Sina streeesssy kabisa Nina imani na mungu wangu kile kibanda ambacho mamangu anaishi humo ndani niba Plani WA kumjengea Jumba nzuri I believe ntafaulu🙏🙏wasio na stress kwa chochote kile tukimtumainia mungu npeeni like zenyu am from kenya😘😘
Amen 🙏🙏🙏Bado nakumbuka maneno ya mamangu wakati natoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Nakuja 🇸🇦🇸🇦🇸🇦Na sahii natimiza ndoto ya mamangu 😍😍😍😍Kaka Mungu akubariki sana nyimbo zako zanibariki
sina strees kwake bwana ninaimani naye Amen! Wimbo mzri sana unanipa nguvu ya kupambana na maisha na ninaiman pia na mungu wa mbinguni yote yatatimia kwangu aliyonipangia!! Mungu wa mbinguni akubariki zaidi!!!
Maisha n magumu ndio lakini Nina Imani na Mungu,such a powerful song kuanzia Leo sina stress chochote kilicho kua kinanipa stress nimeachia Mungu ampiganie🙏
Ameeen,,maisha ni magumu ndio lakini Nina Imani na mungu# amesema kwanza utafute ufalme wake na hayo mengine yote atayazidisha,, from Kenya,, tunakuombea mungu akiinue kipaji,🙏🙏
Butati barikiwa Sana I used to hear your songs on radio milele nashindwa uyu kijana anaimba vzri Ivo n nani baadaye nikaomoka nikabuy simu na nikakusearch na nikakupata umekuwa wa baraka kwangu kupitia kwa nymbo zko Mungu azdi kukuinua
Aniseti Butati kwakeli nakupenda sana , mungu aendeleye kuku weke pumzi kwasabatu unanifanya kujuwa mungu . Niko jiyani kwenda tanzani kukuona. 2025 lazima tuonane, from Congo
amen. the first time I got to hear these song I was on my journey from the village to the city knowing no one ad those I knew I didn't have any hope in them . thank God has helped me so far in the city . thanks Butati
This song gave me so much Inspiration. I never looked down on myself, because I knew if God is on your side, no stress, time yako itafika. Just over 1 year later, I am a testament to the song and prayer.
Aniset Butati, tunakupenda na tutakusupport. Much love from Kenya✨✨👏🏽
Sina streeesssy kabisa Nina imani na mungu wangu kile kibanda ambacho mamangu anaishi humo ndani niba Plani WA kumjengea Jumba nzuri I believe ntafaulu🙏🙏wasio na stress kwa chochote kile tukimtumainia mungu npeeni like zenyu am from kenya😘😘
Mwanangu ni heri uvae shati lililo chakaa kuliko ukavaa suti ukakosea kufunga vifungo Walahi tena sina stress🙏🙏🙏🙏
😭😭😭I love this song. Your songs are super inspiring. #sinastress ❤wapi likes from 🇰🇪
Sina stress, Nina Imani na uyu Mungu 🙌. Ata kama Leo sijapata Kesho nitapata, sina stress 🥰🥰☺️🤗 🇸🇦🇰🇪🇰🇪 Like ya team Strong please
Amen 🙏🙏🙏Bado nakumbuka maneno ya mamangu wakati natoka🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪Nakuja 🇸🇦🇸🇦🇸🇦Na sahii natimiza ndoto ya mamangu 😍😍😍😍Kaka Mungu akubariki sana nyimbo zako zanibariki
Amen! Mungu amzidie, I'm fully touched
sina strees kwake bwana ninaimani naye Amen! Wimbo mzri sana unanipa nguvu ya kupambana na maisha na ninaiman pia na mungu wa mbinguni yote yatatimia kwangu aliyonipangia!! Mungu wa mbinguni akubariki zaidi!!!
Sina strss naomba like yakoo Basi Kama umeupenda wimbo huu
Nimeipenda sana
shut it
Amen
😢😮bj;vbiiviuvhuhh😅hgi😢!ybyyyyb ya😢😢😢😢😢😢😢
❤
Maisha n magumu ndio lakini Nina Imani na Mungu,such a powerful song kuanzia Leo sina stress chochote kilicho kua kinanipa stress nimeachia Mungu ampiganie🙏
Ameeen,,maisha ni magumu ndio lakini Nina Imani na mungu# amesema kwanza utafute ufalme wake na hayo mengine yote atayazidisha,, from Kenya,, tunakuombea mungu akiinue kipaji,🙏🙏
Butati barikiwa Sana I used to hear your songs on radio milele nashindwa uyu kijana anaimba vzri Ivo n nani baadaye nikaomoka nikabuy simu na nikakusearch na nikakupata umekuwa wa baraka kwangu kupitia kwa nymbo zko Mungu azdi kukuinua
Aksanti mungu akubaki
Hakika kwa Yesu Sina stress. how inspiring it is❤️❤️
Ooooh haleluya Nina Imani na MUNGU wangu Sina stress mbinguni nitaingia
Amen kwakweli wimbo umenigusa Sana ....amen inuliwa Zaid ndugu na Bwana Mungu
Aniset, naomba uje Kenya hakuna stress neema tele
Sina stresses love this song alafu the message and the beat ni fire
Mmmh jaman mama uliko nisikie uliko napambana kuna sku hicho kibanda tutabomoa tujenga nyumba nzur!! Sina stres..l love my mother!!..
Kweli mvumili ula mbifu ,blessing song
No stress when in Christ. When you have him you have everything.
Cna stress, nikomungu, na badO nakumbuka shauri la mama
E
392
Ep 3039
Nyimbo imenitia sana Nguvu....Bro keep going,...Jina la Bwana libarikiwe, 🙏🙏 Hakika kwa Mungu ni no Stress
Sina stress félicitation pour cette chanson imenikumbusdha shahuri ya wangu maman ❤
Mama Asante Sanaa kwausia wako bora nivae shat lililochakaa kuriko kuvaa suti niliyokosea kufunga vifungo♥️♥️♥️♥️sina stress 🙏
Mama cha kwanza umshike Sana Mungu Mengine yote atakutendea Kama nimajumba nami nitajenga tu Mungu akubaliki mtumishi
Barikiwa Sana kakangu, hata mimi Sina stress na maisha yangu sababu niko na Yesu
Hit from home boy God bless you kaka aniset Butati mm napenda ulivoanza kuimba apo mama anapiga cm🔥🔥🔥🔥
Kwakee, kwake Bwana sina stress, amen, amen hakika nimebalikiwa sana🙏
Kwake bwana sina stress..naamini atatenda..be blessed ❤
Wimbo huu unanifaa sahi..sante Butati kutukumbusha,sasa sina stress God will take care of my situation
Listened to this song for over 10x.....i love it its so inspiring, may God keep lifting you to higher levels
It's very inspirational song,of course sina stress in Jesus name,ubarikiwe servant
Hata mm Sina stress, watoto nazaa huu mwaka, najenga huu mwaka, mama bado na pambana
Daaaaaaah mungu aendeleee kukutmiazaid nazaid asant kwa ujmbe mzto waktutia moyo
Good song my big brother tunakupenda uku nchi ya burundi
Uinuliwa sana bro, sina stress
Sina mbele za bwana ❤this song barikiwa Sana mtumishi
Hakika 🔥🔥🔥🔥🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️🤸🏿♀️ ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu 📖
Oooh my God this song has alot of courage, be blessed Aniset B. Sina stress kabisa🙏🙏🙏
Asante sana ndugu aniset wimbo wako unatiya moyo sana Mungu akuzidishiye ujizi
Barikiwa sana myumish wa mungu nyimbo nzuri sana❤❤❤
Sina stress kwa yesu.AMINA🙏🙏
The song is so touching....have cried 😭😭😭😭😭 may God fulfill my desires........Sina stress 🙏
Sina stress najua Mungu atanifungulia milango.
Najuwa na mimi utanipa mungu wangu🙏🙌🙌🙌
Kali hii...barikiwa mtumishi wa Mungu...
Kweli kwa Mungu hakuna stress, wimbo nzuri huu,naiskiza kila wakati❤❤❤
Asante,,sana mtumishi,,nimeukuzwa sana na hii nyimbo,,,"Sina Stress"lakini mungu atanipaa tu...
Ubalikiwe.sana.kwa.wimbo.huu.mtumishi.wa.mungu
Great guy God can bless him aendele ivo
Ameen...kwa hakina sina stress👌🔥🔥🔥🙏🙏🙏❤Mungu atanitendea mazur kwa imani yangu🙇🙇🙏
Ulashobhoye chane ndakwemela mwabhoooo ulakoze chane
hongera butat kila nikiuckia huu wimbo unanifanya nikaze but bila kukata tamaa
no stress kwa mungu namwaminia
AMEN - SINA STRESS niko naye MUNGU WA MBINGUNI kwa Imani.
Leo hapa Kapunga imba ile ya wataulizana mtumishi itanibariki sanaaaa
Sina stress hata kama Leo nmekosa kexho ntapata nina imani n Mungu wangu thanks so much for this song.
Ubarikiwe na mungu eko 💯🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳💯Jesus
Kwa kweli kwa mungu Sina stress, thank you I like the msge of the song,,, all the way from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 you never dissapoint in your song
Sina stress in Jesus name namuamini Mungu wa mbinguni
Sina stress Bwana ataniinua Nina Imani na Mungu wa Mbinguni Kenya
Sina stress
Hii kubwa zaidi Sina stress Yeye ni mkuuu
Amen🙏 ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
Mungu akuinuwe viwango vingine Kaka yangu Aniseti Butati
Kwakweli kwake bwana sina stress.Amen.
Big up brother 🙏
Sina stress mungu yupo pamoja na Mimi kila kitu kinawezekana
Barikiwa sana mtumishi
Sina stress,,barikiwa mtu wa MUNGU
Mtumish Wa mungu ubarikiwe kwa kazi nzur
Sina stress wow🥰🥰very touching song🙏🙏
I much encouraged by this mr Aniset.....more grace
Wee!!!Goosepumps nazo, 😍😍😍much love from Kenya 😍😍😍sina stress, ni na Imani kwake Bwana 🙏🙏🙏🙏🙏
🇰🇪🇰🇪🇰🇪sina stress Lot's of Love 💖💖 Glory be to God💖🙏🙏🙏🙏
Amen mtumishi nime balikiwa nawimbo wako sina stress mzuli sana umenihudumia
Barikiwa sana mpendwa wangu Mungu akuinue viwango vya juu zaidi
Aniseti Butati kwakeli nakupenda sana , mungu aendeleye kuku weke pumzi kwasabatu unanifanya kujuwa mungu . Niko jiyani kwenda tanzani kukuona. 2025 lazima tuonane, from Congo
Sawa kijaana Hongera Sana Mungu akubariki sana
Asante sana Aniset Butati you inspire me a lot,
Wowowowooh! Barikiwa sana Aniset Butati MUNGU akubariki sana jamani nimebarikiwa sana na huu wimbo
Lovely. GOD bless you abundantly in JESUS NAME AMEN
AMEN sina stress wimbo umenibariki sana
Sina stress 🔥🔥
Amina, kazi yako nzuri sana na mungu aendelee kukutumia . Umenibariki sana
Sina stress ipo siku Mungu wangu atanibariki
Amen. Thanks for this.
amen.
the first time I got to hear these song I was on my journey from the village to the city knowing no one ad those I knew I didn't have any hope in them .
thank God has helped me so far in the city .
thanks Butati
In God surebet no stress.move on bro
That song inanigusa Sana Mungu akulinde
Ata mimi nakukubali sana kaka kalibu na kwetu sumbawanga Laela mkoa wa lukwa mungu yupo najua utafika tu
Naipenda sana hii inanipa ngungu ya kupambana
Glory to God watching from Saudi Arabia am blessed
QAs to air
I know God will bless my life 🙏🙏 sina stress be bless my brother
Butati much love from kenya 254
I am blessed my brother sina stress kesho nitapata
God wil give you long life be couse you are blessingthe one are down
This song gave me so much Inspiration. I never looked down on myself, because I knew if God is on your side, no stress, time yako itafika.
Just over 1 year later, I am a testament to the song and prayer.
Daaaaa wimbo huu unanikimbusha mbal xan
Sina stress may Almighty God bless you always
Imenibariki Sanaa Kaka hakika Sina stress 🙏🙏🙏🙏🙏
Kama ni majumba nami nitajenga tu. Amen
WOWWW GONJA LIKE AMBAO HATUNA STRESS
Kwa kweli mimi sina stress🥰❤️Barikiwa mtumishi