SHARON ACHAGULIWA BADALA YA FLORA ||HELLO MR.RIGHT TANZANIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 сен 2024

Комментарии • 24

  • @Jullieth-ly5jr
    @Jullieth-ly5jr 6 месяцев назад +4

    Nyie wadada mnaacha wanaume wakulima na trekta mnataka wabeba vibegi kweli

  • @mwanaurujuma9254
    @mwanaurujuma9254 7 месяцев назад +3

    😂😂wanaacha wanaume wenyew akili na features wanaenda kwa vibarobaro vya beba poch mmmh

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 7 месяцев назад +9

    Du wanawake mnapendaka wana umme wasio wafaa kabisa.sasa huyo kijana kweli si niwakwenda kuchezeya mtu ?? Bado hajawa wakujenga future bado kitoto kitoto mwana umme wa kubeba kipochi mmm

    • @DorcasAmos-mv8cy
      @DorcasAmos-mv8cy 7 месяцев назад

      Hahahahahaa

    • @faithkemunto6258
      @faithkemunto6258 7 месяцев назад

      Wacha mtu achezwe arudi stage upya😂

    • @ramadhaniharuna5441
      @ramadhaniharuna5441 7 месяцев назад +1

      Ila wapo vijana wadogo wana future nzuri sana kuliko watu wazima,
      So usiusemee moyo wa mtu.

    • @neemaneychricious6493
      @neemaneychricious6493 7 месяцев назад

      Hahahahahahahaha daah

    • @Jullieth-ly5jr
      @Jullieth-ly5jr 6 месяцев назад

      Hamna Cha future apo zaid zaid kufundishana utozi wa kubeba vibegi

  • @faridaahmed4013
    @faridaahmed4013 7 месяцев назад +3

    Sasa kimwanaume gan hicho khaaa!🙌😅

  • @christineneema3008
    @christineneema3008 7 месяцев назад +4

    Mmmh 😂😂😂😂nitabu tupu

  • @SaxBoyMusic
    @SaxBoyMusic 6 месяцев назад

    Oooooo pwsana lt sax boy musici

  • @annazacharia3681
    @annazacharia3681 7 месяцев назад

    acha niseme hichi huyu kaka bado n mambo meng japo wanasem usimtafasil mtu Kwa physical appearance but for reality hua Kun kaulwel ndan ake

  • @user-lk1ru4kj6r
    @user-lk1ru4kj6r 7 месяцев назад +1

    No one today

  • @emnanuelimtui1805
    @emnanuelimtui1805 7 месяцев назад

    Ka jamaa kameona tako 😅😅😅😅😅😅

  • @shangweyussuf640
    @shangweyussuf640 7 месяцев назад

    Duh!!!

  • @gracemwakihaba9353
    @gracemwakihaba9353 6 месяцев назад

    Bora hujachaguliwa

  • @user-su7uo3eu5b
    @user-su7uo3eu5b 7 месяцев назад

    Ya nini wenye wanaume nawo wanachagua vituvinzuri

  • @jacoblaban2589
    @jacoblaban2589 6 месяцев назад

    Mnachagua mtu wa hovyo hivo??

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 7 месяцев назад

    Hivi wanawake wa saivi wanaangaliaga nini kwa mwanaume..kijimwanaume gani hicho

    • @omanoman2044
      @omanoman2044 6 месяцев назад

      Lbda pesa kam anazo

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 6 месяцев назад

      Kila mtu na chaguo lake

  • @fatmakhanii1676
    @fatmakhanii1676 7 месяцев назад

    Jamani kwani huwezi kutuma voice humu 😢

    • @brunoh_bx
      @brunoh_bx 6 месяцев назад

      voice ya nn jaman dear😊

  • @user-rk3wt5hl7l
    @user-rk3wt5hl7l 7 месяцев назад

    Naomba namba yako gara b