Dah inasikitisha sana, tumuombe mungu amlipe kile kinachomstahiki, kwa kazi aliyoifanya Tanzania. Sote tumetoka kwa mungu, na kwake tutarejea. Tumuombee kwa Allah rais mpya mamaetu samia Allah amtie nguvu, na amtangulie ktk kila hatua ktk uongozi wake. Allah ibariki Tanzania Allah wabariki watanzania na utupe subra ktk msiba huu. Amina. Shukran sana ukhty Aisha kwa shairi hakika limegonga mioyo yetu.
Zanzibar sasa nyinyi mnaongoza bara na visiwani haya kazi kwenu kuijenga zanzibar vizuri tusije tukasikia baadae tunanyonywa tunanyoa kazi kwenu kujiweka huru
Poleni ndugu zetu watanzania na afrika kwa ujumra inauma ila mungu amempenda zaidi na tunamuombea Mungu amuweke mahari pema .mnisamehe jamani kiswahili changu sio kizuri from🇺🇸😭😭😭😭
@@shikuassi4876 shida ni kutojiamini dada. Mimi ni mtanzania pia ni msomalia mama ni mtu wa tanga baba ni msomali walipoachana baba akatuchukua nikiwa namiaka sita tukaishi kenya .ulipofika 2012 mwezi wa3 nikaolewa mwezi wa nane tarehe 25nikaja marekani mimi na mume wangu hadi hivi sasa.
Innalillah wa inna ileyh rajiun Allah awape subra na faraja wakati juu mgumu, pigo kubwa kwa Afrika na haswa kwa nduguzetu wa Tanzania much love from Kenya I can't stop crying may Allah accept him pema peponi
Inna LiLlahi Wainna Ilayhi Rajiun. Amiin Ya Rabbi. Poleni nduguzetu, Wa Tanzania. Kwa kuondokewa na Rais Mpendwa wa Kila Pembe Ya Dunia. Tunahuzni nyingi, twawaombea Subra on the behaves of all Kenya's tuliko mbali🇱🇷🇱🇷🇱🇷. Niletu sote. Mungu Ampe mazuri kama alivokua mzuri.
Rest in peace that will pray for you for all the best that you do in this world and nobody who can make people to forget you for the thing that you did for us your sacrifice your life is just for Tanzania Maguful rest in peace😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu amlaze pema. Sijawahi ona Rais mwenye kujali, kuthamini, kupenda raia wake, mwenye busara na hekima, mpenda amani kama Magufuli. Ameliza wengi sana sio kwa watanzania tu, bali kwa dunia nzima, Alikuwa kielelezo chema na ingekuwa marais wote wa kiafrika wangekuwa kama yeye, wallahi tungekuwa matajiri kisha wakuogopewa. Twakupenda sana na daima utakuwa moyoni mwetu. Lala salama baba.
Nenda baba mungu akulipe mema yako ulotufanyia baba tunashindwa kujizuia watanzani kwa hili pigo litabaki kuwa ndoto kwetu. 😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tupe subra watanzania
@@yusufuheri6524 Wanaadam tuna mtihan unafikiri kila mtu alifanya kitu atakupenda Hebu tuangalie ALLAH alie kua na mamlaka yote dunian anaturudhuku asubuhi jion na anapingwa na mtoto kasingiziwa ila binaadam kunyamaza hatuwez
Dah inasikitisha sana, tumuombe mungu amlipe kile kinachomstahiki, kwa kazi aliyoifanya Tanzania.
Sote tumetoka kwa mungu, na kwake tutarejea.
Tumuombee kwa Allah rais mpya mamaetu samia Allah amtie nguvu, na amtangulie ktk kila hatua ktk uongozi wake. Allah ibariki Tanzania Allah wabariki watanzania na utupe subra ktk msiba huu.
Amina.
Shukran sana ukhty Aisha kwa shairi hakika limegonga mioyo yetu.
INNA'LLILLAHI WAINNA ILLAHI RAJIUN😭Allah ampokee na amtangulie huko aliko,amlaze roho yake pema peponi amen,ampe makazi mema,ampe kauli thabiti,atie Nuru kaburi lake,amen,maashaallah,UTENZI wenye kutikisa mioyo yatu,ubarikiwe sana🙏
Zanzibar sasa nyinyi mnaongoza bara na visiwani haya kazi kwenu kuijenga zanzibar vizuri tusije tukasikia baadae tunanyonywa tunanyoa kazi kwenu kujiweka huru
Twalia kwa kweli Mwenyezi Mungu amuwekeye wepesi In shaa Allah kwenye safari yake ya mwisho
Masha-Allah daima tutakukumbuka raisi wetu Allah akulaze mahala pema peponi ammina
Kafiri haombewi pepo usijisahau
Unauhakika kama kafa kafiri au muislamu
Poleni ndugu zetu watanzania na afrika kwa ujumra inauma ila mungu amempenda zaidi na tunamuombea Mungu amuweke mahari pema .mnisamehe jamani kiswahili changu sio kizuri from🇺🇸😭😭😭😭
MashaaAllah, mbona kinaeleweka habity, Shukran sana.
Tushapoa
@@shikuassi4876 shida ni kutojiamini dada. Mimi ni mtanzania pia ni msomalia mama ni mtu wa tanga baba ni msomali walipoachana baba akatuchukua nikiwa namiaka sita tukaishi kenya .ulipofika 2012 mwezi wa3 nikaolewa mwezi wa nane tarehe 25nikaja marekani mimi na mume wangu hadi hivi sasa.
Tushapowaaa
Innalillah wa inna ileyh rajiun Allah awape subra na faraja wakati juu mgumu, pigo kubwa kwa Afrika na haswa kwa nduguzetu wa Tanzania much love from Kenya I can't stop crying may Allah accept him pema peponi
Innalillah wainna ilayh raji'un... 😭😭😭 Wallah twalia kwa uchungu,. Nimapem sana kuamin hili... Oooh ya Rabby mpe nuru baba yety, shujaa wety,... Hakik haitasahaulik wallah.... Tutakukumbuk kwa meng jmn..😭😭😭😭😭..... Tutaonan baadae
Wallah twauzunika sana lakini hatuna la kufanya. Ila tumuombe mungu amlaze pahala pema peponi
😢😭😭😭😭🙏
Mungu marehemu mzee wetu magufuli 😭😭😭
Inna Lillah Wa Ilaihi Rajiun. Poleni sana kwa msiba huu.
Tuko pamoja dada yetu tuwe na subra in sha Allah 🇰🇪🇰🇪
😭😭😭😭😭😭😭.... Wallah nasikitik machoz yananitok,.. Allah ampe stara huko aendap
Masha’allah 😭❤️ mungu amlaze mahali pema
Ameen
Ameen Ameen Ameen mungu ailaze roho yake pahali pema😭😭😫😫😫
Inna lilla hi wainna illaihi raajiun😭😭 Nipo nawe dadangu simalizi kulia . kifo cha Baba Magufuli kimenigusa pabaya😭 Natamani nngeweza kujumuika nanyi mazishini.
Nawapa makiwa nkiwa Kenya🇰🇪
Mola ailaze roho yake pahala pema palipo na wema🤲🤲🤲
Amiiiin
Amiin
mm nipo oman nataman ningekuwa Tanzania nami nijumuike ni msiba ambao kamwe hautosahaulika
@@heyumi2340 mimi piah ndugu 😭😭😭😭🙏🙏🙏🇴🇲🇹🇿
@@husnahassan2124 dah nipo oman nataman ningekuwepo Tanzania jaman rais wetu magufuli
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭yarabbi naomba mwisho ulomwema
Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania kwa kuondokewa na kiongozi aliyokuwa shupavu😭
Sote ni Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea
Insha Allah Amiin 🙏🙏🙏 Yaarab mpe makao mema Magufuli
Mashaallah m/mungu azidi kukp upeo
Inna lillahi wainna ilayhi.naomba mawasiliano na huyu mtunzimwe kumjua
Ukhty Aisha utenzi mzuriiii sanaa
Innalilai wainnarajiun njia yetu moja Allah awasamehe walio tangulia mbele ya haki amiin yarrab 🤲😭💔
Ah ah Aisha mashallah poleni mama Sisi wakenya twalia
Rest in peace Rais Magufuli Allah akulaze pema InshaaAllah...poleni sana Allah awape subra Tanzania🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu ailaze roho yake pema peponi inshaallah
Ww kafiri haombewi pepo usijisahau
Hatutakiw kumuombea Allah amlaze mahal pema pepon😩😩Huyo Si muislam🙄
Mbele yako Yuma yetu tangulia baba ss tuko nyuma yako tunalia sana baba tuta kukumbuka daima
Innalillah wainnalillah rajrun m/mungu amlaz mahl pema amin
Poleni watanzani kwa msiba uliowafika...mungu amlaze mahala pema peponi Inshallah
Mungu amlaze mahala pema peponi Inshallah
Inna LiLlahi Wainna Ilayhi Rajiun. Amiin Ya Rabbi. Poleni nduguzetu, Wa Tanzania. Kwa kuondokewa na Rais Mpendwa wa Kila Pembe Ya Dunia. Tunahuzni nyingi, twawaombea Subra on the behaves of all Kenya's tuliko mbali🇱🇷🇱🇷🇱🇷. Niletu sote. Mungu Ampe mazuri kama alivokua mzuri.
pole sana kwa watanzania wote, samahani nataka maneno ya utenzi huu kama maandishi? ili kunifasiria kwa lugha ya kiarabu!!! kwa lugha ya kishairi pia
Rest in peace magufuli 😭😭😭mungu awape subra na Imani ndugi zetu watanzania
Rest in peace that will pray for you for all the best that you do in this world and nobody who can make people to forget you for the thing that you did for us your sacrifice your life is just for Tanzania Maguful rest in peace😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Ameeeen🤲🤲🤲
Inalilah waina Lilah rajiun tuta kukumbuka daima baba pumzika kwa amani huna baya kwetu watanzani
Mungu amlaze pema. Sijawahi ona Rais mwenye kujali, kuthamini, kupenda raia wake, mwenye busara na hekima, mpenda amani kama Magufuli. Ameliza wengi sana sio kwa watanzania tu, bali kwa dunia nzima, Alikuwa kielelezo chema na ingekuwa marais wote wa kiafrika wangekuwa kama yeye, wallahi tungekuwa matajiri kisha wakuogopewa. Twakupenda sana na daima utakuwa moyoni mwetu. Lala salama baba.
Nenda baba mungu akulipe mema yako ulotufanyia baba tunashindwa kujizuia watanzani kwa hili pigo litabaki kuwa ndoto kwetu. 😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tupe subra watanzania
innallillah waina ilayhi rajioun 😰😰😰 in shaa Allah Allah Amlaze pema penye wema yarrabbi Ameen🇰🇪🇬🇧
😪😪😪😪🙏🙏🙏 Yarab mlipe kwa mema yke kwani aliyafanya yte yalio bora kwa wanyonge na wajane maskini wte😭😭😭
Innalillahi Waina Ilehi Rajiun...Poleni watanzania😭😭💔💔💔
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲😭😭Polen Sanaa Tanzania m/mungu awape subra lnshaallah ndugu zng wa Tanzania 😭😭😭😭😭😭utenzi mashallah unaliza 😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲
Inalillah wainailah rajuun
Innalillah wainna ileyhi rajiun 🤲💔
Inauma sn mungu amlaze Mahal pema pepon
😢😢😢 hongera Sana dada angu
.............Allah amjaaliye mema yake,yawe ni yenye kumxaidia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Poleni wa Tanzania kwa msiba ulowapata😭😭😭
Ovoooooo 😁😁😁
Amiin
Inalillahi waina ilayhi rajiun. Alhamdulillah
Innaa lillahi wainnaa Ilayhi rajiun Allah Amjalie Makazi mema Aamiin ya Rabb
Ukhty aisha❤ ilov u🎉
Mungu tupe subra Watanzania.
Innalilahi wainnailayhi rajiun
Innalllah wainnaillah rajiun
Inalilah wainna ilah rajiun poleni watanzania will belong to Allah and him will return tuko pamja from kenya
Kwakweli inauma sana mungu amlaze mahali pema pepon
Eeee Mungu Mrehemu Mtumwa wako. Mpokee Mungu wetu Mwema mpokee Mtumwa wako mwema
Ama hakika maisha yana maswali magumu sana
Mashaallah sauti nzuri
🙏🙏🙏
Khakika machoni aupo nasi...ilamoyoni bado unaishi
Ningumu kumeza jamani nawaza nani atavaaa viatu vya magufuli sioni😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Na Wala Hayupo somo
Innalillah wainallah rajuun👏👏👏👏
😭innallilah wainailaih rajiun.
Eee Mungu baba🙏kwann uliamua kumchukua mapema mtetez wetu sisi wanyonge nani atatuangalia tumebak yatima😥😥
Mungu haondoi km hajaweka naamini yupo ambae atafanya zaidi yake. Tumuombeni Allah kwa Sana kwani yy ndio kila kitu.
Kila Ninapo iona picha Ya JPM nabubujikwa Na Machozi Wallahi
😢😢😢😢
Inna lilah waina ilaim jariun We belongs to Allah and to him we will return R.I.P JPM😭😭😭😭😭
Buriani kipenzi chetu 😭😭😭
Poleni tanzania africa has lost a great man hugs from kenya
Ameen yarab😪
Rest easy daddy😭😭😭😭😭
Aamen
Al, ladhina izaa aswabatuhum muswiba kaalu inna lilahi wainna ilayhi raajiun Qulu nafsin dhaykatul mauti
Innalillah wainnalillah rajiun tutakukumbuka daima jemedari wetu
Innah lillahi wa Innah ilehi rajiuon Mungu akurehemu akuweke pema palipo n wema peponi in shaa Allah
Ishi ulaumiwe
Kufa usifiwe
Nyinyi wazanzibari sindo mukio sema kakuuweni kipindi cha uchaguzi au mukimuongopea tu
Hayo maneno tuu ndugu ata kwenye kanga yapo
@@Awatee yahni
@@yusufuheri6524 Wanaadam tuna mtihan unafikiri kila mtu alifanya kitu atakupenda Hebu tuangalie ALLAH alie kua na mamlaka yote dunian anaturudhuku asubuhi jion na anapingwa na mtoto kasingiziwa ila binaadam kunyamaza hatuwez
So sad 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Bado akili inasema hajafa 😭😭😭😭😭😭😭😭mungu wetu umetenda haki yako sisi atuna nguvu zakukuzuia utakalo nenda dady nenda
Inalilah wa inalillah rajuun
Hakika niuchungu sana
Allah ailaze roho yake pahali panapostahiki 😞😞
Nikweli kabisa aisha
Amiina ya rabina Allamiin🤲😭
Ameen Allah amueke mahali pema pepon
Inalilah wainailah laajunn 😭😭😭😭
UTENZI MPYA WA NDOA ruclips.net/video/Jg8nwJHhPpE/видео.html
Innalilah wainailah rajioon
😥😥😥😭
Mungu ampe makazi mema
Amiin
Innalillah wainna lillah raajuun 😭😭😭
Aamiiina
Inalillahi wainailahi rajuun😭😭😭🤲
Innalillahi wain illahi rajioon 😭 😭 utakumbukwa daima
Innalillaah wainna ilayh rajiuun
😭😭😭😭😥
Hakika ss st ni wk na kwake tutarejea
💚💚💚😰
Amiiyn Amiiyn Afwan 🙇
Utenzi mzr s star 💥
😂 😂 😂 😂
Allah ampe kauli thabit 🙏
😭😭😭😭😭