UKHTY AISHA AJA NA UTENZI MAALUM KIFO CHA RAIS MAGUFULI -CHOZI LINAMTOKA AKIISOMA HUU UTENZI.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 183

  • @shadyaadam8919
    @shadyaadam8919 3 года назад +3

    Dah inasikitisha sana, tumuombe mungu amlipe kile kinachomstahiki, kwa kazi aliyoifanya Tanzania.
    Sote tumetoka kwa mungu, na kwake tutarejea.
    Tumuombee kwa Allah rais mpya mamaetu samia Allah amtie nguvu, na amtangulie ktk kila hatua ktk uongozi wake. Allah ibariki Tanzania Allah wabariki watanzania na utupe subra ktk msiba huu.
    Amina.
    Shukran sana ukhty Aisha kwa shairi hakika limegonga mioyo yetu.

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 года назад +2

    INNA'LLILLAHI WAINNA ILLAHI RAJIUN😭Allah ampokee na amtangulie huko aliko,amlaze roho yake pema peponi amen,ampe makazi mema,ampe kauli thabiti,atie Nuru kaburi lake,amen,maashaallah,UTENZI wenye kutikisa mioyo yatu,ubarikiwe sana🙏

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 3 года назад +7

    Zanzibar sasa nyinyi mnaongoza bara na visiwani haya kazi kwenu kuijenga zanzibar vizuri tusije tukasikia baadae tunanyonywa tunanyoa kazi kwenu kujiweka huru

  • @chantalharakandi2576
    @chantalharakandi2576 3 года назад +2

    Twalia kwa kweli Mwenyezi Mungu amuwekeye wepesi In shaa Allah kwenye safari yake ya mwisho

  • @kassimhaidary5827
    @kassimhaidary5827 3 года назад +8

    Masha-Allah daima tutakukumbuka raisi wetu Allah akulaze mahala pema peponi ammina

  • @fatumamuiya6089
    @fatumamuiya6089 3 года назад +8

    Poleni ndugu zetu watanzania na afrika kwa ujumra inauma ila mungu amempenda zaidi na tunamuombea Mungu amuweke mahari pema .mnisamehe jamani kiswahili changu sio kizuri from🇺🇸😭😭😭😭

    • @shikuassi4876
      @shikuassi4876 3 года назад +1

      MashaaAllah, mbona kinaeleweka habity, Shukran sana.

    • @fahamymswaki268
      @fahamymswaki268 3 года назад +1

      Tushapoa

    • @fatumamuiya6089
      @fatumamuiya6089 3 года назад +1

      @@shikuassi4876 shida ni kutojiamini dada. Mimi ni mtanzania pia ni msomalia mama ni mtu wa tanga baba ni msomali walipoachana baba akatuchukua nikiwa namiaka sita tukaishi kenya .ulipofika 2012 mwezi wa3 nikaolewa mwezi wa nane tarehe 25nikaja marekani mimi na mume wangu hadi hivi sasa.

    • @nadhirasaid3820
      @nadhirasaid3820 3 года назад

      Tushapowaaa

  • @rehsanhassan8141
    @rehsanhassan8141 3 года назад

    Innalillah wa inna ileyh rajiun Allah awape subra na faraja wakati juu mgumu, pigo kubwa kwa Afrika na haswa kwa nduguzetu wa Tanzania much love from Kenya I can't stop crying may Allah accept him pema peponi

  • @fatmahally422
    @fatmahally422 3 года назад +3

    Innalillah wainna ilayh raji'un... 😭😭😭 Wallah twalia kwa uchungu,. Nimapem sana kuamin hili... Oooh ya Rabby mpe nuru baba yety, shujaa wety,... Hakik haitasahaulik wallah.... Tutakukumbuk kwa meng jmn..😭😭😭😭😭..... Tutaonan baadae

  • @bigsmoth1285
    @bigsmoth1285 3 года назад +3

    Wallah twauzunika sana lakini hatuna la kufanya. Ila tumuombe mungu amlaze pahala pema peponi

  • @motowakuoteambali5290
    @motowakuoteambali5290 3 года назад +13

    Mungu marehemu mzee wetu magufuli 😭😭😭

  • @abuzaki1781
    @abuzaki1781 3 года назад +8

    Inna Lillah Wa Ilaihi Rajiun. Poleni sana kwa msiba huu.

  • @teampunisher9446
    @teampunisher9446 3 года назад +5

    Tuko pamoja dada yetu tuwe na subra in sha Allah 🇰🇪🇰🇪

  • @fatmahally422
    @fatmahally422 3 года назад +6

    😭😭😭😭😭😭😭.... Wallah nasikitik machoz yananitok,.. Allah ampe stara huko aendap

  • @suhelaomar1777
    @suhelaomar1777 3 года назад +9

    Masha’allah 😭❤️ mungu amlaze mahali pema

  • @nusranasser6549
    @nusranasser6549 3 года назад +22

    Inna lilla hi wainna illaihi raajiun😭😭 Nipo nawe dadangu simalizi kulia . kifo cha Baba Magufuli kimenigusa pabaya😭 Natamani nngeweza kujumuika nanyi mazishini.
    Nawapa makiwa nkiwa Kenya🇰🇪
    Mola ailaze roho yake pahala pema palipo na wema🤲🤲🤲
    Amiiiin

    • @rasykizanjbari4996
      @rasykizanjbari4996 3 года назад

      Amiin

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      mm nipo oman nataman ningekuwa Tanzania nami nijumuike ni msiba ambao kamwe hautosahaulika

    • @husnahassan2124
      @husnahassan2124 3 года назад

      @@heyumi2340 mimi piah ndugu 😭😭😭😭🙏🙏🙏🇴🇲🇹🇿

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 года назад

      @@husnahassan2124 dah nipo oman nataman ningekuwepo Tanzania jaman rais wetu magufuli

    • @naymaomary1745
      @naymaomary1745 3 года назад

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭yarabbi naomba mwisho ulomwema

  • @zahrashariff3035
    @zahrashariff3035 3 года назад +8

    Poleni sana ndugu zetu wa Tanzania kwa kuondokewa na kiongozi aliyokuwa shupavu😭

  • @abuialmarjibi979
    @abuialmarjibi979 3 года назад +5

    Sote ni Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea

  • @jamilaokello2340
    @jamilaokello2340 3 года назад +3

    Insha Allah Amiin 🙏🙏🙏 Yaarab mpe makao mema Magufuli

  • @rahmaiddy5017
    @rahmaiddy5017 3 года назад +1

    Mashaallah m/mungu azidi kukp upeo

  • @makeroabdi3671
    @makeroabdi3671 3 года назад +2

    Inna lillahi wainna ilayhi.naomba mawasiliano na huyu mtunzimwe kumjua

  • @almashaaribububu1214
    @almashaaribububu1214 3 года назад +2

    Ukhty Aisha utenzi mzuriiii sanaa

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 года назад +3

    Innalilai wainnarajiun njia yetu moja Allah awasamehe walio tangulia mbele ya haki amiin yarrab 🤲😭💔

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 3 года назад +1

    Ah ah Aisha mashallah poleni mama Sisi wakenya twalia

  • @mimyshamy9850
    @mimyshamy9850 3 года назад +4

    Rest in peace Rais Magufuli Allah akulaze pema InshaaAllah...poleni sana Allah awape subra Tanzania🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @zeynabalwy45
    @zeynabalwy45 3 года назад +7

    Mungu ailaze roho yake pema peponi inshaallah

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 3 года назад

      Ww kafiri haombewi pepo usijisahau

    • @bintsalimalbimany5340
      @bintsalimalbimany5340 3 года назад

      Hatutakiw kumuombea Allah amlaze mahal pema pepon😩😩Huyo Si muislam🙄

  • @dotonjilinghanya1873
    @dotonjilinghanya1873 3 года назад +3

    Mbele yako Yuma yetu tangulia baba ss tuko nyuma yako tunalia sana baba tuta kukumbuka daima

  • @rahmaiddy5017
    @rahmaiddy5017 3 года назад +2

    Innalillah wainnalillah rajrun m/mungu amlaz mahl pema amin

  • @salamasalim1536
    @salamasalim1536 3 года назад +1

    Poleni watanzani kwa msiba uliowafika...mungu amlaze mahala pema peponi Inshallah

    • @salamasalim1536
      @salamasalim1536 3 года назад

      Mungu amlaze mahala pema peponi Inshallah

  • @fatmahassan4790
    @fatmahassan4790 3 года назад +4

    Inna LiLlahi Wainna Ilayhi Rajiun. Amiin Ya Rabbi. Poleni nduguzetu, Wa Tanzania. Kwa kuondokewa na Rais Mpendwa wa Kila Pembe Ya Dunia. Tunahuzni nyingi, twawaombea Subra on the behaves of all Kenya's tuliko mbali🇱🇷🇱🇷🇱🇷. Niletu sote. Mungu Ampe mazuri kama alivokua mzuri.

  • @AhmedKhalaf-nr4gi
    @AhmedKhalaf-nr4gi 3 года назад +2

    pole sana kwa watanzania wote, samahani nataka maneno ya utenzi huu kama maandishi? ili kunifasiria kwa lugha ya kiarabu!!! kwa lugha ya kishairi pia

  • @shameemathman27
    @shameemathman27 3 года назад +5

    Rest in peace magufuli 😭😭😭mungu awape subra na Imani ndugi zetu watanzania

  • @furahanandy5790
    @furahanandy5790 3 года назад +9

    Rest in peace that will pray for you for all the best that you do in this world and nobody who can make people to forget you for the thing that you did for us your sacrifice your life is just for Tanzania Maguful rest in peace😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @shufaaahmed4618
    @shufaaahmed4618 3 года назад +8

    Ameeeen🤲🤲🤲

  • @dotonjilinghanya1873
    @dotonjilinghanya1873 3 года назад +2

    Inalilah waina Lilah rajiun tuta kukumbuka daima baba pumzika kwa amani huna baya kwetu watanzani

  • @lamynlogan9599
    @lamynlogan9599 3 года назад

    Mungu amlaze pema. Sijawahi ona Rais mwenye kujali, kuthamini, kupenda raia wake, mwenye busara na hekima, mpenda amani kama Magufuli. Ameliza wengi sana sio kwa watanzania tu, bali kwa dunia nzima, Alikuwa kielelezo chema na ingekuwa marais wote wa kiafrika wangekuwa kama yeye, wallahi tungekuwa matajiri kisha wakuogopewa. Twakupenda sana na daima utakuwa moyoni mwetu. Lala salama baba.

  • @salmasaif7820
    @salmasaif7820 3 года назад +1

    Nenda baba mungu akulipe mema yako ulotufanyia baba tunashindwa kujizuia watanzani kwa hili pigo litabaki kuwa ndoto kwetu. 😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu tupe subra watanzania

  • @ashaawaro8155
    @ashaawaro8155 3 года назад +1

    innallillah waina ilayhi rajioun 😰😰😰 in shaa Allah Allah Amlaze pema penye wema yarrabbi Ameen🇰🇪🇬🇧

  • @mudriqhamidu6031
    @mudriqhamidu6031 3 года назад +2

    😪😪😪😪🙏🙏🙏 Yarab mlipe kwa mema yke kwani aliyafanya yte yalio bora kwa wanyonge na wajane maskini wte😭😭😭

  • @shufaaahmed4618
    @shufaaahmed4618 3 года назад +8

    Innalillahi Waina Ilehi Rajiun...Poleni watanzania😭😭💔💔💔

  • @zahraalhabsi7931
    @zahraalhabsi7931 3 года назад

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲😭😭Polen Sanaa Tanzania m/mungu awape subra lnshaallah ndugu zng wa Tanzania 😭😭😭😭😭😭utenzi mashallah unaliza 😭😭😭🤲🤲🤲🤲🤲🤲

  • @neemakituga7143
    @neemakituga7143 2 года назад +1

    Inalillah wainailah rajuun

  • @masmuhahassan6710
    @masmuhahassan6710 3 года назад +8

    Innalillah wainna ileyhi rajiun 🤲💔

  • @maimunamwinyi4589
    @maimunamwinyi4589 3 года назад +1

    Inauma sn mungu amlaze Mahal pema pepon

  • @InnocentMountainVolcano-zq9sl
    @InnocentMountainVolcano-zq9sl 8 месяцев назад

    😢😢😢 hongera Sana dada angu

  • @abdallakutunza4754
    @abdallakutunza4754 3 года назад +3

    .............Allah amjaaliye mema yake,yawe ni yenye kumxaidia😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @aishaabubakar4099
    @aishaabubakar4099 3 года назад +6

    Poleni wa Tanzania kwa msiba ulowapata😭😭😭

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 3 года назад +2

    Ovoooooo 😁😁😁

  • @ziadasleiman876
    @ziadasleiman876 3 года назад +3

    Amiin

  • @alzainaalaghbary5560
    @alzainaalaghbary5560 3 года назад +1

    Inalillahi waina ilayhi rajiun. Alhamdulillah

  • @fatmafatmahassan5648
    @fatmafatmahassan5648 3 года назад +1

    Innaa lillahi wainnaa Ilayhi rajiun Allah Amjalie Makazi mema Aamiin ya Rabb

  • @اسدحديدي
    @اسدحديدي 4 месяца назад

    Ukhty aisha❤ ilov u🎉

  • @oman7710
    @oman7710 3 года назад +2

    Mungu tupe subra Watanzania.

  • @ashfainasalum3394
    @ashfainasalum3394 3 года назад +5

    Innalilahi wainnailayhi rajiun

  • @fatumahatibu9682
    @fatumahatibu9682 3 года назад +6

    Innalllah wainnaillah rajiun

  • @bintybweta9604
    @bintybweta9604 3 года назад +2

    Inalilah wainna ilah rajiun poleni watanzania will belong to Allah and him will return tuko pamja from kenya

  • @faustinaprosper2308
    @faustinaprosper2308 3 года назад +1

    Kwakweli inauma sana mungu amlaze mahali pema pepon

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 3 года назад +1

    Eeee Mungu Mrehemu Mtumwa wako. Mpokee Mungu wetu Mwema mpokee Mtumwa wako mwema

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 года назад +1

    Ama hakika maisha yana maswali magumu sana

  • @mnegaamina6085
    @mnegaamina6085 3 года назад

    Mashaallah sauti nzuri

  • @ebrahimosman5477
    @ebrahimosman5477 3 года назад +2

    🙏🙏🙏

  • @neemakituga7143
    @neemakituga7143 2 года назад +1

    Khakika machoni aupo nasi...ilamoyoni bado unaishi

  • @azizasaidi6362
    @azizasaidi6362 3 года назад +9

    Ningumu kumeza jamani nawaza nani atavaaa viatu vya magufuli sioni😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @ayshazambia6509
    @ayshazambia6509 3 года назад +2

    Innalillah wainallah rajuun👏👏👏👏

  • @hibaalfarsi7756
    @hibaalfarsi7756 3 года назад +4

    😭innallilah wainailaih rajiun.

  • @hawahabibu1379
    @hawahabibu1379 3 года назад +2

    Eee Mungu baba🙏kwann uliamua kumchukua mapema mtetez wetu sisi wanyonge nani atatuangalia tumebak yatima😥😥

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 3 года назад +1

      Mungu haondoi km hajaweka naamini yupo ambae atafanya zaidi yake. Tumuombeni Allah kwa Sana kwani yy ndio kila kitu.

  • @fatmafatmahassan5648
    @fatmafatmahassan5648 3 года назад +4

    Kila Ninapo iona picha Ya JPM nabubujikwa Na Machozi Wallahi

  • @ahmedrey1188
    @ahmedrey1188 3 года назад +2

    😢😢😢😢

  • @aminaissa9709
    @aminaissa9709 3 года назад +6

    Inna lilah waina ilaim jariun We belongs to Allah and to him we will return R.I.P JPM😭😭😭😭😭

  • @mimiadam9156
    @mimiadam9156 3 года назад +4

    Poleni tanzania africa has lost a great man hugs from kenya

  • @shijipillai1996
    @shijipillai1996 3 года назад +2

    Ameen yarab😪

  • @muhsinibrahim7187
    @muhsinibrahim7187 3 года назад +8

    Rest easy daddy😭😭😭😭😭

  • @dumbi1625
    @dumbi1625 2 года назад +1

    Aamen

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад +2

    Al, ladhina izaa aswabatuhum muswiba kaalu inna lilahi wainna ilayhi raajiun Qulu nafsin dhaykatul mauti

  • @zuwaydasalum4468
    @zuwaydasalum4468 3 года назад

    Innalillah wainnalillah rajiun tutakukumbuka daima jemedari wetu

  • @aminajamil8582
    @aminajamil8582 3 года назад +1

    Innah lillahi wa Innah ilehi rajiuon Mungu akurehemu akuweke pema palipo n wema peponi in shaa Allah

  • @ukhtyanasabintimalikimalik7188
    @ukhtyanasabintimalikimalik7188 3 года назад +2

    Ishi ulaumiwe
    Kufa usifiwe
    Nyinyi wazanzibari sindo mukio sema kakuuweni kipindi cha uchaguzi au mukimuongopea tu

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад

      Hayo maneno tuu ndugu ata kwenye kanga yapo

    • @yusufuheri6524
      @yusufuheri6524 2 года назад

      @@Awatee yahni

    • @Awatee
      @Awatee 2 года назад

      @@yusufuheri6524 Wanaadam tuna mtihan unafikiri kila mtu alifanya kitu atakupenda Hebu tuangalie ALLAH alie kua na mamlaka yote dunian anaturudhuku asubuhi jion na anapingwa na mtoto kasingiziwa ila binaadam kunyamaza hatuwez

  • @arafarashid417
    @arafarashid417 3 года назад +8

    So sad 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @omanimujsa9756
      @omanimujsa9756 3 года назад

      Bado akili inasema hajafa 😭😭😭😭😭😭😭😭mungu wetu umetenda haki yako sisi atuna nguvu zakukuzuia utakalo nenda dady nenda

  • @hamisasaid3286
    @hamisasaid3286 3 года назад +1

    Inalilah wa inalillah rajuun

  • @yassirhalimamohammedmohamm5913
    @yassirhalimamohammedmohamm5913 3 года назад +3

    Hakika niuchungu sana

  • @ziadasleiman876
    @ziadasleiman876 3 года назад +2

    Allah ailaze roho yake pahali panapostahiki 😞😞

  • @ZainaB-vt6uv
    @ZainaB-vt6uv 3 года назад +1

    Nikweli kabisa aisha

  • @mesajuma4843
    @mesajuma4843 3 года назад +1

    Amiina ya rabina Allamiin🤲😭

  • @mwajumabakari3730
    @mwajumabakari3730 3 года назад +1

    Inalilah wainailah laajunn 😭😭😭😭

  • @aminarashid3916
    @aminarashid3916 3 года назад +1

    UTENZI MPYA WA NDOA ruclips.net/video/Jg8nwJHhPpE/видео.html

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Innalilah wainailah rajioon

  • @saniyabakari1940
    @saniyabakari1940 3 года назад +2

    😥😥😥😭

  • @ommarymgazah6094
    @ommarymgazah6094 3 года назад +1

    Mungu ampe makazi mema

  • @ashadanga6470
    @ashadanga6470 3 года назад +1

    Innalillah wainna lillah raajuun 😭😭😭

  • @abdularuffin9308
    @abdularuffin9308 3 года назад

    Aamiiina

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 3 года назад +2

    Inalillahi wainailahi rajuun😭😭😭🤲

  • @poposuleman2667
    @poposuleman2667 3 года назад +1

    Innalillahi wain illahi rajioon 😭 😭 utakumbukwa daima

  • @oman7710
    @oman7710 3 года назад +1

    Innalillaah wainna ilayh rajiuun

  • @umkhalid.almasroorimashall8590
    @umkhalid.almasroorimashall8590 3 года назад +1

    😭😭😭😭😥

  • @salmarashid4293
    @salmarashid4293 3 года назад +1

    Hakika ss st ni wk na kwake tutarejea

  • @umkhalid.almasroorimashall8590
    @umkhalid.almasroorimashall8590 3 года назад +1

    💚💚💚😰

  • @bintomary1875
    @bintomary1875 3 года назад +1

    Amiiyn Amiiyn Afwan 🙇

  • @abuubakarkh4772
    @abuubakarkh4772 3 года назад

    Utenzi mzr s star 💥

  • @saphiniasuleyman997
    @saphiniasuleyman997 3 года назад +4

    😂 😂 😂 😂

  • @nihifadhiabdul1366
    @nihifadhiabdul1366 3 года назад +1

    Allah ampe kauli thabit 🙏

  • @mwanachashaban7224
    @mwanachashaban7224 3 года назад +3

    😭😭😭😭😭