Kings Music - Abdukiba X Cheed X Killy X K-2GA - TOTO (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 окт 2024
  • Instagram: @KingsMusicRecords
    Facebook: @KingsMusicRecords
    Twitter: @KingsMusicTz

Комментарии • 6 тыс.

  • @duceronlinetv3910
    @duceronlinetv3910 5 лет назад +100

    Kumbe tupo weng tunaosubili dude💣💣💣like kama we team #kiba

  • @hamismalimungu9959
    @hamismalimungu9959 5 лет назад +80

    Sijawah kupata like kwa king kiba

  • @officialvanillano6817
    @officialvanillano6817 5 лет назад +21

    nimekua.wa 72 kuangalia iih vidio naomba ka like jaman

  • @majimakali6589
    @majimakali6589 4 года назад +7

    Sijui gundu hata like moja khaa much love toto

  • @salumyasin9029
    @salumyasin9029 5 лет назад +57

    utabaki kuitwa kiba alafu kunatofauti kati ya kuanza na kufata wewe kiba unaanza alafu watu wengine tunafata no one like wewe gonga like kwa kiba

  • @BongoZaKitambo55
    @BongoZaKitambo55 5 лет назад +85

    Wallahi Hii Ngoma Kali Sana, Cheed Anajua Sana

    • @kelvinmasalu7352
      @kelvinmasalu7352 5 лет назад +1

      Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics

    • @shomy902
      @shomy902 5 лет назад +1

      King"s atali sana

  • @youngrappertz1735
    @youngrappertz1735 5 лет назад +75

    kama unaikubali label ya AliKiba Gonga like hapa....❤❤❤❤❤

  • @zaitunimussa4752
    @zaitunimussa4752 3 года назад +2

    Uyo mwenye Rasta anacheza mpk sio powa

  • @shanizyusuf8210
    @shanizyusuf8210 5 лет назад +17

    waaa round hii niatari km wakubaliana na mm weka like twende sawa

  • @annabeljohn401
    @annabeljohn401 5 лет назад +17

    Huyo mshkaji mwenye dreads ndefu anaimba kama Ally aiseeee 🔥🔥🔥🔥🔥

    • @bachirncadebachir7099
      @bachirncadebachir7099 5 лет назад

      minilizani masikio yangu ayako sawa.nilikuwa ninajiandah kwenda nikayonane na dactari.ila nashukuro kwa kunisibitishia kama kweli ni k2ga. asante der Anna

    • @immancharz6012
      @immancharz6012 5 лет назад +2

      K2ga

  • @huseinmejja9318
    @huseinmejja9318 5 лет назад +15

    Mamaweee hii n hatari isee bonge ya ngoma saluti kings music

  • @markmuchiri5666
    @markmuchiri5666 4 года назад +1

    Cheeeeeeddddd🙌🙌🙌🙌🔥...wale majaji waliosema ukiimbe hatutajua kama.ka kike ama kakiume sasa hivi wanaona ulivyo lidume.. mashallah...talents 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jeccaonline7755
    @jeccaonline7755 5 лет назад +19

    Jomoniiiii jomoniiii alikiba we ni nyokoo sana umenikamata yaan ngoma imenikamata sana fundi was madude na bado yebabaa

    • @hassansaid9925
      @hassansaid9925 5 лет назад +1

      Jescka habari 😂😂😂😂😂😂👦😂 Kama mm

  • @amisisteven8339
    @amisisteven8339 5 лет назад +37

    Killy noma ! Duhhh mbona king music ni fire 🔥 👑 [cheed , k2GA, Abdukiba , Killy ] 🔥🤟👑

  • @astarchuchu6165
    @astarchuchu6165 5 лет назад +24

    King 👑 kiba utabaki kuwa king kwangu kazi yako ni sawa 🔥kenya tuko pamoja

  • @fatumasaid4370
    @fatumasaid4370 5 лет назад +3

    Yani hii ngoma siichoki yani
    Ni
    Mwendo wa 💃💃💃

  • @daisonseilas5611
    @daisonseilas5611 5 лет назад +30

    Hawaamini wanacho kiona 😂😂😂😂😂#TeamKiba tupo Wañgai tujuane

  • @princekarani7836
    @princekarani7836 5 лет назад +20

    ebu tuache mawivu ya ajabu ihi nyimbo kali kinoumaaaa

  • @jandaboytztz6314
    @jandaboytztz6314 5 лет назад +76

    sisi wakenya venye tunasema hii gomakalisa sana like mingi kwa sisi bakenya

  • @nadedjanadedjinakimanu1685
    @nadedjanadedjinakimanu1685 5 лет назад +24

    Nawakubali sana kings musics 👍👍❤️

  • @jembekali2658
    @jembekali2658 5 лет назад +51

    Waaaaaah kizazi sana homa la East Africa hili hapa gonga like kama umeikubali hiii....nipeni like mwenzenu

  • @hameedmbogo3633
    @hameedmbogo3633 5 лет назад +60

    Director wa hii video ni mkenya wakenya hebu tumpe Bosco junior likes

  • @GedeonJamesGedythedon
    @GedeonJamesGedythedon 5 лет назад +24

    Wale tuko pamoja kuona kua king ataendelea kua king tuwe pamoko.. 🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @maflevareloaded5503
    @maflevareloaded5503 3 года назад +2

    Kazi safi sana Abdukiba

  • @abuusaidimsigwa9654
    @abuusaidimsigwa9654 5 лет назад +128

    Oooooooooooooooyo wale wotye Tim kiba usiach like kama zote

  • @mahmudkiba82
    @mahmudkiba82 5 лет назад +47

    king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like

  • @fridajoseph6642
    @fridajoseph6642 5 лет назад +106

    wimbo mzuri mtamu kuusikiliza,,,video ipo bomba pia,,,tuloamkia kuusikiliza huu wimbo like hapa plz😘

  • @vanessaurio2135
    @vanessaurio2135 5 лет назад +3

    Cheed na Tuga Jamani Wanajua Mpaka Wanaboaaaa Chaaaa Ila Cheed ndo Kibokooo Kabisaaaaa

  • @pascalballer
    @pascalballer 5 лет назад +19

    Nimelike bila kuview ngoma.......wapi like za team 👑 kiba penda saana hadi sioni kwengine

  • @kimnanaa6197
    @kimnanaa6197 5 лет назад +49

    Ladha halisi.... Hana mpinzani... King wa bongo flavor 🙌🙌🙌🙌

  • @jumamwita7012
    @jumamwita7012 5 лет назад +19

    hawa watu ni nuksi wanajua hadi basi

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 года назад +2

    Killy on file💯💯💯💯💯 ingawa wote mpo vizuli

  • @emanuelndamo7748
    @emanuelndamo7748 5 лет назад +150

    kama umedata na hii ngoma weka 💞💞💞💞 ya kibabe hapa

  • @hamiduathumanmwene1874
    @hamiduathumanmwene1874 5 лет назад +52

    Baba awavijana wamekuja kufanyamageuzi ya dunia mnaweza mtoo we mtooooooooooomtoooo

  • @eddytzonlinetvTallMan
    @eddytzonlinetvTallMan 5 лет назад +23

    ngoma kalii saanaa KUIWEKA TRENDING LIKE HAPA #ALIKIBA

  • @antonyngala1977
    @antonyngala1977 5 лет назад +7

    Team king team mziki mzuri yebabaaaa

  • @jamalmainde4135
    @jamalmainde4135 5 лет назад +147

    kwani team #kiba tunafanyiana ubaya?
    haya naombeni like kama tunapendana

  • @barbiemilleye8276
    @barbiemilleye8276 5 лет назад +175

    Team kiba muache unfki munipe likes zangu bwana 🗣🗣🗣🗣🗣

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 5 лет назад +22

    oyooooo mambo VP nime ludi tena saizi kucheki kavideo

  • @iamkandarasi
    @iamkandarasi 5 лет назад +5

    We mtoto...... Oooohps!! King 👑

  • @thomasmwaipale2621
    @thomasmwaipale2621 5 лет назад +32

    ukiwa kama Mimi mpenda muzik mzur like hapa

  • @ntawurusigajaphetomari882
    @ntawurusigajaphetomari882 5 лет назад +155

    Watanzania na warundi tuungane mnipe like Kama munaangalia na kusoma comment Kama mimi

  • @rajabukulandea827
    @rajabukulandea827 5 лет назад +131

    kama umerudia kuicheki ngoma kama mimi gonga like twend sawa

  • @nicolausvicent3006
    @nicolausvicent3006 5 лет назад +6

    Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul

  • @mchachamakh6489
    @mchachamakh6489 5 лет назад +34

    Hivii huyuu kiba Yuko section gani DJ au muimbaji😂😂😂😂😂wametishaaa sanaa🙌🙌🙌🙌

  • @hadijamlekwa7976
    @hadijamlekwa7976 5 лет назад +81

    Kama unamkubali king Kiba gonga like hapa👇🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥💯💖💖

  • @MTALIITV
    @MTALIITV 5 лет назад +15

    Daaaaah🆕🆕💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥⭐⭐⭐⭐⭐⭐ Wale Ndugu Zetu Itabidi Wamejipanga😂😂😂😂.Kings Music Wamekomaaaaa💥🔥🆙

  • @khamiskheiry1145
    @khamiskheiry1145 5 лет назад +1

    Toto liko wap lije hp nilipo japo moja lkn mm clidanganyi kabix....kings music🎧 juu sana....yebaba.....oyoooo..

  • @annie7028
    @annie7028 5 лет назад +42

    wooooowwww❤️hawa watu sauti tuuuuuuuu swa alikiba big up unawaleta wasanii wapya wenye talanta 🌺napenda sana bidii yako💯

  • @musamsumari5998
    @musamsumari5998 5 лет назад +19

    Kama umechelewa kazini kama mim kingoja hii ngoma gong like

  • @OffcialKp
    @OffcialKp 5 лет назад +52

    Chama la wasomaaa comment mko wapiiii

  • @edinnasimon9032
    @edinnasimon9032 5 лет назад +3

    nawapenda sana king Music sauti kama yote

  • @babuu4098
    @babuu4098 5 лет назад +101

    Hivi siwezi kuapata like kama hizi kweli😂 kam kweli gonga tu tapah👍 #alikiba toto hii ngoma ni noma baba ake 🔥🔥maswala ya konki konki hatuhitaji 😂😂

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 5 лет назад +2

      Fyeeeeka mbli team wamama kiba yebabaa

    • @babuu4098
      @babuu4098 5 лет назад

      @@salimaamir5561 😂😂

    • @fallymetoo191
      @fallymetoo191 5 лет назад +1

      Congratulations wa king kiba nyote... mbona patam apa 👌

    • @babuu4098
      @babuu4098 5 лет назад +1

      @@fallymetoo191 😂 mchezo usiuchezee 😂😂 kiba ni 🔥 hamn wakuzima

  • @mahmudkiba82
    @mahmudkiba82 5 лет назад +16

    this is king music alikiba ni director Wa music amewatengeneza vizur sana HAWA king music Mimi kama Mimi goma za king music ni kubwa kama za baba kiba

  • @rajahiv9723
    @rajahiv9723 5 лет назад +318

    Mdogo wangu kaniambia siwezi fikisha like zaidi ya 3 kwa #kingsmusic
    Kama ww ni #Team_kiba #Kingmusic #WCB basi like hapa 🦅🦅

  • @isingomagabriel1959
    @isingomagabriel1959 2 года назад +1

    🇺🇬🇺🇬 tunapendeza kings music sana

  • @abykeny9395
    @abykeny9395 5 лет назад +44

    Kama unaamini k2ga ndo mrithi wa kiba twende sawa hapaa🔥🔥🔥

  • @saidikutwambi1799
    @saidikutwambi1799 5 лет назад +256

    Aliyerudia Mara 50 kuview hii ngoma kabla haijafika 1M viewers like hapa

  • @yohnafanuel6489
    @yohnafanuel6489 5 лет назад +42

    Wale Team kubwa King kiba+Kings music nipate like bac

  • @mohdeddy123
    @mohdeddy123 5 лет назад +1

    Daaah i abdul moco kwa zenji no.moco kama umaarufu wang kinngggggggg king's na wanawe tunatishaaa video kama na saut soul

  • @barytz5977
    @barytz5977 5 лет назад +158

    Kama umerudia kungalia hii ngoma wacha #like 2juane

  • @novidahtv9354
    @novidahtv9354 5 лет назад +326

    Acheni uchoyo team kiba naomba like zangu

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 5 лет назад +1

      😂😂😂😂😜

    • @novidahtv9354
      @novidahtv9354 5 лет назад

      @@salimaamir5561 😸😸😸

    • @guulajini3596
      @guulajini3596 5 лет назад

      😂😂😂

    • @JAELBOY
      @JAELBOY 5 лет назад

      ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw

    • @JAELBOY
      @JAELBOY 5 лет назад

      ooyoh ...watch it comment and subcribe .....thanks🤟🏼

  • @dailutionline1866
    @dailutionline1866 5 лет назад +36

    jamani tujitaidi ndani ya masaa 24 tugonge milioni 1

  • @thomguy445
    @thomguy445 5 лет назад +2

    King music moto wa kuotea mbali!!

  • @mursilmursal
    @mursilmursal 5 лет назад +30

    Wale wa kusoma comments nipe like ya KINGKIBA

  • @peterfujokalogi7821
    @peterfujokalogi7821 5 лет назад +28

    Jamanii sijachelewaaa kusema ukweli wimbo mkali

  • @eyfdfhuf1830
    @eyfdfhuf1830 5 лет назад +258

    Team kiba mimi sijawah kupata like hata siku moja kwaiy fany km unalike twende sawa

  • @jojoflash1454
    @jojoflash1454 5 лет назад +16

    Wow my music we mtoto we mtoto unanivuruga akili kama mtoto 😘😘😘😘😘🙏🏻

  • @princenewton
    @princenewton 5 лет назад +59

    Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯

  • @andjelaninyassa1468
    @andjelaninyassa1468 5 лет назад +20

    Kama 😍naweweni team kiba ngonga like tusonge mbelee

  • @ayanseef4433
    @ayanseef4433 5 лет назад +36

    alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u

  • @mhammadjamal3711
    @mhammadjamal3711 5 лет назад +8

    2.28 - 3.02🔥🔥🔥 ...wangapi wanakubalianaa , K2GA moto

  • @hashgrillcateringservices861
    @hashgrillcateringservices861 5 лет назад +30

    Views achia wasafi ngoma Kali kuja kings music

  • @hellenditram4465
    @hellenditram4465 5 лет назад +23

    Aiiiiiiii nyimbo tamu bhana....I feel it aiseeeee....MB zangu haziendi bureeee😘😘😘😘😘😘😘😘Si mna uFEEL kma mimi....#ForeverFan# kweli tunapagawa😘😘😘😘😍😘😘😘

  • @selemanibididas6734
    @selemanibididas6734 5 лет назад +75

    Hivi like mnatoaga kwa mjuano? Mbona me sipatagi

    • @salimaamir5561
      @salimaamir5561 5 лет назад +2

      Pengine umejisajili juz team kiba hatuna ubaguzi au pengine ulikua team domo hapa full raha

    • @selemanibididas6734
      @selemanibididas6734 5 лет назад

      @@salimaamir5561dada mzuri nipo kitambo ila leo nimezipata

    • @selemanibididas6734
      @selemanibididas6734 5 лет назад

      Kwa upendo huuu nahama tim pinzan

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani876 5 лет назад +4

    Munaweza sana Mungu awaongoze mufike mtakapo fika kwa Mapenzi yake.
    K-2GA umenifuraisha ulivyo yaludi kama kucheza kote duuu umeweza👏👏

  • @beautyforall1783
    @beautyforall1783 5 лет назад +123

    Daaah....+254 ebu musintenge pia mm like kwa ILI DUDE LA MWAKA

    • @JAELBOY
      @JAELBOY 5 лет назад

      Hashim M2 ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw

    • @khalfamo8874
      @khalfamo8874 5 лет назад +1

      Alikiba n atareee

    • @hadijayusuf8083
      @hadijayusuf8083 5 лет назад

      Kali sana

  • @luswizamobile2934
    @luswizamobile2934 5 лет назад +25

    King's music itabaki kuwa juu sku zote. #k2ga #killy #abdukiba #cheed #KINGKIBA

  • @mariammussa897
    @mariammussa897 5 лет назад +67

    kama unamkubali alikiba gange like yako hapa ❤❤❤❤❤❤

  • @beatricejerome2628
    @beatricejerome2628 5 лет назад +2

    Team kiba itabaki kuwa kileleni chiiiiii💥🔥🔥🔥Atari fire

  • @zawadiomary8195
    @zawadiomary8195 5 лет назад +49

    Hapo fresh sana kwa kweli kama unakubali team kings music gonga like yako ili tuendane

  • @abeidsocco9912
    @abeidsocco9912 5 лет назад +54

    Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,,
    kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake..
    moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music.
    #king kiba
    #abdu kiba
    #killy
    #cheed
    #K2GA
    Nawakubali Sana.
    Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.

    • @shamsheryaj18
      @shamsheryaj18 5 лет назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa
      Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma
      Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @jumamasaka9162
      @jumamasaka9162 5 лет назад +1

      😁😁yebaba

    • @hashimuismail5587
      @hashimuismail5587 5 лет назад +4

      Duh mm nina bahati mbaya. Yaani sijapata like hata moja

  • @mabulamsabula3125
    @mabulamsabula3125 5 лет назад +317

    Team kiba naomba tujuane kw kugonga like

  • @beyoncebaby3591
    @beyoncebaby3591 4 года назад +1

    Mm k2ga ndio ananimalza ak 🥰🥰🥰🥰

  • @BeneguPro
    @BeneguPro 5 лет назад +194

    Achia video mxzee baba embu weka like kama zote kama una mkubali King 👑 Kiba mwenyewe

  • @hellenditram4465
    @hellenditram4465 5 лет назад +99

    Ni mwendo wa repeat tu mtaani kwetu....Kanyimbo kametulia kama wenyewe tu....Nyimbo haina fujo aiseeeeeee....Dem voices aiseeee😘😘❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋

  • @G_254
    @G_254 5 лет назад +155

    Hapa Kenya tunatambua Alikiba..siombi likes hata but nasema tu ukweli

    • @yagalbyyaayuni7247
      @yagalbyyaayuni7247 5 лет назад +2

      Kweli jamani shem yuko sawa

    • @misswamboh9585
      @misswamboh9585 5 лет назад

      You can say that again💯

    • @supertallone4905
      @supertallone4905 5 лет назад

      neymare gershon n vzur mkawajua na hawa aliowaibua

    • @JAELBOY
      @JAELBOY 5 лет назад

      neymare gershon ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw

    • @axelnelson8413
      @axelnelson8413 5 лет назад +1

      kibaa ni pure talent ..nampenda Diamond pia lakini King kiba ni mnomaa

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 2 года назад +1

    Hawa madogo wamezingua kuondoka kings

  • @jeccaonline7755
    @jeccaonline7755 5 лет назад +27

    Jamani hii ni hatatali ndani ya 1 dk view 1000 nani kaona kama mimi

  • @msumakwanza7970
    @msumakwanza7970 5 лет назад +41

    abdu kabadilika ktk hii ngoma kinoma pigeni kazi

  • @feisalbaruan7227
    @feisalbaruan7227 5 лет назад +28

    bora king kiba umebadilika atleast umeweka mdundo wa maana tumepumzika na sebene ila ngoma iko fireeeeeee...

  • @PhilomenaSteven-x9h
    @PhilomenaSteven-x9h 7 месяцев назад +1

    My favorite artist and song kiba rudisha wote samehe bro

  • @clementhariss6941
    @clementhariss6941 5 лет назад +50

    Kama unamkubali kings music embu nione likes

  • @barytz5977
    @barytz5977 5 лет назад +31

    Nani mwengine anangali huku akisoma #comment za wa2

  • @omabizo686
    @omabizo686 5 лет назад +22

    Wapi like za moco genius jamani yani hili chupa n fireeeeeeeeee

  • @zilfaimidizilfaimidi1421
    @zilfaimidizilfaimidi1421 5 лет назад +2

    Nic sana kabisaa

  • @dmctv6537
    @dmctv6537 5 лет назад +69

    Number one watching from USA,,KING KiBA FOR LIVE we love you

  • @esharamadhani3438
    @esharamadhani3438 5 лет назад +34

    Kweli now ni back to back team kiba tukutane kwenye like

  • @ziadaibrahim9872
    @ziadaibrahim9872 5 лет назад +70

    Jaman wakwanza kutazama naomba like kiba atali na watoto wake sauti tu me napagawa nawapenda sana jaman

  • @mcjakababakenya4912
    @mcjakababakenya4912 5 лет назад +2

    Apa team king kibatuuuu....+254 tuko ndaniiiiii kingz music mpaka kufa mtu.....kitaeleweka tuuuuuuuuuuuuu