Mkristo ajiandaa na karatasi la maswali ajibiwa kwa utaratibu kimeeleweka leo ujumbe umefika

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 95

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r Месяц назад +6

    Wakristo na ubishi basi tu Allah awaongoze wajue haki waifuate

  • @mwangimuhammad-sx9hb
    @mwangimuhammad-sx9hb Месяц назад +6

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu...mazbut wallah, huyo waa kwitu ako na hasira na jazba,,,mwanakartasi

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk Месяц назад +2

      Wsalaam warahmatullahi ta'ala wabarakaatuh

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 Месяц назад +8

    Wengine wanakuja kuuliza maswali kwa masihara na jazba tu lkn wanapewa elimu bure na walimu wetu na Allah ni shahidi kwa hayo..

  • @MashoAbdi-m6n
    @MashoAbdi-m6n Месяц назад +6

    MashaAllah Islam is perfect

  • @Adm9464
    @Adm9464 Месяц назад +8

    This is space is for people to learn from each other. Please don’t give fursa kwa watu kama huyu. They come to disrupt muhadara.

  • @Aisha-jw7jf
    @Aisha-jw7jf Месяц назад +4

    Masha Allah tabarakallah ALLAH awalipe kila la kheri tunawapenda saana kw ajili ya ALLAH

  • @AbdullahKalicha
    @AbdullahKalicha Месяц назад +4

    Keep up with good work team mashaallah👌👌👌

  • @chande2k250
    @chande2k250 Месяц назад +7

    Hii ndio Shida ya wagalatia wanauliza maswali wakijibiwa wanakimbia tuendelee

  • @mohamednurmohamed8812
    @mohamednurmohamed8812 Месяц назад +4

    Mash ALLAH leo nimewahi safu ya kwanza ALLAH awabarik Ustadh Hassan Ustadh Salim Ustadh Ali kijana wetu also camera man ALLAH awazidishie kheri afya barka na waislamu wote amiin❤❤❤

  • @mahmudmugarura2175
    @mahmudmugarura2175 Месяц назад +3

    Walaikum salam warhmatillah wabarakat

  • @user-wm1di2pl8r
    @user-wm1di2pl8r Месяц назад +3

    Maashalah mafundisho mazur kabisa .ila kuna wengineo wanakuja kubuy time Tu msiwatolarate watu Kama hao kuna wengi wanahitaj ilmu

  • @abdallasuleiman8785
    @abdallasuleiman8785 Месяц назад +6

    That guy with red jacket is not even there to learn. Ni kama munateta. Those kind of people you should let sheikh Salim to deal with them. Sarcasm will serve him better.

  • @josemu870
    @josemu870 Месяц назад +1

    Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni sana sana kwa mafundisho yenye utaratibu yani mawaidha ya Koran

  • @kennedymanyonge6170
    @kennedymanyonge6170 Месяц назад +5

    Ubishi bila maandiko ,,time waster. Huyu hana lolote

  • @user-te3ir8yh6k
    @user-te3ir8yh6k Месяц назад +4

    Assalam aleikum,Allah awazidishie subra,huyu alie kuja na maswali...aina hii ya watu naomba umuulize amekuja na majibu yake mfukoni ama amekuja kujifunza

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh inn shaa Allah

  • @ibnusleyyum9743
    @ibnusleyyum9743 Месяц назад +1

    ماشاءالله...بارك الله فيكم

  • @funnyprank3098
    @funnyprank3098 Месяц назад +2

    Allahu Akbar

  • @bahsansheikh6042
    @bahsansheikh6042 Месяц назад +2

    MashaAllah walimu wetu mumerudi tena viwanjani baada ya siku mob

  • @daawaonestreetassociation.5702
    @daawaonestreetassociation.5702 Месяц назад +2

    MashaAllah

  • @Adm9464
    @Adm9464 Месяц назад +5

    Huyu ameandikiwa hizo maswali na pastor yake who doesn’t want to the muhadara. He is asking who God is. Ajabu.

  • @hythamhashiem4458
    @hythamhashiem4458 Месяц назад +2

    Huyo alo vaa red ame kuja na maswali ili apate kujuwa lakini akielezewa hujifanya yeye ajuwa sana kuliko mwalimu

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Месяц назад +1

    Allah ampe afya elimu na hekma ili watu wajua ukweli na kuufwata

  • @AlhajiSaidi-uo8zl
    @AlhajiSaidi-uo8zl Месяц назад +2

    mashaallhu

  • @salhkasmm558
    @salhkasmm558 Месяц назад +3

    Huyu kodi jekundu alisema yesu ndio mungu na sasa anasema yesu ana mungu hawa makafiri wakikristo wamepotezwa kweli akili zao.

  • @estherwamaitha1006
    @estherwamaitha1006 Месяц назад +1

    Masha Allah

  • @josemu870
    @josemu870 Месяц назад +1

    Allah u Akbar

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 Месяц назад +1

    Wakristo wengi wana pepo wamezoea kelele kanisani hawana usitarubu wengi weshalaniwa na Mungu ndiyo sababu hqwaelewi

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Месяц назад +2

    Uyu red cot anasema Mungu amezaliwa . Kwan Mungu anazaliwa?hiyo sifa si ya Mungu katu.hazai wala hajazaliwa subhana Llah

  • @kariukihassandawah447
    @kariukihassandawah447 Месяц назад +1

    Huyo wa red jacket next time atakaa bench inshallah

  • @bausifarouk1798
    @bausifarouk1798 Месяц назад +1

    Back in action dr salim ngugis team

  • @rahmaali6662
    @rahmaali6662 Месяц назад +3

    Wewe kijana wa kwanza ulovaa kikoti chekundu next time ukija kuwauliza walimu zetu maswali uje na heshima ...

  • @Noorein-ws8wk
    @Noorein-ws8wk Месяц назад +1

    Alhamdulillah ❤❤❤

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Месяц назад +1

    Mungu n muumba wa kila kitu hazai wala hazaliwi yeye ametakasika na upugufu wowote

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss8485 Месяц назад +1

    Hawa watu wengine wanakuja kupoteza mda tu😢😢

  • @mbarakadau7345
    @mbarakadau7345 Месяц назад +2

    With due respect brp Salim & coy tafuteni msomaji mwingine huyo dogo does not fit for the job

  • @Alithoya-qr7di
    @Alithoya-qr7di Месяц назад +1

    Waacheni waulize mwaswali yoyote ya dini

  • @faridbashuu
    @faridbashuu Месяц назад +2

    Assalam aleikum
    Wakristo ni funny Wanauliza Muislamu Yesu ni Nani Kwa Biblia !! Badala wao watufunze 🤣. Hawako sure... Ni vile wamekemewaa na kutishwa kanisani... Maskini wengiii hawajui chochote

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh kabisa ila hawajui na hawajui kama hawajui

  • @user-rc7oi2hp8l
    @user-rc7oi2hp8l Месяц назад +1

    Alisema yesu n Mungu mara n mwana confused aki inasikitisha

  • @ZakiyaAnwar-w1r
    @ZakiyaAnwar-w1r Месяц назад +2

    Asalam aleikum warahmatulah wabarakatuh

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh

  • @collinstogoch761
    @collinstogoch761 Месяц назад +2

    Sauti hakuna

  • @Jingajinga64
    @Jingajinga64 Месяц назад +4

    Assalamu alykum ikhwan. Kumekucha!! Leo chizi fresh yumo kwa comment section. Kesha andika comment yake ya uchochezi akitarajia kama kawaida kuzusha vurumai. Kama ilivyo dasturi mpuzeni maana hiyo ndio dawa ya mpuzi.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh kabisa

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Месяц назад +1

    Sasa ukiulizwa yule anayesema hajui siku ya Kiama itakuwa lini utasema ni Yesu kisha wewe wewe utasema Yesu ni Mwenyezi Mungu..?????

  • @mwanaidiissa10
    @mwanaidiissa10 Месяц назад +1

    Miss u jamani mashekhe

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Месяц назад +1

    Mtume Muhammad ni mkweli bila shaka. Yeye ndiye ameerevusha watu wajue kila jambo muhimu kuhusu Dini. Bila yeye hatungemjua Allah wala hatungejua jina la Mtume Isa bin Mariam. Hawa akina Daniel wangeendelea kutuhadaa eti jina lake aitwa YESU....

  • @dahiruu
    @dahiruu Месяц назад +2

    Huyo wa kwanza anataka tu ku waste time yenu sio kuelewa

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Месяц назад +1

    Huyukaka.Eti.kwamujibu.wa.kura..Anamaanisha.Qruan.🤣🤣

  • @mohagurey2214
    @mohagurey2214 Месяц назад +1

    Mahali hawa watu wanawapotezea wakati ni kuuliza swali kisha kutaka kujibu wenyewe, you should not allow that

  • @user-cb2vg1kd7u
    @user-cb2vg1kd7u Месяц назад +2

    Ss wakirisito atusome Bible sukuran Kwa mafunzo nimeanza kuelewa Bible

  • @mutomubaya
    @mutomubaya Месяц назад +1

    We Daniel wi mukamba wa va ? Ni kyau kiutuma utaelewa uvoo wa Allah na ni wo mulungalu....?

  • @JAMALTWALIBBAKARI
    @JAMALTWALIBBAKARI Месяц назад +1

    Shida ya wakristo wengi hawaijui bibilia na hawaisomi na chengine nimeona ni Kiswahili pia kina wapiga chenga ..Wana tafsiri bibilia sivyo

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад +1

      Kabisa ila wataelewa tu inn shaa Allah

  • @Sal.0
    @Sal.0 Месяц назад +3

    Huyu Mkamba Daniel ni kama Wambua, both ni Time Wasters, na kichwa zao haziko sawa!
    Huyu Daniel ame waste 30mins, therefore Ban huyu WaZimu!
    Na Isaiah 9:6 SIO utabiri.!
    Na hawa wana tumia hio ku WASTE TIME!
    Therefore do NOT entertain this Verse from these Time Wasters!
    Fukuza wao,waki shikilia hio Verse!
    TabarakAllah Team
    TabarakAllah Twam

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад

      Inn shaa Allah hilo tutarekebisha inn shaa Allah

  • @dahiruu
    @dahiruu Месяц назад +1

    I hate the first man with all my heart anakujanga tu kutafuta makosa sio kuelewa

  • @dulividuli5237
    @dulividuli5237 Месяц назад +2

    Et Biblia ya Waislamu imprimanto😂😂wakristo wanakataa vitabu vyao sas😂😂😅

  • @nayef3903
    @nayef3903 Месяц назад +1

    Asalam aleykum hassan Hawa wakupoteza time nyingi usiwaruhusu juu wanakuwa na mchezo ili wale wasikilizaji wasijue ukweli. Hassan hawa wanamchezo wakikuona wewe wanajua utawaruhusu mda mwingi ndio wapate kupoteza wakati. Kuwa kama salim juu yupo strictly kwa hao wanapoteza mda juu clip nzima itakuwa sio vyema kuona mtu moja anapoteza mda zaidi ya nusu saa. Na huyo jamaa sio mara ya kwanza kuwa hapo na kupoteza mda.

    • @salimdaawah123
      @salimdaawah123  Месяц назад +1

      Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh hilo tutarekebisha inn shaa Allah

  • @user-hy5zd5rn6r
    @user-hy5zd5rn6r Месяц назад +2

    Adam aliumbwa ijumaa? Siku ya kiyama itakua ijumaa.Without lies Islam dies

    • @Adm9464
      @Adm9464 Месяц назад +4

      You need to provide evidence. Not just talk . Muslims walk the talk. Just give us one verse that says Christianity is a religion? What prophet was the Bible given? When was it revealed? Who revealed or wrote it In what location? Once you do that we can talk about specifics in the scriptures. Do your homework otherwise if you don’t know just be quiet . Usijiebishe kama hawa

    • @dulividuli5237
      @dulividuli5237 Месяц назад +1

      Twambie ww basi Adam aliumbwa lini na Kiyama kitakuwa lini?

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 Месяц назад

      ​@@dulividuli5237mwacheni huyo nathan hiyo ndio kazi yake

    • @Jingajinga64
      @Jingajinga64 Месяц назад

      ​@@dulividuli5237achaneni nae huyo nathan ndio kazi yake

    • @Adm9464
      @Adm9464 Месяц назад

      @@dulividuli5237 now that you can’t proof your own religion, you are asking something different. It’s okay bro because not one pastor can answer those basic questions and if you can’t answer those basic questions then you cannot make any commentary or argument for anything . We are in the digital world and the lies you have been told for a very long time is over . That’s why so many people are learning the truth .