ELIZA HAJAAMINI MACHO YAKE ||HELLO MRRIGHT TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 фев 2024
  • Basi tena inaonekana siku Eliza akipata chaguo lake ndo na kila mtu anamtaka huyo huyo
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 16

  • @user-ju3nm8oc1c
    @user-ju3nm8oc1c 4 месяца назад +1

    Daah! Kweli Eliza unakazi, kupendwa ni kuzuri zaidi kuliko kupenda. Waliokupenda umewakataa, ona uliempenda anachagua mtu mwingine. Pole sana Eliza, endelea kusubiri atakuja unaemtaka.

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 4 месяца назад +1

    Eliza😂😂😂😂 utazeeek wew hapooo

  • @thomas004
    @thomas004 4 месяца назад +3

    Eliza umalaya tu, Kwanza limezeeka ! Liende huko likasubiri wazee wa Vita ya tatu ya Dunia, wakitoka vitani walioe

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 месяца назад +1

    😂😂 Eliza kawa mweusi kwa kukosa mume

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz 4 месяца назад +1

    Mpaka atafia hapa bila kupata

  • @renatusemmanuel1840
    @renatusemmanuel1840 4 месяца назад +2

    Chiz Huyo Eliza🏃🏃🏃

  • @restypeter1141
    @restypeter1141 4 месяца назад +1

    Huyu Eliza si kasema mwislam ss mbona anapenda Hadi wa christo

  • @MarthaChima-ki4ko
    @MarthaChima-ki4ko 2 месяца назад

    Eliza Hana maneno sana ndmana😅😅😅

  • @user-ek1wi8ly4q
    @user-ek1wi8ly4q 4 месяца назад

    Hahaha 😂 elizaaaaaaa

  • @user-wt9gs5qz5t
    @user-wt9gs5qz5t 4 месяца назад +1

    eliza mpeni ajira hapo maana hajielewi

  • @mery-im8ze
    @mery-im8ze 4 месяца назад +1

    Hahaha kumbe chinziiieeeee😂😂😂

  • @farajangwema4663
    @farajangwema4663 4 месяца назад

    Uelewa wa Eliza ndio tatizo Kwa sababu anapokuja Mr right hakuna anaejua kuwa Eliza amempenda au hajampenda, Sasa anaejua kuwa moyo wako umempenda au hajampenda ninani hayo ni mashindano Kila mrembo ana haki ya kumpenda Mr right Sasa Eliza huo mdomo unatoka wapi halafu hapo dada unajichoresha tu kumbuka Kila Mr right anakuja hapo anakuwa amesha soma tabia zenu Sasa na huo mcharuko wako might right gani atavutiwa na wewe wanaume hawangalii Sana muonekano kinacho mata Kwao ni tabia Sasa wewe tabia yako ndio unaionyesha Kwa mwendo huo dada utazeekea hapo. Usipobadilika.

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 4 месяца назад

    Naomba Hiyi Sikujuwa Mwisho Wake Vipi Nitapata 2

  • @user-cj8xp9kc3p
    @user-cj8xp9kc3p 4 месяца назад

    Eliza atoke tu hapo haeleweki hata