Sina streeesssy kabisa Nina imani na mungu wangu kile kibanda ambacho mamangu anaishi humo ndani niba Plani WA kumjengea Jumba nzuri I believe ntafaulu🙏🙏wasio na stress kwa chochote kile tukimtumainia mungu npeeni like zenyu am from kenya😘😘
Butati barikiwa Sana I used to hear your songs on radio milele nashindwa uyu kijana anaimba vzri Ivo n nani baadaye nikaomoka nikabuy simu na nikakusearch na nikakupata umekuwa wa baraka kwangu kupitia kwa nymbo zko Mungu azdi kukuinua
sina strees kwake bwana ninaimani naye Amen! Wimbo mzri sana unanipa nguvu ya kupambana na maisha na ninaiman pia na mungu wa mbinguni yote yatatimia kwangu aliyonipangia!! Mungu wa mbinguni akubariki zaidi!!!
Maisha n magumu ndio lakini Nina Imani na Mungu,such a powerful song kuanzia Leo sina stress chochote kilicho kua kinanipa stress nimeachia Mungu ampiganie🙏
Amen 🙏🙏🙏Bado nakumbuka maneno ya mamangu wakati natoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Nakuja 🇸🇦🇸🇦🇸🇦Na sahii natimiza ndoto ya mamangu 😍😍😍😍Kaka Mungu akubariki sana nyimbo zako zanibariki
Aniseti Butati kwakeli nakupenda sana , mungu aendeleye kuku weke pumzi kwasabatu unanifanya kujuwa mungu . Niko jiyani kwenda tanzani kukuona. 2025 lazima tuonane, from Congo
Mungu akuinue home boy unaiburudisha na kuifundisha nafsi yangu!!, na kigoma mungu anatuinua kwa viwango vya kimbingu kwenye gospel unatuwakilisha vyema kaka
Ameeen,,maisha ni magumu ndio lakini Nina Imani na mungu# amesema kwanza utafute ufalme wake na hayo mengine yote atayazidisha,, from Kenya,, tunakuombea mungu akiinue kipaji,🙏🙏
It's a nice song actually but I like yours tesmonies true this song
Sina stress Asante mtumishi
Sina streeesssy kabisa Nina imani na mungu wangu kile kibanda ambacho mamangu anaishi humo ndani niba Plani WA kumjengea Jumba nzuri I believe ntafaulu🙏🙏wasio na stress kwa chochote kile tukimtumainia mungu npeeni like zenyu am from kenya😘😘
Aniset Butati, tunakupenda na tutakusupport. Much love from Kenya✨✨👏🏽
Sina strss naomba like yakoo Basi Kama umeupenda wimbo huu
Nimeipenda sana
shut it
Amen
😢😮bj;vbiiviuvhuhh😅hgi😢!ybyyyyb ya😢😢😢😢😢😢😢
❤
I don't no stress my favorite song ❤️🤗🤗
Sina stress, Nina Imani na uyu Mungu 🙌. Ata kama Leo sijapata Kesho nitapata, sina stress 🥰🥰☺️🤗 🇸🇦🇰🇪🇰🇪 Like ya team Strong please
Butati barikiwa Sana I used to hear your songs on radio milele nashindwa uyu kijana anaimba vzri Ivo n nani baadaye nikaomoka nikabuy simu na nikakusearch na nikakupata umekuwa wa baraka kwangu kupitia kwa nymbo zko Mungu azdi kukuinua
Aksanti mungu akubaki
no stress kwa mungu namwaminia
sina strees kwake bwana ninaimani naye Amen! Wimbo mzri sana unanipa nguvu ya kupambana na maisha na ninaiman pia na mungu wa mbinguni yote yatatimia kwangu aliyonipangia!! Mungu wa mbinguni akubariki zaidi!!!
Maisha n magumu ndio lakini Nina Imani na Mungu,such a powerful song kuanzia Leo sina stress chochote kilicho kua kinanipa stress nimeachia Mungu ampiganie🙏
Mwanangu ni heri uvae shati lililo chakaa kuliko ukavaa suti ukakosea kufunga vifungo Walahi tena sina stress🙏🙏🙏🙏
😅😅😅😅
Kweli mvumili ula mbifu ,blessing song
Pole sana kwa wimbo umenifariji kweli kabisa
Kaka umeandika sanaa
Amen 🙏🙏🙏Bado nakumbuka maneno ya mamangu wakati natoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Nakuja 🇸🇦🇸🇦🇸🇦Na sahii natimiza ndoto ya mamangu 😍😍😍😍Kaka Mungu akubariki sana nyimbo zako zanibariki
Amen! Mungu amzidie, I'm fully touched
Amen kwakweli wimbo umenigusa Sana ....amen inuliwa Zaid ndugu na Bwana Mungu
Nema yabwana inatunza kabisa
Butati huwa unakosha xana nakunipa ujasiri mkubwa ktk maisha yng pia kumtumainia mungu
SINA STRESS NAPAMBANA HUKU MJINI NAJUWA KILE KIBANDA TUTAKIBOMOWA NA TUTAJENGA GOLOFA .
UJUMBE HUU SIYO WAKAWAIDA MUNGU AKUTUNZE ZAIDI BUTATI
Barikiwa sana myumish wa mungu nyimbo nzuri sana❤❤❤
Aniset, naomba uje Kenya hakuna stress neema tele
Wimbo mzuri Sana, ubarikiwe Sana Aniset, Nami pia Sina stress
Nasipenda sana nyimbo zako kwanza hii Sina stress,may God blessed you
Barikiwa Sana kakangu, hata mimi Sina stress na maisha yangu sababu niko na Yesu
Hallelujah Hallelujah yan mpk nmelia iyi nyimbo ...God bro u pastor
Hongera Sana kwa huduma napenda Sana kazi yako Mungu aendelee kukuinua
Aniseti Butati kwakeli nakupenda sana , mungu aendeleye kuku weke pumzi kwasabatu unanifanya kujuwa mungu . Niko jiyani kwenda tanzani kukuona. 2025 lazima tuonane, from Congo
Nakupenda kaka yang unanigusa
Hongeraaaaa unakipaj aniset mung mwem kwakooo
Ubarikiwe na mungu eko 💯🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳💯Jesus
Ongera sana mtumishi
Wimbo huu unanifaa sahi..sante Butati kutukumbusha,sasa sina stress God will take care of my situation
Mungu akubariki Kaka mkubwa
hallelujah very nice song amen 💪💪💪 hallelujah
Mungu akuinue home boy unaiburudisha na kuifundisha nafsi yangu!!, na kigoma mungu anatuinua kwa viwango vya kimbingu kwenye gospel unatuwakilisha vyema kaka
Unaweza sana
Sina stress pia hapa kenya
Ameeen,,maisha ni magumu ndio lakini Nina Imani na mungu# amesema kwanza utafute ufalme wake na hayo mengine yote atayazidisha,, from Kenya,, tunakuombea mungu akiinue kipaji,🙏🙏
Sina stress...Namwamin Mungu wa mbinguni..
Najuwa na mimi utanipa mungu wangu🙏🙌🙌🙌
Good song my big brother tunakupenda uku nchi ya burundi
Uinuliwa sana bro, sina stress
Asante,,sana mtumishi,,nimeukuzwa sana na hii nyimbo,,,"Sina Stress"lakini mungu atanipaa tu...
Kwake bwana sina stress kazi nitapata
Kaka umenkumbusha mbalisana atamimi mamangu alinpa kamawako nakukubali sanabroo
😭😭😭I love this song. Your songs are super inspiring. #sinastress ❤wapi likes from 🇰🇪
Wimbo wa kumbukumb
Mungu akubariki
Kwakee, kwake Bwana sina stress, amen, amen hakika nimebalikiwa sana🙏
Kwake bwana sina stress..naamini atatenda..be blessed ❤
Big up brother 🙏
Sijaona mwenye haki ameachwa haki
Nyimbo imenitia sana Nguvu....Bro keep going,...Jina la Bwana libarikiwe, 🙏🙏 Hakika kwa Mungu ni no Stress
Umeninuwa kiyimani, kazi zuri kwamungu ubarikiwe
hongera butat kila nikiuckia huu wimbo unanifanya nikaze but bila kukata tamaa
Hakika mungu aendelee kukuinua kiimani hakika umenibariki kwake bwana mie sina stress
Mungu akuinuwe viwango vingine Kaka yangu Aniseti Butati
Sina stress hata kama Leo nmekosa kexho ntapata nina imani n Mungu wangu thanks so much for this song.
Hakika kwa Yesu Sina stress. how inspiring it is❤️❤️
Sina stress najua Mungu atanifungulia milango.
Sina stress Bwana ataniinua Nina Imani na Mungu wa Mbinguni Kenya
Sina stress
Hit from home boy God bless you kaka aniset Butati mm napenda ulivoanza kuimba apo mama anapiga cm🔥🔥🔥🔥
sina streesy song nina amani❤😮😮😮😮😮😮😮🎉🎉🎉🎉🎉🎉l Love you song
2023,..Am I the only visitor I Jerusalem? I join the bandwagon of FAITH..Sina STRESS! Naaminj huyu Munguu
Mungu ni mwema nakupenda butati no stress kama ni majumba nami nitajenga tuu
Mama Asante Sanaa kwausia wako bora nivae shat lililochakaa kuriko kuvaa suti niliyokosea kufunga vifungo♥️♥️♥️♥️sina stress 🙏
WOWWW GONJA LIKE AMBAO HATUNA STRESS
Kazi nzuri inavutia pia
No stress when in Christ. When you have him you have everything.
Cna stress, nikomungu, na badO nakumbuka shauri la mama
E
392
Ep 3039
Mtumish Wa mungu ubarikiwe kwa kazi nzur
Mungu ndiyo Kila kitu
Hongera saana kaka nipo nyuma yako
Unyama Sana m2mishi
Ata mimi nakukubali sana kaka kalibu na kwetu sumbawanga Laela mkoa wa lukwa mungu yupo najua utafika tu
Mama cha kwanza umshike Sana Mungu Mengine yote atakutendea Kama nimajumba nami nitajenga tu Mungu akubaliki mtumishi
Naipenda sana inanigusaka tu
Endeleyaaa usichoke
Ongera sana umeimba vzr
Hakika kwa mungu no stress ubarikiwe sana from Kenya
upo.vizuri.aChatu
kazi nzuri sana Mungu azidi kukuinua
Nabarikiwa na wimbo huu kaka mung akutunzeee na akufikisheee mbaliiii
Hakika 🔥🔥🔥🔥🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️ ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 📖
nimeipenda saana mama,mama bado napambana
Naipenda sana hii inanipa ngungu ya kupambana
Kwake bwana Sina stress ak Mungu wangu in Saudi am blessed ❤
Ulashobhoye chane ndakwemela mwabhoooo ulakoze chane
Hii kubwa zaidi Sina stress Yeye ni mkuuu
Kwake bwana hakuna stress....much love from kenya
Hata mm Sina stress, watoto nazaa huu mwaka, najenga huu mwaka, mama bado na pambana
Sina stress ipo siku Mungu wangu atanibariki
Na 2024 ni❤❤❤
Mungu akubariki🙏🙏🙏
Nakubali nyimbo zako moendwa
Hongera Sana Aniset Wimbo wa nguvu Sana Mungu akuinue zaid na kukupeleka hatua nyingine kubwa said kea Utukufu Wake nimeupenda Wimbo Sin stress
Ubalikiwe.sana.kwa.wimbo.huu.mtumishi.wa.mungu
Umenikumbusha kuendelea kumpenda mamaangu zaidi
Ubarikiwe sana nakufuatilia sana niko Burundi, nyimbo zako Zanibariki
Sawa kijaana Hongera Sana Mungu akubariki sana
NZURI SANA UMEFUNDI NDUNIA NZIMA SINA STRESS
Sina stress nashukuru mtumishi