VITA YA AHMED ALLY NA ALLY KAMWE YAFIKA PABAYA/IBWE KAA PEMBENI WEWE NI MTOTO MDOGO/UBAYA UBWELA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 окт 2024

Комментарии • 36

  • @danielzambi8993
    @danielzambi8993 2 часа назад +7

    Hahahah! Nyie watu ni Balaa! Mna match saana alafu mna Upendo wa Ki Udugu yaani mkitaniana Mpaka Mungu anapendezwa, na mnaleta maana halisi ya MICHEZO , penda saana Semaji langu Ally Kamwe

  • @JoerntonAnthony
    @JoerntonAnthony 36 минут назад

    Tunataka mpira wa Aman sio vitaa nmewakubar wasemaji wetu❤❤❤

  • @hamismnyagatwa4113
    @hamismnyagatwa4113 25 минут назад

    Mimi huwa nawapokeza nyinyi vijana watatu huwa mnautani was kuchekesha Mbarikiwe sana

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 21 минуту назад

    Hamed achana na hicho kishoga

  • @godfreyraymond4464
    @godfreyraymond4464 Час назад

    Matusi sio mazuri ila kiukweli Haji ana dunia yake kwa mpira wetu

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 2 часа назад +2

    Usenge tuu 😂 amna hamasa hapo washakula ela ...angepewa manara tu kwenye Timu ya Taifa

    • @CharlesWilliam-q7j
      @CharlesWilliam-q7j Час назад

      huyo manara ndio anacheza au

    • @CantonaKunona
      @CantonaKunona 55 минут назад

      @@CharlesWilliam-q7j huijui NGUVU ya manara kaaakimyaa mshamba ww

    • @CharlesWilliam-q7j
      @CharlesWilliam-q7j 50 минут назад

      @@CantonaKunona jibu swali manara anacheza namba ngapi

    • @CantonaKunona
      @CantonaKunona 44 минуты назад

      @@CharlesWilliam-q7j kama una D 3 huwezi nielewa kakojoe ukalale alf manara c o mchezaji mshamba ww 🖕

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Час назад

    Da!hawa wasemaji ni mwendo wa vichekesho tu pale wanapokutana.

  • @kamalbashir5127
    @kamalbashir5127 Час назад

    Haji manara ,jifunze kupitia hawa jamaa😮.wanashirikiana na kua familia moja. Manara anafeli kujenga chuki na kuwapa wengine majina ya ovyo.mpira sio chuki

  • @SwailaMbaruku
    @SwailaMbaruku 26 минут назад

    Tunamtaka masaubwile

  • @Ilhankhatibu
    @Ilhankhatibu 14 минут назад

    😂😂😂😂😂

  • @MakaNkoka
    @MakaNkoka Час назад

    Me nilikuwa naisubr hii Ahmed Aliy na Aliy kamwe wakutane wamchambe Hashim Ibwe kuhusu mke wa Dkt Mwaka 😂😂

  • @alexjosephmambo6990
    @alexjosephmambo6990 Час назад

    Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan

  • @DaudSichula-y4h
    @DaudSichula-y4h 2 часа назад

    Kila raheli Taifa stars tumpige mkongo

  • @JoshuaZakariaLevys
    @JoshuaZakariaLevys 2 часа назад

    Ukubwa sio kuanza kuchukua je umechukuwa mara ngapi😂😂😂

  • @absm8084
    @absm8084 Час назад

    Msimrudishe yule mzungu bwana😅😅😅😅😅 hawa wanatosha

  • @patrickkaite3822
    @patrickkaite3822 Час назад

    SASA hapo manyara unamuweka wp yani mpaka rahaa

  • @tondelogungulundi1523
    @tondelogungulundi1523 30 минут назад

    Hivi kwa nini wasemaji wa timu zingine hawashirikishwi kwenye suala hili la kitaifa? Huu ni ubaguzi wa wazi.

    • @RosalinaMakenzi
      @RosalinaMakenzi 17 минут назад

      Sio ubaguzi wana aangalia watu wenye ushawishi

  • @knowledgeispower1118
    @knowledgeispower1118 2 часа назад

    Amhed Ally hufai kuwa mzungumzaji wa Timu kubwa kama Simba unaanza kupyaya...yanga anaukubwa gani kuliko Simba unashindwa kumjibu kwa hoja..yakwamba Ukubwa na ubora timu CAF wameonyesha kwenye rank...Ahmed Ally..hufai..Hajui Simba ndio timu ya kwanza kuchukua kombe la ligii kuu Tanzania mwaka 1965 na 1966...ukubwa wa timu sio muda wa kuanzaisha kwasababu hata pamba na coastal union zilianzishwa kabka ya mamelody SUNDOWN,Azam Belazdad n.k ila ni timy ndogo ndogo sana

    • @saidimustapha307
      @saidimustapha307 2 часа назад

      Acha wivu usio kua na maana.. ultaka mama ako ndo awe msemaji

    • @LeylaSaria
      @LeylaSaria 2 часа назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @mariahshechambo4034
      @mariahshechambo4034 2 часа назад

      Senge kweli

    • @mzeemuharami5871
      @mzeemuharami5871 2 часа назад

      😅😅😅 aka kakijana kaongo sana et simba ni ya kwanza kuchukua kombe ata data hakana kanaongea na kuji-contradict kenyewe Et Yanga inaukubwagani....

    • @DavidSemu-gu6wp
      @DavidSemu-gu6wp Час назад

      Kumradhi MUUNGWANA neno Sahihi NI kupwaya hili la kupyaya ni la kiasili zaidi.

  • @MustapherSamson-s6l
    @MustapherSamson-s6l 2 часа назад

    HAHAHAHAHAHAHAHA

  • @UpdatesDocumentariesTv
    @UpdatesDocumentariesTv 2 часа назад

    😂😂 hawa jamaa lazima CONGO WAKAE

  • @narutonaruto4303
    @narutonaruto4303 2 часа назад

    kwendeni huko

  • @JustineMtambo
    @JustineMtambo 3 часа назад

    Upuuzi tuuu

  • @sosomacharles9920
    @sosomacharles9920 Час назад

    Kumbe mechi ya Simba na Yanga huwa ni ya biashara.

  • @alexjosephmambo6990
    @alexjosephmambo6990 Час назад

    Sasa ushabiki wetu ndo unatakiwa kuwa hivi yaan