Aniset Butati Naiona Neema (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 май 2024
  • zabur 4.1 Ee Mungu wa haki yangu uniitikie niitapo umenifanyizia nafasi wakati wa shida unifadhili na kuisikia sauti yangu
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 339

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 2 месяца назад +41

    Kama ww unamkubali Aniset Butati tujuane Kwa Like song ni 🔥🔥🔥

  • @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc
    @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc 2 месяца назад +28

    Mwaka huu sijui ni uzuri au ni ubaya lakini cha kufanya ombeni Mungu Sasa basi wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu please God bless you 🙏🙏🤦😭😭📖📖I love you 🇯🇲🇯🇲🇧🇮🇰🇪🇨🇮🇧🇷🇺🇸🇺🇸🇺🇬

  • @professor1992
    @professor1992 2 месяца назад +13

    From Kenya am ohangla gospel rhumba huu mwaka tunaona neema mafuriko itaisha in Jesus name neema imetosha nipewe likes mukinifuata😊

  • @DanielGongeOfficial
    @DanielGongeOfficial 2 месяца назад +9

    Nyimbo Nzuri Sana Imejaa Uwepo Wa Mungu Video iliyojaa ubunifu wa Nje ya Boks ni Vile Hawakutegemea Nikubwa Sana Naiona Neema🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @anisetbutati
      @anisetbutati  2 месяца назад +1

      Amen amen

    • @SangijaisayaIsaya
      @SangijaisayaIsaya Месяц назад

      🎉🎉🎉🎉ni mekukumbuka sana mdogo wangu mtumishi wimbo huu umenibariki sana mm hakika mbarikiwe sana wote munaoni baliki mm isaya

  • @rebeccakemunto5377
    @rebeccakemunto5377 2 месяца назад +5

    🔥🔥 Amen ata mimi naiona neema ya mungu ikininua ni nyimbo nzuri sana na yakutia moyo kutoka 🇰🇪🇰🇪 tuna mkubari mtumishi Aniset butati kama unamkubari nione like yako tu barikiwa nyote 🙏🙏🙏

  • @denwaizkenya8772
    @denwaizkenya8772 2 месяца назад +7

    Huu mwaka tayari napitia magumu sana ila nina imani kabla mwaka kuisha nitakua nimeona neema ya mungu maana mimi sio mtumwa wa matatizo ila chaguo la Mwenyezi Mungu. Niombeeni ndugu zangu haya yatapita tu siku moja. Mzidi kuniombea jamani♥️ sitakufa ila nitaishi kuona wema wa bwana

  • @puritylukhaji1521
    @puritylukhaji1521 17 дней назад +2

    Mtumish Aniset Mungu akubariki sana, you are a voice in your generation, much love from Kenya.

  • @patrickkuwayawaya4402
    @patrickkuwayawaya4402 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri sana mtumishi wa Mungu

  • @Hosianalesilwa
    @Hosianalesilwa 2 месяца назад +5

    Amen amen amen ubarikiww sana kaka huu wimbo ni mzuri sana

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 Месяц назад +2

    Amina 🙏🙏🙏

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 Месяц назад +1

    Amen akika neema inakwenda kuniinua 🙏🙏🙏🙏

  • @j.amtotowanyuki1970
    @j.amtotowanyuki1970 2 месяца назад +2

    waooo barikiwa sana mwalimu wangu hakika naiona neema sasa 🎉

  • @NEHEMIAHSHAKINI
    @NEHEMIAHSHAKINI 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe Mno kwa wimbo mzuri sana,

  • @naomiefwana5902
    @naomiefwana5902 Месяц назад +1

    Amen amen napokeya baraka🎉🎉🎉

  • @LovenessMassawe-xr8dr
    @LovenessMassawe-xr8dr Месяц назад +1

    Blessed rafiki yangu ubarikiwe kwa maombi mazur 🙏🙏🙏

  • @user-bs3kx5ps3v
    @user-bs3kx5ps3v 2 месяца назад +1

    MUNGU akubariki mtumish unanibariki sanaa

  • @gracemwemera
    @gracemwemera 2 месяца назад +2

    Amen! Neema ya Bwana Mungu wetu ya Tosha kabisa. Ubarikiwe Pia!!

  • @SangijaisayaIsaya
    @SangijaisayaIsaya Месяц назад +1

    Hakika Mungu akutunze mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-ii1pe4le8g
    @user-ii1pe4le8g 2 месяца назад +1

    Huu mwaka wangu wakupokea ❤

  • @AdronisiHakizimana
    @AdronisiHakizimana 2 месяца назад +1

    Wimbo nimzuri sana

  • @joshuamugala265
    @joshuamugala265 2 месяца назад +4

    Nice nyimbo Tanzania tumebarikiwak kwauimbaji mzuri ongeza bidi mungu yupo pamojana sisi amen

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 Месяц назад +1

    Napokea napokea

  • @ventuscheriotofficial
    @ventuscheriotofficial Месяц назад +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU ❤❤❤

  • @GraceSalim-ek5rl
    @GraceSalim-ek5rl 2 месяца назад +1

    Naiona neema inabariki

  • @LovenessMassawe-xr8dr
    @LovenessMassawe-xr8dr Месяц назад +2

    Barikiwa sana rafiki yangu kwa maombi mazito blessed🙏

  • @jacquie329
    @jacquie329 2 месяца назад +1

    Naiona Neema ya Baba inaenda kuniinua mwaka huu.

  • @AlexNzioka-Sir
    @AlexNzioka-Sir 2 месяца назад +4

    Hallelujah. Naiona Neema mwaka huu. Licha ya mafuriko na mambo mengi nchini Kenya Mimi naona neema na baraka. Asante kaka Aniset for the song

  • @user-ug8qf7bw7y
    @user-ug8qf7bw7y Месяц назад

    Wimbo mzuri sana.napokea katika jina la yesu

  • @kennedymulli6069
    @kennedymulli6069 2 месяца назад +2

    Man of God you bless me with your songs which are heavenly breathed.
    Wimbo wa kiunabii!! Sitabaki vile nilivyo!! Naiona neema mwaka huu!!🎉❤

  • @duncanmulu2450
    @duncanmulu2450 2 месяца назад +2

    🔥🔥🔥🔥

  • @LinahClayre
    @LinahClayre 2 дня назад

    Amen Amen Niko na Imani ni huu ni mwaka wa baraka.

  • @teresiajonas52
    @teresiajonas52 2 месяца назад +3

    Hongera sana shangazi wimbo mzuri sana Ubarikiwe

  • @hellenkemunto5357
    @hellenkemunto5357 Месяц назад

    Amen Amen Amen huu ni mwaka wangu wa neema in JESUS name

  • @pedromario7823
    @pedromario7823 2 месяца назад +1

    Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏

  • @susanonyangi-lh6yn
    @susanonyangi-lh6yn 2 месяца назад +3

    Huu mwaka mungu nimelia sana imetosha

  • @bonifacematuku
    @bonifacematuku 2 месяца назад +4

    Powerful Message! Ili litimizike kwangu kwa Jina La Yesu

  • @gp.mavukiro6220
    @gp.mavukiro6220 2 месяца назад +2

    Mtumish uzidi kubarikiwa sana by Gerald #geraldmavukiro

  • @EduOkwara
    @EduOkwara 2 месяца назад +5

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri. Nyimbo zako zimejawa Neema kweli. Pokea upendo wetu kutoka hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @elvlet818
    @elvlet818 2 месяца назад +3

    Ni kwa neema miaka yote

  • @juliealex7214
    @juliealex7214 2 месяца назад +1

    Hakika naiona neema na mwaka huu ni mpaka wa baraka kwangu🙏🙏🙏🙏🎤🎹🎸

  • @Chizoofficial
    @Chizoofficial Месяц назад

    Haujawahi kutuangusha pale inapofika mida ya kutoa huduma ya uimbaji💯
    Bonge moja la wimbo umetuweza 🔥🔥

  • @AgustinoMdeke
    @AgustinoMdeke 2 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu butati wimbo huu unanibariki sana

  • @mellongitonga9763
    @mellongitonga9763 2 месяца назад +1

    Amen.its my year of blessings

  • @dorrisnduki4237
    @dorrisnduki4237 Месяц назад +1

    This is my year,there is grace, enough Grace

  • @marysiasawaki3698
    @marysiasawaki3698 2 месяца назад +3

    Ila Butati Mungu azidi kukupa kibali cha kufika mbali maana nyimbo zako zinanibariki sana sana

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki kwa kututoshea wimbo wa baraka kwetu🎉❤❤❤🕊🙏💃🎊🥰❤️

  • @user-oq5um1un1y
    @user-oq5um1un1y 28 дней назад

    Huu mwaka uwe wa baraka kwangu yesu.

  • @carolinelubeka4048
    @carolinelubeka4048 2 месяца назад +3

    Mwaka huu naiona neema ya kuniinua Kwa viwango vingine

  • @AnnaciatahMalilu
    @AnnaciatahMalilu Месяц назад

    Mwaka huu ni wa neema ya kupelekwa kiwango kingine🙏🙏🙏

  • @bagazakind
    @bagazakind 2 месяца назад +1

    Kweli neema iwe kwangu kabisa

  • @RachelAbisai
    @RachelAbisai 2 месяца назад

    Amina Amina 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Nestor_officiel
    @Nestor_officiel 16 дней назад +1

    1:41 vraiment💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕🎉❤

  • @stevesatola63
    @stevesatola63 2 месяца назад +1

    unakipaji sana

  • @NesterPeres
    @NesterPeres Месяц назад

    Nyimbo zako zanibariki sana mtumishi Mungu akubaliki sana .Naiona neema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-ig1ds2eq4d
    @user-ig1ds2eq4d 19 дней назад

    Yaani Alpha and Omega today tomorrow and forever...❤❤❤

  • @ShanixPoeug-jd1il
    @ShanixPoeug-jd1il 2 месяца назад +1

    Mungu afanye mema haki this time in my life, naishiwa nguvu lakini najua Mungu aniona.
    Blessed Saturday Brothers and Sisters

  • @omollodom9162
    @omollodom9162 Месяц назад

    Naiona neema..mungu yuko...praise to be to God 4everything

  • @EspoirKalima-do7zu
    @EspoirKalima-do7zu Месяц назад

    Mungu na taka kuona neema yako Dani ya maisha ya ngu🙏🙏🙏

  • @jeftagumbala376
    @jeftagumbala376 26 дней назад

    Mungu aubariki zaidi huu ujumbe wa kuiona neema amina

  • @tonyodiao9705
    @tonyodiao9705 26 дней назад

    mungu na akubariki mtumishi ...huu mwaka kabla uishi Mungu anaenda kutenda makuu..imetosha.. neema ichukue ushukani

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 2 месяца назад +1

    Ameni.kazi.nzuri.mtumi

  • @user-bt8cy3bg1q
    @user-bt8cy3bg1q 2 месяца назад +1

    Amina nimebarikiwa sana mtumishi

  • @DoricasZakaria-rt5le
    @DoricasZakaria-rt5le 2 месяца назад +1

    ❤❤❤lazima waniheshimu huu mwaka maana nimwaka wakuinuliwa kwangu, 🙌kazi nzur sana kaka

  • @Andrewp627
    @Andrewp627 2 месяца назад +3

    Imetosha,naomba mwaka ukawe wa kukumbukwa na Mungu.Asante mtumishi wa Mungu.

  • @jonathanmutunga5918
    @jonathanmutunga5918 Месяц назад

    Amen 🙏 mwako huu niwabaraka kwangu in Jesus name 🙏

  • @user-qs1lc6qk6l
    @user-qs1lc6qk6l Месяц назад

    Ameen wacha.huu mwaka.uwe.wa.baraka kwangu

  • @evansmasinde4042
    @evansmasinde4042 2 месяца назад

    Hakika afande unaniguza sana mungu akuinue sana

  • @krispinmalekela7848
    @krispinmalekela7848 Месяц назад

    Safi Sana, wimbo nzuri sana

  • @irusaviohletogesi5739
    @irusaviohletogesi5739 2 месяца назад +1

    Hey bro the grace of God is walking with .praise the Lord and spread the Gospel of the most high.may the world of be praise.Amen

  • @cassienniyombabazi9124
    @cassienniyombabazi9124 2 месяца назад +1

    Burundi 5/5

  • @chrismwaluficho
    @chrismwaluficho 2 месяца назад

    Hallelujah 🙏🙏🙏 Neema ya Mungu

  • @kiondojuma5798
    @kiondojuma5798 2 месяца назад +1

    Broo hujawahi kukosea kaka Mungu akubariki sana kaka❤❤❤

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 2 месяца назад +1

    Wewe ni Mti wenye matunda Matamu Bwana Yunaweeeee Daimaaa.

  • @ericksimon202
    @ericksimon202 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri sana brother aniseti mm Niko nyuma yako nafatilia kazi zako naamini ipo siku nitafikia level yako na napenda sana huduma yako

  • @desaumwaweza
    @desaumwaweza 2 месяца назад +3

    MUNGU AKISEMA NDIO HAKUWA WA KUPINGA NAIONA NEEMA NEEMA YA MUNGU INAENDA KUNIINUA BUTATI UINILIWE ZAIDI

  • @puritylukhaji1521
    @puritylukhaji1521 17 дней назад

    Your songs are very Prophetic, a like and ❤ for me.

  • @neemadaniel9757
    @neemadaniel9757 2 месяца назад

    Glory to God, nakosa neno lenye uzito kiasi cha kueleweka huu wimbo ni lango langu navuka naingia msimu mpya naiona Neema kwakweli Mungu ataniinua sitabaki kama nilivyo.Oooh my living God raise me up. Barikiwa kk Aniseti🏇🏇

  • @ChristopherBonfils-dk1tx
    @ChristopherBonfils-dk1tx 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @mrnickmusician7139
    @mrnickmusician7139 2 месяца назад

    Amen mtumishi keep it up 🇰🇪

  • @adamjlukas1696
    @adamjlukas1696 Месяц назад

    ❤ naiona neema kwangu

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Месяц назад

    Amina Barikiwa mtumishi

  • @glowbutiko752
    @glowbutiko752 Месяц назад

    Hallelujah Hallelujah!!!! Huu ukawe Mwaka Wa Baraka Kwangu🤲 Katika Jina Kuu Lishindalo Majina Yote AMEN AMEN 🙌🙌

  • @MESHACKMAKAMBA-cv8ol
    @MESHACKMAKAMBA-cv8ol Месяц назад

    Ubarikiwe sanaa kwa wimbo mzr

  • @user-ob3cy5it8b
    @user-ob3cy5it8b Месяц назад

    mungu akubariki mtumish kwa wimbo mzur

  • @DainaMwaikwaba
    @DainaMwaikwaba 4 дня назад

    Mungu akubariki sana Mtumishi

  • @user-rv7nm5ep4p
    @user-rv7nm5ep4p 2 месяца назад

    Wimbo huu, mzuri sana ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na kuinuliwa sana.

  • @JailosMusa-kn1wm
    @JailosMusa-kn1wm 2 месяца назад

    Waooo Ameni

  • @helmanimwasenga2869
    @helmanimwasenga2869 Месяц назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @barasaclinton2113
    @barasaclinton2113 Месяц назад

    Exactly grace of God is enough

  • @YaredManase-to9pu
    @YaredManase-to9pu 2 месяца назад

    Butati Butati Butati Mmmmhhhhh

  • @shadrackmichael8059
    @shadrackmichael8059 Месяц назад

    Nyimbo zote za Moto Mungu amuinue zaidi Aniseti Butat❤❤

  • @thekiokoofficial6527
    @thekiokoofficial6527 Месяц назад

    Zidi kuinuliwa kaka🎉

  • @GloryJoshua-xk8sb
    @GloryJoshua-xk8sb 2 месяца назад

    Aaa nzuli sana nyimbo hii mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana Mungu aendelee kukuinua viwango vya juu

  • @SylvesterYollam-ze7bd
    @SylvesterYollam-ze7bd 2 месяца назад

    Amina,,Naiona neema,, Barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @jacklinelupala8412
    @jacklinelupala8412 9 дней назад

    Am blessed, big up Aniset

  • @ElizabethNgani
    @ElizabethNgani 2 месяца назад

    Amen Amen 🙏🙌

  • @kesheninaftal
    @kesheninaftal 2 месяца назад

    🔥🔥🔥 naiona neema🙏🙏🙏🙏 be blessed my brother

  • @user-de9gf2wi9o
    @user-de9gf2wi9o Месяц назад

    Napokea napokea unabii

  • @Farajachengula2421
    @Farajachengula2421 2 месяца назад

    Naiona Neema🙌🙌

  • @harrisonlukwesa1365
    @harrisonlukwesa1365 Месяц назад

    SURE ITS THE GRACE OF GOD FOR US TO BE BLESSED IT IS YEAR TO TESTIFY