHALINI. Huyu ni Binti mdogo sana wa miaka 27 tu na alipendwa na ndugu yenu na halikuwa kosa lake kukumkubalia. Ni binti mdogo aliyepoteza ndoto yake kwa kuingia kwenye ndoa akiwa binti mdogo sana wa miaka 22 (kutokana na cheti chake cha ndoa kinavyoonyesha). Tafadhali msaidieni maana HAKUJUA kama Mungu angemuita mume wake kwa ghafla kama ilivyotokea. Haya mambo ya KULALAMIKIANA haya siyo mazuri ndugu zangu. Hebu msaidieni na Mungu awapeni moyo wa huruma. Mali tunazikuta hapa duniani na kisha tunaziacha. Asanteni sana
Nimekupenda una hekima sana
Mtihani wallahi pole Sana ila mm nakushauri nyumbani ni nyumbani rudi kwetu Kenya na nnaimani maisha yko yatakuwa vzr tu kwa sababu mumeo alizicha pesa na Mali zote alizo zichuma,so mm nakushauri muachie Allah sister haki ya mtu haizami kbsa Kama kweli ni riziki yko basi itakuja yenyewe,sister ukijiamini utaishi kwa uwezo wake allah,mm nikisimama nieleze nnavyo ishi au nilio fanyiwa na familia ya mume wallahi watu wote watashanga lkn naishi kishuja na kumuamini Allah kila kitu chaenda Sawa na yote hayo namini Allah ndio anae niwezesha,pole Sana sister
Mapenzi bwana, Alhamdulilah
sasa acha hii iwe funzo kwa hawa mabinti wadogo ambao wanaolewa na wazee na sio ya kwamba wanawapenda LA ila issue ni ile hela hao wazee wako nazo, sasa angalia maji marefu alikuwa na miaka 60, na haka kabinti miaka 23, tofauti ya miaka 37, sasa wataka niambia ya kuwa huyu binti hakuwa na kijana wa umri wake ambae alikuwa anamupenda, na je kaa majimarefu alikuwa masikini je huyu binti angekubali majimarefu amuoe? tafuta kijana kaa wewe au akikuzidi azikuzidi na zaidi ya miaka 10, muwe pamoja mutafute mali pamoja, hao mabibi wa majimarefu walijua wewe binti ulitamani utajiri tu wala hukuwa na haja ya majimarefu mweyewe, pole lakini
Wazazi wetu elemikeni acheni kuozesha mabinti kwa wazee. Juzi tu tumeshuhudia Pr kapuya akioa binti. Ndo hayahaya.
Majimarefu alijitambulisha kama muslim kwa huyu bint na ndio maana alizikwa kwa dini ya kiislam.
kwahiyo suala dini kwa mume wake hakukosea.Ndio maana watoto wamebaki kuwa waislam.
Dada mungu atakupa ridhiki nyingine jipange tuu mungu ni mwema
Duuh
Jungu kuu halikosi ukoko
We na urembo wako wala hutadoda Mama kapambane mungu atakusaidia tyu
Majaribu Kwa binadamu ni lazma yatokee, but mungu anakupenda utashinda hay utakua na amani katika Maisha maana bad o bint mdogo in the name of Jesus,
Mbona unazungumzia sana chakula
Dadaangu uke wenza shida halafu wewe uliona umeaingia kichwa kichwa chawengi shida
dada daaah pole nipe number yako nitakusadia inshaalah
dada yang mshukur mung angalia maisha mengin mbel unaomba pemsas ya mtt dd angalia halyk sasa chan kanga au kiteng mvalishe mtt maziwa mnyonyesh maziwa wk mamb ya kisasa achan nay
Daah mimi na utu uzima Wangu lkn sikutaka kabisa mambo ya kushea Mume,haya mambo ya kuwa mke mkubwa,mke mdogo mi yalinishinda kabisa'na niliyaogopa sana hayo maisha,halafu bora mtu utafute mali yako Aiseee,mali Za kurithi usitegemee sana
Hata hao wasioolewa zaidi ya mmoja wanadhulumiwa kila siku. Sio suala la tamaa Bali ni utamaduni wa watu. Mbona huko bara ndio kawaida tu na ndio utamaduni wao. Pili huyu mwanamke dini imekwenda kushoto ila kitambaa tu kichwani.
Makaba ya Kaskazini yoooote ndio utamaduni wao huo . Ni Pwani ndio wanawake wanapata urithi. Tatu amekubali kuolewa kisirisiri na kuwekwa mbali na familia. Hii sio familia ya kidini wala nini.
Je sasaivi umeolewa?
mkome kuingilia ndoa za watu na tamaa zenu izo mxyuuu mnaingia mnaharibu kila kitu na wake wa mwanzo tena huwa hawathaminiwi kisa ujio wenu wanawake tupendane na tamaa tuache
Tamàa mbaya
Akome kabisa
Tunaooa wake wengi jaman tuandae mazingira mapema on a mateso haya saiv ya huyu mama
Uko sahihi sana. Sisi waum lazima tuwaekee mipango hawa wenzetu.
Njoo nyumbani utapata ilio rizki yako izo Mali zitawatoka rudi kwetu Kenya mwanangu wenikama first born wangu
Tena sana, rudi kwenu na watoto wako ukawalelee kwenu ila ukienda uende kwakuaga na watoto uwapeleke kwao kwa bibi na mashangazi .. Mwenye-Enzi-Mungu-Allah-Subhana-Mlezi Akutangulie wewe na mayatima hao, ufanyikiwe . Aamiyn
Tamaa zinawaponza
Nenda mahakamani au Bakwata
Duuh,,,!!
Pesa iyo ukufata dini umefuata pesa
Wewe bado mdogo tafuta maisha yako hats ukililia hivyo vihera havikufikishi popote, mnaendaje kuolewa na watu wenye wake zao jamani.
Njomkome na ndoa 2 mpk 3
daaa kumbe bd unalipa Shem ila pole sana asee sema ulikuwa umeshazaanae laiti ingekuwa bdo mm ningekutafuta uje tuzae uku mwanza bdo mrembo Kenya aikosei ase inavitu adimu sana asee pole sna sister
😂😂ww utaki mwenye wtt.mweee
Hivi marehem alikua dini gani mbona sielew wake watatu kwa iman ipi
Ata mie nashangaa
ILA WADADA TABIA ZA KUKIMBILIAGA WAUME ZA WATU SI NZURI,HEBU ONA 60YRS VS 23YRS SI BABAKO HUYO
Ila pole sana indeed
Mme wa mtu sumu
Kwani kamzaa? Alimuoa kwa hiyo ni alikuwa mume wake.
Unadai mpaka gari mwenzio kahanza kwa ugumu we ulifata Mali mwache tamaa ndo ukome
HAWANA TOFAUTI NA MKE WA KAPUYA
haki haipotei mama ,Siku zote familia zetu ni njaa ndio zinasumbua sana na Roho mbaya ,uchawi na chuki ,Sasa dada pambana sana IPO siku Kuna ushindi utakuja maana hao sio watu wazuri kabisa ni maadui kama maadui wengine .
Ukikataliwa jikubali TU pole Kwa kufiwa
USAHIHI NI ;
Aliyekuwa mke wa Profesa maji marefu AU
Mjane wa Profesa maji marefu .
Waandishi wetu kiingereza hamuwezi basi hata kiswahili kinawashinda ??
Chayo Gasperi vizuri sana kwa kugundua hilo, usahihi ni mjane wa profesa maji marefu na sio aliyekuwa mke wa profesa maji marefu.
Chayo Gasperi hajakose coz kaandika mke wa marehemu
Wanawake,watoto,mali ni fitna
Swadakta
0657453334 kama huja olewa natafta mke nipo znz
ww ulipenda pesa tuu hapo, sasa isome namba
Unauhakikagan Na hao watoto alikubalije kuwaza? Falakwel
Kuwa na moyo wa huruma acha kauli chafu.
ulikua unaishi nae wpi wakati maji marefu alikua sambamba na wake zake wakubwa,wewe sema ulikua umefichwa na ndio maana kakupeleka dodoma,unapelekwa vip dodoma wakati kwake ni korogwe na mali zote ziko korogwe,ila pole mwaya wewe rudi tuu kwenu maana hujulikani kwa kweli korogwe
Mbona wanamwita profesa
Aliugua?
Ulikuwa huwajui uliingia kichwa kichwa kutaka umaarufu na pesa mama gress alikuwa mzuri kuliko wewe muwe mnaauliza
achana nao njoo uolewe huku... wantakusalimia sikumoja..... hizo Mali zitafilisika tuu
Mkomage tamaa mbele
kwa sheria ya dini ,watu wa dini tofauti hawarithiani
Tazama shahada ya ndoa inaonyesha walioana kwa ndoa ya Kiislamu , jina lamarehemu limeandikwa Alhaji Maji marefu Stephen Ngonyani . Inaonyesha marehemu alislimu kabla ya ndoa.
Amezikwa Kiislamu.jee! Kafiri anazikwa Kiislamu.
@@mc-omoro2366 hakuwa muislam Jamani.
Global tv naomba msada muulizeni alwiya kama ana m-pesa ili niweze kumrushia japo kidogo nilicho nacho.
SAMUYA MGOYA hmmm
Weka namba yako ili yeye awasiliane na wewe.
Unamatatizo we mdada,unaongea habari za misosi,badala ya point za msngi kuhusu watoto
Anaongea misosindio afya apate pumzi na nguvu ya ku fight
Hivi ndg mbna munashindwa kuelewa mali zinakuwa za watoto,ndg munamisha mali zinakuwa zenu,jamani ndg muogope kula ya wajane na watoto wao.
Jua kuwa c ndugu aliekula mali bali ni mtoto mkubwa wa marehem na mke mkubwa ndo wako navyo, mzee Ngonyani ni ndugu hajala ila ni msemaji tu wa familia na yy mwenyewe amesema mzee Ngonyaji amemwambia subiri!
Sasa siangekuandalia bint, hebu achana nayo maana nae alikutenga nao tangu you hai
We nan mpk wakushirikishe walikua hawakujui watakushirikisha nn we malaya ulifata pesa ukajua akifa kuna kitu utapata ukome kiranga koma
Yaani marehemu wangekuwa wanarudi wakaona yanayoendelea ktk familia zao dhidi ya watoto wao ,HAKIKA wangeona ni Bora wasingerudi duniani tena Kwa uchungu na maumivu makubwa.
Bint unalipa sana
Lakini my sister usijali hayo yote MUNGU mwenyewe atakusaidia. Mimi ninaona huyu MUNGU atakupa Mwanaume wako mzuri sana, we achana nao
Mtihani kwakweli, ila mevutiwa na huyu dada,
pole sana na mitihan
Find you own husband
Pole sn my friend kwa msiba Mungu akupe nguvu na subra . Ila kama hutojali naomba unitafute kupitia namba yangu niko tayari kukunusuru kwa kufunga ndoa mimi na wewe
255 713912310 /255 752805213
Mchawi alikuwa na mkee mzuri eehh
Hakuwa Mchawi bali Mganga wa tiba za jadi. Aisee, hawa watu ni wajanja sana na wanajua kuchagua wanawake wazuri na wanabahati ya kukubaliwa na wanawake hao wazuri. Hata kama hana maisha mazuri huwapata wanawake wazuri tu kama hivi. Ni wajanja sana
Alikua mchawi au mganga
Hili ni somo kwa wasichana wengi wadogo kama wewe, kwa nini mnajiingiza kwenye matatizo haya du! Ila pole
Sasa wewe unataka aolewe na masikini? Huyo watoto wake wanapata haki zake tu Ile kwa sababu hii ni ndoa mseto.
Staraa haibu bibie
Kumbe kuolewa ni matatizo nilikua sijui.
makoiga mg ni ujinga tu wa wanaadamu, uislam umeruhusu na uko wazi ktk suala la kuoa wake wengi,,,,,,
Pendo halina mipaka.
Waliokuwa wanamshambulia Mzee kapuya angalieni hela ndio kila kitu
Hahahaha
Mnatubania riski sisi vijana wadogo ambao hatuna kitu. Ila anyway wangetumia busara tu Walee hao watoto,
Enyi mnayetuma comet zenu kwa kumdhihaki huyu muogopeni Mwenyezi MUNGU waswahili wana msemo kabla hajafa hujaumbuka hivyo basi kwa wale ndugu wenye mambo ya aja ajabu wawe na ubinadamu sababu shida hayichaguwi tajiri maskini mzee au kijana mwanamziki maalufu malihemu mbarak mshehe alituasa hilo leo hilo limetokea kwa mheshimiwa malihemu profesa maji malefu hivyo nasi litatutokea tuu ukiona wenzako wananyolewa weka maji kichwa ndugu sisi ni binadamu tuwache kabisa kuwadhihaki tuwasaidie tuwaombee kwa mwenyezi MUNGU awapunguzie mitihani huo uungwa ndugu zangu...!
Hivi ni nini kina wapa motisha mabinti wadogo kiasi hiki kwenda kuolewa uke wenza tena kwa watu wazima waliopitiliza?
Mbona jibu liwaz PESA TAMU, nani asiyependa raha..
Wacha kusem hivyo bint wengi ck hizi wake kwa waume wamebadilika mbo na sijui kwa nn jmn ss tizam hiyo sura ya huyo dada na huyo maji marefu hawaendan haswaaaaa
tamaa tuu acha yawakute sasa kuingilia ndoa za watu bila kujua watu walianzia wapi kisha ujilete upewe urithi kajambe mbele
Hv huwaga ni ugumu wa ndoa ama ni nini hio 65 yrs VS 23yrs eti godfrey mbanyi
Mi nipo tiar kumooa hyo dada jaman!
.
Mzee Kapuya nae aandae mazingira sasa...
Haijalishi ww ni wa wapi, kama ungekuwa ni mke halali kwa nini alikuwa hataki uchangamane na wenzio??? Kuna jamno hapo na jambo lenyewe wenzio na ndugu hawakutaka mke mwingineee! Hivyo uclaumu au kulalamika sana zaidi ni kuomba watoto wapate haki yao maana ni damu ya prof ww tafuta maisha yako, kama ni kuendelea kuish hotelini haya, au ni kuishi na hao watoto wa kike wa prof haya, dada tafuta la kufanya achana na midia, unavyoonekana ulimpenda prof kwa ajili ya pesa sasa amekwendaaa! Nahis ww ni kama mtoto kwa prof sasa dada pole kwa hilo ila jua ulishakosea tangu ulipokubali kuolewa bila kuhusishwa na nduguu na wake za marehem! Hivyo kile ulichochuma na prof ndo chako hivyo vingine uwe mpole, watu wameishi zaid ya miaka 20 ww miaka 3 unataka haki sawa uuuuwi!!! Swali langu kwako, hauna kazi?? Au ndo ulikuwa upo upo tu na kusahau ya kesho(leo hii unayo lalamika)??? Mirath co rahic kama ufikiriavyo, watu wanakaa hata miaka zaid ya 5!!!dada poleee
Jaman mbona wewe bado mdogo saana naomba nikuoe mke wa pili ili uendelee kula neema ya Nchi.
Huwa nawaza halafu nashindwa kuelewa, yaani ndugu yangu afariki halafu nikomalie mali zake? seriously? watu huwa wanaanzaje yaani mtu kachuma kwa jasho lake kwaajili ya watoto wake halafu akisepa unakomaza shingo! duh!
Mbaya sana haijawahi nigusa mali ya mtu yeyote br..haifai
@@tareqhilal6750 watu wana tamaa sana aisee
Mimi hata ya wazazi sipendi kuumiza kichwa yeye kafa mimi ntakaa milele
@@ashminhaabdullah4963 ndo hivyo watu wanaumiza vichwa juu ya mali za watoto !
Wakristo hatuna mtoto haramu wala kimila ukienda mahakamani inaweza kuwa kesi ya kujifunza.
Du! Hii dhuluma ya mayatima jaman itaisha lini maana hili limesha kuwa nijanga tena kwa mayatima na wajane asilimia kubwa mume akifa ni kinacho baki nimanyanyaso ya yatima na wajane.
Du tamaaa aw ilikufanya uolewe aw
Wanakutesa kisa wewe Mkenya. Rudi mombasa na watoto wako uishi kwa amani.
sasa kwann hakuwakabidhi kil mt kitu chake na kwa maandish
Mimi nauliza hivyo huyu marehemu alikuwa ma dini gani, hata ukakubali kuolewa naye?.
Maji marefu.. Alisilimu Akaw muislam... Kazi kwa kiislam.... Lakiin familia yake ilikua imegawika nusu islam nusu sio waislam
Ulifunga ndoa msikitini au kanisani mbona sijaelewa na kama nikanisani wakristo wana ndoa moja naomba kuelewa jamani
Nadia hussein maji marefu alikuwa muislam
@@abdulazizjuma6202 maji marefu huyu alikuwa mfanya mazingaombwe kabla kuwa mbunge au huyu mwingine
Fungua file la mirathi sasa. Hizi social netwok zipo kwajiri ya umbea tu. Watu watakukejeri tuu.
Mmmh hivi wewe kwelii ulifata mapenzi au pesa ila pole maana leo wewe kesho mimi
Kumbe ulikua unashinda hotel unachotaka nini wasambaa unawajua unawasikia mxiuuu
Huyo alikua haja wajua alizani ataendelea kula baga kumbe anakutana na bada atajiju kutesa kwa zamu
Kifupi huyu alikuwa ni wale wawinda wabunge, akawinda pasipokujua anachokiwinda hatimae prof akaona amrdhishe kwa chet cha ndoa, marehem alikuwa mkristu akalazimika kufunga ya kiislam ili kumridhisha asjue ya mbeleni! Nampa polr
hawa ndo wale wanawafata waheshimiwa bungeni waolewe kwa kuendekeza tamaa acha yawakute
Njoo mimi nitakuoa. Utakuwa mke wa pili
Sasa ww mdada mdogo upifata nn kwa hilo xee?? Ulifata hela,ugaiwe ulichuma nn?? Pumbafu
Aa kumbe ulikuwa wataka sima hapo sima hakuna hapo ni bada kwa kwenda mbele
Hahahaaaa sima ni nn na bada ni nn mpnz
@@mligombuma2287 hao ungali wanaita sima lakini liwe gumu kama jiwe na bada ni ugali wa muhogo huyo kakulupuka tu angeuliza kwanza
@@habibadhikr9406 aaanhaa sawaa....ahhh nimecheka
@@mligombuma2287 alipo chezea sipo aulize Maana ya korongwe abiwe
@@habibadhikr9406 yaani mradi ye mzimaa bora angerudi kwao kama wanachakumpa watampelekea huko huko Kenya kwao au anatafuta makubwa
Ndio tabu ya kuchanganyika na wasio waislam,
una haki udhurumiwe kwa sababu hata dini yako ulitelekeza na shariti ya kurithi lazima muwe dini moja sasa vumilia mateso
Acha usenge wako,mumewake alibadilisha dini kuwa mslaam ndo anamuowa!na hakuna binadamu mwenye haki ya kuzulumiwa
Inamaana wa dini moja huwa hawadhurumu au kudhurumiana?
Tazama hati ya ndoa ilivyoandikwa jina la marehemu Alhaji Maji marefu Stephen Nyongani. Marehemu alislimu kabla ya kuoa. usizungumze jambo usilolijua.
Pole sana Dada nitumie account ya bank nikutumie angalao ya maziwa ya mtto
@@yusufbasiliya1247 asante kwa kunitukana Allah akuzidishe mwana haram ww
Wanawume, muacheni kuharibu maisha ya wasichana, wakati munajuwa muko na familia ambayo imekubalika. Munakuwa waroho tu bila kufikiliya. Mutasema nini mbere ya Allah?
Wasichana na nyiye, mufikiliye mala mbili, kabla ya kuwolewa na mwanawume mwenye familia .
Kweli kaka Boni
Ww unasema ni muislam. Na huyo ni mkiristo ss umeolewa vp? Hiyo dini nipii?ni hiyo Tama zenu tuu. Na huna dini ww.
He dada vitu vyote umetaja ndio ule mkoba wa unganga mbona hukutaja uchukue ukasaidie wenzetu wakenya nao
Mke wakapuya ukuje uku usikie 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃
Huo ukumbi unaleta pesa za haramu za tembo na uasharati ndio maana kukawa na problem
Waume za watu sumu
Wewe ulikuwa mpango wa kando basi hayo ndio matokeo yake
Wewe kwanza nikuulize uliolewa kwa dini gani !!!!?????
Hilo swali lako ni Ujinga .HIVI maji marefu hujui amezikwa Kwa Dini gani?
@@ausihaji2398 c.ujinga !! Couz kuuliza sio ujue na ndio maana nikauliza na ingekua nimeona alizikwa kwa dini gani !! Ningejua my self !!! Xo cdhan kua huo ni ujinga ..ujinga unarudi kwako !!!!
Aliolewa kwa dini ya Kiislamu marehemu alislimu kabla ya kumuoa angalia hiyo clip kimeonyeshwa cheti cha ndoa na aliyemuozesha ni Sheikh Alhadi sheikh mkuu wa mkoa wa Dar-es-Salaam.
@@mc-omoro2366 profesa maji marefu ndiyo alikuwa mfanya mazingaombwe kabla kuwa mbuge au huyu mwingine?
mlikutan wapi sasa mmmh!
Kumbe huyu ndio mganga mtimkavu nilikuwa namsikia sana huyu mganga
Maji marefu na mti mkavu nilikuwa nawasikia toka utotoni.
hamna watu wabaya duniani kama ndugu
Na hakuna watu wazuri pia duniani kama ndugu coz hao ndo ukipata shida hata kuugua watakubeba kwa haraka kwenda hospitalini kulikoni kuliko mtu yeyote,cha msingi tuishe na ndugu zetu kwa upendo.
@@alphasjoseph7542 kabisa yani
Alwiyah pole kW matatizo mm npo tyr kukupa faraja so ukiwa tayar ntafute npo zenj
Prof gani wewe? sema mganga wa Jadi.
rich hurt 😂😂😂😂😁😁😁😁😁
Shida yote iko kwa huyu mganga hakuandi yake
Sasa tangazo la tatu mzuka limeingiaje
Hiyo ndio tanga bwana ukiingia kichwa kichwa imekula kwako hapo tuna wezana wenyewe yani sisi kwa sisi watu wa kwamsisi
Hahahahhha
Kwakombo na kwa msisi oyooo
Kwanza Pole kwa kufiwa na nimekusikiliza nikajua utaongea la maana kumbe unaongea habali za chakula pumbavu ongea ulisi wa watoto hapo sio kula vipi wewe mkamba
Walahi mitiahani dadangu utamwambia vipi mwenyezi mungu wajua bwanako ni munganga pesa zake niaram mapato yake ni aramu
Nilikua sijakoment, comment yako ila nimeona hilo
Ndoa yao ni ya kufos, na usikute alikuwa ni shost wa mtoto wa marehem hatimae baba akamweleza mistar yake! Pole weee
@@bernadethamsaki2921 bola wampe mkoba wa Uganda magali yatamsumbua bola kitendea kazi akaseidie ndugu zetu wakenya nao
@@sidisaid4833 nashangaa anataka magali tu bola achukue na mkoba wenyewe ukasaidie wenzetu wa Kenya nao
Waharabu koko mmezidi taama. Wewe ni jizi. Subiria na yule wa Kapuya msaidiane kulia
Hadbunallah Waneemal Wakeel
Rahima sema pitisha istighfar duh ujuwe kwamba hizo chuki zenu na waarabu mpaka umwite mwenzio mwarabu koko kutwa waheshimiwa wenu kutwa wako arabuni kutafuta misaada rudi kwa MMungu wako
Hujavuka uwendako, mushukuru Mola wako na umtake msamaha, safari ya mwenziyo usiyoijuwa usitiye neno bila kuwa na akiba ya neno.
wallah mijanajike mengine tamaa tu acha yawafike shenzi kuingilia ndoa za watu hujui walitokea wapi leo ulilie urithi tafuta chako km rahisi
Bado chomboooooo
Priscus Julius pole
Weka namba yako ya simu tukuchangie Pole sana mrembo
SASA unataka nini. Mnaingilia ndoa za watu ngoja ukome
tena akome mamamaeeee
TANGA TENA KTK UBORA WAKE , TANGA KUNANI???
Ndo mkomage binti mbichi kabisa unaenda olewa na lizee kisa pesa sasa umezipata
Exson Mwakibinga acha ujinga
Mama vuta subraa utapata mbele ya allah lakini dada kueki makini punguzeni tamaaa mtaingia mkenge kwa ajili ya mali
mkenya nenda kwenu unavamia waume za watu nenda acha kutafta kiki
Yani tamaaa imekuponza unaolewaje mtu akutambulishi kwa ndugu zake..na sheria ya dini wake wenzio ilipashwa wajue..we mshukuru mungu kwanza hutoishi kwa aman jiendee kwenu...unatamaa unataka ela za rambirambi ili iweje
Pole mama