Hahahah! Nyie watu ni Balaa! Mna match saana alafu mna Upendo wa Ki Udugu yaani mkitaniana Mpaka Mungu anapendezwa, na mnaleta maana halisi ya MICHEZO , penda saana Semaji langu Ally Kamwe
Haji manara ,jifunze kupitia hawa jamaa😮.wanashirikiana na kua familia moja. Manara anafeli kujenga chuki na kuwapa wengine majina ya ovyo.mpira sio chuki
Amhed Ally hufai kuwa mzungumzaji wa Timu kubwa kama Simba unaanza kupyaya...yanga anaukubwa gani kuliko Simba unashindwa kumjibu kwa hoja..yakwamba Ukubwa na ubora timu CAF wameonyesha kwenye rank...Ahmed Ally..hufai..Hajui Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966...ukubwa wa timu sio muda wa kuanzaisha kwasababu hata pamba na coastal union zilianzishwa kabka ya mamelody SUNDOWN,Azam Belazdad n.k ila ni timy ndogo ndogo sana
Hahahah! Nyie watu ni Balaa! Mna match saana alafu mna Upendo wa Ki Udugu yaani mkitaniana Mpaka Mungu anapendezwa, na mnaleta maana halisi ya MICHEZO , penda saana Semaji langu Ally Kamwe
Tunataka mpira wa Aman sio vitaa nmewakubar wasemaji wetu❤❤❤
Mimi huwa nawapokeza nyinyi vijana watatu huwa mnautani was kuchekesha Mbarikiwe sana
Hamed achana na hicho kishoga
Matusi sio mazuri ila kiukweli Haji ana dunia yake kwa mpira wetu
Usenge tuu 😂 amna hamasa hapo washakula ela ...angepewa manara tu kwenye Timu ya Taifa
huyo manara ndio anacheza au
@@CharlesWilliam-q7j huijui NGUVU ya manara kaaakimyaa mshamba ww
@@CantonaKunona jibu swali manara anacheza namba ngapi
@@CharlesWilliam-q7j kama una D 3 huwezi nielewa kakojoe ukalale alf manara c o mchezaji mshamba ww 🖕
Da!hawa wasemaji ni mwendo wa vichekesho tu pale wanapokutana.
Haji manara ,jifunze kupitia hawa jamaa😮.wanashirikiana na kua familia moja. Manara anafeli kujenga chuki na kuwapa wengine majina ya ovyo.mpira sio chuki
Tunamtaka masaubwile
😂😂😂😂😂
Me nilikuwa naisubr hii Ahmed Aliy na Aliy kamwe wakutane wamchambe Hashim Ibwe kuhusu mke wa Dkt Mwaka 😂😂
Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan
Kila raheli Taifa stars tumpige mkongo
Ukubwa sio kuanza kuchukua je umechukuwa mara ngapi😂😂😂
Msimrudishe yule mzungu bwana😅😅😅😅😅 hawa wanatosha
SASA hapo manyara unamuweka wp yani mpaka rahaa
Hivi kwa nini wasemaji wa timu zingine hawashirikishwi kwenye suala hili la kitaifa? Huu ni ubaguzi wa wazi.
Sio ubaguzi wana aangalia watu wenye ushawishi
Amhed Ally hufai kuwa mzungumzaji wa Timu kubwa kama Simba unaanza kupyaya...yanga anaukubwa gani kuliko Simba unashindwa kumjibu kwa hoja..yakwamba Ukubwa na ubora timu CAF wameonyesha kwenye rank...Ahmed Ally..hufai..Hajui Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966...ukubwa wa timu sio muda wa kuanzaisha kwasababu hata pamba na coastal union zilianzishwa kabka ya mamelody SUNDOWN,Azam Belazdad n.k ila ni timy ndogo ndogo sana
Acha wivu usio kua na maana.. ultaka mama ako ndo awe msemaji
😂😂😂😂😂😂
Senge kweli
😅😅😅 aka kakijana kaongo sana et simba ni ya kwanza kuchukua kombe ata data hakana kanaongea na kuji-contradict kenyewe Et Yanga inaukubwagani....
Kumradhi MUUNGWANA neno Sahihi NI kupwaya hili la kupyaya ni la kiasili zaidi.
HAHAHAHAHAHAHAHA
😂😂 hawa jamaa lazima CONGO WAKAE
kwendeni huko
Upuuzi tuuu
Tunatumia jaman
Kumbe mechi ya Simba na Yanga huwa ni ya biashara.
Wasemaje wachekeshaji
Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan