Utapeli Wa Forex | Nilianza Na IST | Matusi Ni Mengi | Huwezi Kufeli | Nimepoteza Pesa Nyingi | Pt 6

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Katika kipindi hiki cha kipekee, tunakuletea mazungumzo ya kina na Amri Saly, mwanzilishi wa Intelligence FX “IFX”, akizungumzia kuhusu soko la fedha za kigeni (Forex) na maisha kwa ujumla. Ungana nasi tujifunze kuhusu safari yake katika ulimwengu wa Forex, changamoto alizokabiliana nazo, na mafanikio aliyoyapata. Pia, Amri atashare ushauri wake kwa wale wanaotaka kujitosa katika biashara hii na tutachunguza jinsi maisha yake yalivyobadilika kutokana na Forex. Usikose sehemu hii ya kuelimisha na kuburudisha!
    Instagram
    -@myodpodcast
    Mussa;- @bazz.forreal
    Amri;- @Amrisaly
    #Forex #tanzania #forextrading #forextanzania #forexforbeginner

Комментарии • 57

  • @Hotmedia-w6i
    @Hotmedia-w6i 6 месяцев назад +9

    Host(Mussa) upunguze ukali wa maneno, au try to edit mahali ulipotumia lugha ngumu because video hizi zinaangaliwa na watu tofautitofauti na pia inaweza kuwa reported TCRA na ukapata ban🙏

  • @Harounmsuyah
    @Harounmsuyah 6 месяцев назад +1

    Generally IFX is a game changer, nimejifunza vitu vingi sana kuhusu forex na business in general hasa kikubwa ni kuwa na commitment na love na unachokifanya na utayari wa kujifunza na kujipa mda rather than focus on quick money and key is to invest in real skills, less emotion, health psychology and handle negativity&failure and learn from mistakes

  • @experiusmrefu1003
    @experiusmrefu1003 2 месяца назад

    Umezingua sana Mtangazaji.😕😕

  • @iddyzotz2898
    @iddyzotz2898 6 месяцев назад +4

    Mmenifunza vingi kwenu ila kikubwa ni kupambana coz no easy money. Amry ametibu ubongo wangu kwa kiasi kikubwa before nilikuwa nafikilia napataje ajira in government but now no such thing like that.
    Nachomuomba now watu wa hali ya chini wa mikoani tunapitia changamoto ya mentors tegemeo letu ni RUclips so apost tutorial za kutosha tupate walau maalifa yatusaidie

    • @jahmatutv616
      @jahmatutv616 6 месяцев назад

      Ivi kaka serious naweza jifunza fx kupitia you tube videos??

    • @iddyzotz2898
      @iddyzotz2898 6 месяцев назад

      @@jahmatutv616 haya Mambo yanaitaji nguvu ya ziada it's possible but not easy

  • @IMANWILLIAM-bl2ui
    @IMANWILLIAM-bl2ui 6 месяцев назад +2

    nimekaa na dada zangu nawasikilizisha podcast za forex afu unatukana daah! aisee umenidhalilisha

  • @masoudmasoud7721
    @masoudmasoud7721 6 месяцев назад

    -Kwamba kwanz hakuna mafanikio ya haraka pia ni process na iliuweze kufikia malengo au kufanikiwa huk inabidi uwe na plans na misimamo
    -Pili kila ukitaka kufanya jambo haswa biashara inabidi ufanye research kiundani zaidi kabla huja fanya au kuingia ilikuapata skills na knowledge sahihi
    -Tatu chochote unachokifanya usikubalii kua oppressed na mtu just focus
    *Kwa kwel weng miongoni mwetu tunatokea kweny maisha ya chin au kwaida na kwel nafsi hii naihitaji lkn sababu strong enough to please you sina siwez kufake au kusema uwongo kabisa.....ukwel ni kwamba kuafford the price ni mtihani

  • @jahmatutv616
    @jahmatutv616 6 месяцев назад

    Host for sure sikutegemea this kind of udadisi sababu umejitaidi kupita kwenye angle muhimu kwa kuendana na mtu unae mhoji amri na ku create swali juu ya swali
    Nimeamua ku subscribe kutokana na podcast unazotoa

  • @Harounmsuyah
    @Harounmsuyah 6 месяцев назад +1

    IFX

  • @SospeterMndeme
    @SospeterMndeme 6 месяцев назад +1

    Ifx🔥

  • @FrankMathias-o3i
    @FrankMathias-o3i 6 месяцев назад

    1.nimejifunza in any career nothing is easy twhat ee have to do i is to be stong enough to handle all those hard things as part of the process..through investing in ourself untired learning and improving on each day
    2.kwanini mimi niko interested on knowing how the market moves on different market conditions as i have fallen in love with the IFX methodology cause i have consumed their free content and i have some knowledge on it

  • @georgenkanawa7156
    @georgenkanawa7156 4 месяца назад

    masta hiyo mitusi duuh bimkubwa yupo jikoni ameskia, umezingua

  • @masoudmasoud7721
    @masoudmasoud7721 6 месяцев назад +1

    Ifx

  • @henrymwampuga2032
    @henrymwampuga2032 6 месяцев назад

    Jamaa yupo vizuri mnoo sio kwa forex tu

  • @mpegwamakama7331
    @mpegwamakama7331 6 месяцев назад

    pole sana kaka na hilo tusi ur doing a great job brother

  • @Ajome_Family
    @Ajome_Family 6 месяцев назад

    IFX to the moon 🚀

  • @jmarmedia3488
    @jmarmedia3488 6 месяцев назад +1

    Day In A Life

  • @masoudmasoud7721
    @masoudmasoud7721 6 месяцев назад +1

    Day in life

  • @Senoritah-phire17
    @Senoritah-phire17 6 месяцев назад

    IFX🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 6 месяцев назад +1

    Amejitahid sana kuwa real, ila fx cdhani ata alipwe kwa vihela vyetu cdhani km ataelewa, c chini ya miaka mitano ndo macho yaone tena non stop

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 6 месяцев назад

      anatafuta wanafunzi hayupo apo kusaidia kama anavojitetea

    • @bigbro-my6xj
      @bigbro-my6xj 6 месяцев назад

      ​@@geoffreyengatkinsonwanafunzi wa course yake MTU mmoja ni $750,, wewe unadhani watu wangapi wana millioni mbili ? Ya kusomea forex

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 6 месяцев назад

      hahaha mangombe ndo wanapigwaga@@bigbro-my6xj

    • @geoffreyengatkinson
      @geoffreyengatkinson 6 месяцев назад

      @@bigbro-my6xj anavoelezea serious sasa unaweza sema mtu anaenda kutoka kumbe ukiitwa kwenye fursa wewe ndo fursa

    • @bigbro-my6xj
      @bigbro-my6xj 6 месяцев назад

      @@geoffreyengatkinson chief huyu jamaa ushawahi kumjua/kufanya nae kazi?

  • @thomthegotti
    @thomthegotti 6 месяцев назад

    Kidgo uni aibishe na lile tusi kk!😂

  • @shirasenderling4272
    @shirasenderling4272 5 месяцев назад

    Promo sm 😱

  • @mjumbemwanda9666
    @mjumbemwanda9666 6 месяцев назад

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @johnrevocatus9955
    @johnrevocatus9955 6 месяцев назад

    Bro umezingua hii ni public channel Haupaswi kuongea matusi ni bora utumie filter kuna watu kibao wanafuatilia hii podcast yako una wa discarage..namna hii punguza ukali wa MANENO kidgo

    • @jahmatutv616
      @jahmatutv616 6 месяцев назад

      Unamvimbia mwenye pesa wakati wewe mwenyewe ndo umejileta apa

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 6 месяцев назад

      @@jahmatutv616 POA ukitaka na wewe vimba kama vipi

  • @Baraka27
    @Baraka27 6 месяцев назад

    IFX

  • @christalized
    @christalized 6 месяцев назад

    Ifx

  • @jerryjeremmy6823
    @jerryjeremmy6823 6 месяцев назад

    Day in Life

  • @mpegwamakama7331
    @mpegwamakama7331 6 месяцев назад

    day in life

  • @beregeJoh
    @beregeJoh 6 месяцев назад

    Ifx

  • @BarakaMali
    @BarakaMali 6 месяцев назад

    Ifx

  • @FranceMsumba-lg2oc
    @FranceMsumba-lg2oc 6 месяцев назад

    IFX

  • @stevenjulius938
    @stevenjulius938 6 месяцев назад

    day in life