Aniset Butati Naiona Neema (Official Video)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • zabur 4.1 Ee Mungu wa haki yangu uniitikie niitapo umenifanyizia nafasi wakati wa shida unifadhili na kuisikia sauti yangu

Комментарии • 405

  • @MATEOJOSEPH-nc8gf
    @MATEOJOSEPH-nc8gf 9 месяцев назад +53

    Kama ww unamkubali Aniset Butati tujuane Kwa Like song ni 🔥🔥🔥

  • @professor1992
    @professor1992 9 месяцев назад +15

    From Kenya am ohangla gospel rhumba huu mwaka tunaona neema mafuriko itaisha in Jesus name neema imetosha nipewe likes mukinifuata😊

  • @DanielGongeOfficial
    @DanielGongeOfficial 9 месяцев назад +10

    Nyimbo Nzuri Sana Imejaa Uwepo Wa Mungu Video iliyojaa ubunifu wa Nje ya Boks ni Vile Hawakutegemea Nikubwa Sana Naiona Neema🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @anisetbutati
      @anisetbutati  9 месяцев назад +1

      Amen amen

    • @SangijaisayaIsaya
      @SangijaisayaIsaya 9 месяцев назад

      🎉🎉🎉🎉ni mekukumbuka sana mdogo wangu mtumishi wimbo huu umenibariki sana mm hakika mbarikiwe sana wote munaoni baliki mm isaya

  • @rebeccakemunto5377
    @rebeccakemunto5377 9 месяцев назад +5

    🔥🔥 Amen ata mimi naiona neema ya mungu ikininua ni nyimbo nzuri sana na yakutia moyo kutoka 🇰🇪🇰🇪 tuna mkubari mtumishi Aniset butati kama unamkubari nione like yako tu barikiwa nyote 🙏🙏🙏

  • @denwaizkenya8772
    @denwaizkenya8772 9 месяцев назад +9

    Huu mwaka tayari napitia magumu sana ila nina imani kabla mwaka kuisha nitakua nimeona neema ya mungu maana mimi sio mtumwa wa matatizo ila chaguo la Mwenyezi Mungu. Niombeeni ndugu zangu haya yatapita tu siku moja. Mzidi kuniombea jamani♥️ sitakufa ila nitaishi kuona wema wa bwana

  • @GetrudeAkadikor
    @GetrudeAkadikor 3 месяца назад +2

    Kweli n nema

  • @joshuamugala265
    @joshuamugala265 9 месяцев назад +4

    Nice nyimbo Tanzania tumebarikiwak kwauimbaji mzuri ongeza bidi mungu yupo pamojana sisi amen

  • @AlexNzioka-Sir
    @AlexNzioka-Sir 9 месяцев назад +5

    Hallelujah. Naiona Neema mwaka huu. Licha ya mafuriko na mambo mengi nchini Kenya Mimi naona neema na baraka. Asante kaka Aniset for the song

  • @marysiasawaki3698
    @marysiasawaki3698 9 месяцев назад +3

    Ila Butati Mungu azidi kukupa kibali cha kufika mbali maana nyimbo zako zinanibariki sana sana

  • @desaumwaweza
    @desaumwaweza 9 месяцев назад +3

    MUNGU AKISEMA NDIO HAKUWA WA KUPINGA NAIONA NEEMA NEEMA YA MUNGU INAENDA KUNIINUA BUTATI UINILIWE ZAIDI

  • @emmahbooooo
    @emmahbooooo 9 месяцев назад

    Hakika naona neema yangu mwaka huu.

  • @jefermcharo
    @jefermcharo 6 месяцев назад +2

    Barikiwa sana na ujumbe mzuri huu mtumishi

  • @Andrewp627
    @Andrewp627 9 месяцев назад +3

    Imetosha,naomba mwaka ukawe wa kukumbukwa na Mungu.Asante mtumishi wa Mungu.

  • @jacquie329
    @jacquie329 9 месяцев назад +1

    Naiona Neema ya Baba inaenda kuniinua mwaka huu.

  • @AgustinoMdeke
    @AgustinoMdeke 9 месяцев назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu butati wimbo huu unanibariki sana

  • @Tumainmwalongo
    @Tumainmwalongo 4 месяца назад +1

    Asante mungu tuondolee changamoto zote tunazopitia tuinue kichumi vilivyopotea turejeshe amina

  • @puritylukhaji1521
    @puritylukhaji1521 7 месяцев назад +2

    Mtumish Aniset Mungu akubariki sana, you are a voice in your generation, much love from Kenya.

  • @Hosianaamosi
    @Hosianaamosi 9 месяцев назад +5

    Amen amen amen ubarikiww sana kaka huu wimbo ni mzuri sana

  • @DanyKyungu
    @DanyKyungu Месяц назад +1

    Oui frère je re soit dans le précieux nom de Jésus Christ soit bénie.

  • @NesterPeres
    @NesterPeres 8 месяцев назад

    Nyimbo zako zanibariki sana mtumishi Mungu akubaliki sana .Naiona neema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 9 месяцев назад +1

    Wewe ni Mti wenye matunda Matamu Bwana Yunaweeeee Daimaaa.

  • @carolinelubeka4048
    @carolinelubeka4048 9 месяцев назад +3

    Mwaka huu naiona neema ya kuniinua Kwa viwango vingine

  • @bonifacematuku
    @bonifacematuku 9 месяцев назад +4

    Powerful Message! Ili litimizike kwangu kwa Jina La Yesu

  • @aggybona7658
    @aggybona7658 9 месяцев назад

    AMEN AMEN AMEN huu ni mwaka wangu wa kuinuliwa.

  • @teresiajonas52
    @teresiajonas52 9 месяцев назад +3

    Hongera sana shangazi wimbo mzuri sana Ubarikiwe

  • @PeninaTheogenes
    @PeninaTheogenes Месяц назад

    Amina aniset huu wimbo unanifaliji na kunipa faraja

  • @dorrisnduki4237
    @dorrisnduki4237 8 месяцев назад +1

    This is my year,there is grace, enough Grace

  • @ShanixPoeug-jd1il
    @ShanixPoeug-jd1il 9 месяцев назад +1

    Mungu afanye mema haki this time in my life, naishiwa nguvu lakini najua Mungu aniona.
    Blessed Saturday Brothers and Sisters

  • @susanonyangi-lh6yn
    @susanonyangi-lh6yn 9 месяцев назад +3

    Huu mwaka mungu nimelia sana imetosha

  • @gp.mavukiro6220
    @gp.mavukiro6220 9 месяцев назад +2

    Mtumish uzidi kubarikiwa sana by Gerald #geraldmavukiro

  • @mwaupinailejeyetu
    @mwaupinailejeyetu 9 месяцев назад +3

    safi sana mweshimiwa

  • @patrickkuwayawaya4402
    @patrickkuwayawaya4402 9 месяцев назад +1

    Kazi nzuri sana mtumishi wa Mungu

  • @prince001tv5
    @prince001tv5 2 месяца назад +1

    Baraka za Mwenyezi Mungu sote🙏🙏

  • @leontinebinlydi9459
    @leontinebinlydi9459 9 месяцев назад +1

    Mungu akubariki kwa kututoshea wimbo wa baraka kwetu🎉❤❤❤🕊🙏💃🎊🥰❤️

  • @elvlet818
    @elvlet818 9 месяцев назад +3

    Ni kwa neema miaka yote

  • @ericksimon202
    @ericksimon202 9 месяцев назад +3

    Kazi nzuri sana brother aniseti mm Niko nyuma yako nafatilia kazi zako naamini ipo siku nitafikia level yako na napenda sana huduma yako

  • @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc
    @ChegveraenerstMagufuli-wl5nc 9 месяцев назад +34

    Mwaka huu sijui ni uzuri au ni ubaya lakini cha kufanya ombeni Mungu Sasa basi wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu please God bless you 🙏🙏🤦😭😭📖📖I love you 🇯🇲🇯🇲🇧🇮🇰🇪🇨🇮🇧🇷🇺🇸🇺🇸🇺🇬

  • @ibrastev1
    @ibrastev1 9 месяцев назад +2

    Aniseti Mungu Akubariki Kwa ujumbe huu naomba Mungu anipe neema ya kufanya kolabo 1 kwaajil ya Bwana

  • @lidyateddy6950
    @lidyateddy6950 9 месяцев назад +1

    Napokea napokea

  • @JessyMediaSeries
    @JessyMediaSeries 9 месяцев назад +1

    Huu ukawe Mwaka Wa Baraka kwangu

  • @EduOkwara
    @EduOkwara 9 месяцев назад +5

    Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri. Nyimbo zako zimejawa Neema kweli. Pokea upendo wetu kutoka hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪

  • @LovenessMassawe-xr8dr
    @LovenessMassawe-xr8dr 9 месяцев назад +2

    Barikiwa sana rafiki yangu kwa maombi mazito blessed🙏

  • @SangijaisayaIsaya
    @SangijaisayaIsaya 9 месяцев назад +1

    Hakika Mungu akutunze mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @HaikaMsuya-c4f
    @HaikaMsuya-c4f День назад

    Huu naukawe mwaka wa baraka na ushuhuda kwangu

  • @directorvendeko8229
    @directorvendeko8229 9 месяцев назад +1

    Wimbo niliokuwa nausubiri.Barikiwa sana mtumishi

  • @CatharineNasipwondi-lk2hl
    @CatharineNasipwondi-lk2hl 5 месяцев назад

    hallelujah yesu wangu niokowe amazing songs amen 💪💪💪 hallelujah Jesus Christ 🙏🙏🙏 amen

  • @Chizoofficial
    @Chizoofficial 8 месяцев назад

    Haujawahi kutuangusha pale inapofika mida ya kutoa huduma ya uimbaji💯
    Bonge moja la wimbo umetuweza 🔥🔥

  • @winnipegswahilitv4788
    @winnipegswahilitv4788 9 месяцев назад +1

    Ubarikiwe saana mtumishi wa Mungu anniset

  • @IrPascal-b8d
    @IrPascal-b8d 9 месяцев назад +1

    Tunashukuru kwa nyimbo ya kutufariji mioyoni yetu muendelee kubalikiwa na Mungu azidi kuwainuwa kwa kipaji alichowapa🎉 kiendelee kukuwa

  • @j.amtotowanyuki1970
    @j.amtotowanyuki1970 9 месяцев назад +2

    waooo barikiwa sana mwalimu wangu hakika naiona neema sasa 🎉

  • @ventusriobaofficial
    @ventusriobaofficial 9 месяцев назад +1

    Barikiwa mtumishi wa MUNGU ❤❤❤

  • @OfficialSamwelNgasa
    @OfficialSamwelNgasa 9 месяцев назад +3

    Nakukubali sana kaka takupataje tufanye hata korabo

  • @joshuamumu6485
    @joshuamumu6485 6 дней назад

    Joshua kutoka kenya nyimbo zako hunibariki sana

  • @Kingfearless-f5g
    @Kingfearless-f5g 26 дней назад

    Wewe unanema saaaana juu uriopewa mapenzi tunakupenda kuakweliii

  • @CatharineNasipwondi-lk2hl
    @CatharineNasipwondi-lk2hl 3 месяца назад

    hallelujah ameeeeen 🙏🙏🙏 yesu wangu very nice one song amen 💪💪💪 hallelujah

  • @EspoirKalima-do7zu
    @EspoirKalima-do7zu 8 месяцев назад

    Mungu na taka kuona neema yako Dani ya maisha ya ngu🙏🙏🙏

  • @juliealex7214
    @juliealex7214 9 месяцев назад +1

    Hakika naiona neema na mwaka huu ni mpaka wa baraka kwangu🙏🙏🙏🙏🎤🎹🎸

  • @isaacisabwa6133
    @isaacisabwa6133 9 месяцев назад

    Huuu mwaka Lazima nikumbukwe, Ameeeen

  • @PaschalyneDequeen
    @PaschalyneDequeen 9 месяцев назад +1

    Huu mwaka wangu wakupokea ❤

  • @AnnaciatahMalilu
    @AnnaciatahMalilu 8 месяцев назад

    Mwaka huu ni wa neema ya kupelekwa kiwango kingine🙏🙏🙏

  • @CatharineNasipwondi-lk2hl
    @CatharineNasipwondi-lk2hl 4 месяца назад

    kweli mungu hallelujah yesu wangu well done Butati amen 💪💪💪 hallelujah

  • @WilliamMapunda-j6i
    @WilliamMapunda-j6i 8 дней назад

    Mungu naomba unisaidue huu mwaka

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra1315 9 месяцев назад +2

    Amina 🙏🙏🙏

  • @Nestor_officiel
    @Nestor_officiel 7 месяцев назад +1

    1:41 vraiment💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕🎉❤

  • @kennedymulli6069
    @kennedymulli6069 9 месяцев назад +2

    Man of God you bless me with your songs which are heavenly breathed.
    Wimbo wa kiunabii!! Sitabaki vile nilivyo!! Naiona neema mwaka huu!!🎉❤

  • @sammynderu725
    @sammynderu725 9 месяцев назад

    Huu ukawe mwaka wa baraka kwanguu

  • @mwitendejeanmarievianney6963
    @mwitendejeanmarievianney6963 5 месяцев назад

    Amen butati ndi murwanda ndagukunda kbx Imana igushyigikire

  • @MBODINAJEANLUCBAHATI
    @MBODINAJEANLUCBAHATI 11 дней назад

    Leo asubui nimeona kweli neema

  • @tonyodiao9705
    @tonyodiao9705 8 месяцев назад

    mungu na akubariki mtumishi ...huu mwaka kabla uishi Mungu anaenda kutenda makuu..imetosha.. neema ichukue ushukani

  • @hellenkemunto5357
    @hellenkemunto5357 8 месяцев назад

    Amen Amen Amen huu ni mwaka wangu wa neema in JESUS name

  • @MBODINAJEANLUCBAHATI
    @MBODINAJEANLUCBAHATI 26 дней назад

    Aksante kwa nyimbo hii. Nzambe atombolayo ndeko.

  • @DamarisSheilah
    @DamarisSheilah 23 дня назад

    Hakika huu mwaka we are going to enjoy the blessing of or lord ,feel blessed bro Aniseti butati neema ikatoshe kwa kila jambo through the ministry

  • @bagazakind
    @bagazakind 9 месяцев назад +1

    Kweli neema iwe kwangu kabisa

  • @SAMIRAH-e5j
    @SAMIRAH-e5j 4 месяца назад

    Amen barikiwa sana 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @MaureenMwatha
    @MaureenMwatha 8 месяцев назад

    Wimbo mzuri sana.napokea katika jina la yesu

  • @CatharineNasipwondi-lk2hl
    @CatharineNasipwondi-lk2hl 5 месяцев назад

    amen hallelujah thank jesus you are mighty God hallelujah 🙏🙏 amen nice song amen 💪💪🙏 hallelujah may God bless you amen 🙏🙏🙏

  • @selinamajele
    @selinamajele 7 месяцев назад

    Amina huu ukawe mwaka wa baraka kwangu barikiwa sana mtumishi wa Mungu.

  • @meshackmmary3117
    @meshackmmary3117 6 месяцев назад

    Kazi nzuri natamani iwe na mwendelezo

  • @glowbutiko752
    @glowbutiko752 9 месяцев назад

    Hallelujah Hallelujah!!!! Huu ukawe Mwaka Wa Baraka Kwangu🤲 Katika Jina Kuu Lishindalo Majina Yote AMEN AMEN 🙌🙌

  • @nicolebitendelo1420
    @nicolebitendelo1420 9 месяцев назад +1

    Amen akika neema inakwenda kuniinua 🙏🙏🙏🙏

  • @jonathanmutunga5918
    @jonathanmutunga5918 8 месяцев назад

    Amen 🙏 mwako huu niwabaraka kwangu in Jesus name 🙏

  • @HAPPYKWAYIOFFICIAL
    @HAPPYKWAYIOFFICIAL 26 дней назад

    Amina kubwa ujumbe mzuri

  • @utukufutv7548
    @utukufutv7548 9 месяцев назад

    Kamanda ubarikiwe kazi yako njema kaka hakika wimbo uko vizuri ubarikiwe sana,neema inakwenda kuniiniuwa,

  • @jeftagumbala376
    @jeftagumbala376 8 месяцев назад

    Mungu aubariki zaidi huu ujumbe wa kuiona neema amina

  • @SophiaThadei-hx4wd
    @SophiaThadei-hx4wd 6 месяцев назад

    Amen barikiwa Sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @NEHEMIAHSHAKINI
    @NEHEMIAHSHAKINI 9 месяцев назад +1

    Ubarikiwe Mno kwa wimbo mzuri sana,

  • @gracemwemera
    @gracemwemera 9 месяцев назад +2

    Amen! Neema ya Bwana Mungu wetu ya Tosha kabisa. Ubarikiwe Pia!!

  • @shadrackmichael8059
    @shadrackmichael8059 9 месяцев назад

    Nyimbo zote za Moto Mungu amuinue zaidi Aniseti Butat❤❤

  • @naomiefwana5902
    @naomiefwana5902 9 месяцев назад +1

    Amen amen napokeya baraka🎉🎉🎉

  • @neemadaniel9757
    @neemadaniel9757 9 месяцев назад

    Glory to God, nakosa neno lenye uzito kiasi cha kueleweka huu wimbo ni lango langu navuka naingia msimu mpya naiona Neema kwakweli Mungu ataniinua sitabaki kama nilivyo.Oooh my living God raise me up. Barikiwa kk Aniseti🏇🏇

  • @stewartmwakasege
    @stewartmwakasege 9 месяцев назад

    BARIKIWA SANAA

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 9 месяцев назад +1

    Ameni.kazi.nzuri.mtumi

  • @joshuasitta293
    @joshuasitta293 9 месяцев назад +1

    Amen, blessed Messege.🎉🎉

  • @CLAUDMWAKALASYA
    @CLAUDMWAKALASYA 3 месяца назад

    Wimbo mzuri sana bravo butati

  • @ibrahimuimaniofficial
    @ibrahimuimaniofficial 9 месяцев назад

    Brother God bless you hujawai kukosea niombee tu nami nataka sana mwaka huu nije ofisini kwako kurekodi 🎉🎉🎉

  • @GloryJoshua-xk8sb
    @GloryJoshua-xk8sb 9 месяцев назад

    Aaa nzuli sana nyimbo hii mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana Mungu aendelee kukuinua viwango vya juu

  • @LovenessMassawe-xr8dr
    @LovenessMassawe-xr8dr 9 месяцев назад +1

    Blessed rafiki yangu ubarikiwe kwa maombi mazur 🙏🙏🙏

  • @pedromario7823
    @pedromario7823 9 месяцев назад +1

    Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏

  • @DoricasZakaria-rt5le
    @DoricasZakaria-rt5le 9 месяцев назад +1

    ❤❤❤lazima waniheshimu huu mwaka maana nimwaka wakuinuliwa kwangu, 🙌kazi nzur sana kaka

  • @Alan-g2t
    @Alan-g2t 9 месяцев назад

    Wimbo huu, mzuri sana ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na kuinuliwa sana.