Aniset Butati-Fanya njia (Video lyrics) booking +255675197388

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024

Комментарии • 210

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Год назад +34

    Kenya we love this message 💘💘💘 🔥🔥🔥🔥 leteni likes , subscribers hapa kwa ndugu butati

  • @AlphaxadeNIZIGIYIMANA
    @AlphaxadeNIZIGIYIMANA 10 месяцев назад +2

    Ukweli asante l love ou san nakubali nikiwa Burundi

  • @DamarisMumbua-u1p
    @DamarisMumbua-u1p Месяц назад

    Wimbo mzuri hakika unanitia moyo. Barikiwa sana butati

  • @PaulineGloria-kx9zy
    @PaulineGloria-kx9zy 3 месяца назад

    Huu wimbo unitoa machozi😢😢😢😢😢😢😢😢😢 hakika Mungu afanye njia pasipo na njia

  • @julietkiriswa9064
    @julietkiriswa9064 Год назад +9

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nikama unajua chenye napitea ukamuwa uniongelele but najua mungu siku moja atabisha kwangu😭😭😭😭😭😭😭funguwa kwangu pia mungu

  • @DivineKwizera-le8or
    @DivineKwizera-le8or 26 дней назад

    ❤❤nakupenda sana na nyimbo zako balikiwa sana tena n'a Mungu akufungulie Milango❤❤❤

  • @mirriamwambua8990
    @mirriamwambua8990 Год назад +4

    Mungu nifanyie jia kwa kazi yangu naona ngiza tu oooh my GOd

  • @JacquesMusafiri-bn7kb
    @JacquesMusafiri-bn7kb 7 месяцев назад

    Bonjour grand aniset nakupenda sana kwa kazi yako naishi RDC

  • @BasemeBakale
    @BasemeBakale 6 месяцев назад

    Naburudika nawimbo huu nikiwa drc mwenyezi mungu akuvike nguvu mtumishi

  • @ncutiyanjehypolite7348
    @ncutiyanjehypolite7348 2 месяца назад

    kweri leo nimelia kwa kusikiliza huu wimbo,naomba mungu kafu'gue njia

  • @isackzongela205
    @isackzongela205 Год назад

    kazi nzuri sana Mungu azidi kukubariki mtumishi

  • @كارسكيني
    @كارسكيني Год назад +4

    🇰🇪😩mimi ni mukenya lakini niko Saudi 🇸🇦 nimesikiriza huu wimbo nasikia kulia

  • @MUSSA638
    @MUSSA638 Год назад +2

    Ulakoze chane Butati mwenewachu.mwenyezi Mungu akubariki.nyimbo zako zinanifariji.

  • @dannymwepu
    @dannymwepu Год назад

    asante sana kwa mziki uyo ,zaidi mungu akusaidie juu upashe habari kwenye nyimbo

  • @JaneNgimba-qn3dm
    @JaneNgimba-qn3dm Год назад

    Mungu afanye njia kweli,Hongera Mungu aendelee kukuinua

  • @raphaeljohn4544
    @raphaeljohn4544 Год назад

    Mungu akubariki sana kaka angu kazi yako njema

  • @InnocentAutumnTrees-ux1jj
    @InnocentAutumnTrees-ux1jj 5 месяцев назад

    Haleluhya wimbo mzuri wenye kunipa matumaini kunyeshe kusinyeshe bado unabariki jehova

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 Год назад +2

    Mvua unyeshe au usinyeshe una uwezo wa kunibari 👏👏👏💃💃

  • @danphordcosmas
    @danphordcosmas Год назад +2

    Alo nimekuwa wa kwanza kutazama

  • @majaliwakhamis2857
    @majaliwakhamis2857 Год назад

    Hongera xn mtumish wimbo mzr na video ni nzr xn

  • @alamusictz
    @alamusictz Год назад

    Nice Barikiwaaa saana kaka

  • @philissimiyu2123
    @philissimiyu2123 Год назад

    God bless you Butati nimepata message on time thank you kwa ujumbe

  • @evaristamwinuka6494
    @evaristamwinuka6494 Год назад

    Daaaa! Hakika fanya njia Yesu wangu😭😭😭

  • @davidarsen2392
    @davidarsen2392 Год назад +3

    Naomba likes nyingi hapa jamani wimbo mzuri ubarikiwe mtu wa Mungu, Bwana anafanya njia sasa

  • @alicebutoyi3615
    @alicebutoyi3615 Год назад

    ❤❤❤❤❤❤napenda nyimbo zako kaka

  • @estergunda7595
    @estergunda7595 Год назад

    Vizl kaka nimeupenda❤❤

  • @meryyohana
    @meryyohana Год назад

    Amen nimebarikiwa mnoo yani kama unanisema Mimi MINGU AKUBARIKI. Fungus milango nichogusa kifanikiwe ameni

  • @charlesjacksontz267
    @charlesjacksontz267 Год назад

    Ongera sana lafiki yangu

  • @toffimweka9130
    @toffimweka9130 Год назад

    Wacha kazi ya MUNGU itawale ubarikiwe sana ndugu.

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Год назад +2

    Ni Mungu Tu anaweza

  • @jonathanvyaranse2668
    @jonathanvyaranse2668 Год назад +2

    Fanya njia Bwana niombi langu Kwa MUNGU hongera sana brother MUNGU Azid kukuweka juuu

  • @defrosanelson6605
    @defrosanelson6605 9 месяцев назад

    Huu wimbo unaweza ukauona wa kawaida Ila ni wimbo mzuri Sana ukiwa unapita kwenye mapito 😭😭😭😭😭 mungu akubariki Sana nyimbo zako nazipenda naweza kupata namba zako mtumishi nitume sadaka nyimbo zako zinanibariki Sana 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🌹

  • @zakariakayanda8732
    @zakariakayanda8732 Год назад

    Fanya njia e Bwana kabla mwaka kuisha nisimamw nishuhudie matendo yako makuu uliyo yatenda amen,

  • @JosseeNaftari-zg4nf
    @JosseeNaftari-zg4nf Год назад

    Hii ni ya baraka Sana hakika imenitoa mahala kabisa

  • @aarpp4907
    @aarpp4907 Год назад

    😪😪😪fungua milango Yesu wangu tegemeo langu niwewe Mungu usiniaibishe 😭😭😭😭😭

  • @kiksleimmashow
    @kiksleimmashow Год назад

    Nikihusikiza wimbo huu naona baraka mbele yangu🙏

  • @zilpabwenda8638
    @zilpabwenda8638 Год назад +1

    Mungu nisaidie nipate kaz na nianzishe kampuni yangu nimesoma nina degree lakini na maisha magumu sina kaz watu wananidharau sana😢😢😢 MUNGU NISAIDIE NAKUTUMAINIA WEWE

  • @puritymbithe4483
    @puritymbithe4483 Год назад

    Fanya njia nimekua mtu wa kuumizwa fungua njia amen Bwana fanya njia

  • @NgezahayoYvette
    @NgezahayoYvette 10 месяцев назад

    Mungu akubaliki sana❤

  • @ruthinesspeter132
    @ruthinesspeter132 Год назад

    Haya ni maombi yangu Yesu wangu nakuomba ufanye njia pasipo na njia nifungulie milango iliyofungwa na wates wangu

  • @zakayokilumile
    @zakayokilumile Год назад +2

    Mungu akubariki sanaa

  • @NadineGentil-wj4zq
    @NadineGentil-wj4zq Год назад +4

    Burundi tunakupenda sana naomba wa fans wznzangu tujuwane weka mikono juu❤

  • @daudimhoha320
    @daudimhoha320 9 месяцев назад

    Kabisa.mungu.afungue.njia

  • @KipropKenneth-zj1rh
    @KipropKenneth-zj1rh Год назад

    Nyimbo Tamu nabarikiwa sana

  • @elmasroj9712
    @elmasroj9712 Год назад

    Wimbo mzuri sana huu

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Год назад

    Ubalikiwe sana

  • @harrisonlukwesa1365
    @harrisonlukwesa1365 4 месяца назад

    BRO GOD BLESS U AND YOUR MINISTRY INDEED YOUR SONGS UPLIFT MANY SOULS LISTENING FROM ZAMBIA

  • @rechelabisay2873
    @rechelabisay2873 Год назад +2

    Amina KUBWA Wimbo Mzuri sanaaaaaaa 🥰🙏🙌

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 Год назад +2

    Mungu akubariki, nyimbo zako zinakuaka na ujumbe mzito sana hua zina nibariki na zinanitia nguvu ya kusonga mbele kiimani.

    • @ruthinesspeter132
      @ruthinesspeter132 Год назад +1

      Kabisa zinatuinua mioyo

    • @JosseeNaftari-zg4nf
      @JosseeNaftari-zg4nf Год назад

      Hakika jumbe Zinatuvusha ,🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿

    • @JosseeNaftari-zg4nf
      @JosseeNaftari-zg4nf Год назад +1

      Fanya njia Yeau mwaka usipite

  • @toffimweka9130
    @toffimweka9130 Год назад

    Oh God make away for my progress 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much ❤❤❤ my brother God bless you.

  • @amosizebedayo9190
    @amosizebedayo9190 Год назад +2

    Hakika Mungu fanya njia

  • @johnkibambe3427
    @johnkibambe3427 Год назад +1

    Ubarikiwe sana Mtumishi wamungu

  • @ConnieMarura-tl4zq
    @ConnieMarura-tl4zq Год назад

    Amina Amina Mtumishi wa Mungu✨..Hakuna jambo lisilowezekana mbele za Mungu yeye ni Mwaminifu atafanya njia. Barikiwa sana kwa huduma hii nzuri🙏

  • @janviersobhane6492
    @janviersobhane6492 Год назад

    Hakika kwa Yesu ni amani tupu,hata kama hatuna kitu lakini tunaburudika ndani ya Yesu maana baraka zote kutoka kwako Bwana Yesu.

  • @mambostephen4450
    @mambostephen4450 8 месяцев назад

    The reality of most of us ... We really need God to remember us.
    Wimbo una ombi zuri sana.

  • @rechelabisay2873
    @rechelabisay2873 Год назад +1

    Fanya njia Bwana Fungua Mirango Nakuomba 😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌

    • @zakariakayanda8732
      @zakariakayanda8732 Год назад

      Mungu anenda kufanya njia pasipo na njia

    • @zakariakayanda8732
      @zakariakayanda8732 Год назад

      Tuna Imani naye 🙏🙏🙏🏿🙏🏿🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼

  • @paulynekhasoha4638
    @paulynekhasoha4638 Год назад

    Nikama unajua yenye napitia fungua milango yesu.

  • @pamellahkemunto5387
    @pamellahkemunto5387 Год назад +7

    Our lives are transformed through your songs 🙏 Baraka tele

  • @Gospel434
    @Gospel434 Год назад

    Kwakweli twabarkiwa sana🙏🔥🔥

  • @researchwilson4473
    @researchwilson4473 Год назад +1

    Amen. Fungua milango Mungu wangu

  • @winniemoraa3530
    @winniemoraa3530 Год назад

    ❤❤❤Very powerful I love your songs butati

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +1

    Hakika Mungu fungua milango 🙏🙏🙏fanya njia Yehova shama .

  • @erickmuema2393
    @erickmuema2393 Год назад

    Amen ishaafunguliwa

  • @alfalusambo7107
    @alfalusambo7107 Год назад

    Kaka Mungu akubaliki kaka

  • @AsheriEliab-vr9wj
    @AsheriEliab-vr9wj Год назад

    Nikumbuke namm Bwana.

  • @butatimusicproduction2129
    @butatimusicproduction2129 Год назад +1

    Huu n mwaka wa kufanyiwa njia huu Ni mwaka wa kugunguliwa milango
    Milango ya mafanikio lazima ifunguliwe kwa jina la Yesu

  • @nandobashongoma1559
    @nandobashongoma1559 Год назад

    Kutoka mashariki mwa D R.Congo nimeupokea ujumbe mkubwa kupitiya wimbo hui🔥🔥🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @irusaviohletogesi5739
    @irusaviohletogesi5739 6 месяцев назад

    ❤❤❤❤ the song you have the grace of God.God always is using to spread the Gospel to his people

  • @MwaaziElisha91
    @MwaaziElisha91 Год назад +3

    God will reward you with more blessings over this song getting you from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲

  • @meryyohana
    @meryyohana Год назад

    Fungua milango ninachogusa kifanikiwe hakika nimebarikiwa sanaà wimbo in a his a mpaka ndani MUNGU akubariki mtumishi nimesikiliza siku nzima

  • @clerenasimiyuwanyonyi192
    @clerenasimiyuwanyonyi192 Год назад

    Your song usinikumbushe was my msg nikawacha pombe nikaokoka sikuhizi ilibaji story

  • @butatv6961
    @butatv6961 Год назад

    Tunabarikiwa kutokea hapa kazuramimba kigoma nimekusanya kijji tunaitazama fanya njia huku tukiamini Mungu anaenda kufungua milango kabla mwaka haujaisha huu

  • @PapaTheKingKenya
    @PapaTheKingKenya Год назад +1

    Good video Bro

  • @emetomkura2500
    @emetomkura2500 Год назад

    Napenda hii

  • @kelvingodsonnangwa6162
    @kelvingodsonnangwa6162 Год назад +2

    Ubarikiwe sana mtumishi wimbo mzuri sana 💯❣️🎶🎵🙏

    • @JacquesMusafiri-bn7kb
      @JacquesMusafiri-bn7kb 7 месяцев назад

      Nyimbo zako nazifata sana apa Congo courage Mon grand frère nakipaji yako ikuwe ju sana

  • @JoyceMwachofi-ql7wr
    @JoyceMwachofi-ql7wr Год назад

    Fungua milango watu wajue wewe ni wakili wa haki...

  • @Williams-u4z
    @Williams-u4z 11 месяцев назад

    Amen aman 👌👌👌

  • @lyn254
    @lyn254 Год назад +1

    Fanya Njia Bwanaa 🙏🙏 Go Aniset Go Higher Kuna Mazuri Mbele

  • @كارسكيني
    @كارسكيني Год назад +1

    Kuna Wenye hawategemei Mungu Wana Maisha mazuri, lakini haitafanya nimuaje mungu wangu

    • @aarpp4907
      @aarpp4907 Год назад

      Kabisaa wakati ukifika na ssi Mungu atatujalia na maisha mazuri ,,tusikate tamaa😢🙏

  • @rahelndaro2883
    @rahelndaro2883 Год назад

    Mungu akubariki

  • @marymunyiva-qp8xt
    @marymunyiva-qp8xt Год назад

    Fungua njia bwana ,

  • @bugramsafi9873
    @bugramsafi9873 10 месяцев назад

    Amina kwa wimbo huu

  • @HabimanaJoel
    @HabimanaJoel Год назад +1

    🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Minafurayi Amen

  • @magdalineachieng6935
    @magdalineachieng6935 9 месяцев назад

    Hakuna mkenya anaweza imba hivi

  • @gracemkamijack7638
    @gracemkamijack7638 Год назад

    God bless you, man of God, na mimi pia Mungu afungue kwangu 😢

  • @mrkibali6075
    @mrkibali6075 Год назад

    My brother uinuliwe sanaaa hakika umegusa Fanya Njia🙏

  • @methodmeshack5164
    @methodmeshack5164 Год назад +1

    Mtumishi wimbo unabariki(imana yilakola ibyitangaza)

  • @Littup254
    @Littup254 Год назад

    Nitapita salama

  • @joanjepleting-kp6vs
    @joanjepleting-kp6vs Год назад

    Nice song may God bless you Aniset

  • @sashalemmoh3264
    @sashalemmoh3264 8 месяцев назад

    Ameni butati❤❤❤❤

  • @esterfungo3105
    @esterfungo3105 Год назад +2

    Amina

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Год назад

    Wi wachu ,mbona kama kigoma hapo home boy

  • @adambaptist5452
    @adambaptist5452 Год назад

    Kaka unajua

  • @ruthmusyoki8278
    @ruthmusyoki8278 Год назад +1

    Wimbo unabariki kweli kweli Baba Fanya njia ,nikumbuke bwana fungua milango Bwana

  • @AokoObwanda
    @AokoObwanda 6 месяцев назад

    Be. Blessed. Man of. God

  • @SAUTI_YA_DHAHABU
    @SAUTI_YA_DHAHABU Год назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Fanya njia

  • @belvinmakin3536
    @belvinmakin3536 Год назад +2

    Fanya njia bwana maishani mwangu 🙏🙏🙏🙏🙏

    • @ruthinesspeter132
      @ruthinesspeter132 Год назад +1

      Hakika Bwana anaenda kufanya njia🙏🙏

    • @belvinmakin3536
      @belvinmakin3536 Год назад

      @@ruthinesspeter132 glory unto the lord 🙏🙏🙏🙏

    • @JosseeNaftari-zg4nf
      @JosseeNaftari-zg4nf Год назад +1

      Mungu Atufungulie milango, 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 🙏

  • @devidrashidi
    @devidrashidi Год назад

    Ameeen mungu akubariki sana kwa wimbo mzur sana

  • @brunomirambi8792
    @brunomirambi8792 Год назад

    NAKUONA MBAALI SANA UKIMWINUA MUNGU KIMATAIFA MSHIKE HUYO MUNGU HATA KAMA UTAHISI HELA HUPATI.KUPITIA UIMBAJI KUMBUKA KAXI UNAYO FANYA NI YA MUNGU ATAFUNGUA MILANGO TU UBARIKIWE HOME BOY KIGOMA KWETU HONGERA SANA

  • @jelemiayoram835
    @jelemiayoram835 Год назад

    Fanya njia BWANA NIPITE SALAMA