Samahani naomba kuliza mie huwa napika lkn naweka bkn soda na hamira ya chenga je ni sahihi maana kuna watu naskia wakisema harfu cake hupikwa na hamira moja je ni kwer
Hongera kwa mapishi mazuri swali kuhusu baking powder na baking soda zikikaa muda mrefu pasipo tumika ukaja tumia je halfcake zako zitakuwa katika muonekano gani?
Hi dear kupasuka ulizipa mda hata 10min kabla uchome hakikisha usikate nyembamba sana sometimz zinagoma kupasuka ila raha zikipasuka angalia my other video Ya Halfkeki
Nahisi niliweka kilaini sana coz process zote za kuweka Unga ,nikaja chapa mandashi japo nilizidisha co sijajua kipimo,nikaja maji mafuta nikaweka vijiko vitatu vya chakula,nikaja na maji ya uvugu vugu,,unga wenyewe niliweka robo kilo
Thanks alot may God bless you,this is what I was hoping to know alot, God has brought you with a purpose to show up
Ameen my Love kwasote and thank you soo much for stopping by
@@HadijaSheban may God add you knowledge dear
First time I trying, and it turned out crunchy and delicious, your instructions are simple, easy to follow, and the results are awesome. Thank you
Thanks soo much lovie
alhamdulillah i was suching for u habibty i will join
MashaaAllah karibu sana
I like your work and teachings
Thank you soo much
MUNGU hakubaliki sana nimebalikiwa Kwa kukusikiliza wewe na kuongezeka juu ya upikaji huo
Mashaalwa nimependa sana Mimi mwenyewe napika ila zako ziko zuuri
Awww asante sana kipenzi nimefurahi
Asante da hadija mwenyezimungu akupe maisha marefu
Ameen my love asante sana kwa dua nzuri
Asante Sana Hadija, unaeleza vzr Sana na kwa upendo! U' r, a true inspiration for other woman! Keep up a good job! Inshallah na Allah akubariki 🙏
Thank you soo much dear and thanks to you too much love for the support don't forget to share na Ameen may you also be Blessed 🤲🤲
Thanks for teaching me dear l have learnt l appreciate
Most Welcome love
Thanks madam khadija kwa kweli napenda sna na naamini nitajivunia kwa kkufatilia 🥰🥰🥰🥰🥰😋
Hakika mpenzi utafurahi pia
Kwakweli umenisaidia sana mungu akubariki
NI nzuri Sana Ubarikiwe Sana Madam Hadija
Ameen na karibu
Ameeen
Allah Bariq Habibty
Shukran sister.... Nime'learn Sana.... Mungu akubariki
Ameen and thanks
Shukrani Habibty
Good preparation delicious recipe good video
Wow love it
Asante sana ubarikiwe
Ameen dear
Nashukuru sana kwa daraxa zuri nmeelewa but lazima nichomee kwenye jiko la mkaa2
Asante sana
Masha Allah
Tabarakallah
Nimependa unavyoelekeza safi sana
Asante sanaa
Mum Asante kwa hii resipu
Asante kwa maelekezo
karibu
Amiiin yarabby Shukran sanaa
Afwan love
May God bless you unatusaidia sana
Ameen and thank you
Ningekua huko nianzishe hii biashara. Halfcake zinakaa tamu kesho nijarabu hii for breakfast. Happy new month sis
To you too sis hii inafaa sana huku kwetu thanks sis❤❤
Very beautiful 🌹🌹
Shukran ❤
I dont have baking powder,want to make for just me alone for my breakfast. Will it be bad if i dont put?
Jaman mbona mi nikipika madaz Aya pasuki naomba unifundeshe jamn
Asante mrmb
Karibuuu
Thanks Hadi hii imekua ya msaada kwangu❤❤
karibu sana
Amina nisiweke?
Nice mumy
Thanks❤️❤️
Wow
Thanks
Asante sana,na plz nisaidie nieze kupika za bizna
ziko andika halfkeki za biashara hadija zitakuja
❤
Sallam waleikum dada hadija alhamdulliha kwa resipi yako nzuri . J namba yako ntapata kwa ajili ya msada zaidi. Asante
Waaleykhm mussalam njoo insta najiita Didashebbs_Kitchen
Je hawek amira
usieke
How many grams was the flour?
Réveil
Nice recipe 👌
Hi
🙏🙏 kipenz
Karibu
Uko wapi
Samahani naomba kuliza mie huwa napika lkn naweka bkn soda na hamira ya chenga je ni sahihi maana kuna watu naskia wakisema harfu cake hupikwa na hamira moja je ni kwer
Tumia baking powder na soda
Kuna baking poda na soda na hamira ya chenga inayoumua andazi haiwekwi ni izo tyu soda na poda
@@HadijaShebanni lazima nitumie baking soda na powder Kwa pamoja au kimojawapo
Hongera kwa mapishi mazuri swali kuhusu baking powder na baking soda zikikaa muda mrefu pasipo tumika ukaja tumia je halfcake zako zitakuwa katika muonekano gani?
Asante sana sijaelewa
Nzuri kwel nimefata process zote but zimekua ngumu sana na hazijapasuka lkn zimeiva na nitam wap nakosea msaada plz
Jaman kumbe half cake haziwekwi Amira?
Ziko za kila aina kipenzi ila sana huwa haziekwi hamira
Mashallah nusu kilo umetoa halfcake ngapi
Unaeza toa 35 to 40
Nataka kujua wat makes it kupasuka?kindly tel me.
@@judycheserek8956 yes
I wish I knew Swahili they look tasty
You will know one day
Maa sha ALLAH
Aiya this is what i was watching, i mean the other video ulifanya ka hii
Aww thanks sis
Naweza choma half keki na gesi
Naomba ujisaide picha ya Baki ng poda zinazotumika kwenye hafu kek
Yoyote tu
@@HadijaSheban asante
Ntajaribu
Niandikie recipe
Ipi
Looks so great😍 yummy😋
Keep up and stay connected ❤
Thank you
mashaalwa
I like it
Thanks
Give measurements for 2kg pls, 😍 🇰🇪
Kindly check my new video nimeeka ya 3kg also kama hutaona just double the ingredients
Mbona hamira yasoda hukuweka?
Sijaeka hamira
lk for u🌷🌹🌺
Uko sawa
❤️🔥❤️
Nzur
❤❤❤❤❤
❤️❤️
Hivi sio lazima kutumia baking soda kwa kupika half keki?
Unaeza tumia
Kwani aziweki amila?
haziekwi hizi
Unaweza tiya hamila
I tried to make half but zlikuwa ngumu sana n hazikupasuka.plz assist.
Hi dear kupasuka ulizipa mda hata 10min kabla uchome hakikisha usikate nyembamba sana sometimz zinagoma kupasuka ila raha zikipasuka angalia my other video Ya Halfkeki
Hamira hutumii
ndio
Umm asmaa wengine wasema watia maize flour kidogo ni kweli haya? If yes zinakua vp
Sijawahi jaribu mpenzi labda tujaribu
Maybe wanataka ziwe crunchy
Ni tamu sana
Shukran ❤
Waoo yani naangalia leo 1st November nime sikia anasema happy new months I thought ni ya mwezi huu kumbe ni November ya last year
-
Siku zakimbia sanaa
Nilifuata masharti ikatoka poa shida ni nina toa kidogo sijui nilikosea wapi?
Ulikosea mahali kidogo love
Kisha hizi hukaa siku ngapi kabla itupwe au ziwe .ngumu haziliki?
Huwa yategemea ukiziacha wazi hazikai sana week zafika ukizihifadhi vizuri
@@HadijaSheban asante sana dadangu nakupenda buree bila hata kuweka sukari haha
Black hands, wueeh!!!!
Yeeees
Lakini kuna tembe nyeupe umeweka nini hio?
Tembe gani tena kila nlichoeka nimetaja love
Umetumia unga gani wa ngano dada
unga wa kawaida All purpose flour wowowte
Nimejaribu but mbona yalikuwa yanamupuchuka kwwny mafuta,,mafuta zimenyonya,,yani nimevurunda kabiza
Nieleze umefanyaje nitajua ulipokosea ama moto ulikua mdogo sana je ulikua unaongeza na kupunguza ama
Moto haukuwa mdogo ,kwanza ziliungua
Kile kikando kilikuwa kilaini nikiwa naongeza unga
Nahisi niliweka kilaini sana coz process zote za kuweka
Unga ,nikaja chapa mandashi japo nilizidisha co sijajua kipimo,nikaja maji mafuta nikaweka vijiko vitatu vya chakula,nikaja na maji ya uvugu vugu,,unga wenyewe niliweka robo kilo
Lakini kitu nilicho toa ,,hata mwenyewe sijala,home wananicheka wananiambia naharibu mafuta ,
Kutengeneza kalmat
nishaeka video shuka chini ama search Hadija Kaimati
Nisambazie na chai
Zinakuja mpenzi
Nimependa unavyo elezea. Kwanza mambo ya biashara🤔🤔🤔
Asante sana kwa support pls share
Unga ni self raising
ukieka baking powder usitumie selfrising
Nimefuata kila kitu but imekuwa kama ugali kwa mafuta sijui nilikosea wapi
Me napika keki za biashala ila mbona nnje zinakua ngumu
Zinakuwa ngumu ndani au?
Yummy 😋🤤
Asante❤❤
Kumbe hamira hawatii eeh dada
ndio hatueki
Sawa dadaa ngoja nijaribu tena
mafuta natumia kijiko cha chai au
😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋😋
Samahani nipo Nairobi nauliza kwa unga kilo 2 zinatoka hafcake ngapi za sh 10
Mimi nimefata masharti yote ila ya mekuwa magumu ni kwa nini
Amila ueki
Sijaeka
Iko poa
Shukran kipenzi
Sa dada me nakaanga half cake lkn mbn hazvmbi kama haziwekew hamira
Haziekwk hamira
Ukieka yeast itakua aje
Jaribu
maji ni moto ama baridi
Yakawaida
Hujasema umetowa. Vioande vyingapi cost yake shingapi na faida ningapi
Yes sikusema sababu zilikuwa zinaokotwa okotwa ila nimeeleza ukitymia mobile utapata zaidi ya zangu kama ni za 5bob
Give instructions for 6kgs please and especially when using baking soda
Kindly double the ingredients
Chumvi
Leo lazima nipike half cake kwenye channel yangu
All the best
@@HadijaSheban I tried but I guess nilikata vidonge vidogo but zilikua tamu sana. Thanks🙏