EPISODE; 11 SWALAATUL FAJRI INASIJDA NGAPI ?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 фев 2021

Комментарии • 151

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 года назад +20

    Naipenda kishki TV kwaajili ya Allah, naninajifunza mengi mengi kuhusu kumcha Allah, hakika mwenyezi mungu aulinde uongozi wote Wa kishki TV

  • @furahamossi3199
    @furahamossi3199 3 года назад +8

    Kishk tv Allah awape umri mrefu mzidi kutufikishia alicho amrisha Allah

  • @najmaally7556
    @najmaally7556 2 года назад +1

    Natamani nipate chansi niweze kwenda madras nisome Quruan ni kitu ambacho nakitamani sana namuomba Allah anipe wepesi anitafutie sehemu nzuri ambapo nitakuwa na utulivu niweze fanya mambo Kwa ajili ya Allah

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад +12

    SUBHANNALLAH swali jepesi lkn limewapiga chenga duh huu msiba yani

  • @azizamohammed8417
    @azizamohammed8417 3 года назад +4

    Kipindi kizuri masha Allaha lkn mda mdogo sana na kiwe ata mara mbili kwa siku

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 3 года назад +3

    Kwa kweli Kishki wao kaokoa Jahazi

  • @firdausyalhaji5569
    @firdausyalhaji5569 3 года назад +2

    Mko pouwaah saana wallahi Hadi kipindi kinanogaa Allah azidi kuwaongoza na awalipe pepo inshaAllah

  • @aishakinia4957
    @aishakinia4957 3 года назад +7

    Sheikh Jumanne na sheikh masawe sauti zenu zinafanana..... Mashaallah swali jepesi

  • @firdausyalhaji5569
    @firdausyalhaji5569 3 года назад +2

    😃😃😃😃wallahi nafurahi saana kwakweli...ati jipepee

  • @najmaally7556
    @najmaally7556 2 года назад

    Mashanllah Allah akulipe Kila lenye kheri shekhe kishki hakika tunajifunza mengi sana wengine tunajua machache na wengine hatujui kabisa Allah atuongoze

  • @khadijakhamis381
    @khadijakhamis381 3 года назад +3

    Maa shaa Allah.. Kipindi kizuri sana

  • @thabitimkufi3302
    @thabitimkufi3302 3 года назад +3

    Ndugu zangu tuisomeni dini yetu jaman

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 года назад +3

    Masha Allah tunafatilia na kuifadhika na kishki tv sheikh masawe ana nni leo

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Sheikh masawe amepata msiba amefiwa yupo moshi

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 3 года назад

      @@jumanne_mlewa innalilai wainnaraj unni mpe pole sheikh Allah amsamehe alotangulia na cc wote kwa jumla amiin

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 года назад +2

    hilo swali boga wameshindwa kujibu hayo magumu wataweza msiba waislam mwislam huyo huyo wachezaji mpira wote awajua na mikataba yao

  • @Khadija-qr4cr
    @Khadija-qr4cr 2 года назад

    Mashaallah mungu awazidishie mzidi kutufundisha mengi

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 3 года назад +2

    Ma sha allah
    Kishki wa buzza

  • @eshabjorkholm1614
    @eshabjorkholm1614 3 года назад +3

    duh mwenyezimungu atuongoze :-))

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +3

    Mwenye kipindi chake kaenda wap mtangazajj jumanne 🙂

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Sheikh masawe amepata msiba hivyo amesafiri ndio maana, Alhamdulillah tunajaribu kuziba kwa uchache ili msikose Elimu japo angalau

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      @@jumanne_mlewa Allah ampe subra

    • @fat-hiyaali4723
      @fat-hiyaali4723 3 года назад

      innalilah allah amfanyie wepesi ktk safar yke

  • @fat-hiyaali4723
    @fat-hiyaali4723 3 года назад +4

    huyu mtangazaji wa leo kwakweli nimefurahi masihara mengi😂

  • @mimah2543
    @mimah2543 3 года назад +3

    Subhanallah... Ikiwa sijdah ni ktk nguzo ya swala itakosaje?! 🤔.. Wallah waislam turudini kwa Allah swala ndo ufunguo wa pepo.. Tuishi na kujifunza dini ytu waislam tusiwe wa Majina na lengo la cc kuwa katk hii Dunia ni ibada ikiwemo swala.. Ikiwa huna elimu hyo kama wanavyosema wengn je elemu yako itakua ipi? Mungu atuongoze wallah tusijue tu rakaa ila kuswali pia 🙏

    • @muhidinmahmoud2168
      @muhidinmahmoud2168 3 года назад

      Masha Allah nimeyapenda maneno yako sana, Insha Allah atawasaidiya

    • @mimah2543
      @mimah2543 3 года назад

      @@muhidinmahmoud2168 Aamin Rabbal Aalameen

  • @najmaally7556
    @najmaally7556 2 года назад

    Wallah nafurahi sana yaani elimu Bure halafu unacheka Bure kuwa mwislam laha sana

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 Год назад

    Maa Shaa Allaah na Jazak Allahu Khairaan Kathiraan Kishki TV.

  • @zakiaqasim5312
    @zakiaqasim5312 3 года назад +1

    Maasha Allah watabarrak rrahman amiin

  • @faizanassor6336
    @faizanassor6336 3 года назад +2

    Mashallah allah barqi sn

  • @johntay8813
    @johntay8813 2 года назад

    Maashaallah Allah akufanyie wepesi katika harakati zenu zakidini mnazidi kutuelimisha naipenda tv ya kishki na shekhe mwenyewe nakamati zima ya kishk tv

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 3 года назад +1

    Masha Allah kheri in sha Allah

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 3 года назад

    Maa Shaa Allah.
    Naomba Radio yenu iwepo mikoa yote ili nasi tujifunze mengi mkija tuhoji mitaani.

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +3

    Toba ya rabb kumbe zito kwa wengine😭😢

    • @sakinat2527
      @sakinat2527 3 года назад

      Mtihani kwa kweli

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 3 года назад

      Rehema da ndio ivyo kazi tunayo kuusu dini mtihani

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад

      Mtihani sana

  • @mozasaid3869
    @mozasaid3869 3 года назад +1

    Allah awazidishie kila la kheri Kishki TV

  • @sakinat2527
    @sakinat2527 3 года назад +3

    Maa shaa Allah, Allah awazidishie kheyr kishk tv

  • @humeyraabelaz3935
    @humeyraabelaz3935 2 года назад

    SubhanaAllah kuna wajibu watu kurudi kujua angalau wajue mambo ya msingi ya dini yaskitisha sanaa

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +1

    MashaaAllah Shukuran

  • @mosamadmwahija7879
    @mosamadmwahija7879 3 года назад +1

    MaashaAllAh vizuri sanaa

  • @zaynpdogdhgg8755
    @zaynpdogdhgg8755 3 года назад +2

    Subhanallah

  • @binthassancollection.6308
    @binthassancollection.6308 3 года назад +1

    Masha Allah tabaraka Allah

  • @happynesskimt6249
    @happynesskimt6249 3 года назад +1

    Mashaallah inapendeza

  • @rahmaally5128
    @rahmaally5128 3 года назад

    Hahahah jina lake mwenyew and hajua kutamk Yakhya just jkng, so funny, hiki kipind so rahaa mbal na kujifunz lot of vitu, pia tuna enjoy can't imagine nyie mnao fany hiki kipind mnaenjoy vipi, jazakamu Allahu Kheir , Allah awazidishie kila yalo mazur

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 3 года назад

    Subhanallah mtihani kwakweli tuisome dini yetu tujifunze

  • @maryambintukhadija1604
    @maryambintukhadija1604 2 года назад

    Maa shaa Allah tabaraka allah

  • @salmanaaman1594
    @salmanaaman1594 3 года назад +1

    Alhamdulilah nimepata😀😀😀

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 3 года назад

    Duuuu! Innalilahi, 😢😢na wamezaliwa kwenye matumbo ya waisilamu.😭😭😭😭

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 года назад +3

    HALI NI MBAYA SANA NA INASIKITISHA SANA,YAANI HALI NI MBAYA SANA KWA VIJANA WAISLAM AMBOA UKIWAONA UMRI WAO NI WENYE WATOTO NA WAKE MAJUMBANI KWAO,NDUGU ZANGU KTK IMANI HUU UMMAH NI WA DAH'WA,SOTE TUNAOSWALI KILASIKU NI JUKUMU LETU KUWAFUATA WAISLAM WENZETU WASIOSWALI POPOTE WALIPO NA KUWAITA MISIKITINI KILASIKU,NAMAANISHA KILASIKU ILI KWANZA WASWALI NA KUJIFUNZA DINI YAO,WAO WAKITEKELEZA ITAKUWA RAHISI KWA WAKE NA WATOTO ZAO KUFUATA,BILA KUFANYIKA HILI UMMAH UTAZIDI KUOZA ZAIDI NA KILA MZAZI ATATAMANI MWANAE AWE KAMA 'DAIMONDI SAUNDI'

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yangu hapo kama jautojl

  • @mwajomaessa7513
    @mwajomaessa7513 2 года назад

    Masha Allah 💯💯💯

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 3 года назад +1

    Masha Allah

  • @Ukhtyzuhura
    @Ukhtyzuhura 3 года назад +1

    Mtihan huu hakika
    Navyofikiria Mimi hawafahamu maana ya sijda

  • @nyatya199
    @nyatya199 3 года назад +2

    Maashaallah Jumanne Allah akulipe kwa juhudi zako

  • @nunuusarhan3903
    @nunuusarhan3903 2 года назад

    Mtihani walai Allah a tusamehe aturehm na utuhid viumbe vyake ammii

  • @samiaarimkonekonko5096
    @samiaarimkonekonko5096 2 года назад

    Mashaallah 😍❤️❤️🙏

  • @khadijaiddi4887
    @khadijaiddi4887 3 года назад +2

    Maasha Allah

  • @fatimam4712
    @fatimam4712 2 года назад

    Mashaa allah muje kenya🇰🇪

  • @ayshaaisha7630
    @ayshaaisha7630 2 года назад

    Dah inna lillahi wainnaillah rajiuni

  • @saumsiraji9870
    @saumsiraji9870 3 года назад +1

    Mashaallah

  • @Derevamkongwe6864
    @Derevamkongwe6864 3 года назад +4

    Hiki kipindi kiwe mara mbili kwa week tafadhali.

  • @thabitimkufi3302
    @thabitimkufi3302 3 года назад +1

    Hahaaaa eti kishki wetu wa buza

  • @hawahawa6915
    @hawahawa6915 3 года назад

    Kipend kizuli Mashaa Allah

  • @bintkijangwa4305
    @bintkijangwa4305 3 года назад

    Hahahaha yani nimecheka wallah kuna umuhim sana wa kwenda madrasa

  • @Fatma-ll8kd
    @Fatma-ll8kd 2 года назад

    Raha sana muwendeleee

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 2 года назад

    Leo ilikua utembee na bahasha na mikwaju. Akaa! Wanatembea lkn wamekufa bado kuzikwa tu.

  • @omarysaidy5524
    @omarysaidy5524 3 года назад +1

    Hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahah subhanaallah mecheka

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +2

    Yahaya😄😄😄 yahya story mingi jumanne bwanaeee🤔

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Enhee Jumanne kafanyeje tenaa tumwambie hapaa

    • @rehemasalim4590
      @rehemasalim4590 3 года назад +1

      @@jumanne_mlewa watengezeeni CD wanatuaipisha rusaganya atawachana live aibu uma umeoza😢😭

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      @@rehemasalim4590 watu bado Elimu hakuna kabisa huko mitaani ni changamoto kubwa mnoo

    • @nuriyaabuu
      @nuriyaabuu 3 года назад

      @JUMANNE_10 Mungu awafanyie sahali inshaallah

  • @kupelakupelaa2580
    @kupelakupelaa2580 2 года назад

    kwa kweli msiba wanashindwa kujua swalat alfajr ina rakaa mbili sijida mbili

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад

    Mashallah

  • @nuriyaabuu
    @nuriyaabuu 3 года назад

    @JUMANNE_10 unafurahisha kwl Allah awalipe kila la kheri na atuongoze umma Muhammad(s.a.w)

  • @latifamkulazi8378
    @latifamkulazi8378 3 года назад +1

    Wanaokosa maswali ni makosa yao au wazazi. Namtangazi sijapenda wanajipepea kisha wanaokosa

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Hahaha unampa mtu wakati wa kufikiria kwa urahisi na kufanya Akili yake iwe hapo .

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад +1

    Jifunze quran kusoma kuandik gisa picha yang hapo kama hautojali

  • @neemajaylani9068
    @neemajaylani9068 3 года назад

    Mashaalah

  • @mujumama6776
    @mujumama6776 3 года назад +1

    Kachemka uyo

  • @ZainabZainab-ov2bk
    @ZainabZainab-ov2bk 2 года назад

    Shukran

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +2

    acha bahashaa

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusom kusndik gusa picha yangu hapo kama hautojali

  • @bakarirutengwe3036
    @bakarirutengwe3036 3 года назад

    Huyu wa kwanza nimependa
    ujumbe wake.

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautjali

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojal

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +2

    Jamani mie nina swali kuzamin kipindi ni vip au nafanyaje ili nizamini kipindi ufafanuzi tafadhali adimin

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад +1

      Kudhamini kipindi ni kama unatangazo lako likawa linaruka kupitia kipindi husika ambacho kitatizamwa mno hivyo hata kile unacho kitangaza kikaonekana na kupata watu ambao wanahitaji kitu husika ambacho umeweka watu waje kununua, pia ni njia moja wapo ya kutoa swadaka kwakua unadhamini kitu chenye manufaa kubwa kwa ummat Muhammad s a w

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад

      @@jumanne_mlewa Asante sana

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      @@saay4273 karibu sanaa uwekeze kwaajili ya Allah

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад

      @@jumanne_mlewa InshaaAllah

  • @duniawadunia4824
    @duniawadunia4824 3 года назад

    Ndo 📺 bora Tz

  • @saidhamad533
    @saidhamad533 3 года назад

    Wanaume jamani wanaume mnakwama wapi 😁

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 года назад +1

    Kuna watu wanachekesha lkn 😂😂 eti wengn wanajibu hamna kbs

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 3 года назад +1

    😭😭😭😭😭

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @munamuna2000
    @munamuna2000 2 года назад

    Wa siyo swali hawatojuwa nimswiba

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 2 года назад

    Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautokli

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 2 года назад +1

    Shekhe kwani wanawake hawaulizwi maswali au shelia wanaume tu?

  • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
    @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

    Rakaatayni 2 hhhhhh

    • @nooraallahuakibarumwenyeez3079
      @nooraallahuakibarumwenyeez3079 3 года назад

      Nimejisahau fadhakr nimetaja rakaatayn 2 kumbe sijda ni 4 dhuhul ni sijda 8 laasil 8 maghalb 6 inshaa 8 alfajir 4

  • @rehemasalim4590
    @rehemasalim4590 3 года назад +1

    Mtangazajj uliza swali waumize vichwa swali mboga hilo🙄

  • @allymtungunyu2425
    @allymtungunyu2425 3 года назад +2

    Unapoteza mda usio na sababu mtangazi unaongea sana.
    Inabidi uwe kama hb wa riyadh tv znz

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Shukran sanaa kwa comment Sheikh Ally Mtungunyu nitalifanyia kazi .. kwa kuanzia katika kipindi cha uislam ndani ya vitabu vya kale pia nitakua hapo siku ya Alkhamis kwa niaba ya sheikh Abdillah Massawe

    • @allymtungunyu2425
      @allymtungunyu2425 3 года назад +1

      @@jumanne_mlewa inshaallah ustadhi jumanne allah atukubali

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 3 года назад

      @@jumanne_mlewa inshaallah tujaliwe

  • @fatimam4712
    @fatimam4712 2 года назад

    Nafatilia nikiwa arabun 🇧🇭

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад

    Swali lahis sana ila dah

  • @oliviermohammed1052
    @oliviermohammed1052 2 года назад

    Nne

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 3 года назад

    Mashaallah

  • @saay4273
    @saay4273 3 года назад +2

    alam ya kutaka kufa Jumanne wew🤣🤣😆

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Mmmh sijaelewa nifafanulie

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад +1

      @@jumanne_mlewa ni maneno tu hayo nimeyasikia hapo ukiyasema

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад +1

      Eeh, akiendesha pikipiki kwa speed sanaa

    • @saay4273
      @saay4273 3 года назад

      @@jumanne_mlewa 😆😄😄

  • @ayshaaisha7630
    @ayshaaisha7630 2 года назад

    Niswala yamaiti aina sijda

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 3 года назад +2

    Swala ambayo haina cjinda ni ya maiti tu

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад

      Asanteee

    • @siriyangu4724
      @siriyangu4724 3 года назад

      @@jumanne_mlewa karibu sheikh

    • @fat-hiyaali4723
      @fat-hiyaali4723 3 года назад

      msiba kwa waisalm swali dogo linawashinda

    • @fat-hiyaali4723
      @fat-hiyaali4723 3 года назад +1

      punguza masihara mda mwengn mtangazaji😂

    • @jumanne_mlewa
      @jumanne_mlewa 3 года назад +1

      @@fat-hiyaali4723kipindi kama hicho lazima maskhara ili uende Sawa na watu uliyowakuta Ila ukisema uwe serious kipindi kitadoda