Coastal Union 1-2 Simba SC | Highlights | NBC Premier League 09/03/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Willy Essomba Onana ameingia kutoka benchi dakika ya 70 na kuifungia Simba bao la ushindi dakika ya 73, Coastal Union wakafa kwa kichapo cha mabao 2-1 kwenye dimba la Mkwakwani, Tanga.
    Simba ilitangulia kwa goli la Freddy Koublan dakika ya 11 kabla ya Lucas Kikoti kuichomolea Coastal Union dakika ya 24.

Комментарии • 159

  • @Mosesmka
    @Mosesmka 7 месяцев назад +4

    ❤❤❤🎉🎉 simba nguvu moja

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 7 месяцев назад +3

    ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉simba nguvu moja

  • @salimmalaka256
    @salimmalaka256 7 месяцев назад +5

    AL HAMDULILLAH ❤❤❤❤❤ SIMBA OYEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @ShaibYussuf
    @ShaibYussuf 7 месяцев назад +2

    I love you Simba SC 🇹🇿🇹🇿

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 7 месяцев назад +3

    And this is Simba

  • @angelmteli611
    @angelmteli611 7 месяцев назад +4

    Simba nguvu moja

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 7 месяцев назад +5

    Penda sana onana

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 7 месяцев назад +1

    Thanks God for this result

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 7 месяцев назад +53

    Nawashangaa kweli Kuna watu Hawajielewi ukiona Simba mbovu nani amekuzuia kwenda kwenye timu zingine zipo kibao tu usitudumue wenye Simba yetu

    • @AdhamAlliy-mg5py
      @AdhamAlliy-mg5py 7 месяцев назад +5

      Leo tulikua bega kwa bega na simba yetu tanga dada

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад +3

      @@AdhamAlliy-mg5py kumbe upo tanga brother

    • @albertlaizer8464
      @albertlaizer8464 7 месяцев назад +5

      Umeonaeeeeeee watuachie Simba yetu hadi ituuuwe tutaipenda tu

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад +3

      @@albertlaizer8464 Kuna jinga Moja kila siku kuwaponda wachezaji ata kama imeshinda hakosi kuikosoa ananiboa sana wallah

    • @NeemaLwoga-s4c
      @NeemaLwoga-s4c 7 месяцев назад +1

      ​@@AdhamAlliy-mg5pykbs Tena akuna kuadisiwa ni live

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 7 месяцев назад +6

    AYOUB akifungwa goli linakuwa sio lakitoto kama hao wengine mazembwela

  • @VailethMnyasa
    @VailethMnyasa 7 месяцев назад +5

    Waooo wachezaji na mashabiki wanasimba wezangu nguvu moja

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 7 месяцев назад +7

    Anaesema simba mbov aende yanga kwenye manini sisi atuna majin bana

    • @ObakengTV2
      @ObakengTV2 7 месяцев назад

      U’re so funny …bado hamjasema 😀😀😀

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад

      Majini FC hawajui kama tume wakokota mpaka wameingia robo mwaka huu 😆😆

  • @VanmoMussa
    @VanmoMussa 6 месяцев назад

    Nawapend wanasimba❤❤❤❤

  • @Pawasos
    @Pawasos 7 месяцев назад +4

    Onana fundi

  • @RamadhanDacosta
    @RamadhanDacosta 7 месяцев назад +4

    Onana kama Ronaldo 😂😂

  • @HamisiMustapha-p2s
    @HamisiMustapha-p2s 7 месяцев назад +6

    Auwezi ukawa na furaha milele bila uzuni ,nimapito t aya

    • @karimumohamedi5421
      @karimumohamedi5421 7 месяцев назад

      Hakika mbona sisi tuliwatesa miaka minne mfululizo haya ni mapito tu

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 7 месяцев назад

      ​@@karimumohamedi5421kwa kweli

  • @DianaAbdalah-d8z
    @DianaAbdalah-d8z 7 месяцев назад +7

    Simba so mbov anaeona mbov hai muhusu

    • @karimumohamedi5421
      @karimumohamedi5421 7 месяцев назад +1

      Huo ndo ukweli watuache na simba yetu

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад

      Hawajielewi vichomi FC 🐸 wanajifanya Simba kumbe machawa

    • @mohammedkidody5618
      @mohammedkidody5618 7 месяцев назад

      Kabisa yn watuache na simba yetu

  • @mohammedkidody5618
    @mohammedkidody5618 7 месяцев назад

    Simba❤❤❤

  • @othmanwaziri783
    @othmanwaziri783 7 месяцев назад +5

    SIMBA TUNAPATA MATOKEO KWA SHIDA SANA... DEAR COACH ' EBU TUJARIBU KUMUANZISHA CHAMA KAMA NO. 10, NGOMA KAMA 8, SAIDO AANZE BENCHI AU ACHEZE 11 AU 7, ... ABADILISHANE NA ONANA, MIQUSON, AU KIBU... BALEKE NA MOSES PHIRI WALISHINDWA KU SHINE SABABU CHAMA HAKUWA NAMBA 10. ...EBU TUMRUDISHE CHAMA KAMA NO. 10 JAMANI SIMBA...

  • @ZakaboyMusa
    @ZakaboyMusa 7 месяцев назад +1

    Alikuwa wapi willy essomba onana mashine ya kazi hiyo

  • @GloryEmanuel-gf2vm
    @GloryEmanuel-gf2vm 7 месяцев назад +5

    Ata iwe kam nn hatuamii bora nisishabikie mpira lkn sio utopolo akuu ata km mmeon ni ya wazee at hao vijana watazeeka pia peleken makasiriko kweny kaz zenu il mufanikiwe

  • @JoramKaziga-l7d
    @JoramKaziga-l7d 7 месяцев назад +1

    Uwa naipenda sana simba fred mchezaji mzuli sana ila apunguze mawazo akiwa uwanjan mahana akili yake inawaza kufunga

  • @sixytntongambele3038
    @sixytntongambele3038 7 месяцев назад +4

    Ila ayoub wew ni mwamba

  • @monicachacha455
    @monicachacha455 7 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤❤

  • @karimumohamedi5421
    @karimumohamedi5421 7 месяцев назад +3

    Tuko pamoja mwanzo mwisho watuache na simba yetu tena wakome

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 месяцев назад +2

    Leo Onana ataonekana mzuri Kisa kafunga,subiri asifunge atapewa matusi kama yote.

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 7 месяцев назад +4

    Manula muda wake umeisha. Sasa hivi simba one ni Ayoub

    • @yugemasanza1008
      @yugemasanza1008 7 месяцев назад

      Kisa hayo mawili tu ndo unaanza kumwona hafai. Aliyefungwa 6 ?

  • @christopherlugalala9828
    @christopherlugalala9828 5 месяцев назад

    Mechi ya ligue leo live naomba mechi zao na timu zinazocheza kiujumla

  • @irenefaraay982
    @irenefaraay982 7 месяцев назад +3

    Acha uchawko sw kama nimbov timuyako ambayo siyo mbovu imefuka wp

  • @andrew0502
    @andrew0502 7 месяцев назад +1

    Hivi huyu Onana alikuwa majeruhi kweli ? mbona yupo fit kuliko hata waliokuwa wanacheza Kila siku

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 7 месяцев назад +1

    Viongoz simba wamezid kuokoteza wachezaji hawako seriously kwenye kutafuta wachezaj watakao isaidia timu sasa hiyu babakar si afadhar ata kichuya😂😂

  • @HuseniSelemani-b7c
    @HuseniSelemani-b7c 7 месяцев назад +1

    Ayoub nibonge la kiper

  • @OmanIbra-i4y
    @OmanIbra-i4y 7 месяцев назад +1

    Mpenja baba unajua mpaka unajuaa

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 7 месяцев назад +2

    Leo GSM hajahusika,hapa angekuwa Yanga ndo kashinda harafu 9:58 ndo tuseme Mgunda anakuwa kashaitumikia Yanga 😂😂😂 tungesikia hilo nitawi lao wamecheza na kocha wao kwanin wasishinde,lakini leo hakuna cha GSM kazidhamini timu sijui sita leo mtandaoni kuko shwari kabisa.Kolo tunataka hivi hivi muwe mmeshinda au mmefungwa.

  • @HuseniSelemani-b7c
    @HuseniSelemani-b7c 7 месяцев назад

    Simba one

  • @kadegeasilitv-zt9bv
    @kadegeasilitv-zt9bv 7 месяцев назад

    Kwani mwazilishi wa ligi ya mabingwa ni nani....simba

  • @salimsaid572
    @salimsaid572 7 месяцев назад +1

    Kuna swali huwa najiuliza kwann akikaa manula tunafungwa sipati jawabu

    • @RehemaEvarist
      @RehemaEvarist 7 месяцев назад

      Namm huwa sielewi kabisa, yani MANULA simuamini hata kidogo saizi!

    • @DallyLemah
      @DallyLemah 7 месяцев назад

      ​@@RehemaEvaristme naona kama bado ajapona vzr bn

  • @LovelyBakedBuns-ue7un
    @LovelyBakedBuns-ue7un 7 месяцев назад

    Costa afungwe utopolo anaumia jaman Majin fc wanashida

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 7 месяцев назад +1

    Simba mbovu inakufukuza jaribubkuteleza unadhani mmefadhari karibu timu zote ilimpate kuzifunga

  • @StevenGeofrey-f5g
    @StevenGeofrey-f5g 7 месяцев назад

    Chama kapiga danadana uwanjani😂😂

  • @Zainabkhamis-d2s
    @Zainabkhamis-d2s 7 месяцев назад

    Tanzania hatuna Marefa kwakweli, penalty wamenyiwa Coustal wazi wazi, marefa wana team zao inauma unatumia nguvu nyingi kupambana badae Refa anazingua dah😢

  • @richardkayuguyugumasalu2594
    @richardkayuguyugumasalu2594 7 месяцев назад +1

    Wambie hakuna anae lazimishwa

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 7 месяцев назад +3

    We jamaa siuliondoka azam au zilikuwa mbwembwe na trick za kibiashara na kujiongeza..mpenj

    • @NM-yl2uw
      @NM-yl2uw 7 месяцев назад

      alisema ameondoka lin?

  • @franccoz94
    @franccoz94 7 месяцев назад +1

    SIMBA, SIMBA WABOVUU SANAA, ACHANENI NA WAZEEE AMININI VIJANA MTAKUJA KUNSHUKURU,HII SIO SIMBA YETUU

    • @nshaijatedy5512
      @nshaijatedy5512 7 месяцев назад +1

      Punguza asila Leo tumekataa kupoteza

    • @Omarimakuka
      @Omarimakuka 7 месяцев назад +1

      Unaweza kuhama

    • @AljuhaniAllyy-dg4ld
      @AljuhaniAllyy-dg4ld 7 месяцев назад +1

      Wewe simba inakuhusu nini baki na utopolo yako hiyo

    • @josephvenus3259
      @josephvenus3259 7 месяцев назад +1

      BABU YAKO ANACHEZA NAMBA NGAPI?🤔🤔

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa 7 месяцев назад +2

      Yani mmenikosha kweli na majibu mlio mpa maana anaboa sanaaa kila siku kuiponda Simba hata ikishida lazima aingize kosa mara anawataja wachezaji Kwa majina ni wa novu je yeye anacheza namba ngapi 😀😀

  • @AllydidaszachariaDidaszacharia
    @AllydidaszachariaDidaszacharia 7 месяцев назад

    Japo simba ushndii ni majimaji...ila mpira tunainjoi

  • @JumaSaidi-zk6fu
    @JumaSaidi-zk6fu 7 месяцев назад

    Mnyama ameng'ata

  • @TuexdayTu3x94y
    @TuexdayTu3x94y 7 месяцев назад +1

    kama simba mbovu katafte inay kufaa

  • @Mageuzishija
    @Mageuzishija 7 месяцев назад +1

    Sina hofu natimu yaguuu

  • @AbdullahLugowi-l1s
    @AbdullahLugowi-l1s 7 месяцев назад

    Tatizo ni1 wanaoibeza Tim weng niwashabik na sio wapenz wampila

  • @ChukiNjilinge
    @ChukiNjilinge 7 месяцев назад

    Tunaenjoy wenyewe na simba yetu mtu akiona timu mbovu ajiachie timu ziko nyingi tuu.

  • @innocentchacha1082
    @innocentchacha1082 7 месяцев назад +1

    mpenja katukana eti misimu zaidi ya kum* akicheza mohamed hussein

  • @Sherrymwinyi
    @Sherrymwinyi 7 месяцев назад

    wanasimbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @Muyaomaris
    @Muyaomaris 7 месяцев назад +1

    Hata mimi nashangaa baadhi ya viongozi wa simba hawajielewi

  • @LovelyBakedBuns-ue7un
    @LovelyBakedBuns-ue7un 7 месяцев назад

    Ingia uwanjan uwape penat we si refa

  • @MariamMstafa
    @MariamMstafa 7 месяцев назад +1

    Manuel amitamitaki

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 7 месяцев назад

    ILA COASTAL NYIE SIO WA KUTUFANYIA HIVI SISI NI PEOPLE😅

  • @HusnaMussa-q3v
    @HusnaMussa-q3v 7 месяцев назад

    Wamenyimwa penalty coast

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 7 месяцев назад

    Hiyo penati ya ajibu vipi waungwana.

    • @francisphilipo5749
      @francisphilipo5749 7 месяцев назад

      Kajifunze soka wewe kuna mpira kufuata mkono na mkono kufuata mpira sio kila mpira ukiguswa ni tuta utopolo we

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 7 месяцев назад

    Nguvu moja

  • @mwajumaibrahim2156
    @mwajumaibrahim2156 7 месяцев назад

    Kimewaum simb kufung

  • @VictorMvungi-wl3qv
    @VictorMvungi-wl3qv 7 месяцев назад

    kabx

  • @MichaelMathew-j3f
    @MichaelMathew-j3f 7 месяцев назад

    Bado yanga wanaweza wakatufunga. Ni hatari. Yaani wale yanga wana mpira hivi unajua!! Heeee!!! Tukae sawa jmn.

  • @ShabaniKindole-km6ne
    @ShabaniKindole-km6ne 7 месяцев назад +1

    Mbovu mama yako

  • @Mageuzishija
    @Mageuzishija 7 месяцев назад

    Swali swali ivi simba tunamchawe hatujamulizisha pesssaaaa au vp😅😅😅???

  • @Pascomwinuka
    @Pascomwinuka 7 месяцев назад +1

    Wana Simba mliponea puchu pu chu polen

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 7 месяцев назад +1

      ALAA WALITUFUNGA TUKAKOMBOWA?? BWEGE WEWE

  • @LovelyBakedBuns-ue7un
    @LovelyBakedBuns-ue7un 7 месяцев назад

    We unagongwa nyuma mama yako si ndio mzee mpaka kaachwa na baba yako 9:58

  • @Mageuzishija
    @Mageuzishija 7 месяцев назад

    Sina hofu natimu yaguuu

  • @ShabaniKindole-km6ne
    @ShabaniKindole-km6ne 7 месяцев назад

    Mbovu mama yako