UTATA! MAHAKAMANI ANAYESHITAKIWA KUMUUA MAMA YAKE na KUMTUPA CHOONI - VIPIMO vya DNA VYAMKATAA...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 41

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  10 месяцев назад +2

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @ZulfaZulfazulfa-j7c
    @ZulfaZulfazulfa-j7c 10 месяцев назад +20

    Tanzania maskini ndiyo anafungwa ila tajiri hafugwi hongo nyingi sana mama aliye singiziwa kukutwa na vipade vya nyama kafungwa maisha jamani masikini hana haki

  • @neeskpop
    @neeskpop 10 месяцев назад +10

    Huna kitu, haupati kitu. Maskini kilasiku hana sheriya. Mama wa vipande vya nyama, anakosa watetezi ,ila tajiri hata akutwe akikata mtu kichwa, hukumu zake ni ndogo kbs.

  • @winnesakara6957
    @winnesakara6957 10 месяцев назад +13

    Kamua mama yake mzazi kisa mali itamtesa miaka yote hatabaki salama hata kama mahakama itamwachia

    • @jestonelazaro6543
      @jestonelazaro6543 9 месяцев назад +2

      Acha mahakama Ione Ukweli wafanyabiashara wana maadui wengine ambayo hutumia nafasi

    • @MuniraNana
      @MuniraNana 9 месяцев назад

      @@jestonelazaro6543 ni kweli

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 10 месяцев назад +4

    Yupo hakimu wa mahakimu ambae anaijua haki pasina ya ushahidi

  • @Fatima1234-wl1nu
    @Fatima1234-wl1nu 10 месяцев назад +4

    mtangazaji nampenda huyu yupo vizuli mashaallah tabarakaallah nakupenda kiukweli sichoki kukusikilizaa

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 10 месяцев назад +4

    Mmhhhhh mtu kamuua mamaake kweli alafu Mawakili mnamtetea mtuhumiwa iyo DHAMBI itawatafuna kwenye maisha yenu

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 10 месяцев назад +3

    Tanzania 🇹🇿 ya Mavi kunuka rushwa imeshatembea Tanzania ni masikini tu ndio anafungwa Na jela za Tanzania ya Mavi kunuka wamejazana masikini

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 10 месяцев назад +2

    Uyo akitoka akaish mbingu nyingne asje leta madhara kwa wengne damu ya mtu aitamuacha salama

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 10 месяцев назад +6

    Wanamsimamia huyu kijana akili hawana.

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 10 месяцев назад +3

    Nilicho jifunza nikwamba vijana walio somea sheria nawakawa wanasheria wanatakiwa waajiriwe ktk jeshi la policy ili kusaidia wananchi mana wapo wanao fungwa na kukaa maabusu kwasababu policy hawajui sheria hasa policy wapelelezi wanazidiwa sana na mawakili kunakeahi hutakiwi hata kuingia maabusu znatakiwa ziishie mapokezi tu

  • @ashurahaji4794
    @ashurahaji4794 10 месяцев назад +4

    Wanataka kumtetea huyu kijana baada ya kumuangalia mdogowake

  • @AminaAminjay-dv8tr
    @AminaAminjay-dv8tr 10 месяцев назад +5

    Yaan hii nchi watu wanaagalia pesa mbele, Yaan mtu amekiri kwa kinywa chake na majukum kuonyesha mwili ulipo lakini bado wanasimama na kumtete muuaji ili iweje xax, aendele na kwa watu wengine ama kunamda muache kuagalia mshiko mfanye kazi haki yenu mtajaikos mbiguni nyinyi mawakili maana mko na zamana kubwa mno mbele za mungu

    • @RayyanRayyan-rt9cg
      @RayyanRayyan-rt9cg 10 месяцев назад +1

      Asilimia kubwa yawatu wanao fanya kazi ktk serikali mhhhhhh acha ninyamaze ila kma huna hela utoboi

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 10 месяцев назад +4

    Nangoja mwendelezo ya weza kuwa kijana amesingiziwa

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 8 месяцев назад

    Sasa muarifu amekiri sasa uchunguzi wanini tena amakweri kesi yatajiri ndio yenye aki sio kesi ya maskini

  • @anjelinakaniki9162
    @anjelinakaniki9162 8 месяцев назад

    Lkn ipo siku atajuta goja kwaza pesa iyongee

  • @debbiethomas9825
    @debbiethomas9825 8 месяцев назад

    Dah….🤦‍♀️🤦‍♀️

  • @siggykavishe6036
    @siggykavishe6036 9 месяцев назад +1

    Inaonyesha dhahiri mashahidi japo ni askari hawajui kitu.maswali yamekua magumu kiasi kwamba mtuhumiwa anaweza kuwa na nafasi kubwa ya kushinda kesi

  • @Mariam-w9s3b
    @Mariam-w9s3b 10 месяцев назад +3

    Shida ya tz pesa ndio ina haki

  • @DorisShangwe
    @DorisShangwe 10 месяцев назад +1

    Huyu ataachiwa hana kesi. Sanasana atapelekwa kaburin kwa mama yake aombe msamaha, pia msamaha wa kwa ndugu yake halafu asimamie mali za mama yake. Mshua afungwi

  • @ommyshopangi9543
    @ommyshopangi9543 10 месяцев назад +1

    Police wanaonyesha namna gani hawapaswi kutegemewa....mbona wanajikanyaga tu kwenye hiyo case.....

  • @eestermos9933
    @eestermos9933 9 месяцев назад

    Sijaelewa

  • @jamesukombozi5216
    @jamesukombozi5216 10 месяцев назад +2

    Madereka bwana!

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 10 месяцев назад +3

    Duh mawakili Mungu anawaona

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 9 месяцев назад

    Kijana mwenzangu tutafute pesa kitu nilichongudua hapa dunian ni kwamba kitu ambacho huwezi kununua hapa duniani ni roho tu

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro6543 9 месяцев назад

    Kibatala,madeleka,ukiwashinda rufaa itakulamba tu polisi ni form four failure wengi wao huku hawa ni phd,masters na mbinu za kikesi coz daily wao wapo mahakaman tofauti na polisi

  • @leskarmeikok8956
    @leskarmeikok8956 10 месяцев назад +1

    Kesi ngumu hii

  • @Zinab-g1i
    @Zinab-g1i 9 месяцев назад

    Atakuwa kasingiziwa km DNA inakataa basi aachiwe

  • @habibabarker1644
    @habibabarker1644 9 месяцев назад

    Atajua la kumjibu Mungu kama kamuua huko hakuna wakili wala pesa

  • @saumsaid1966
    @saumsaid1966 9 месяцев назад

    Anachekaaa kabisa

  • @IhoyeGeorge-b9t
    @IhoyeGeorge-b9t 10 месяцев назад +1

    Mm

  • @اللهأكبر-ذ7ث3س
    @اللهأكبر-ذ7ث3س 10 месяцев назад

    Rato ni nini?

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 9 месяцев назад

    Bila kukusudia na wakati amemtupa mama ake shimoni kabisa jamani, dah