Huu wimbo unaweza ukauona wa kawaida Ila ni wimbo mzuri Sana ukiwa unapita kwenye mapito 😭😭😭😭😭 mungu akubariki Sana nyimbo zako nazipenda naweza kupata namba zako mtumishi nitume sadaka nyimbo zako zinanibariki Sana 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🌹
Mungu nisaidie nipate kaz na nianzishe kampuni yangu nimesoma nina degree lakini na maisha magumu sina kaz watu wananidharau sana😢😢😢 MUNGU NISAIDIE NAKUTUMAINIA WEWE
Tunabarikiwa kutokea hapa kazuramimba kigoma nimekusanya kijji tunaitazama fanya njia huku tukiamini Mungu anaenda kufungua milango kabla mwaka haujaisha huu
NAKUONA MBAALI SANA UKIMWINUA MUNGU KIMATAIFA MSHIKE HUYO MUNGU HATA KAMA UTAHISI HELA HUPATI.KUPITIA UIMBAJI KUMBUKA KAXI UNAYO FANYA NI YA MUNGU ATAFUNGUA MILANGO TU UBARIKIWE HOME BOY KIGOMA KWETU HONGERA SANA
Kenya we love this message 💘💘💘 🔥🔥🔥🔥 leteni likes , subscribers hapa kwa ndugu butati
Amen
@@lawrencebarasaadungo9305 🙏🙏
2
❤❤❤❤
Ukweli asante l love ou san nakubali nikiwa Burundi
Wimbo mzuri hakika unanitia moyo. Barikiwa sana butati
Huu wimbo unitoa machozi😢😢😢😢😢😢😢😢😢 hakika Mungu afanye njia pasipo na njia
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭nikama unajua chenye napitea ukamuwa uniongelele but najua mungu siku moja atabisha kwangu😭😭😭😭😭😭😭funguwa kwangu pia mungu
Oooosh come on Juliet..
❤❤nakupenda sana na nyimbo zako balikiwa sana tena n'a Mungu akufungulie Milango❤❤❤
Mungu nifanyie jia kwa kazi yangu naona ngiza tu oooh my GOd
Bonjour grand aniset nakupenda sana kwa kazi yako naishi RDC
Naburudika nawimbo huu nikiwa drc mwenyezi mungu akuvike nguvu mtumishi
kweri leo nimelia kwa kusikiliza huu wimbo,naomba mungu kafu'gue njia
kazi nzuri sana Mungu azidi kukubariki mtumishi
🇰🇪😩mimi ni mukenya lakini niko Saudi 🇸🇦 nimesikiriza huu wimbo nasikia kulia
Ulakoze chane Butati mwenewachu.mwenyezi Mungu akubariki.nyimbo zako zinanifariji.
asante sana kwa mziki uyo ,zaidi mungu akusaidie juu upashe habari kwenye nyimbo
Mungu afanye njia kweli,Hongera Mungu aendelee kukuinua
Mungu akubariki sana kaka angu kazi yako njema
Haleluhya wimbo mzuri wenye kunipa matumaini kunyeshe kusinyeshe bado unabariki jehova
Mvua unyeshe au usinyeshe una uwezo wa kunibari 👏👏👏💃💃
Alo nimekuwa wa kwanza kutazama
Hongera xn mtumish wimbo mzr na video ni nzr xn
Nice Barikiwaaa saana kaka
God bless you Butati nimepata message on time thank you kwa ujumbe
Daaaa! Hakika fanya njia Yesu wangu😭😭😭
Naomba likes nyingi hapa jamani wimbo mzuri ubarikiwe mtu wa Mungu, Bwana anafanya njia sasa
❤❤❤❤❤❤napenda nyimbo zako kaka
Vizl kaka nimeupenda❤❤
Amen nimebarikiwa mnoo yani kama unanisema Mimi MINGU AKUBARIKI. Fungus milango nichogusa kifanikiwe ameni
Ongera sana lafiki yangu
Wacha kazi ya MUNGU itawale ubarikiwe sana ndugu.
Ni Mungu Tu anaweza
Fanya njia Bwana niombi langu Kwa MUNGU hongera sana brother MUNGU Azid kukuweka juuu
Amen
Huu wimbo unaweza ukauona wa kawaida Ila ni wimbo mzuri Sana ukiwa unapita kwenye mapito 😭😭😭😭😭 mungu akubariki Sana nyimbo zako nazipenda naweza kupata namba zako mtumishi nitume sadaka nyimbo zako zinanibariki Sana 😭😭😭😭😭😭😭😭🙏🌹
Fanya njia e Bwana kabla mwaka kuisha nisimamw nishuhudie matendo yako makuu uliyo yatenda amen,
Hii ni ya baraka Sana hakika imenitoa mahala kabisa
😪😪😪fungua milango Yesu wangu tegemeo langu niwewe Mungu usiniaibishe 😭😭😭😭😭
Nikihusikiza wimbo huu naona baraka mbele yangu🙏
Mungu nisaidie nipate kaz na nianzishe kampuni yangu nimesoma nina degree lakini na maisha magumu sina kaz watu wananidharau sana😢😢😢 MUNGU NISAIDIE NAKUTUMAINIA WEWE
Iwe kwako
Fanya njia nimekua mtu wa kuumizwa fungua njia amen Bwana fanya njia
Mungu akubaliki sana❤
Haya ni maombi yangu Yesu wangu nakuomba ufanye njia pasipo na njia nifungulie milango iliyofungwa na wates wangu
Mungu akubariki sanaa
Burundi tunakupenda sana naomba wa fans wznzangu tujuwane weka mikono juu❤
Na sisi wa tz tunawapenda
Na tutakuja Burundi
Mtukaribishe sasa
Zakalia una uhakika utaenda😆😆😆😆😆😆😆
Karibuni Sana tz
Kabisa.mungu.afungue.njia
Nyimbo Tamu nabarikiwa sana
Wimbo mzuri sana huu
Ubalikiwe sana
BRO GOD BLESS U AND YOUR MINISTRY INDEED YOUR SONGS UPLIFT MANY SOULS LISTENING FROM ZAMBIA
Amina KUBWA Wimbo Mzuri sanaaaaaaa 🥰🙏🙌
Hongera sana mtumishi wa Mungu Kwa huduma nzuri sana mtumishi barikiwa sana
❤
🎉🎉🎉🎉🎉🎉Amina barikiwa sana
mungu akubari sana minapenda nyimba zako wng
hongera sana
Mungu akubariki, nyimbo zako zinakuaka na ujumbe mzito sana hua zina nibariki na zinanitia nguvu ya kusonga mbele kiimani.
Kabisa zinatuinua mioyo
Hakika jumbe Zinatuvusha ,🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Fanya njia Yeau mwaka usipite
Oh God make away for my progress 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 much ❤❤❤ my brother God bless you.
Hakika Mungu fanya njia
Ubarikiwe sana Mtumishi wamungu
Amina Amina Mtumishi wa Mungu✨..Hakuna jambo lisilowezekana mbele za Mungu yeye ni Mwaminifu atafanya njia. Barikiwa sana kwa huduma hii nzuri🙏
Hakika kwa Yesu ni amani tupu,hata kama hatuna kitu lakini tunaburudika ndani ya Yesu maana baraka zote kutoka kwako Bwana Yesu.
The reality of most of us ... We really need God to remember us.
Wimbo una ombi zuri sana.
Fanya njia Bwana Fungua Mirango Nakuomba 😭😭😭😭😭😭😭🙌🙌
Mungu anenda kufanya njia pasipo na njia
Tuna Imani naye 🙏🙏🙏🏿🙏🏿🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Nikama unajua yenye napitia fungua milango yesu.
Our lives are transformed through your songs 🙏 Baraka tele
Amen
Kwakweli twabarkiwa sana🙏🔥🔥
Amen
Amen. Fungua milango Mungu wangu
❤❤❤Very powerful I love your songs butati
Hakika Mungu fungua milango 🙏🙏🙏fanya njia Yehova shama .
Amen
Amen ishaafunguliwa
Kaka Mungu akubaliki kaka
Nikumbuke namm Bwana.
Huu n mwaka wa kufanyiwa njia huu Ni mwaka wa kugunguliwa milango
Milango ya mafanikio lazima ifunguliwe kwa jina la Yesu
Kutoka mashariki mwa D R.Congo nimeupokea ujumbe mkubwa kupitiya wimbo hui🔥🔥🙏🏼🙏🏼🙏🏼
❤❤❤❤ the song you have the grace of God.God always is using to spread the Gospel to his people
God will reward you with more blessings over this song getting you from 🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Fungua milango ninachogusa kifanikiwe hakika nimebarikiwa sanaà wimbo in a his a mpaka ndani MUNGU akubariki mtumishi nimesikiliza siku nzima
Your song usinikumbushe was my msg nikawacha pombe nikaokoka sikuhizi ilibaji story
Tunabarikiwa kutokea hapa kazuramimba kigoma nimekusanya kijji tunaitazama fanya njia huku tukiamini Mungu anaenda kufungua milango kabla mwaka haujaisha huu
Good video Bro
Napenda hii
Ubarikiwe sana mtumishi wimbo mzuri sana 💯❣️🎶🎵🙏
Nyimbo zako nazifata sana apa Congo courage Mon grand frère nakipaji yako ikuwe ju sana
Fungua milango watu wajue wewe ni wakili wa haki...
Amen aman 👌👌👌
Fanya Njia Bwanaa 🙏🙏 Go Aniset Go Higher Kuna Mazuri Mbele
Kuna Wenye hawategemei Mungu Wana Maisha mazuri, lakini haitafanya nimuaje mungu wangu
Kabisaa wakati ukifika na ssi Mungu atatujalia na maisha mazuri ,,tusikate tamaa😢🙏
Mungu akubariki
Fungua njia bwana ,
Amina kwa wimbo huu
🇷🇼🇷🇼🇷🇼 Minafurayi Amen
Hakuna mkenya anaweza imba hivi
God bless you, man of God, na mimi pia Mungu afungue kwangu 😢
My brother uinuliwe sanaaa hakika umegusa Fanya Njia🙏
Amen
Mtumishi wimbo unabariki(imana yilakola ibyitangaza)
Nitapita salama
Nice song may God bless you Aniset
Ameni butati❤❤❤❤
Amina
Wi wachu ,mbona kama kigoma hapo home boy
Kaka unajua
Wimbo unabariki kweli kweli Baba Fanya njia ,nikumbuke bwana fungua milango Bwana
Amen
Be. Blessed. Man of. God
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢Fanya njia
Fanya njia bwana maishani mwangu 🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika Bwana anaenda kufanya njia🙏🙏
@@ruthinesspeter132 glory unto the lord 🙏🙏🙏🙏
Mungu Atufungulie milango, 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 🙏
Ameeen mungu akubariki sana kwa wimbo mzur sana
NAKUONA MBAALI SANA UKIMWINUA MUNGU KIMATAIFA MSHIKE HUYO MUNGU HATA KAMA UTAHISI HELA HUPATI.KUPITIA UIMBAJI KUMBUKA KAXI UNAYO FANYA NI YA MUNGU ATAFUNGUA MILANGO TU UBARIKIWE HOME BOY KIGOMA KWETU HONGERA SANA
Fanya njia BWANA NIPITE SALAMA