Mwaka huu sijui ni uzuri au ni ubaya lakini cha kufanya ombeni Mungu Sasa basi wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu please God bless you 🙏🙏🤦😭😭📖📖I love you 🇯🇲🇯🇲🇧🇮🇰🇪🇨🇮🇧🇷🇺🇸🇺🇸🇺🇬
🔥🔥 Amen ata mimi naiona neema ya mungu ikininua ni nyimbo nzuri sana na yakutia moyo kutoka 🇰🇪🇰🇪 tuna mkubari mtumishi Aniset butati kama unamkubari nione like yako tu barikiwa nyote 🙏🙏🙏
Huu mwaka tayari napitia magumu sana ila nina imani kabla mwaka kuisha nitakua nimeona neema ya mungu maana mimi sio mtumwa wa matatizo ila chaguo la Mwenyezi Mungu. Niombeeni ndugu zangu haya yatapita tu siku moja. Mzidi kuniombea jamani♥️ sitakufa ila nitaishi kuona wema wa bwana
Glory to God, nakosa neno lenye uzito kiasi cha kueleweka huu wimbo ni lango langu navuka naingia msimu mpya naiona Neema kwakweli Mungu ataniinua sitabaki kama nilivyo.Oooh my living God raise me up. Barikiwa kk Aniseti🏇🏇
Kama ww unamkubali Aniset Butati tujuane Kwa Like song ni 🔥🔥🔥
Am here 🇰🇪🇰🇪🤲🤲🤲🙏
Halima Edison
🎉
Mwaka huu sijui ni uzuri au ni ubaya lakini cha kufanya ombeni Mungu Sasa basi wakwanza leo naombeni 💯 likes zangu please God bless you 🙏🙏🤦😭😭📖📖I love you 🇯🇲🇯🇲🇧🇮🇰🇪🇨🇮🇧🇷🇺🇸🇺🇸🇺🇬
Amen
From Kenya am ohangla gospel rhumba huu mwaka tunaona neema mafuriko itaisha in Jesus name neema imetosha nipewe likes mukinifuata😊
Amen
Ndio kufik kutok kwa mafurik
Nyimbo Nzuri Sana Imejaa Uwepo Wa Mungu Video iliyojaa ubunifu wa Nje ya Boks ni Vile Hawakutegemea Nikubwa Sana Naiona Neema🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Amen amen
🎉🎉🎉🎉ni mekukumbuka sana mdogo wangu mtumishi wimbo huu umenibariki sana mm hakika mbarikiwe sana wote munaoni baliki mm isaya
🔥🔥 Amen ata mimi naiona neema ya mungu ikininua ni nyimbo nzuri sana na yakutia moyo kutoka 🇰🇪🇰🇪 tuna mkubari mtumishi Aniset butati kama unamkubari nione like yako tu barikiwa nyote 🙏🙏🙏
Amen🙏🙏
Huu mwaka tayari napitia magumu sana ila nina imani kabla mwaka kuisha nitakua nimeona neema ya mungu maana mimi sio mtumwa wa matatizo ila chaguo la Mwenyezi Mungu. Niombeeni ndugu zangu haya yatapita tu siku moja. Mzidi kuniombea jamani♥️ sitakufa ila nitaishi kuona wema wa bwana
Amen amen
Mtumish Aniset Mungu akubariki sana, you are a voice in your generation, much love from Kenya.
Kazi nzuri sana mtumishi wa Mungu
Amen amen amen ubarikiww sana kaka huu wimbo ni mzuri sana
Amen amen
Amina 🙏🙏🙏
Amen akika neema inakwenda kuniinua 🙏🙏🙏🙏
waooo barikiwa sana mwalimu wangu hakika naiona neema sasa 🎉
Amen asante
Ubarikiwe Mno kwa wimbo mzuri sana,
Amen amen napokeya baraka🎉🎉🎉
Blessed rafiki yangu ubarikiwe kwa maombi mazur 🙏🙏🙏
MUNGU akubariki mtumish unanibariki sanaa
Amen! Neema ya Bwana Mungu wetu ya Tosha kabisa. Ubarikiwe Pia!!
Amen amen
Hakika Mungu akutunze mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏
Huu mwaka wangu wakupokea ❤
Wimbo nimzuri sana
Nice nyimbo Tanzania tumebarikiwak kwauimbaji mzuri ongeza bidi mungu yupo pamojana sisi amen
Amen asante
Napokea napokea
Barikiwa mtumishi wa MUNGU ❤❤❤
Naiona neema inabariki
Barikiwa sana rafiki yangu kwa maombi mazito blessed🙏
Amen amen
Naiona Neema ya Baba inaenda kuniinua mwaka huu.
Amen amen
Hallelujah. Naiona Neema mwaka huu. Licha ya mafuriko na mambo mengi nchini Kenya Mimi naona neema na baraka. Asante kaka Aniset for the song
Amen amen
Wimbo mzuri sana.napokea katika jina la yesu
Man of God you bless me with your songs which are heavenly breathed.
Wimbo wa kiunabii!! Sitabaki vile nilivyo!! Naiona neema mwaka huu!!🎉❤
Amen
🔥🔥🔥🔥
Amen Amen Niko na Imani ni huu ni mwaka wa baraka.
Hongera sana shangazi wimbo mzuri sana Ubarikiwe
Amen asante
Amen Amen Amen huu ni mwaka wangu wa neema in JESUS name
Ubalikiwe sana tupo pamoja nawe uku Moçambique 🇲🇿🙏
Amen asante
Huu mwaka mungu nimelia sana imetosha
Umetisha Amen
🇰🇪🇰🇪Amen🤲🤲🤲🤲🙏🙏
Powerful Message! Ili litimizike kwangu kwa Jina La Yesu
Amen amen🙏🙏
Mtumish uzidi kubarikiwa sana by Gerald #geraldmavukiro
Hongera sana Mtumishi wa Mungu kwa kazi nzuri. Nyimbo zako zimejawa Neema kweli. Pokea upendo wetu kutoka hapa Kenya 🇰🇪🇰🇪
Amen Asante sana
Kenya twqkupenda sana 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ni kwa neema miaka yote
Hakika
Hakika naiona neema na mwaka huu ni mpaka wa baraka kwangu🙏🙏🙏🙏🎤🎹🎸
Amen
Haujawahi kutuangusha pale inapofika mida ya kutoa huduma ya uimbaji💯
Bonge moja la wimbo umetuweza 🔥🔥
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu butati wimbo huu unanibariki sana
Amen amen
Amen.its my year of blessings
This is my year,there is grace, enough Grace
Ila Butati Mungu azidi kukupa kibali cha kufika mbali maana nyimbo zako zinanibariki sana sana
Amen Asante
Mungu akubariki kwa kututoshea wimbo wa baraka kwetu🎉❤❤❤🕊🙏💃🎊🥰❤️
Amen amen
Huu mwaka uwe wa baraka kwangu yesu.
Mwaka huu naiona neema ya kuniinua Kwa viwango vingine
Amen amen
Mwaka huu ni wa neema ya kupelekwa kiwango kingine🙏🙏🙏
Kweli neema iwe kwangu kabisa
Amen
Amina Amina 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
1:41 vraiment💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕🎉❤
unakipaji sana
Nyimbo zako zanibariki sana mtumishi Mungu akubaliki sana .Naiona neema 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yaani Alpha and Omega today tomorrow and forever...❤❤❤
Mungu afanye mema haki this time in my life, naishiwa nguvu lakini najua Mungu aniona.
Blessed Saturday Brothers and Sisters
Na iwe hivyo🙏
Naiona neema..mungu yuko...praise to be to God 4everything
Mungu na taka kuona neema yako Dani ya maisha ya ngu🙏🙏🙏
Mungu aubariki zaidi huu ujumbe wa kuiona neema amina
mungu na akubariki mtumishi ...huu mwaka kabla uishi Mungu anaenda kutenda makuu..imetosha.. neema ichukue ushukani
Ameni.kazi.nzuri.mtumi
Asante🙏
Amina nimebarikiwa sana mtumishi
Amen
❤❤❤lazima waniheshimu huu mwaka maana nimwaka wakuinuliwa kwangu, 🙌kazi nzur sana kaka
Amen amen
Imetosha,naomba mwaka ukawe wa kukumbukwa na Mungu.Asante mtumishi wa Mungu.
Amen amen
Amen 🙏 mwako huu niwabaraka kwangu in Jesus name 🙏
Ameen wacha.huu mwaka.uwe.wa.baraka kwangu
Hakika afande unaniguza sana mungu akuinue sana
Safi Sana, wimbo nzuri sana
Hey bro the grace of God is walking with .praise the Lord and spread the Gospel of the most high.may the world of be praise.Amen
Amen
Burundi 5/5
Hallelujah 🙏🙏🙏 Neema ya Mungu
Broo hujawahi kukosea kaka Mungu akubariki sana kaka❤❤❤
Amen Asante sana
Wewe ni Mti wenye matunda Matamu Bwana Yunaweeeee Daimaaa.
Amen amen
Kazi nzuri sana brother aniseti mm Niko nyuma yako nafatilia kazi zako naamini ipo siku nitafikia level yako na napenda sana huduma yako
Amen karibu
MUNGU AKISEMA NDIO HAKUWA WA KUPINGA NAIONA NEEMA NEEMA YA MUNGU INAENDA KUNIINUA BUTATI UINILIWE ZAIDI
Amen amen
@@anisetbutati 🙏🙏🙏💪💪
Your songs are very Prophetic, a like and ❤ for me.
Glory to God, nakosa neno lenye uzito kiasi cha kueleweka huu wimbo ni lango langu navuka naingia msimu mpya naiona Neema kwakweli Mungu ataniinua sitabaki kama nilivyo.Oooh my living God raise me up. Barikiwa kk Aniseti🏇🏇
Amen amen🙏🙏
❤❤❤❤
Amen mtumishi keep it up 🇰🇪
❤ naiona neema kwangu
Amina Barikiwa mtumishi
Hallelujah Hallelujah!!!! Huu ukawe Mwaka Wa Baraka Kwangu🤲 Katika Jina Kuu Lishindalo Majina Yote AMEN AMEN 🙌🙌
Amen amen
Ubarikiwe sanaa kwa wimbo mzr
mungu akubariki mtumish kwa wimbo mzur
Mungu akubariki sana Mtumishi
Wimbo huu, mzuri sana ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu nimebarikiwa sana na kuinuliwa sana.
Amen amen
Waooo Ameni
Ubarikiwe sana mtumishi
Exactly grace of God is enough
Butati Butati Butati Mmmmhhhhh
Nyimbo zote za Moto Mungu amuinue zaidi Aniseti Butat❤❤
Amen
Zidi kuinuliwa kaka🎉
Aaa nzuli sana nyimbo hii mtumishi wa Mungu ubalikiwe sana Mungu aendelee kukuinua viwango vya juu
Amen asante
Amina,,Naiona neema,, Barikiwa sana mtumishi wa mungu
Amen amen
Am blessed, big up Aniset
Amen Amen 🙏🙌
🔥🔥🔥 naiona neema🙏🙏🙏🙏 be blessed my brother
Napokea napokea unabii
Naiona Neema🙌🙌
SURE ITS THE GRACE OF GOD FOR US TO BE BLESSED IT IS YEAR TO TESTIFY