Tulimpenda lakini kazi ya Allah haina makosa Allah amlaze pema peponi amsameh makosa yake walah nimeumia sana ni katika masheikh ninaowapenda sana katuelemisha sana Allah atamlipa bado tutaendelea kusikiliza mawaidha yake na kuyafata alotuamrisha ni pengo kubwa kwa jamii 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Laiti mngeli juwa mahali alipo shee nyundo! Hizo nyimbo zenu mngezi acha, Yuko kuzimu kwa shetani na anatamani kuwaambia acheni ila ana shindwa kutokana na mahali alipo kwani haimpi uhuru waku waambia kutokana na umbali alio nao. enyi waislamu! Okokeni kwani mki ifanya shingo yenu kuwa ngumu, itakula kwenu.
Allah ampe kauli thabit Shekh wetu InshaAllah Zinjibar TV tunawapenda Sana'a
Subhanallah 😭 hata mimi nalia hakika nilimpenda sana shehe nyundo
SubhanaAllah sanyengine unahisi km yupo duniani mana shekhe NYUNDO nimtu wa furaha nawatu wanampenda sn bsi ukiona jeneza lake lazimaa uliee😫😭😭
Massive LOSS to our community..nation..Al marhum sheikh nyundo we will be missing him special his lectures/dawah...thank a lot zinjibar tv
Innalilah Wainnailayhi rajuun Allah ampe kauli thabit kipenzi chetu Waislam mwalim wetu Shekh wetu Nyundo umetu achia Mawaidha yako ndio kitu kikubwa kwetu Inshaallah tunajifunza kuputia mawaidha yako Alhamdulilah
Tulimpenda lakini kazi ya Allah haina makosa Allah amlaze pema peponi amsameh makosa yake walah nimeumia sana ni katika masheikh ninaowapenda sana katuelemisha sana Allah atamlipa bado tutaendelea kusikiliza mawaidha yake na kuyafata alotuamrisha ni pengo kubwa kwa jamii 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ameeen
Mola amjaalie safari njema tulimpenda sana sheikh nyundo ila Mola kampenda zaidi na sisi tupo nyuma yake twafatia
Subhanallah 😭😭
Ama kwahakika sheikh hussein hassan alikua kipenzi cha akina mama kwa asilimia 90% mungu ailaze roho yake pahali pema
Amiin thumma amiin
INNALILLAHI WAINNA ILLEIHI RAAJIUUN.
Ahlhmma frllahu
Mungu amlaze pema peponi ( Amin
Amin
Innaolillah waina ilaih rajiun
Subhanallah
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun
Allah amlaze mahali pema peponi 🤲
Amin
Masha allah
Inna Lillahi wa inna ilaihi Rajiuun.
😭❤️
Allah ampeleke Mahali pema peponi inshaallah
😭😭😢😢😢😢
Ndugu zangu! Mshahara wa dhambi ni mauti, huyu mtu moja kwa moja yuko kuzimu
Unaomboleza kwenye msiba hakuna mila izo kwenye dini
😭😭😭
Allah amlaze Mahala pema peponi
Amin
Daah mungu akulehemu sherhe nyundo
😭😭
🤲🤲😭😭😭😭😭
Laiti mngeli juwa mahali alipo shee nyundo! Hizo nyimbo zenu mngezi acha, Yuko kuzimu kwa shetani na anatamani kuwaambia acheni ila ana shindwa kutokana na mahali alipo kwani haimpi uhuru waku waambia kutokana na umbali alio nao. enyi waislamu! Okokeni kwani mki ifanya shingo yenu kuwa ngumu, itakula kwenu.
Mpuuzi mmoja wee
Inna lillahi wainna ilayhi rajiuun
😭😭😭
😢😢😢