Natamani nipate chansi niweze kwenda madras nisome Quruan ni kitu ambacho nakitamani sana namuomba Allah anipe wepesi anitafutie sehemu nzuri ambapo nitakuwa na utulivu niweze fanya mambo Kwa ajili ya Allah
Mashanllah Allah akulipe Kila lenye kheri shekhe kishki hakika tunajifunza mengi sana wengine tunajua machache na wengine hatujui kabisa Allah atuongoze
Subhanallah... Ikiwa sijdah ni ktk nguzo ya swala itakosaje?! 🤔.. Wallah waislam turudini kwa Allah swala ndo ufunguo wa pepo.. Tuishi na kujifunza dini ytu waislam tusiwe wa Majina na lengo la cc kuwa katk hii Dunia ni ibada ikiwemo swala.. Ikiwa huna elimu hyo kama wanavyosema wengn je elemu yako itakua ipi? Mungu atuongoze wallah tusijue tu rakaa ila kuswali pia 🙏
Maashaallah Allah akufanyie wepesi katika harakati zenu zakidini mnazidi kutuelimisha naipenda tv ya kishki na shekhe mwenyewe nakamati zima ya kishk tv
Hahahah jina lake mwenyew and hajua kutamk Yakhya just jkng, so funny, hiki kipind so rahaa mbal na kujifunz lot of vitu, pia tuna enjoy can't imagine nyie mnao fany hiki kipind mnaenjoy vipi, jazakamu Allahu Kheir , Allah awazidishie kila yalo mazur
HALI NI MBAYA SANA NA INASIKITISHA SANA,YAANI HALI NI MBAYA SANA KWA VIJANA WAISLAM AMBOA UKIWAONA UMRI WAO NI WENYE WATOTO NA WAKE MAJUMBANI KWAO,NDUGU ZANGU KTK IMANI HUU UMMAH NI WA DAH'WA,SOTE TUNAOSWALI KILASIKU NI JUKUMU LETU KUWAFUATA WAISLAM WENZETU WASIOSWALI POPOTE WALIPO NA KUWAITA MISIKITINI KILASIKU,NAMAANISHA KILASIKU ILI KWANZA WASWALI NA KUJIFUNZA DINI YAO,WAO WAKITEKELEZA ITAKUWA RAHISI KWA WAKE NA WATOTO ZAO KUFUATA,BILA KUFANYIKA HILI UMMAH UTAZIDI KUOZA ZAIDI NA KILA MZAZI ATATAMANI MWANAE AWE KAMA 'DAIMONDI SAUNDI'
Kudhamini kipindi ni kama unatangazo lako likawa linaruka kupitia kipindi husika ambacho kitatizamwa mno hivyo hata kile unacho kitangaza kikaonekana na kupata watu ambao wanahitaji kitu husika ambacho umeweka watu waje kununua, pia ni njia moja wapo ya kutoa swadaka kwakua unadhamini kitu chenye manufaa kubwa kwa ummat Muhammad s a w
Shukran sanaa kwa comment Sheikh Ally Mtungunyu nitalifanyia kazi .. kwa kuanzia katika kipindi cha uislam ndani ya vitabu vya kale pia nitakua hapo siku ya Alkhamis kwa niaba ya sheikh Abdillah Massawe
Naipenda kishki TV kwaajili ya Allah, naninajifunza mengi mengi kuhusu kumcha Allah, hakika mwenyezi mungu aulinde uongozi wote Wa kishki TV
Amiin
Amiin
Aamin
Shukran kwa dua
Amini
Kishk tv Allah awape umri mrefu mzidi kutufikishia alicho amrisha Allah
Natamani nipate chansi niweze kwenda madras nisome Quruan ni kitu ambacho nakitamani sana namuomba Allah anipe wepesi anitafutie sehemu nzuri ambapo nitakuwa na utulivu niweze fanya mambo Kwa ajili ya Allah
SUBHANNALLAH swali jepesi lkn limewapiga chenga duh huu msiba yani
Mtihani kwakweli
Kipindi kizuri masha Allaha lkn mda mdogo sana na kiwe ata mara mbili kwa siku
Kwa kweli Kishki wao kaokoa Jahazi
Umeoneeh😁
Mko pouwaah saana wallahi Hadi kipindi kinanogaa Allah azidi kuwaongoza na awalipe pepo inshaAllah
Sheikh Jumanne na sheikh masawe sauti zenu zinafanana..... Mashaallah swali jepesi
😃😃😃😃wallahi nafurahi saana kwakweli...ati jipepee
Mashanllah Allah akulipe Kila lenye kheri shekhe kishki hakika tunajifunza mengi sana wengine tunajua machache na wengine hatujui kabisa Allah atuongoze
Maa shaa Allah.. Kipindi kizuri sana
Ndugu zangu tuisomeni dini yetu jaman
Masha Allah tunafatilia na kuifadhika na kishki tv sheikh masawe ana nni leo
Sheikh masawe amepata msiba amefiwa yupo moshi
@@jumanne_mlewa innalilai wainnaraj unni mpe pole sheikh Allah amsamehe alotangulia na cc wote kwa jumla amiin
hilo swali boga wameshindwa kujibu hayo magumu wataweza msiba waislam mwislam huyo huyo wachezaji mpira wote awajua na mikataba yao
Mashaallah mungu awazidishie mzidi kutufundisha mengi
Ma sha allah
Kishki wa buzza
duh mwenyezimungu atuongoze :-))
Mwenye kipindi chake kaenda wap mtangazajj jumanne 🙂
Sheikh masawe amepata msiba hivyo amesafiri ndio maana, Alhamdulillah tunajaribu kuziba kwa uchache ili msikose Elimu japo angalau
@@jumanne_mlewa Allah ampe subra
innalilah allah amfanyie wepesi ktk safar yke
huyu mtangazaji wa leo kwakweli nimefurahi masihara mengi😂
Hahaha akhsanteee
🤣🤣🤣
Subhanallah... Ikiwa sijdah ni ktk nguzo ya swala itakosaje?! 🤔.. Wallah waislam turudini kwa Allah swala ndo ufunguo wa pepo.. Tuishi na kujifunza dini ytu waislam tusiwe wa Majina na lengo la cc kuwa katk hii Dunia ni ibada ikiwemo swala.. Ikiwa huna elimu hyo kama wanavyosema wengn je elemu yako itakua ipi? Mungu atuongoze wallah tusijue tu rakaa ila kuswali pia 🙏
Masha Allah nimeyapenda maneno yako sana, Insha Allah atawasaidiya
@@muhidinmahmoud2168 Aamin Rabbal Aalameen
Wallah nafurahi sana yaani elimu Bure halafu unacheka Bure kuwa mwislam laha sana
Maa Shaa Allaah na Jazak Allahu Khairaan Kathiraan Kishki TV.
Maasha Allah watabarrak rrahman amiin
Mashallah allah barqi sn
Maashaallah Allah akufanyie wepesi katika harakati zenu zakidini mnazidi kutuelimisha naipenda tv ya kishki na shekhe mwenyewe nakamati zima ya kishk tv
Masha Allah kheri in sha Allah
Maa Shaa Allah.
Naomba Radio yenu iwepo mikoa yote ili nasi tujifunze mengi mkija tuhoji mitaani.
Toba ya rabb kumbe zito kwa wengine😭😢
Mtihani kwa kweli
Rehema da ndio ivyo kazi tunayo kuusu dini mtihani
Mtihani sana
Allah awazidishie kila la kheri Kishki TV
Maa shaa Allah, Allah awazidishie kheyr kishk tv
Amen yarrab
@@siriyangu4724 Allahumma Amiin
@@sakinat2527 amiin
SubhanaAllah kuna wajibu watu kurudi kujua angalau wajue mambo ya msingi ya dini yaskitisha sanaa
MashaaAllah Shukuran
MaashaAllAh vizuri sanaa
Subhanallah
Mtihani wallah
Masha Allah tabaraka Allah
Mashaallah inapendeza
Hahahah jina lake mwenyew and hajua kutamk Yakhya just jkng, so funny, hiki kipind so rahaa mbal na kujifunz lot of vitu, pia tuna enjoy can't imagine nyie mnao fany hiki kipind mnaenjoy vipi, jazakamu Allahu Kheir , Allah awazidishie kila yalo mazur
Subhanallah mtihani kwakweli tuisome dini yetu tujifunze
Maa shaa Allah tabaraka allah
Alhamdulilah nimepata😀😀😀
Duuuu! Innalilahi, 😢😢na wamezaliwa kwenye matumbo ya waisilamu.😭😭😭😭
HALI NI MBAYA SANA NA INASIKITISHA SANA,YAANI HALI NI MBAYA SANA KWA VIJANA WAISLAM AMBOA UKIWAONA UMRI WAO NI WENYE WATOTO NA WAKE MAJUMBANI KWAO,NDUGU ZANGU KTK IMANI HUU UMMAH NI WA DAH'WA,SOTE TUNAOSWALI KILASIKU NI JUKUMU LETU KUWAFUATA WAISLAM WENZETU WASIOSWALI POPOTE WALIPO NA KUWAITA MISIKITINI KILASIKU,NAMAANISHA KILASIKU ILI KWANZA WASWALI NA KUJIFUNZA DINI YAO,WAO WAKITEKELEZA ITAKUWA RAHISI KWA WAKE NA WATOTO ZAO KUFUATA,BILA KUFANYIKA HILI UMMAH UTAZIDI KUOZA ZAIDI NA KILA MZAZI ATATAMANI MWANAE AWE KAMA 'DAIMONDI SAUNDI'
Jifunze quran kusom kuandik gusa pich yangu hapo kama jautojl
Masha Allah 💯💯💯
Masha Allah
Mtihan huu hakika
Navyofikiria Mimi hawafahamu maana ya sijda
Maashaallah Jumanne Allah akulipe kwa juhudi zako
Allahumma Aamin
Shukran
Mtihani walai Allah a tusamehe aturehm na utuhid viumbe vyake ammii
Mashaallah 😍❤️❤️🙏
Maasha Allah
Tabraka Allah
Mashaa allah muje kenya🇰🇪
Dah inna lillahi wainnaillah rajiuni
Mashaallah
Hiki kipindi kiwe mara mbili kwa week tafadhali.
Hahaaaa eti kishki wetu wa buza
Kipend kizuli Mashaa Allah
Hahahaha yani nimecheka wallah kuna umuhim sana wa kwenda madrasa
Raha sana muwendeleee
Leo ilikua utembee na bahasha na mikwaju. Akaa! Wanatembea lkn wamekufa bado kuzikwa tu.
Hahahahahahahaha hahahahahahahaha hahahahah subhanaallah mecheka
Yahaya😄😄😄 yahya story mingi jumanne bwanaeee🤔
Enhee Jumanne kafanyeje tenaa tumwambie hapaa
@@jumanne_mlewa watengezeeni CD wanatuaipisha rusaganya atawachana live aibu uma umeoza😢😭
@@rehemasalim4590 watu bado Elimu hakuna kabisa huko mitaani ni changamoto kubwa mnoo
@JUMANNE_10 Mungu awafanyie sahali inshaallah
kwa kweli msiba wanashindwa kujua swalat alfajr ina rakaa mbili sijida mbili
Mashallah
@JUMANNE_10 unafurahisha kwl Allah awalipe kila la kheri na atuongoze umma Muhammad(s.a.w)
Wanaokosa maswali ni makosa yao au wazazi. Namtangazi sijapenda wanajipepea kisha wanaokosa
Hahaha unampa mtu wakati wa kufikiria kwa urahisi na kufanya Akili yake iwe hapo .
Jifunze quran kusoma kuandik gisa picha yang hapo kama hautojali
Mashaalah
Kachemka uyo
Shukran
acha bahashaa
Jifunze quran kusom kusndik gusa picha yangu hapo kama hautojali
Huyu wa kwanza nimependa
ujumbe wake.
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautjali
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yangu hapo kama hautojal
Jamani mie nina swali kuzamin kipindi ni vip au nafanyaje ili nizamini kipindi ufafanuzi tafadhali adimin
Kudhamini kipindi ni kama unatangazo lako likawa linaruka kupitia kipindi husika ambacho kitatizamwa mno hivyo hata kile unacho kitangaza kikaonekana na kupata watu ambao wanahitaji kitu husika ambacho umeweka watu waje kununua, pia ni njia moja wapo ya kutoa swadaka kwakua unadhamini kitu chenye manufaa kubwa kwa ummat Muhammad s a w
@@jumanne_mlewa Asante sana
@@saay4273 karibu sanaa uwekeze kwaajili ya Allah
@@jumanne_mlewa InshaaAllah
Ndo 📺 bora Tz
Wanaume jamani wanaume mnakwama wapi 😁
Kuna watu wanachekesha lkn 😂😂 eti wengn wanajibu hamna kbs
Hahahaha
🤣🤣 yani mtihani kweli
Ukhty khadija huu mi msiba
@@siriyangu4724 yaan tusome dini
@@jumanne_mlewa 😂😂
😭😭😭😭😭
Jifunze quran kusom kuandik gusa picha yang hapo kama hautojli
Wa siyo swali hawatojuwa nimswiba
Jifunze quran kusoma kuandik gusa picha yang hapo kama hautokli
Shekhe kwani wanawake hawaulizwi maswali au shelia wanaume tu?
Rakaatayni 2 hhhhhh
Nimejisahau fadhakr nimetaja rakaatayn 2 kumbe sijda ni 4 dhuhul ni sijda 8 laasil 8 maghalb 6 inshaa 8 alfajir 4
Mtangazajj uliza swali waumize vichwa swali mboga hilo🙄
Mboga na wengi wameshindwa 🙄
@@sakinat2527 🤣
Unapoteza mda usio na sababu mtangazi unaongea sana.
Inabidi uwe kama hb wa riyadh tv znz
Shukran sanaa kwa comment Sheikh Ally Mtungunyu nitalifanyia kazi .. kwa kuanzia katika kipindi cha uislam ndani ya vitabu vya kale pia nitakua hapo siku ya Alkhamis kwa niaba ya sheikh Abdillah Massawe
@@jumanne_mlewa inshaallah ustadhi jumanne allah atukubali
@@jumanne_mlewa inshaallah tujaliwe
Nafatilia nikiwa arabun 🇧🇭
Swali lahis sana ila dah
Nne
Mashaallah
alam ya kutaka kufa Jumanne wew🤣🤣😆
Mmmh sijaelewa nifafanulie
@@jumanne_mlewa ni maneno tu hayo nimeyasikia hapo ukiyasema
Eeh, akiendesha pikipiki kwa speed sanaa
@@jumanne_mlewa 😆😄😄
Niswala yamaiti aina sijda
Swala ambayo haina cjinda ni ya maiti tu
Asanteee
@@jumanne_mlewa karibu sheikh
msiba kwa waisalm swali dogo linawashinda
punguza masihara mda mwengn mtangazaji😂
@@fat-hiyaali4723kipindi kama hicho lazima maskhara ili uende Sawa na watu uliyowakuta Ila ukisema uwe serious kipindi kitadoda