Mwambieni (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • MWAMBIENI (TO BE MY WIFE)
    Audio - Produced By Ess Ell
    Video - Ace Cinema
    Directed By - Mac Choka (The Last Omari's Son)
    SPECIAL THANKS TO OCEAN CUISINE SEA FOOD TUDOR
    .
    Download
    itunes.apple.co...
    .
    itunes.apple.co...
    .
    Boomplay
    www.boomplaymu...
    .
    Spotify
    Brother Nassir • Mwambieni open.spotify.c...
    .
    Follow BN On Instagram
    connect With Brother Nassir On Instagram
    ...

Комментарии • 528

  • @BrotherNassir
    @BrotherNassir  4 года назад +73

    Download
    itunes.apple.com/album/id1514575827?ls=1&app=itunes
    .
    itunes.apple.com/album/id/1514575827
    .
    Boomplay
    www.boomplaymusic.com/share/music/37286056?srModel=COPYLINK&srList=ANDROID
    .
    Spotify
    Brother Nassir • Mwambieni open.spotify.com/track/0F7Me6q2fvFURezazJgtxK
    .
    Follow BN On Instagram
    connect With Brother Nassir On Instagram
    instagram.com/brothernassirofficial?igshid=14g5e0ozq963x

    • @rajabessa3675
      @rajabessa3675 4 года назад +2

      This is a hit song @JuniBoy. Congrats...

    • @ilhamrashid1391
      @ilhamrashid1391 4 года назад +2

      Sawa tu

    • @ipahzubeir9866
      @ipahzubeir9866 4 года назад

      New raper in town 👆, babake ahyan but meh on my side always 👎,rudi uliko tokea kabla hujarudiashwa

    • @ibrahimabdalla8008
      @ibrahimabdalla8008 4 года назад +2

      Umejaribu sanaaa....

    • @innalillahwainnailaykhiraj1778
      @innalillahwainnailaykhiraj1778 4 года назад +6

      Brother Nasir ile nashid nikifikiri mauti rohoni hujaa hofu ifikiapo wakati binadam kuwa mfu haraka hupiga goti kumrejea raugu.Kama ni ww ulo imba rejea tutakupenda tu mrudie mungu kk

  • @CRMEDIA-yd7dp
    @CRMEDIA-yd7dp 4 года назад +48

    Dah subahallah wallah sheitan alishamuahidi Allah km nitawapoteza waja wako subahallah tunamdhalilisha kipenz chetu Muhammad s.a.w yarabby tusamehe kizazi hiki kitukufu cha nabii muhammad(s.a.w)

  • @zahraomar6172
    @zahraomar6172 4 года назад +24

    Brother nassir very sad indeed ulianza vizuri na nasheed na kisomo cha quraan...pls my brother rudi kwenye mstari wa deen uwache hizo nyimbo sheitwani anaanda jeshi la kuingia nae motoni😭😭😭

  • @allymsuya4596
    @allymsuya4596 4 года назад +13

    Duh!Shekhe Wangu Umepatwa na tamaa ya Dunia umesahau Nasheed yako Nikifikiri Mauti Mungu akurudishe huko unako elekea utasababisha Nasheed zako nizifute nisisikilize tena

  • @daudihassan9574
    @daudihassan9574 4 года назад +36

    Brother Nasir unaenda wapi mbona unaanza kuenda kwenye rong way ulipendeza sana ulipokuwa kukitowa nashd lakin Leo hatuwelew kaka

  • @zamzammeme3997
    @zamzammeme3997 2 года назад

    My baby daddy sent mi the song sound so sweet to so i decided to look 4 video ...nice song🔥🤝🤝🤝🤝👏👏👏

  • @zahraomar6172
    @zahraomar6172 4 года назад +9

    Wallahi watuliza mtoto wetunassir rudi kwa Allah.sw na utafungukiwa zaidi wacha mambo ya nyimbo kwani ni adhana ya sheitwani kuwaanda jeshi lake kufanya maaswi...nina imaani utarudi tu...amin

  • @mohamedyasin4096
    @mohamedyasin4096 4 года назад

    mangapi watu waisilamu wafanya ,cha muhimu thalathu muhimat mambo matatu .bora mtu aswali ,asiwemshirikina,asiwemsenge.kwa uchache kwa raha zake brother nasir

    • @hzsia9686
      @hzsia9686 4 года назад

      We pia twakushuku kma ni mwanamume

  • @fatumahassanmasudi5923
    @fatumahassanmasudi5923 4 года назад

    Fanyeni moja muhimu acheni kuingilia kati ya mja na Allah.Hukmu zenu kaeni nazo .brother nasir talanta ipo madamu hapo hmna muaamala kati ya wanawake na wanaume hamna tatizo

    • @hzsia9686
      @hzsia9686 4 года назад

      Shetwani mtu .. ndo kama ww

  • @aminabwanamahmud5793
    @aminabwanamahmud5793 4 года назад +17

    Sub hana Allah Allah akuongoze my brother twakuombea urudi kwa annashid hii ninyimbo sio kaswida

  • @maimunaali1731
    @maimunaali1731 4 года назад +9

    SUBHANALLAH MWANANGU RUDI KWA MUNGU WAKO HUKO UNAPOTEA. MUNGU AMSAMEHE NA HUYO IBILISI INSHAALLAH AMUONDOSHEE

    • @fatfat9093
      @fatfat9093 Год назад +1

      Tuzidi kumuombea mana anapotea kabisa astakhfirullah

  • @abaabakrimuhammad2933
    @abaabakrimuhammad2933 4 года назад +5

    Waarabu wanasema kurudiwa rudiwa kwa kitu ujue kunaumuhim. hvyo badilika broo acha huu n mziki.AALLAH ATUONGOZE SOTE. Ameen

  • @salmaabdillah8092
    @salmaabdillah8092 4 года назад

    Akhii!! PENZI lisikufanye ukajisahau na ukampa KIKI Ibirisi,Nakuombea kheri Daima ila Kumbuka(Penda utachopenda daiima utatengana nacho).

  • @mussamc641
    @mussamc641 3 года назад

    Mh .umekua unaimba tena ..da tena unarap hahahaha ...pesa bhan kweli nishetan .mungu akupe mwisho mwema na mshaur wako pia..

  • @tahiriabdukadir357
    @tahiriabdukadir357 4 года назад +6

    subhanaAllah brother nasir mungu akuongoze nakuombea dua

  • @abrashyhamed5116
    @abrashyhamed5116 4 года назад +1

    Dah we mwanaume sio rizqi karibu utatuvalia vipuli dume zima unatulegezea mdomo ah!!!

  • @starboy3181
    @starboy3181 3 года назад

    Allah akufanyie wepesi kirud ktk muongozo wa Allah subhana wataala

  • @nawalsuleiman8344
    @nawalsuleiman8344 4 года назад +12

    Brother Nassir wat has happened to u twatoka ramadhan na hii ndo gift wampa Allah subhanAllah...muogope mungu achana na tamaa ya dunia..tafakkar

  • @dr.dclassic7658
    @dr.dclassic7658 Год назад

    Wow❤❤❤💓what a song u kill me Abdul nassir

  • @hassanjuma8369
    @hassanjuma8369 4 года назад +7

    Kweli Jabali lilianza na Changarawe! From Nasheed to Rege🤔

  • @sniper93999
    @sniper93999 4 года назад +1

    Vipi kaka tena sikuelewi kbs nilikuzoea sana kweny nasheed na ulipata umaarufu mkubwa leo vipi unatak kujikita pande ya pili inna lillah wainna illah raj unn Allah atuongoz kwa sote

  • @harp.9
    @harp.9 4 года назад +9

    Aaaaah upuuzi mtupu najarib kukufuatilia nikidhan huenda ukatoa kilicho bora kwa m,mungu kumbe kila siku ni hovyo zaid ya jana

  • @rajabungowo3306
    @rajabungowo3306 4 года назад

    ..mbaya sana kuchanganya haki na baatiil...Endapo uliwaongoa watu kwa nasheed zako za awali zenye maadili ilitosha kuwacha kabisa kuliko kuhakikisha wanarejea katika maovu yao ya awalii...tena unawaondolea khofu ya kuyaendea maovu...😥

  • @hassanboi5906
    @hassanboi5906 4 года назад +3

    Mwazoni tulikujuwa kama munsheedu ila ni mwanamuziki tu ww umepoteza uhalisia kabisaaa

  • @hawamwandwi6567
    @hawamwandwi6567 4 года назад +3

    Mmh hpa tna bx brother nassir ,ila Allah akuongoz tuu ujan bhn dohh

  • @zuwenaally9609
    @zuwenaally9609 4 года назад

    Hii sio nasheed bali ni nyimbo huna kitu tena brother nassir huna kitu usha kwishaaa wala hupendezi huna kituuu poleee

    • @zuwenaally9609
      @zuwenaally9609 4 года назад

      Hao wanao kusifia wanakupotosha wallhy haraam (musiqa)

    • @feiruzawadh
      @feiruzawadh 4 года назад

      @@zuwenaally9609 Hajakwisha. It's not too late. Anaweza kujirekebisha. It's upon him kama ataendeleya or atarudi kwa Mola wake. Allah amuongoze na atuongoze sote

  • @fatmashariff3762
    @fatmashariff3762 4 года назад +4

    Marriage has realy changed you bro.Mahaba ni yakuonyeshe njia nzuri si yakupotoe

  • @kunnaayeofficial1322
    @kunnaayeofficial1322 4 года назад +2

    SubhannaAllah ulianza na nasheeda bila music lkn kwa sasa ivi umezidi ya rabbi naona polepole tu unakaribia motoni nakusihi uachane kufuata dunia jiandae na akhera Allah akupe hidaaya aamiin

  • @shirazabdulmajid7425
    @shirazabdulmajid7425 4 года назад +1

    A.alkm ...tunapenda xna kuwahukumu wenzetu ilhali huenda sisi tunaohukumu tuna maasi mengi tunayoficha pasi na kuyaweka bayana,Brother Nassir I jxt cn't stop listening wallah *MWAMBIENI

    • @hzsia9686
      @hzsia9686 4 года назад

      Watafuta kiki ww

    • @shirazabdulmajid7425
      @shirazabdulmajid7425 4 года назад

      @@hzsia9686 Afadhali yko malaika ulo msafi usie doa wala chembe ya dhambi...nimejikubali mm nimkosa,ila kabla hujamnyooshea mtu kidole jithathmini binafsi ---la thadh hab

  • @hafidhamana325
    @hafidhamana325 4 года назад +1

    My brother from another mother nakubali bro nyimbo ipo ajab sana

  • @mussamc641
    @mussamc641 3 года назад

    Hahajaja jamanieeee ..tatzo pesaaaaaaaa hakuna jengine

  • @rukiyashee9439
    @rukiyashee9439 4 года назад +3

    Subhannalllah. Allah akuongoze mwanangu brother nasir. Amiin

  • @hasankidesu1859
    @hasankidesu1859 4 года назад +3

    Dahhhhhh subhanallah Yaallah guide us in the right way.........

  • @yusufjuma264
    @yusufjuma264 4 года назад +1

    Nzuri sanaa.. Wengi mnaomponda Brother Nassirr hata nasheed zake hamuzijui wala hamu msupport kwenye nasheed zake mnangoja atoe nyimbo ndo muanze kumponda Pambaneni na Hali zenu.

  • @hijabbqueen4043
    @hijabbqueen4043 4 года назад +7

    Wakusoma comment tupo bro nassir wats happening bby

  • @idrissadick6831
    @idrissadick6831 4 года назад

    Innalillah wainnailayhi raaj'uun. Mnajinasibisha na Uislam kwenye nyimbo zenu. Ukiuchezea Uislam unamchezea Allah. Jitahidi hivyo hivyo utauona mwisho wake.

  • @jannatfirdaus2500
    @jannatfirdaus2500 4 года назад +3

    Subhanllahh.. Allah akuongozeee yarraby ameen

  • @abubaxhamood4257
    @abubaxhamood4257 4 года назад +3

    Harmonize ni KONDE BOY
    brother nassir Ni JUNI BOY tofauti iko wapi..... welcome to WCB broooo

  • @modiyuu6287
    @modiyuu6287 Год назад

    Ongera sana brother nassir niko n zawadi zako bro

  • @hemedysalim4800
    @hemedysalim4800 2 года назад

    Waoooh aminia babake aaah

  • @wisewoman2330
    @wisewoman2330 3 года назад +1

    inna lillah waina ilayh rajiun hii nasheed au bongo fleva rudi kwa mola wako brother naseer

  • @salimwere7071
    @salimwere7071 4 года назад

    sheikh mkubwa regea katika kaswida zako wapotea brother nassir

  • @mgenimzee4565
    @mgenimzee4565 4 года назад +7

    Subhana Allah brother hapo wakosea usichanganye nasheed na nyingi kama hizo just be normal ama uamue uache nasheed uimbe basi
    Inashaa Allah mungu akuongoze na akusamehe
    if its preferably put it down sisawa hivo😰

  • @ramaramez5421
    @ramaramez5421 4 года назад +10

    As Salam aleykum mashabiki wa ndugu yetu huyu. Naomba musimlaumu kwani Hana makosa Yeye ni muimbaji tu haijalishi ni kaswida au nasheed zote ni nyimbo tu. Tofauti ni kule anamtaja Allah na Mtume na huku Anataja mapenzi. Kwa hiyo kama wewe ni shabiki wake basi ujue wewe ni mpenzi wa nyimbo pia.

  • @saudayusuph1424
    @saudayusuph1424 3 года назад

    Tangu uoe imekua shidaaa na izo nashid zako maana inaelekea kuwa miziki

  • @zeinabathman6311
    @zeinabathman6311 4 года назад +2

    Wallahi bro rudi kwa mungu wallahi tena dhambi tupu brooo😥😥😥😥😥😥😥

  • @ahmedsayyid2546
    @ahmedsayyid2546 3 года назад +4

    Ma shaa Allah brother Nassir......keep it up

  • @WardaIsmail-p1o
    @WardaIsmail-p1o Месяц назад

    amto achana kamwe maana mna♥♥♥

  • @dallassophia8967
    @dallassophia8967 3 года назад

    I am jamming to this sijui kwann watu wengine munaudhika si lazima musikize

  • @neemanitu7522
    @neemanitu7522 4 года назад +5

    Subhannallah. Unakoelekea sio kaka. Rejea kwa Allah

  • @huaweihonor7s409
    @huaweihonor7s409 4 года назад

    Yani ww noma San daaai mungu akusamehe

  • @buhayat66
    @buhayat66 3 года назад +6

    Always on top man😘😘👌🏻

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 3 года назад

    Asanta sana brother

  • @adhaahmed4779
    @adhaahmed4779 4 года назад

    Kazi nzuri Brother Nassir

  • @Muhammad-g1n8d
    @Muhammad-g1n8d 4 года назад +1

    Santa mfuasi wa mbosso bado bangi tu hapo na glass ya whiskey. Umekua catoon. Allah akuongoze

    • @salmeendullah140
      @salmeendullah140 4 года назад

      Acha kutype ujinga ilhali uonekane na ww kwangu mm naona ako ryt bcz hajaimba maneno machafuu so broo jiangalie

  • @hamisahillary8615
    @hamisahillary8615 4 года назад +2

    Hongera baba!!!!! Ni fireeee #mwambieni. Uwiiii sina hali mwambieni nimechoka manyanyaso nimeamua tuachane

  • @copyrightfreecontent5891
    @copyrightfreecontent5891 4 года назад +1

    Nawaambia hvi wale wenye kusema ma shaa Allah kwani hili ni jambo la kheri? Tujue sote ni marehemu watarajiwa mungu atupe husnul khatima

  • @abubakarboga4558
    @abubakarboga4558 4 года назад

    Yusuph Abdi anahitajika sauti yake kwa kijana huyu coz walikuwa pamoja

  • @al-khairat63
    @al-khairat63 4 года назад +2

    Welaaaaaaaaaaaaz piga kelelekwa brotherakeeeeeeeeee😚😍😍😍😍😍😍

  • @kadojamlo709
    @kadojamlo709 4 года назад

    Ushamba huu brooo.. Usione ni utsaaaa khuiiii..... Ujanja ni mtu kuwa na msimamooo.. Anyway Allah akuongozee bro🤔.. Daah

  • @smartworldtz
    @smartworldtz 4 года назад

    Duh bro unatupakaa rangi ya kinyonga machoni,nashindwa kutofautisha kijani na yanga,nashiid ishapotea now your completely musician,,,, can't define you😥😥

  • @fatmamussa1161
    @fatmamussa1161 4 года назад

    Subhana nllan shetani anakuchukua pole pole

  • @mkoleafjronlinetv7860
    @mkoleafjronlinetv7860 4 года назад +1

    Hii ni nyimbo mzee baba naona kwa mungu sijui utakua na lipi la kujibu

  • @allymsuya4596
    @allymsuya4596 4 года назад +2

    Mungu anaongoza sana Shekhe Yusufu Abdi maana kaanza muda sana Nasheed lakini mpaka leo hajatusaliti ila ww ndugu unatuzalilisha Waislamu sauti nzuri umeipeleka kwenye miziki

    • @salmeendullah140
      @salmeendullah140 4 года назад

      Ww pia waeza kuwa na sauti nzuri unaeza imba nasheed maana hamna neno hta moja ametoa neno la makosaa

  • @mussamuntadhi8692
    @mussamuntadhi8692 Год назад

    Yan asaiv sikuelew kabisa

  • @turkeyphone9629
    @turkeyphone9629 4 года назад

    Nzur sanaa kama mb doggy

  • @user-hq7qh5wn9b
    @user-hq7qh5wn9b 6 месяцев назад

    You just gained a new follower, your music hits to the soul. Hello from Canada🥰

  • @moudyhajj4180
    @moudyhajj4180 4 года назад

    Hao wanaongea vibaya wote wanawaskiza kina mbosso kisha wajifanya wacha mungu sana kila mwanadamu ana kasoro zake hakuna mwenye haki ya kumjudge mtu saa hizi ww hapo ndo muovu na mpotofu wa kwanza kisha unaongea muacheni brother nassir na mungu wake

  • @sunpanther9699
    @sunpanther9699 22 дня назад

    Sichoki kusikiliz huu wimbo guyz its 2 sweet

  • @jamilahemed1341
    @jamilahemed1341 4 года назад

    Mungu wangu brother nassir unafanya nini sasa🙄 hizi ni nyimbo sasa

  • @athmanmaalim9311
    @athmanmaalim9311 3 года назад +1

    Wajuwa binadamu hupenda sana kujaji mtu,Huyu kaka anaimba nyimbo aina mbili,Nasheed ama yakidunia🤫🤫

  • @ukhtyruqyah7860
    @ukhtyruqyah7860 3 года назад

    Nyimbo bora nzuri

  • @fatumaadan1841
    @fatumaadan1841 Год назад

    Masha Allah brother Nassir

  • @Zamu-ud4zl
    @Zamu-ud4zl Год назад +1

    My brother may Allah guide you to the right path Insha Allah

  • @tayt4086
    @tayt4086 4 года назад +16

    Bro mboso sio bro nasir
    Kaka wasafi inakuhusu

  • @twalhasuleiman3616
    @twalhasuleiman3616 2 года назад +3

    mashaallah i like it 😗😗😗

  • @zubeyrabubakar293
    @zubeyrabubakar293 4 года назад +1

    1:35 - 1:57 😍 MashaAllah ndugu hayo maneno sio nyepesi kwa ukweli🔥

  • @tawhidamohd8297
    @tawhidamohd8297 4 года назад

    Mhh Ayo mavazi naizo nywele ulivozieka kama firauni chefuuuu mbayaaa muone vile😨 ushanichefua Allah tu akuongoze

  • @Abu_Arshad23
    @Abu_Arshad23 4 года назад

    Umeamua kupata dhambi sehem usoiweza huku hujui kuimba chcht mrudi allah akuhifadh ue miongon mwa wema

  • @tausisiogopi817
    @tausisiogopi817 2 года назад

    Favorite Artist

  • @HassanHassan-ix7cj
    @HassanHassan-ix7cj 4 года назад +3

    Inna Lilahi Waina Lilahi Rajiuni
    Tumuombeni Bro. Nassir bcoz huku endaka sasa siko

  • @islamswaleh4666
    @islamswaleh4666 4 года назад +7

    Ulianza na nyimbo za heshima kama mama, nasheed. Lakini waanza kujisahau na kupotea. Hupendezi kabisa na hizi nyimbo.

  • @saidahmad7775
    @saidahmad7775 3 года назад

    That's good haaaa...........

  • @thalapathyfanclub7675
    @thalapathyfanclub7675 2 года назад

    Let’s see who are listening to this masterpiece on this month October 2021

  • @malcomx2774
    @malcomx2774 4 года назад

    sasa wew ci umeshaoa

  • @salminsaid2297
    @salminsaid2297 4 года назад +1

    MashaAllah...kwanza hapo kwa kuchana umechana kikweli umeweza keep it bro proud of you Bajuni Boy

  • @NasraMarik
    @NasraMarik 7 месяцев назад

    Allah amuongoze njia iliyo nyooka

  • @zainabomar1659
    @zainabomar1659 4 года назад +5

    Allah akuongoze...aamin

  • @zaaamohd6846
    @zaaamohd6846 4 года назад +10

    Who's online now listening to such a romantic song 😘😘😘😘

  • @abuusalim348
    @abuusalim348 4 года назад

    mh mjomba kushapotea njia Fanya utafute njia iliyonyooka
    ulipo sipazuri ucjidanganye unaimba qaswida bali huwo ni muziki rud ulipo kuwa mwanzo(nasheed)
    fikiria hayo ndugu yangu kwa ajili ya ALLAH

  • @abubakarsalim3414
    @abubakarsalim3414 3 года назад

    Mche mungu watu wanakupenda

  • @rajabungowo3306
    @rajabungowo3306 4 года назад

    Zipo khilafu baina ya wanazuoni kuhusiana na suala la nyimbo lakini hakuna sheikh hata mmoja ambaye hataiona sharri katika nyimbo hii..

  • @abdulmahamad8442
    @abdulmahamad8442 4 года назад +1

    Duh rudi kwa mola wako bro😭😭ulianzaaaa vizuri mashallah....sasaaa mambo gani hayaa🙇‍♂️💔

  • @Chocolatina143
    @Chocolatina143 2 года назад

    """"Hali yangu tacbaani Mwambieni aya fahamu nime bakj kitandani kutoka njee imekuwa sumu salaam zangu mpenii hata kwa simu 😍😍😍😍💌

  • @Husnajaffar942
    @Husnajaffar942 4 года назад

    Mukiambiwa hizo qaswida hazifai mwisho wake ndio mwaingia hapo.Allah akuongoze

  • @tphj2913
    @tphj2913 4 года назад +3

    Sasa umeamuwa kujitosa kweny nyimbo kabbisa .......
    Is up to uh

  • @yunusjuma4340
    @yunusjuma4340 4 года назад

    Sisi tunasema mwanaume haimbi nakiimba tunamashaka naye mungu atakuongoza utoke kwenye moto

  • @farhaabdul7260
    @farhaabdul7260 4 года назад +2

    Know yourself before you go around judging other people... DON’T JUDGE SOMEONE JUST BECAUSE THEY SIN DIFFERENTLY THAN YOU!!! Focus on yourself to become a better Muslim rather than wasting your energy on someone else!!!!

  • @alibax001
    @alibax001 4 года назад +3

    Wafeli bro....wapotea usishindane na lavalava ashapotea yule

  • @nasraabdi7400
    @nasraabdi7400 3 года назад +1

    Kwani what happened what's wrong mbna nyimbo Kama hizi ya Rabi mrudishe bro nassir