Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics
minilizani masikio yangu ayako sawa.nilikuwa ninajiandah kwenda nikayonane na dactari.ila nashukuro kwa kunisibitishia kama kweli ni k2ga. asante der Anna
king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like
Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul
Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯
alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u
Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,, kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake.. moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music. #king kiba #abdu kiba #killy #cheed #K2GA Nawakubali Sana. Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ni mwendo wa repeat tu mtaani kwetu....Kanyimbo kametulia kama wenyewe tu....Nyimbo haina fujo aiseeeeeee....Dem voices aiseeee😘😘❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋
Kumbe tupo weng tunaosubili dude💣💣💣like kama we team #kiba
Sijawah kupata like kwa king kiba
nimekua.wa 72 kuangalia iih vidio naomba ka like jaman
Sijui gundu hata like moja khaa much love toto
utabaki kuitwa kiba alafu kunatofauti kati ya kuanza na kufata wewe kiba unaanza alafu watu wengine tunafata no one like wewe gonga like kwa kiba
Wallahi Hii Ngoma Kali Sana, Cheed Anajua Sana
Zungu Berry yaan hawa watu Mm waeniacha dialema, kila mtu kaua kwa nafasi yake. Hawa watakuwa majini maana sio kwa uimbaji huoo,,, much congratulations to u teacher kiba! maana wewe ndo kiwanda chenyewe. #King's musics
King"s atali sana
kama unaikubali label ya AliKiba Gonga like hapa....❤❤❤❤❤
Uyo mwenye Rasta anacheza mpk sio powa
waaa round hii niatari km wakubaliana na mm weka like twende sawa
Huyo mshkaji mwenye dreads ndefu anaimba kama Ally aiseeee 🔥🔥🔥🔥🔥
minilizani masikio yangu ayako sawa.nilikuwa ninajiandah kwenda nikayonane na dactari.ila nashukuro kwa kunisibitishia kama kweli ni k2ga. asante der Anna
K2ga
Mamaweee hii n hatari isee bonge ya ngoma saluti kings music
Cheeeeeeddddd🙌🙌🙌🙌🔥...wale majaji waliosema ukiimbe hatutajua kama.ka kike ama kakiume sasa hivi wanaona ulivyo lidume.. mashallah...talents 🔥🔥🔥🔥🔥
Jomoniiiii jomoniiii alikiba we ni nyokoo sana umenikamata yaan ngoma imenikamata sana fundi was madude na bado yebabaa
Jescka habari 😂😂😂😂😂😂👦😂 Kama mm
Killy noma ! Duhhh mbona king music ni fire 🔥 👑 [cheed , k2GA, Abdukiba , Killy ] 🔥🤟👑
King 👑 kiba utabaki kuwa king kwangu kazi yako ni sawa 🔥kenya tuko pamoja
Yani hii ngoma siichoki yani
Ni
Mwendo wa 💃💃💃
Hawaamini wanacho kiona 😂😂😂😂😂#TeamKiba tupo Wañgai tujuane
ebu tuache mawivu ya ajabu ihi nyimbo kali kinoumaaaa
sisi wakenya venye tunasema hii gomakalisa sana like mingi kwa sisi bakenya
Nawakubali sana kings musics 👍👍❤️
Waaaaaah kizazi sana homa la East Africa hili hapa gonga like kama umeikubali hiii....nipeni like mwenzenu
Director wa hii video ni mkenya wakenya hebu tumpe Bosco junior likes
Kiba lazma afanye kazi na mashemegi
Wale tuko pamoja kuona kua king ataendelea kua king tuwe pamoko.. 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Kazi safi sana Abdukiba
Oooooooooooooooyo wale wotye Tim kiba usiach like kama zote
Katisha msanii pia mchezaji kote hakoseii
king music wanafanya mziki mkubwa sana alikiba umewatengeneza vizur sana cheed k2ga killy na. Abdukiba nasema hivi king music levels zingine hahahaha kama umemuona DJ Kiba gonga like
wimbo mzuri mtamu kuusikiliza,,,video ipo bomba pia,,,tuloamkia kuusikiliza huu wimbo like hapa plz😘
Kwa kwel mziki wa kitz
Cheed na Tuga Jamani Wanajua Mpaka Wanaboaaaa Chaaaa Ila Cheed ndo Kibokooo Kabisaaaaa
Nimelike bila kuview ngoma.......wapi like za team 👑 kiba penda saana hadi sioni kwengine
Ladha halisi.... Hana mpinzani... King wa bongo flavor 🙌🙌🙌🙌
@Denny Love VOVE Comfirmed..
hawa watu ni nuksi wanajua hadi basi
Killy on file💯💯💯💯💯 ingawa wote mpo vizuli
kama umedata na hii ngoma weka 💞💞💞💞 ya kibabe hapa
emanuel ndamo kali kama kuma
Haliishi ham
Baba awavijana wamekuja kufanyamageuzi ya dunia mnaweza mtoo we mtooooooooooomtoooo
ngoma kalii saanaa KUIWEKA TRENDING LIKE HAPA #ALIKIBA
Team king team mziki mzuri yebabaaaa
kwani team #kiba tunafanyiana ubaya?
haya naombeni like kama tunapendana
tumeipenda sana iyo
Hahaaa
Dooooh hiii ngoma ya mwak K_2ga umekimbiza jombaaaa
sanaa
Team kiba muache unfki munipe likes zangu bwana 🗣🗣🗣🗣🗣
tumefurahi kuona wameachia ngoma aya like yako iyo usilielie tena
Sawa ushasema wangu
Chukua izooo
Dooh bonge la ngoma aisee
Kingmusic
oyooooo mambo VP nime ludi tena saizi kucheki kavideo
We mtoto...... Oooohps!! King 👑
Ni bonge la dudeeeee
ukiwa kama Mimi mpenda muzik mzur like hapa
@Lucy Opanda hatar sana huu umeme
Watanzania na warundi tuungane mnipe like Kama munaangalia na kusoma comment Kama mimi
kama umerudia kuicheki ngoma kama mimi gonga like twend sawa
Daaaa yani nyie jamaaa mnaboa sana yani sio kujua mme pitiliza zaidi ya kujua daaa aiseee hongeren san mnajua mpk mmevuka mipak saaa nice kz nzuli zd ya nzul
Yani ni balaaaa
Hivii huyuu kiba Yuko section gani DJ au muimbaji😂😂😂😂😂wametishaaa sanaa🙌🙌🙌🙌
Kama unamkubali king Kiba gonga like hapa👇🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥💯💖💖
Daaaaah🆕🆕💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥⭐⭐⭐⭐⭐⭐ Wale Ndugu Zetu Itabidi Wamejipanga😂😂😂😂.Kings Music Wamekomaaaaa💥🔥🆙
Toto liko wap lije hp nilipo japo moja lkn mm clidanganyi kabix....kings music🎧 juu sana....yebaba.....oyoooo..
wooooowwww❤️hawa watu sauti tuuuuuuuu swa alikiba big up unawaleta wasanii wapya wenye talanta 🌺napenda sana bidii yako💯
Kama umechelewa kazini kama mim kingoja hii ngoma gong like
Chama la wasomaaa comment mko wapiiii
Tupoooo
@@leticiachunga9118 ngomaa l kizaz xanaa🔥🔥🔥
nawapenda sana king Music sauti kama yote
Hivi siwezi kuapata like kama hizi kweli😂 kam kweli gonga tu tapah👍 #alikiba toto hii ngoma ni noma baba ake 🔥🔥maswala ya konki konki hatuhitaji 😂😂
Fyeeeeka mbli team wamama kiba yebabaa
@@salimaamir5561 😂😂
Congratulations wa king kiba nyote... mbona patam apa 👌
@@fallymetoo191 😂 mchezo usiuchezee 😂😂 kiba ni 🔥 hamn wakuzima
this is king music alikiba ni director Wa music amewatengeneza vizur sana HAWA king music Mimi kama Mimi goma za king music ni kubwa kama za baba kiba
Mdogo wangu kaniambia siwezi fikisha like zaidi ya 3 kwa #kingsmusic
Kama ww ni #Team_kiba #Kingmusic #WCB basi like hapa 🦅🦅
Ndio mzee baba acheni kubania like team wehu
Kenya hatujalala jamani shemeji yetu anatoa toto
Haaaaaaa tuendeleeee Ku views zaidi maana tamu sana
Huna akili
@@hadijarama8152 hahahahahaha ok mashemej
🇺🇬🇺🇬 tunapendeza kings music sana
Kama unaamini k2ga ndo mrithi wa kiba twende sawa hapaa🔥🔥🔥
Abiola Kenedy team k2ga tupoo namuona mbali saana
Yah namuona
Abiola Kenedy kabis
Ni nouma 🔥🔥🔥
Noma sanaaa
Aliyerudia Mara 50 kuview hii ngoma kabla haijafika 1M viewers like hapa
Mie nhc n zaid y 200
Yp
Wale Team kubwa King kiba+Kings music nipate like bac
Daaah i abdul moco kwa zenji no.moco kama umaarufu wang kinngggggggg king's na wanawe tunatishaaa video kama na saut soul
Kama umerudia kungalia hii ngoma wacha #like 2juane
Nice xana
Acheni uchoyo team kiba naomba like zangu
😂😂😂😂😜
@@salimaamir5561 😸😸😸
😂😂😂
ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
ooyoh ...watch it comment and subcribe .....thanks🤟🏼
jamani tujitaidi ndani ya masaa 24 tugonge milioni 1
King music moto wa kuotea mbali!!
Wale wa kusoma comments nipe like ya KINGKIBA
Jamanii sijachelewaaa kusema ukweli wimbo mkali
Team kiba mimi sijawah kupata like hata siku moja kwaiy fany km unalike twende sawa
We una shida kiba 4 lf
Kazi nzuri
Eyfd Fhuf nyimbo ikovizur
daaaaah!!! Kings music mnanifurahixha xana ngoma kali xauti zenu kali mnavyo imba hivyo napenda xana kings music
sana babuu
Wow my music we mtoto we mtoto unanivuruga akili kama mtoto 😘😘😘😘😘🙏🏻
Happy birthday king kiba kama unamtakia King miaka Mingi ya kuishi kutu shushia hits Gonga like +(254) Hii ngoma moto wa kuotea mbali tushafunga mwaka sasa💥💯
Prince Newton nkubli
@@mchungamchunga7729 same💥
Kama 😍naweweni team kiba ngonga like tusonge mbelee
alikiba HAWA watoto umewatoa wapi sio kwa kufanya mziki mzur kama huu walifanya mwambiesina nikasema si yupo Kiba director Wa mziki wamebaatisha kumbe eehh na hii dude wamenipa KO mamae eehh king music amna wapinzani jamani abdukiba cheed k2ga killy love u
Ali uko juu
2.28 - 3.02🔥🔥🔥 ...wangapi wanakubalianaa , K2GA moto
Views achia wasafi ngoma Kali kuja kings music
Aiiiiiiii nyimbo tamu bhana....I feel it aiseeeee....MB zangu haziendi bureeee😘😘😘😘😘😘😘😘Si mna uFEEL kma mimi....#ForeverFan# kweli tunapagawa😘😘😘😘😍😘😘😘
Hivi like mnatoaga kwa mjuano? Mbona me sipatagi
Pengine umejisajili juz team kiba hatuna ubaguzi au pengine ulikua team domo hapa full raha
@@salimaamir5561dada mzuri nipo kitambo ila leo nimezipata
Kwa upendo huuu nahama tim pinzan
Munaweza sana Mungu awaongoze mufike mtakapo fika kwa Mapenzi yake.
K-2GA umenifuraisha ulivyo yaludi kama kucheza kote duuu umeweza👏👏
hahahaa k2ga nishidaa
@@abeidmayanga809 umeona yani mi sichoki kuwasikiliza
Daaah....+254 ebu musintenge pia mm like kwa ILI DUDE LA MWAKA
Hashim M2 ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
Alikiba n atareee
Kali sana
King's music itabaki kuwa juu sku zote. #k2ga #killy #abdukiba #cheed #KINGKIBA
kama unamkubali alikiba gange like yako hapa ❤❤❤❤❤❤
Team kiba itabaki kuwa kileleni chiiiiii💥🔥🔥🔥Atari fire
Hapo fresh sana kwa kweli kama unakubali team kings music gonga like yako ili tuendane
Aise vijana wa team kiba tupo
Abdu umetereza,,,,,vizuriiiii kabisaaaa,,,,afu K2GA mbona unanichanganyaaaa kwa radha yako ya sauti,,,,me nikajua kateleza king kiba kumbe wewe dogo 😂 😂 😂,,,,, """"unanikomesha katisha datishaa.... "",,,
kila mtu kaimba vizuri, yaani Kama kitabu basi kila mtu Kavaa uhusika wake..
moooooko,,,, ,Umetisha saaaana,,respect kwa director.!!, video kali.,,sauti zote bombaaaa,, Hakuna hata chembe ya tusi,,Hikika najivunia kuwa na upenzi wa muziki mzuri toka kwa king music.
#king kiba
#abdu kiba
#killy
#cheed
#K2GA
Nawakubali Sana.
Team kiba twenzetu na like ili hii nyimbo iwe funga mwaka.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂khaaaakhaaaaaaakhaaaaaakhaaaa
Baba nambie wapi kwa ku record voice maaaaaaana nimecheka hadi furaha tumbo linauma
Inamaaaaaana ulijua fundi ndie kafunguka maswaga yake kumbe ni K-2GA 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁yebaba
Duh mm nina bahati mbaya. Yaani sijapata like hata moja
Team kiba naomba tujuane kw kugonga like
Bonge la song
Good song
mabula msabula yooooooooo
Kweli Now mambo my ni fire kings music
Nice
Mm k2ga ndio ananimalza ak 🥰🥰🥰🥰
Achia video mxzee baba embu weka like kama zote kama una mkubali King 👑 Kiba mwenyewe
Ni sheedah
Sauti tamtam all the time king kiba
Ni mwendo wa repeat tu mtaani kwetu....Kanyimbo kametulia kama wenyewe tu....Nyimbo haina fujo aiseeeeeee....Dem voices aiseeee😘😘❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤💋💋💋💋
Kali xn bhn eti
King Music Forever nami nipen like wadau tuliamushe dude
Kings music forever
Nice king music
Nixhida mtaani
Hapa Kenya tunatambua Alikiba..siombi likes hata but nasema tu ukweli
Kweli jamani shem yuko sawa
You can say that again💯
neymare gershon n vzur mkawajua na hawa aliowaibua
neymare gershon ruclips.net/channel/UCZ8nPsT41XHQxRh5CG3MRtw
kibaa ni pure talent ..nampenda Diamond pia lakini King kiba ni mnomaa
Hawa madogo wamezingua kuondoka kings
Jamani hii ni hatatali ndani ya 1 dk view 1000 nani kaona kama mimi
abdu kabadilika ktk hii ngoma kinoma pigeni kazi
bora king kiba umebadilika atleast umeweka mdundo wa maana tumepumzika na sebene ila ngoma iko fireeeeeee...
Feisal Baruan WCBS
Umeona eee
My favorite artist and song kiba rudisha wote samehe bro
Kama unamkubali kings music embu nione likes
ngom iko pw xn
Nani mwengine anangali huku akisoma #comment za wa2
bary Tz ulijuaje
bary Tz ulijuaje. from mozambiki
Wapi like za moco genius jamani yani hili chupa n fireeeeeeeeee
Nic sana kabisaa
Number one watching from USA,,KING KiBA FOR LIVE we love you
Kweli now ni back to back team kiba tukutane kwenye like
Jaman wakwanza kutazama naomba like kiba atali na watoto wake sauti tu me napagawa nawapenda sana jaman
Twaa buree
No Mimi ndio wa kwanza Niko 251 hapa adama city Ethiopia from tz
Apa team king kibatuuuu....+254 tuko ndaniiiiii kingz music mpaka kufa mtu.....kitaeleweka tuuuuuuuuuuuuu