Utapeli Wa Forex | Nilianza Na IST | Matusi Ni Mengi | Huwezi Kufeli | Nimepoteza Pesa Nyingi | Pt 6
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- Katika kipindi hiki cha kipekee, tunakuletea mazungumzo ya kina na Amri Saly, mwanzilishi wa Intelligence FX “IFX”, akizungumzia kuhusu soko la fedha za kigeni (Forex) na maisha kwa ujumla. Ungana nasi tujifunze kuhusu safari yake katika ulimwengu wa Forex, changamoto alizokabiliana nazo, na mafanikio aliyoyapata. Pia, Amri atashare ushauri wake kwa wale wanaotaka kujitosa katika biashara hii na tutachunguza jinsi maisha yake yalivyobadilika kutokana na Forex. Usikose sehemu hii ya kuelimisha na kuburudisha!
Instagram
-@myodpodcast
Mussa;- @bazz.forreal
Amri;- @Amrisaly
#Forex #tanzania #forextrading #forextanzania #forexforbeginner
Host(Mussa) upunguze ukali wa maneno, au try to edit mahali ulipotumia lugha ngumu because video hizi zinaangaliwa na watu tofautitofauti na pia inaweza kuwa reported TCRA na ukapata ban🙏
Generally IFX is a game changer, nimejifunza vitu vingi sana kuhusu forex na business in general hasa kikubwa ni kuwa na commitment na love na unachokifanya na utayari wa kujifunza na kujipa mda rather than focus on quick money and key is to invest in real skills, less emotion, health psychology and handle negativity&failure and learn from mistakes
Umezingua sana Mtangazaji.😕😕
Mmenifunza vingi kwenu ila kikubwa ni kupambana coz no easy money. Amry ametibu ubongo wangu kwa kiasi kikubwa before nilikuwa nafikilia napataje ajira in government but now no such thing like that.
Nachomuomba now watu wa hali ya chini wa mikoani tunapitia changamoto ya mentors tegemeo letu ni RUclips so apost tutorial za kutosha tupate walau maalifa yatusaidie
Ivi kaka serious naweza jifunza fx kupitia you tube videos??
@@jahmatutv616 haya Mambo yanaitaji nguvu ya ziada it's possible but not easy
nimekaa na dada zangu nawasikilizisha podcast za forex afu unatukana daah! aisee umenidhalilisha
😂😂😂😂
-Kwamba kwanz hakuna mafanikio ya haraka pia ni process na iliuweze kufikia malengo au kufanikiwa huk inabidi uwe na plans na misimamo
-Pili kila ukitaka kufanya jambo haswa biashara inabidi ufanye research kiundani zaidi kabla huja fanya au kuingia ilikuapata skills na knowledge sahihi
-Tatu chochote unachokifanya usikubalii kua oppressed na mtu just focus
*Kwa kwel weng miongoni mwetu tunatokea kweny maisha ya chin au kwaida na kwel nafsi hii naihitaji lkn sababu strong enough to please you sina siwez kufake au kusema uwongo kabisa.....ukwel ni kwamba kuafford the price ni mtihani
Host for sure sikutegemea this kind of udadisi sababu umejitaidi kupita kwenye angle muhimu kwa kuendana na mtu unae mhoji amri na ku create swali juu ya swali
Nimeamua ku subscribe kutokana na podcast unazotoa
IFX
Ifx🔥
1.nimejifunza in any career nothing is easy twhat ee have to do i is to be stong enough to handle all those hard things as part of the process..through investing in ourself untired learning and improving on each day
2.kwanini mimi niko interested on knowing how the market moves on different market conditions as i have fallen in love with the IFX methodology cause i have consumed their free content and i have some knowledge on it
masta hiyo mitusi duuh bimkubwa yupo jikoni ameskia, umezingua
Ifx
Jamaa yupo vizuri mnoo sio kwa forex tu
pole sana kaka na hilo tusi ur doing a great job brother
IFX to the moon 🚀
Day In A Life
Day in life
IFX🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Amejitahid sana kuwa real, ila fx cdhani ata alipwe kwa vihela vyetu cdhani km ataelewa, c chini ya miaka mitano ndo macho yaone tena non stop
anatafuta wanafunzi hayupo apo kusaidia kama anavojitetea
@@geoffreyengatkinsonwanafunzi wa course yake MTU mmoja ni $750,, wewe unadhani watu wangapi wana millioni mbili ? Ya kusomea forex
hahaha mangombe ndo wanapigwaga@@bigbro-my6xj
@@bigbro-my6xj anavoelezea serious sasa unaweza sema mtu anaenda kutoka kumbe ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa
@@geoffreyengatkinson chief huyu jamaa ushawahi kumjua/kufanya nae kazi?
Kidgo uni aibishe na lile tusi kk!😂
Promo sm 😱
😂😂😂😂😂😂😂😂
Bro umezingua hii ni public channel Haupaswi kuongea matusi ni bora utumie filter kuna watu kibao wanafuatilia hii podcast yako una wa discarage..namna hii punguza ukali wa MANENO kidgo
Unamvimbia mwenye pesa wakati wewe mwenyewe ndo umejileta apa
@@jahmatutv616 POA ukitaka na wewe vimba kama vipi
IFX
Ifx
Day in Life
day in life
Ifx
Ifx
IFX
day in life