Unaona ni bora kuthamini mademu kuliko washikaji kisa chombo, kweli? Wewe unakwenda Magomeni na washikaji wanakwenda lakini unawapeleka mademu Magomeni. Acha hizo!
@@missdija4959Ukweli ndio huo dada,unaweza saidia mwanaume na mwanamke lakini mwanaume hawezi kusahai wala kukudharau ila sio wanawake ..kwanza mwanamke akikusaidia mtaa mzima lazima wajue
joti we n mchekeshaj wang no1 aiseeh nakukubali munoooo;!!!!
Love it from Kenya
cakesoap oselu Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
Eti gari so kama makalio sio kila mtu anaweza kua nalo :D
Mombasa love
Walau Leo nimewah wah😂😂😂😂😂😂
Oyyyyyy ijumaa a hyo tupunguze stress na hii korona na tukumbuke kumuomba mungu atuondoshee hili janga la korona na pia tuchukue tahadhari
Nakubali kaka joti namuona dada yangu samia kutoka muleba kagera hongereni sana
Ntakuvuta na tambi lako😂😂😂👍
MDEE BOY Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
Poleni sana wafiwa wote wa rais wet ambae hakujali kit wa ukabila wwt
Mashaa-Alaah Kihoga hunifurahisha kwa vituko vyake, mimi ni Shabik wako
Laana ya Masela, laana ya Wana🤣🤣
Nikajua ntakuwa nimewai et but nishai analalaga na bundi sio kwa nuski hizo hahaha hahahaha hah😂😂😂😂😂😂😂😂😂mademu noma
Hahahaha nishai Kaona mademu Eti mmenijuaje hahaha
Namkubali sana huyu mpiga picha ...jamaa anajua.....keep it up men
Sawa kaka unatufunza vingi asante
Joti bnaaaa daaah unajua sana mze adi unakelaaa
Mnatisha joti na wanao wakina kipande hapo saluti zote mnajua team joti
😂😂😂😂😂😂 wale wana wako wapi 😂😂😂😂
safi sana mzee wa magomeni
Riziki Chitanda Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
Magomeni ime mpoza 😂😂😂😂
Huyu mjomba mshezi kweli😅😅😅
Joti mkali wao😂😂😅🔥🔥
Awesome broh
@@@@@@@......
😂😂😂😂........ Nmezarau wana 😂😂😂😂😂😂😂
Joti 😂 una wakataa wana
Nawakubalii sanaaa wanangu
Cjui wanakimav gar imezima mara 3😂😂😂🙌🙌🙌
Manz mweusi mzur sana
😁😁😁.. TOTOZ ZIMEKUPONZA MZEE BABA... UMEWADHARAU WANAAAA....
Milikii chombo umelkii mademu 😆😆😆😆😆
Hahaha ety eeeh nimedhalau wana...love u joty
😂😂😂 Kweli usizarau wana
😂😂😂😂ila joti daaah... Wanakuona kama mwokoz mjomba nishai 😊😊
"Dah kuna watu mnalala kwa mitandaoooo😂😁😀😁
😂 😂 😂 ety mmenijuaje
😂😂😂magomeni ya mbezi kimara
Wanimaliza kaka
Tuko pamoja we si fundi😁😂😂😂😂😂
Nomaaaah xanah mkuuuh
Daaaaah mnatisha
Alway proud of you guys 💕💕 eti mtu mweye pesa zake mjini lol😭😭😭😭😫😂😂😂
Princess Nicole Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
ruclips.net/video/vi-rokF1EGk/видео.html
👆👆MAKABILA HAYA WASICHANA WAKE WAREMBO SANA😍
Mwanangu ww snich😂😂😂😂😂😂😂😂
Khaaaa nimekua wa sita😭😭😭😭nipeni like zng team popo kabla cjawafuata huko mlipo,🤣😂😂😂
sulley sabri hahahahaah
sulley sabri Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
@@IlhaamMarshed nimesha subscribe mamii tuko pamoja
Nawakubar team nzima ya joti
No one from Kenya wapi likes sa kipande
Kk ww noma
😂😂😂😂 fav one Joti
Watu amlali mh atali
Lll
Miliki chombo umiliki watoto🤣🤣
Daniel Marthias Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
Gari yenyewe na A lakini mbwembwe kibaao daaa🤣🤣🤣
Gar sio namba wewe
Kumbe gari yenyewe kimeo
@@estaryusuph2068 acha kabisa
@@fanuelyshemshuza1985 kaumbuka nishai sasa
Da nawakubali sana
Nimeipenda hio
Hahahaaa watu wamiliki makalio daah mmmh ,haya liambie kalio lisukume gariii
Nishai ..... Nomaaa
Nampenda Joti anajitahidi sio mbaya ila kwa mimi tangu mdogo nampenda Rip Charlie Chaplin wa 🇬🇧
😂😁😀😀😀jisukume mwenyew
Komedi ya leo nimeikubali zaidi, inafundisha....
Nooomaaa
Ntakuvutaa na tambi lakoo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Kweli usidharau wana 🙆🏿♂️🙆🏿♂️
Leo we mshenzi umenichekesha😁😁😁
Tume miss hami jay
Nakubali san
Brother ww noma
mliwa huliwaaaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤸🤸🤸
Sopa handsome jamani 🥰🥰🥰
Hat kipande
2:15 hahaha haha waenda wapi mjomba unahangaika kweli kweli 😂😂😂😂😂😂
Duuh nimeu measure muhogo wa Kipande dadeki unaonekana uko vzur mnene hatareeee😋🙈🙈
jot mshenz mmesikia msi miliki makalio kila mtu anayo ( kama kuna mtu kasikia gonga like
Siku skiya
Somo ..usijemdharau mwanaume mwenzio kisa wanawake,hawana msaada zaidi ya kukurudisha nyuma ,wanaume ndio watafanyika msaada katika maisha yako.
Sio wanawake wote mbona mnaishi kwa kukariri vijana😂 mwingine anaweza kukuinua ulipo kaka
@@missdija4959mwambie uyo
@@missdija4959Ukweli ndio huo dada,unaweza saidia mwanaume na mwanamke lakini mwanaume hawezi kusahai wala kukudharau ila sio wanawake ..kwanza mwanamke akikusaidia mtaa mzima lazima wajue
wanawke jamni Hamuna fadhila aysee
Aaaah fresh 😀😀😀
Shabiki sugu wa Samia!!! anafahamu kujigeuza kulingana na nafasi amepewa kuigiza!!
Love it from india tujuane
Hahahahaa! Nakukubali saana mwana
Kama unamkubali joti gonga like hapa
Milikini Makalio yenu 😆😆😆💪🏽
Nice joti
Haha Haha zarau haifai
Joti is like Lee Soo Geun (S.Korean comedian)😂😂😂
Tulio angalia leo gonga like hapa twende sawa
Safi Sana
Kaz nzur had raha igiza kama hiz ndugu utaongeza watazamaji
Mla huliwa hahahaha
Wale wana wako wap gonga like kwa Nishai 😂😂😂😂
U made my day dear😂😂
jisukume mwenyewe braza.....lol
we miss kipande and sopa bring they back please.
Fuzo kubwa sana
Sema Hao Wana nimewakubali nishai
Ya leo imetisha 😀😀😀😀
😂😂😂 kule ulitukubali
😂😂Masnich vpiiii
🤣🤣🤣🤣hata aibu huna nishai🤣🤣
🤣🤣🤣wana hawaendi magomeni hiyo hahaha
Iyo noma kweli joti
Kama unakubali kua #joti,_namba1 comedy TZ gonga like yako
Magomeni ya hiviii🤣🤣🤣😂😂😂
Kwaiyo mnanikataa 😂😂
Serge Vanny dj Mapishi ya biriani ya samaki ruclips.net/video/eCCUYuWdY2M/видео.html naomba subscribe tafadhali
Hahahaha nimedharau wana!
Mla huliwa haaaahaaa
Soppa 🙌🙌🙌😂
Kumbe kimeooo!!!!!🙄🙄😜😜
Hawachelewi kupondea japo walivyopewa lifti walichekelea