Mapito ni mengi sana lakini hayo yote hayanifanyi kumuacha mungu wangu,namwamini yesu hajawahi kushindwa,napenda sana huu wimbo,naeza sikiliza siku nzima bila kuchoka
Ujumbe wa mtu aliyevunjika moyo kama Mimi😭😭😭😭😭😭😭 Mungu hujawahi kushindwa.....nagonjea kutoka kwako bado✊✊✊✊✊ A song of the season😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
wimbo mzuri sana ndugu yangu
Alléluiaaaa, Mungu sijui niseme nini akika Mungu ni mwaminifu hajawahi kushindwa ananijuwa
Mungu wetu Hajawahi shindwa
Ajawahi kushindwa huyu mungu wetu akitenda anatenda, akiamua kutupigania anapigana, ashindwi kamweeeeee. Ubarikiwe sana kaka yangu inamariki kweli kweli.🙌🙌🙌🙏🙏 mwenyezi mungu akusimamishe himara hili uweze kulitangaza hingili yake.
Hajawahi
Hajawai kushindwa mungu..love from kenya meru town
Hallelujah mungu wetu hajawai shidwa hajalishi unapitaa mangumu mangapi mwamini mungu tu
No situation is permanent! Na kila jaribu liko na mlango wa kuingia na kutoka. Thank you Lord Jesus!
I love how he presented it
🤸🤸🤸
Mapito ni mengi sana lakini hayo yote hayanifanyi kumuacha mungu wangu,namwamini yesu hajawahi kushindwa,napenda sana huu wimbo,naeza sikiliza siku nzima bila kuchoka
Mungu wetu haujawah kushindwa yeye ni mwaminifu sk zote❤❤
Amina mtumishi ..wimbo mzur...Mungu azd kukuinua viwango ad viwango
Tanzania gospel always on 🔥,,,,,,nawapenda Bure kutoka 254
wimbo mzuri sanaaaa....!!!!!
Amen 🙏 Amen 🙏 Amen 🙏 Amen 🙏 Mungu wetu hadjawayi kushindwa kamwe
Mungu hajawahi kushindwa kuanziamwanzo hadi ufunuo . Wimbo unatia ngunguvu, natumani ,Amina mtumishi butati .
Kabisa hajawahi kushindwa
Ninamwamini 🔥
Ni kweli mungu akubariki sana amuna amuna 👏👏
♥️♥️♥️♥️🤸🤸🤸🤸
Kwel Mungu hajawai kushindwa namwamin yeye Amen mtumish wa Mungu butati nyimbo hii imenibariki sana nkiwa Kenya 👏👏🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏
Kwel kabisa
Barikiwa mtumishi nasikiliza nyimbo zako toka South Africa 🇿🇦 one love
Namwa mini Mungu hajawai kuchindwa asante sana Kaka hapa Congo tunakupenda sana zaidi sana kwamimi binafsi nakupenda sana
Amina your my favourite gospel singer.
Barikiwa mnoo Aniseti nyimbo ziko Moto sanaaa
Beautiful song🔥🔥🔥
ameni mtumishi Mungu akubariki.injilitosha
Amina🙏🏻🙏🏻 kazi safi Mungu azidi kukutumia mtumishi🤲
Kabisa
Wimbo wa ushuhuda wangu... let's take his name up
Mcha Mungu, naipenda hii, ubarikiwe
Mungu ni mwanivu tutashindaaa amina
I’m truly blessed by your songs brother. Be blessed more and more brother.
Hallelujah stay blessed my brother
He is amazing for sure
Hajawah kushindwa
Kweli mungu n mwema ajawai keep shidwa
Bigup mtumishi wa Mungu nyimbo zako znanihudumia sana barikiwa sana🙌🙌🙌🙌
Jina la Bwana libarikiwe zaid
Ni kweli Mungu hajawahi kushindwa kuwa na subra
Bwana Yesu akutunze na akutumie Zaidi kwa ajili ya utukufu wake, Mungu ni wa kuaminiwa, hashindwi, hasemi uongo, Atatenda, Namwamini kwa kila jambo,,
Kabisa
suwezi choka kusikiya nyimbo yako ! eichhh , Mungu akubariki
Thank you JESUS good song im blesst God bless your work bro
Mungu wetu n mkuu sana Hakika hajawah kushindwa
Oh yes!
Hajawahi kushindwa Yesu Hallelujah!
Hallelujah
Kabisa💪💪, Mungu ni mwaminifu mnooo
Amen barikiwa Sana Sana Mungu akutunze
Hongera sana mtumishi wa Mungu kwa ujumbe mzurii wenye kuchochea imani zetu ubarikiwe sana
Namwamini Mungu
Kabisa
💯💯💯💯💯
Hongera sana mtumishi kazi zuri sana
Brother barikiwa Sana Mungu atuinulie Imani zetu
Hatari na nusu, hongera sana
Namwamini Mungu hajawahi kushindwa,ooh,very powerful song,be blessed man of God.
Amina mtumishi kazi nzuri Mungu azidi kukutumia mtumishi
💯💯💯
Safi sana kawimbo katia Moyo Mtumishi
wimbo.mzur barikiwa best
Mungu hashindwi na jambo lolote barikiwe sana na ujumbe
Kabisa
Namwani mungu hajawahi kushindwa wala hatashindwa🙏🙏🙏
Ni kwel hajawah kushindwa
Wimbo mzuri sana ongera sana Mungu azidi kukuinua
🙌🙌🙌
Amina sana sana #Mwaka wa kwenda viwango vya juu sana
Kabisa
Hongera sana mtumishi Mungu akubariki na azidi kukutumia
najua yote napitia ni hila tu za muovu kunikatisha tamaa lakini naamin mungu ana kila sababu na maisha yangu
Hallelujah.....mungu utabaki tu
Very inspiring song and am dedicating to my son who is doing his KCSE exams in Kenya 2022
Iman yangu itatoka kwa mungu amen
Your songs are such a big blessing, we love them.❤❤ Make them downloadable such we can listen over and over again
Hakika MUNGU hajawahi kushindwa barikiwa Sana mtumishi
Hajawahi
Hongera sana mtumishi kwakazi nzuri❤❤ Natamani uwe wakwanza kukushirikisha kwenye nyimbo zangu. Hajawahi kushindwa Yesu wetu huyu
Namwamini mungu hajawahi kushindwa hata Jambo liwe gumu kiasi gani namwamini hajawah kushindwa
Hata mimi na mwamini YESU KRISTO hajawahi kushindwa,
💯💯💯💯💯💯💯
You never disappoint my brother, nyimbo zako Zina upako sana barikiwa sana baba
Amen
Utukufu kwake
Amen 🙏🙏 good song may the Lord bless you abundantly 🙏🙏
Barikiwa
Kweli kaka tuendelee kumuamin mungu atafanya jambo mpya
Nikweli hajawahi kushindwa balikiwa sana mtumishi
Umenibaliki kaka mungu akuinue juu zaidiiiiiiiiiiiii
Namwamini Mungu tena sitokata tamaa kwa lolote 🙏🙏🙏🙏
Sitoki mpaka niwe wa kwanza hapa
Ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana wa Majeshi
Baraka tele kabisa
Hakika Mungu hajawahi kushindwa.Safiiiii💪
Kabisa hajawahi kushindwa
Mungu akutuzie muujiza wako milele na milele
Ameni mungu akuinue zaidi
Huuu sio mwisho
Mungu wetu Nimuweza
wa yote
Namwamini Mungu, hajawahi shindwa.
Such a powerful song big bro in ministry.
Baraka Mtumishi
🙏🙏
Hajawahi kushindwa
🤸🤸🤸🤸
Wimbo unaonyesha nimzuri sana huu
Hongera saaaaana👏👏
Barikiw kazi nzuri
Ujumbe wa mtu aliyevunjika moyo kama Mimi😭😭😭😭😭😭😭
Mungu hujawahi kushindwa.....nagonjea kutoka kwako bado✊✊✊✊✊
A song of the season😭😭😭🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
😢😢😢
Nikweli unaweza kusimama tena,🌹
🙏🙏🙏🙏
Ni kumwamini Mungu maana hajawahi kushindwa
Amen amen and amen 🙏🙏🙏🙏 mwaminifu yesu
💯
Barikiwa sana baba
Na mm namwamini Mungu kabisa
Barikiwa saana
Huyu jamaa kwann alikua akiwatesa namna hii jmn😪
I trust my Lord 🙏🙏🙏 very powerful 🔥
Amen am blessed by your songs
Kenya tunapenda nyimbo zako
Hallelujah hajawahi shindwa tuzidi kumpenda
N kitu chochote
♥️♥️♥️
Barikiwa sana mtumishi
M from nairobi namwani mungu amina
Mwamini Mungu Muumbaji Sikh Zote Butati kama Mimi...
Mimi Sina kazi namwamini mungu atafungua mlango ya kazi
Ameeeen😍😍😍
Mungu ajawahi shindwa maisha mwetu hakika
God blessed you servant of God for good song 🙏🙏🙏🙌🙌
Amina mtumishi hakika mungu ajawai kushindwa wimbo huu umenitia moyo Sana mungu akubaliki kwa ujumbe mzuli
Butati unanibarik sana
Strong faith, be blessed the servant of God.
Kutoshindwa ndilo jina lake
Amen more grace barikiwa sana butati . Lynn from Kenya
Ukovizuli mtu wa mungu