Mwambieni (Official Video)
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- MWAMBIENI (TO BE MY WIFE)
Audio - Produced By Ess Ell
Video - Ace Cinema
Directed By - Mac Choka (The Last Omari's Son)
SPECIAL THANKS TO OCEAN CUISINE SEA FOOD TUDOR
.
Download
itunes.apple.co...
.
itunes.apple.co...
.
Boomplay
www.boomplaymu...
.
Spotify
Brother Nassir • Mwambieni open.spotify.c...
.
Follow BN On Instagram
connect With Brother Nassir On Instagram
...
Download
itunes.apple.com/album/id1514575827?ls=1&app=itunes
.
itunes.apple.com/album/id/1514575827
.
Boomplay
www.boomplaymusic.com/share/music/37286056?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
.
Spotify
Brother Nassir • Mwambieni open.spotify.com/track/0F7Me6q2fvFURezazJgtxK
.
Follow BN On Instagram
connect With Brother Nassir On Instagram
instagram.com/brothernassirofficial?igshid=14g5e0ozq963x
This is a hit song @JuniBoy. Congrats...
Sawa tu
New raper in town 👆, babake ahyan but meh on my side always 👎,rudi uliko tokea kabla hujarudiashwa
Umejaribu sanaaa....
Brother Nasir ile nashid nikifikiri mauti rohoni hujaa hofu ifikiapo wakati binadam kuwa mfu haraka hupiga goti kumrejea raugu.Kama ni ww ulo imba rejea tutakupenda tu mrudie mungu kk
Dah subahallah wallah sheitan alishamuahidi Allah km nitawapoteza waja wako subahallah tunamdhalilisha kipenz chetu Muhammad s.a.w yarabby tusamehe kizazi hiki kitukufu cha nabii muhammad(s.a.w)
Mtihani kwa kwel
Duh ameshaona dunia tamu saiv
@@sniper93999 kabisa
Asma allah
Brother nassir very sad indeed ulianza vizuri na nasheed na kisomo cha quraan...pls my brother rudi kwenye mstari wa deen uwache hizo nyimbo sheitwani anaanda jeshi la kuingia nae motoni😭😭😭
Duh!Shekhe Wangu Umepatwa na tamaa ya Dunia umesahau Nasheed yako Nikifikiri Mauti Mungu akurudishe huko unako elekea utasababisha Nasheed zako nizifute nisisikilize tena
Brother Nasir unaenda wapi mbona unaanza kuenda kwenye rong way ulipendeza sana ulipokuwa kukitowa nashd lakin Leo hatuwelew kaka
My baby daddy sent mi the song sound so sweet to so i decided to look 4 video ...nice song🔥🤝🤝🤝🤝👏👏👏
Wallahi watuliza mtoto wetunassir rudi kwa Allah.sw na utafungukiwa zaidi wacha mambo ya nyimbo kwani ni adhana ya sheitwani kuwaanda jeshi lake kufanya maaswi...nina imaani utarudi tu...amin
Amn
mangapi watu waisilamu wafanya ,cha muhimu thalathu muhimat mambo matatu .bora mtu aswali ,asiwemshirikina,asiwemsenge.kwa uchache kwa raha zake brother nasir
We pia twakushuku kma ni mwanamume
Fanyeni moja muhimu acheni kuingilia kati ya mja na Allah.Hukmu zenu kaeni nazo .brother nasir talanta ipo madamu hapo hmna muaamala kati ya wanawake na wanaume hamna tatizo
Shetwani mtu .. ndo kama ww
Sub hana Allah Allah akuongoze my brother twakuombea urudi kwa annashid hii ninyimbo sio kaswida
SUBHANALLAH MWANANGU RUDI KWA MUNGU WAKO HUKO UNAPOTEA. MUNGU AMSAMEHE NA HUYO IBILISI INSHAALLAH AMUONDOSHEE
Tuzidi kumuombea mana anapotea kabisa astakhfirullah
Waarabu wanasema kurudiwa rudiwa kwa kitu ujue kunaumuhim. hvyo badilika broo acha huu n mziki.AALLAH ATUONGOZE SOTE. Ameen
Akhii!! PENZI lisikufanye ukajisahau na ukampa KIKI Ibirisi,Nakuombea kheri Daima ila Kumbuka(Penda utachopenda daiima utatengana nacho).
Mh .umekua unaimba tena ..da tena unarap hahahaha ...pesa bhan kweli nishetan .mungu akupe mwisho mwema na mshaur wako pia..
subhanaAllah brother nasir mungu akuongoze nakuombea dua
Dah we mwanaume sio rizqi karibu utatuvalia vipuli dume zima unatulegezea mdomo ah!!!
Allah akufanyie wepesi kirud ktk muongozo wa Allah subhana wataala
Brother Nassir wat has happened to u twatoka ramadhan na hii ndo gift wampa Allah subhanAllah...muogope mungu achana na tamaa ya dunia..tafakkar
😂😂😂😂eti . Gift anao mpa Allah
Wow❤❤❤💓what a song u kill me Abdul nassir
Kweli Jabali lilianza na Changarawe! From Nasheed to Rege🤔
Vipi kaka tena sikuelewi kbs nilikuzoea sana kweny nasheed na ulipata umaarufu mkubwa leo vipi unatak kujikita pande ya pili inna lillah wainna illah raj unn Allah atuongoz kwa sote
Aaaaah upuuzi mtupu najarib kukufuatilia nikidhan huenda ukatoa kilicho bora kwa m,mungu kumbe kila siku ni hovyo zaid ya jana
..mbaya sana kuchanganya haki na baatiil...Endapo uliwaongoa watu kwa nasheed zako za awali zenye maadili ilitosha kuwacha kabisa kuliko kuhakikisha wanarejea katika maovu yao ya awalii...tena unawaondolea khofu ya kuyaendea maovu...😥
Mwazoni tulikujuwa kama munsheedu ila ni mwanamuziki tu ww umepoteza uhalisia kabisaaa
Mmh hpa tna bx brother nassir ,ila Allah akuongoz tuu ujan bhn dohh
Hii sio nasheed bali ni nyimbo huna kitu tena brother nassir huna kitu usha kwishaaa wala hupendezi huna kituuu poleee
Hao wanao kusifia wanakupotosha wallhy haraam (musiqa)
@@zuwenaally9609 Hajakwisha. It's not too late. Anaweza kujirekebisha. It's upon him kama ataendeleya or atarudi kwa Mola wake. Allah amuongoze na atuongoze sote
Marriage has realy changed you bro.Mahaba ni yakuonyeshe njia nzuri si yakupotoe
Yaonyesha ww hujaolewaa sio
SubhannaAllah ulianza na nasheeda bila music lkn kwa sasa ivi umezidi ya rabbi naona polepole tu unakaribia motoni nakusihi uachane kufuata dunia jiandae na akhera Allah akupe hidaaya aamiin
A.alkm ...tunapenda xna kuwahukumu wenzetu ilhali huenda sisi tunaohukumu tuna maasi mengi tunayoficha pasi na kuyaweka bayana,Brother Nassir I jxt cn't stop listening wallah *MWAMBIENI
Watafuta kiki ww
@@hzsia9686 Afadhali yko malaika ulo msafi usie doa wala chembe ya dhambi...nimejikubali mm nimkosa,ila kabla hujamnyooshea mtu kidole jithathmini binafsi ---la thadh hab
My brother from another mother nakubali bro nyimbo ipo ajab sana
Hahajaja jamanieeee ..tatzo pesaaaaaaaa hakuna jengine
Subhannalllah. Allah akuongoze mwanangu brother nasir. Amiin
Dahhhhhh subhanallah Yaallah guide us in the right way.........
Nzuri sanaa.. Wengi mnaomponda Brother Nassirr hata nasheed zake hamuzijui wala hamu msupport kwenye nasheed zake mnangoja atoe nyimbo ndo muanze kumponda Pambaneni na Hali zenu.
Wakusoma comment tupo bro nassir wats happening bby
Innalillah wainnailayhi raaj'uun. Mnajinasibisha na Uislam kwenye nyimbo zenu. Ukiuchezea Uislam unamchezea Allah. Jitahidi hivyo hivyo utauona mwisho wake.
Subhanllahh.. Allah akuongozeee yarraby ameen
Harmonize ni KONDE BOY
brother nassir Ni JUNI BOY tofauti iko wapi..... welcome to WCB broooo
Ongera sana brother nassir niko n zawadi zako bro
Waoooh aminia babake aaah
inna lillah waina ilayh rajiun hii nasheed au bongo fleva rudi kwa mola wako brother naseer
sheikh mkubwa regea katika kaswida zako wapotea brother nassir
Subhana Allah brother hapo wakosea usichanganye nasheed na nyingi kama hizo just be normal ama uamue uache nasheed uimbe basi
Inashaa Allah mungu akuongoze na akusamehe
if its preferably put it down sisawa hivo😰
As Salam aleykum mashabiki wa ndugu yetu huyu. Naomba musimlaumu kwani Hana makosa Yeye ni muimbaji tu haijalishi ni kaswida au nasheed zote ni nyimbo tu. Tofauti ni kule anamtaja Allah na Mtume na huku Anataja mapenzi. Kwa hiyo kama wewe ni shabiki wake basi ujue wewe ni mpenzi wa nyimbo pia.
Tangu uoe imekua shidaaa na izo nashid zako maana inaelekea kuwa miziki
Wallahi bro rudi kwa mungu wallahi tena dhambi tupu brooo😥😥😥😥😥😥😥
Correct Mungu it's a capital M not small..hio ni dhambi pia😊
@@thuweibaaboud6950 😂😂
Ma shaa Allah brother Nassir......keep it up
amto achana kamwe maana mna♥♥♥
I am jamming to this sijui kwann watu wengine munaudhika si lazima musikize
Subhannallah. Unakoelekea sio kaka. Rejea kwa Allah
Yani ww noma San daaai mungu akusamehe
Always on top man😘😘👌🏻
Asanta sana brother
Kazi nzuri Brother Nassir
Santa mfuasi wa mbosso bado bangi tu hapo na glass ya whiskey. Umekua catoon. Allah akuongoze
Acha kutype ujinga ilhali uonekane na ww kwangu mm naona ako ryt bcz hajaimba maneno machafuu so broo jiangalie
Hongera baba!!!!! Ni fireeee #mwambieni. Uwiiii sina hali mwambieni nimechoka manyanyaso nimeamua tuachane
Nawaambia hvi wale wenye kusema ma shaa Allah kwani hili ni jambo la kheri? Tujue sote ni marehemu watarajiwa mungu atupe husnul khatima
Yusuph Abdi anahitajika sauti yake kwa kijana huyu coz walikuwa pamoja
Welaaaaaaaaaaaaz piga kelelekwa brotherakeeeeeeeeee😚😍😍😍😍😍😍
Ushamba huu brooo.. Usione ni utsaaaa khuiiii..... Ujanja ni mtu kuwa na msimamooo.. Anyway Allah akuongozee bro🤔.. Daah
Duh bro unatupakaa rangi ya kinyonga machoni,nashindwa kutofautisha kijani na yanga,nashiid ishapotea now your completely musician,,,, can't define you😥😥
Subhana nllan shetani anakuchukua pole pole
Hii ni nyimbo mzee baba naona kwa mungu sijui utakua na lipi la kujibu
Mungu anaongoza sana Shekhe Yusufu Abdi maana kaanza muda sana Nasheed lakini mpaka leo hajatusaliti ila ww ndugu unatuzalilisha Waislamu sauti nzuri umeipeleka kwenye miziki
Ww pia waeza kuwa na sauti nzuri unaeza imba nasheed maana hamna neno hta moja ametoa neno la makosaa
Yan asaiv sikuelew kabisa
Nzur sanaa kama mb doggy
You just gained a new follower, your music hits to the soul. Hello from Canada🥰
Hao wanaongea vibaya wote wanawaskiza kina mbosso kisha wajifanya wacha mungu sana kila mwanadamu ana kasoro zake hakuna mwenye haki ya kumjudge mtu saa hizi ww hapo ndo muovu na mpotofu wa kwanza kisha unaongea muacheni brother nassir na mungu wake
Sichoki kusikiliz huu wimbo guyz its 2 sweet
2o24?tujuane
Mungu wangu brother nassir unafanya nini sasa🙄 hizi ni nyimbo sasa
Wajuwa binadamu hupenda sana kujaji mtu,Huyu kaka anaimba nyimbo aina mbili,Nasheed ama yakidunia🤫🤫
Nyimbo bora nzuri
Masha Allah brother Nassir
My brother may Allah guide you to the right path Insha Allah
Bro mboso sio bro nasir
Kaka wasafi inakuhusu
Hhh
😂😂😂😂
😏😏
mashaallah i like it 😗😗😗
1:35 - 1:57 😍 MashaAllah ndugu hayo maneno sio nyepesi kwa ukweli🔥
Mhh Ayo mavazi naizo nywele ulivozieka kama firauni chefuuuu mbayaaa muone vile😨 ushanichefua Allah tu akuongoze
Umeamua kupata dhambi sehem usoiweza huku hujui kuimba chcht mrudi allah akuhifadh ue miongon mwa wema
Favorite Artist
Inna Lilahi Waina Lilahi Rajiuni
Tumuombeni Bro. Nassir bcoz huku endaka sasa siko
Ulianza na nyimbo za heshima kama mama, nasheed. Lakini waanza kujisahau na kupotea. Hupendezi kabisa na hizi nyimbo.
That's good haaaa...........
Let’s see who are listening to this masterpiece on this month October 2021
sasa wew ci umeshaoa
MashaAllah...kwanza hapo kwa kuchana umechana kikweli umeweza keep it bro proud of you Bajuni Boy
Allah amuongoze njia iliyo nyooka
Allah akuongoze...aamin
Who's online now listening to such a romantic song 😘😘😘😘
Me am romantic
😘😘😘😘😘😘😘❤
mh mjomba kushapotea njia Fanya utafute njia iliyonyooka
ulipo sipazuri ucjidanganye unaimba qaswida bali huwo ni muziki rud ulipo kuwa mwanzo(nasheed)
fikiria hayo ndugu yangu kwa ajili ya ALLAH
Mche mungu watu wanakupenda
Zipo khilafu baina ya wanazuoni kuhusiana na suala la nyimbo lakini hakuna sheikh hata mmoja ambaye hataiona sharri katika nyimbo hii..
Duh rudi kwa mola wako bro😭😭ulianzaaaa vizuri mashallah....sasaaa mambo gani hayaa🙇♂️💔
""""Hali yangu tacbaani Mwambieni aya fahamu nime bakj kitandani kutoka njee imekuwa sumu salaam zangu mpenii hata kwa simu 😍😍😍😍💌
Mukiambiwa hizo qaswida hazifai mwisho wake ndio mwaingia hapo.Allah akuongoze
Sasa umeamuwa kujitosa kweny nyimbo kabbisa .......
Is up to uh
Ameona kama anachelewa..hahahaa
Sisi tunasema mwanaume haimbi nakiimba tunamashaka naye mungu atakuongoza utoke kwenye moto
Know yourself before you go around judging other people... DON’T JUDGE SOMEONE JUST BECAUSE THEY SIN DIFFERENTLY THAN YOU!!! Focus on yourself to become a better Muslim rather than wasting your energy on someone else!!!!
Wafeli bro....wapotea usishindane na lavalava ashapotea yule
Kwani what happened what's wrong mbna nyimbo Kama hizi ya Rabi mrudishe bro nassir