Coastal Union 1-2 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/03/2024
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Willy Essomba Onana ameingia kutoka benchi dakika ya 70 na kuifungia Simba bao la ushindi dakika ya 73, Coastal Union wakafa kwa kichapo cha mabao 2-1 kwenye dimba la Mkwakwani, Tanga.
Simba ilitangulia kwa goli la Freddy Koublan dakika ya 11 kabla ya Lucas Kikoti kuichomolea Coastal Union dakika ya 24.
❤❤❤🎉🎉 simba nguvu moja
❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉simba nguvu moja
AL HAMDULILLAH ❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
I love you Simba SC 🇹🇿🇹🇿
And this is Simba
Simba nguvu moja
Penda sana onana
Thanks God for this result
Nawashangaa kweli Kuna watu Hawajielewi ukiona Simba mbovu nani amekuzuia kwenda kwenye timu zingine zipo kibao tu usitudumue wenye Simba yetu
Leo tulikua bega kwa bega na simba yetu tanga dada
@@AdhamAlliy-mg5py kumbe upo tanga brother
Umeonaeeeeeee watuachie Simba yetu hadi ituuuwe tutaipenda tu
@@albertlaizer8464 Kuna jinga Moja kila siku kuwaponda wachezaji ata kama imeshinda hakosi kuikosoa ananiboa sana wallah
@@AdhamAlliy-mg5pykbs Tena akuna kuadisiwa ni live
AYOUB akifungwa goli linakuwa sio lakitoto kama hao wengine mazembwela
Waooo wachezaji na mashabiki wanasimba wezangu nguvu moja
Anaesema simba mbov aende yanga kwenye manini sisi atuna majin bana
U’re so funny …bado hamjasema 😀😀😀
Majini FC hawajui kama tume wakokota mpaka wameingia robo mwaka huu 😆😆
Nawapend wanasimba❤❤❤❤
Onana fundi
Onana kama Ronaldo 😂😂
Auwezi ukawa na furaha milele bila uzuni ,nimapito t aya
Hakika mbona sisi tuliwatesa miaka minne mfululizo haya ni mapito tu
@@karimumohamedi5421kwa kweli
Simba so mbov anaeona mbov hai muhusu
Huo ndo ukweli watuache na simba yetu
Hawajielewi vichomi FC 🐸 wanajifanya Simba kumbe machawa
Kabisa yn watuache na simba yetu
Simba❤❤❤
SIMBA TUNAPATA MATOKEO KWA SHIDA SANA... DEAR COACH ' EBU TUJARIBU KUMUANZISHA CHAMA KAMA NO. 10, NGOMA KAMA 8, SAIDO AANZE BENCHI AU ACHEZE 11 AU 7, ... ABADILISHANE NA ONANA, MIQUSON, AU KIBU... BALEKE NA MOSES PHIRI WALISHINDWA KU SHINE SABABU CHAMA HAKUWA NAMBA 10. ...EBU TUMRUDISHE CHAMA KAMA NO. 10 JAMANI SIMBA...
Alikuwa wapi willy essomba onana mashine ya kazi hiyo
Ata iwe kam nn hatuamii bora nisishabikie mpira lkn sio utopolo akuu ata km mmeon ni ya wazee at hao vijana watazeeka pia peleken makasiriko kweny kaz zenu il mufanikiwe
Uwa naipenda sana simba fred mchezaji mzuli sana ila apunguze mawazo akiwa uwanjan mahana akili yake inawaza kufunga
Ila ayoub wew ni mwamba
Jamaa anatisha sana
Kweli kabisa
❤❤❤❤❤❤
Tuko pamoja mwanzo mwisho watuache na simba yetu tena wakome
Leo Onana ataonekana mzuri Kisa kafunga,subiri asifunge atapewa matusi kama yote.
Hiyo ndo simba
@@Shaha-d1i Leo hii tena
Hayakuhusu tuliza mshono
@@mwajumaseifu216 mshono wa nyoko
Manula muda wake umeisha. Sasa hivi simba one ni Ayoub
Kisa hayo mawili tu ndo unaanza kumwona hafai. Aliyefungwa 6 ?
Mechi ya ligue leo live naomba mechi zao na timu zinazocheza kiujumla
Acha uchawko sw kama nimbov timuyako ambayo siyo mbovu imefuka wp
Hivi huyu Onana alikuwa majeruhi kweli ? mbona yupo fit kuliko hata waliokuwa wanacheza Kila siku
Viongoz simba wamezid kuokoteza wachezaji hawako seriously kwenye kutafuta wachezaj watakao isaidia timu sasa hiyu babakar si afadhar ata kichuya😂😂
Ayoub nibonge la kiper
Mpenja baba unajua mpaka unajuaa
Leo GSM hajahusika,hapa angekuwa Yanga ndo kashinda harafu 9:58 ndo tuseme Mgunda anakuwa kashaitumikia Yanga 😂😂😂 tungesikia hilo nitawi lao wamecheza na kocha wao kwanin wasishinde,lakini leo hakuna cha GSM kazidhamini timu sijui sita leo mtandaoni kuko shwari kabisa.Kolo tunataka hivi hivi muwe mmeshinda au mmefungwa.
😊
😊
Simba one
Kwani mwazilishi wa ligi ya mabingwa ni nani....simba
Kuna swali huwa najiuliza kwann akikaa manula tunafungwa sipati jawabu
Namm huwa sielewi kabisa, yani MANULA simuamini hata kidogo saizi!
@@RehemaEvaristme naona kama bado ajapona vzr bn
Costa afungwe utopolo anaumia jaman Majin fc wanashida
Simba mbovu inakufukuza jaribubkuteleza unadhani mmefadhari karibu timu zote ilimpate kuzifunga
Chama kapiga danadana uwanjani😂😂
Tanzania hatuna Marefa kwakweli, penalty wamenyiwa Coustal wazi wazi, marefa wana team zao inauma unatumia nguvu nyingi kupambana badae Refa anazingua dah😢
Mechi ijayo chukua filimbi wew
Nao Simba kelele za Nini?
Wambie hakuna anae lazimishwa
We jamaa siuliondoka azam au zilikuwa mbwembwe na trick za kibiashara na kujiongeza..mpenj
alisema ameondoka lin?
SIMBA, SIMBA WABOVUU SANAA, ACHANENI NA WAZEEE AMININI VIJANA MTAKUJA KUNSHUKURU,HII SIO SIMBA YETUU
Punguza asila Leo tumekataa kupoteza
Unaweza kuhama
Wewe simba inakuhusu nini baki na utopolo yako hiyo
BABU YAKO ANACHEZA NAMBA NGAPI?🤔🤔
Yani mmenikosha kweli na majibu mlio mpa maana anaboa sanaaa kila siku kuiponda Simba hata ikishida lazima aingize kosa mara anawataja wachezaji Kwa majina ni wa novu je yeye anacheza namba ngapi 😀😀
Japo simba ushndii ni majimaji...ila mpira tunainjoi
Mnyama ameng'ata
kama simba mbovu katafte inay kufaa
Sina hofu natimu yaguuu
Tatizo ni1 wanaoibeza Tim weng niwashabik na sio wapenz wampila
Tunaenjoy wenyewe na simba yetu mtu akiona timu mbovu ajiachie timu ziko nyingi tuu.
mpenja katukana eti misimu zaidi ya kum* akicheza mohamed hussein
wanasimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hata mimi nashangaa baadhi ya viongozi wa simba hawajielewi
Ingia uwanjan uwape penat we si refa
Manuel amitamitaki
ILA COASTAL NYIE SIO WA KUTUFANYIA HIVI SISI NI PEOPLE😅
Wamenyimwa penalty coast
Kawape wewe
Hiyo penati ya ajibu vipi waungwana.
Kajifunze soka wewe kuna mpira kufuata mkono na mkono kufuata mpira sio kila mpira ukiguswa ni tuta utopolo we
Nguvu moja
Kimewaum simb kufung
kabx
Bado yanga wanaweza wakatufunga. Ni hatari. Yaani wale yanga wana mpira hivi unajua!! Heeee!!! Tukae sawa jmn.
Yanga wabovu mbona kuliko Simba sc
Mbovu mama yako
Swali swali ivi simba tunamchawe hatujamulizisha pesssaaaa au vp😅😅😅???
Wana Simba mliponea puchu pu chu polen
ALAA WALITUFUNGA TUKAKOMBOWA?? BWEGE WEWE
We unagongwa nyuma mama yako si ndio mzee mpaka kaachwa na baba yako 9:58
Sina hofu natimu yaguuu
Mbovu mama yako