MBUNGE ANATAKA TENA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 фев 2025
  • Kipindi hiki kila mtu anakufa na chake, maana hata wananchi wamekua wajanja...

Комментарии • 549

  • @samchacha2320
    @samchacha2320 3 года назад +26

    Kicheko cha Sopa aki-act as mtu mwenye pesa uhakika sana, jamaa hakosei
    Big up SOPA

  • @Keymambo_
    @Keymambo_ 4 года назад +6

    Big up sana joti!!!!!!!!joti baba lao%%%%%%%%%%

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 4 года назад +270

    Kama unakubali sisi wa Kongo🇨🇩 pia tunamkubali sana joti, tupe like jamani😁👍🏾

  • @misapinamiswi5751
    @misapinamiswi5751 4 года назад +5

    Hahaha joti hiyo nguo balaaa
    Mama dame Kenya tunakupenda tembea
    254...

  • @djbee257
    @djbee257 4 года назад +33

    Love from Burundi 🇧🇮 🙌🏾🙌🏾🙌🏾 #runtowndjs

  • @johnnabie5445
    @johnnabie5445 3 года назад +5

    "Kila Mbuzi anakula kwa urefu wa kamba lake." 😂😂😂😂😂😂

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 4 года назад +3

    Mambo ya takrima hayo,et ikionekana n rushwa ila icpoonekana ni takrima,kunawatu wanatambaa kabsa😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rashidahmed7504
    @rashidahmed7504 4 года назад +34

    yani sopa umeuwa baba nakupenda buree chukuwa hilo 💋💋

  • @starridge3615
    @starridge3615 4 года назад +22

    From Kenya likes za kuchelewa ufike

  • @shantalismailhassan9878
    @shantalismailhassan9878 4 года назад +10

    "Kukuangusha inatokana na uzito ";🤣🤣🤣 jamani joti hufai.

  • @doreenmushi3859
    @doreenmushi3859 4 года назад +32

    Dah leo nmewah kwa best comedian in east africa

  • @jessicabrown5885
    @jessicabrown5885 4 года назад +9

    Napenda mbunge anavyocheka😁

  • @babasandra638
    @babasandra638 4 года назад +429

    Mm ni mkenya ndio maana sipati likes kwa kila comment

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂eti tupo tumechakaa kama hivi😂😂😂😂😂😂

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 года назад +27

    Na Mimi kanifanyia hv hv 😂😂 inuka Baba kawa mpole 🤣🤣🤣

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 4 года назад +3

    Uzuri wajumbe na wao wakafanya kweli🤣🤣😂😂😂😂

  • @abdiaziz2978
    @abdiaziz2978 4 года назад +62

    My dream Car InshaAllah may Allah make my dreams come true

    • @khizralghawy9489
      @khizralghawy9489 4 года назад +4

      😂😂😂😂😂 fanya mema uende peponii hizoo ni zakupita

    • @affaanothmaan6287
      @affaanothmaan6287 4 года назад +2

      Wakati unaliwaza hili gari, usisahau kuliwaza na kaburi,,,

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 4 года назад +7

      @@khizralghawy9489 hizi fikra ndo zinatufanya tunatawaliwa kiuchumi sisi waislam...Allah anasema tuitafute pepo kama tunakufa kesho na tutafute mali kama tunaishi milele..ukiwa maskini utafanya uchafu mwingi sana na utashindwa kuinua jamii yako ndo maana ikawekwa zaka kwa matajiri sasa jiulize kama hakuna utajiri zaka itatolewa vipi?

    • @feyzalyusuph14
      @feyzalyusuph14 4 года назад +6

      Bro pambana na Allah atatimiza hitaji la moyo wako pia hakikisha una mshukuru kwa kila kitu kufanya hivyo utakua umetoka kwenye kundi la wanaokufuru.

    • @nashaissa3804
      @nashaissa3804 4 года назад +1

      Aamin

  • @setinswila9499
    @setinswila9499 3 года назад +2

    Daa sopaa ""eeh nmeshangaaa zaman ulikuwa na magagaa mwili wotee dahh😂😂

  • @alpherhaule179
    @alpherhaule179 4 года назад +2

    Joti baba lao la comedy tza naomba like za kutosha tuuuuuuuuuuuuu🤣

  • @kelvinjohn6851
    @kelvinjohn6851 4 года назад +9

    Ila Joti anavovaagaaa 😁😁😁😁😁😁. Dah!

  • @CertifiedStoic
    @CertifiedStoic 4 года назад +12

    Dah Sopa ni bonge moja la supporting act. Anajua sanaaaa 😂

    • @omaryrashid1873
      @omaryrashid1873 4 года назад +2

      Kwel yuki poa sna et wananchi wamekufaaa

    • @CertifiedStoic
      @CertifiedStoic 4 года назад +2

      Omary Rashid Ni bonge la comedian mshkaji.. soo natural !

  • @simonmahundo1735
    @simonmahundo1735 4 года назад +4

    Safi sana umegusa home Ulanga MALINYI yetuuu

  • @John_Msambya
    @John_Msambya 4 года назад +54

    Wewe ndiyo unanifanya niwe Furaha 😂😂😂

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 4 года назад +5

    Hahahaa Kama unavyotuona mmoja mmoja km matone ya mvua😂😂

  • @NungwanaCastro
    @NungwanaCastro Год назад +2

    Mda wote naikubali hii clip😂😂😂

  • @samsonsimon7882
    @samsonsimon7882 4 года назад +20

    Kumbe joti ni mnafiki yupo kimaslahi!!!km umenielewa gonga like

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 4 года назад +5

    Kwahyo ukificha ni takrima ila ukitoa waziwazi ndio rushwaa..😂😂😁😁😁 uhuwiii 🙌

  • @jonasmongi7811
    @jonasmongi7811 4 года назад +40

    Leo nimechelewa ila sio mbya joti n best comedian in east africa 😂 😂

  • @salehechuma3970
    @salehechuma3970 4 года назад +1

    Mama Damme umetisha upo kwenye ndoa ya Nane hiyo.....Hahahahahahahaha

  • @sabinistephano3207
    @sabinistephano3207 2 года назад

    Mkovizuli sana kk zangu endeeni ivoivo munguata wabaliki

  • @StarBoy-oi7vx
    @StarBoy-oi7vx 4 года назад +109

    Hivi hizo likes mnapata Vp mbona me sipati au nakosea wap jamen😢😢

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 2 года назад +1

    Nishai the Great one💚

  • @gideonsmzuka596
    @gideonsmzuka596 4 года назад +2

    Big up Jot unafanya kukumbuxha jamii wachague viongoz wanao faaa

  • @lareineminah1353
    @lareineminah1353 4 года назад +4

    Kuku angusha inategemeyana na uzitoo🤣🤣🤣🤣🤣

  • @adiahassan2416
    @adiahassan2416 4 года назад +41

    Washabiki wa joti tujuane hapa🤣🤣

  • @watakaniitaje1215
    @watakaniitaje1215 4 года назад +3

    😂 😂 😂 😂 Kweli trh 28
    Mwendo WA kujiajiri tu

  • @samirimunguawazidishiekher7319
    @samirimunguawazidishiekher7319 3 года назад

    Kwani izo like mnazo ziomba mnazipeleka wapi Maana atuwaelewi mmecharuka kuomba like

  • @fatmafetty4117
    @fatmafetty4117 4 года назад +2

    Sopa 😂😂😂😂😂eti watakua wamekufa au wapo🤣🤣🤣🤣

  • @severinatyphone6122
    @severinatyphone6122 4 года назад +4

    KAMA YA GEITA 🤣🤣🤣🤣🤣 KATOMA MTUSAHAU!! DAA NANI ATAISEMEA JAMANI!

  • @daktarij381
    @daktarij381 4 года назад

    hii nzuri aisee ujumbe umefika

  • @tausihasheem5051
    @tausihasheem5051 4 года назад +4

    Hyu n dereva ake hyu n dereva ake...joti kanichekesha wallah🤣🤣🤣

  • @jumamecha
    @jumamecha 4 года назад +2

    Joti wewe mukali big up sanaaa

  • @kenmute7737
    @kenmute7737 4 года назад +1

    Hahaaa..wee unakuja na kushikashika miguu kuna watu wanatambaa kama kenge 🤣🤣🤣 wapi like ya joti kama unamkubali..

  • @tz7976
    @tz7976 4 года назад +1

    Kukuangusha inategemea na uzito🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 joti hatariiiii

  • @bmbyamstz9408
    @bmbyamstz9408 4 года назад +2

    Zidisha kutupa raha kaka😁😁

  • @mahmoudaziz4717
    @mahmoudaziz4717 4 года назад +3

    Mzuri sana nimeipenda hii Safi joti😀😀😀😀🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿.

  • @pauljosephmashaur3118
    @pauljosephmashaur3118 4 года назад +5

    Leo ndo wametoa kitu poa kabxaaa like twende sawa

  • @eliarichard9218
    @eliarichard9218 4 года назад +2

    Joty bhan umetisha Sana'a na sopa.ila kipande simuoni hapo daaah ela yakeeeeee.

  • @mohamedimustafa4540
    @mohamedimustafa4540 4 года назад

    Kazi nzuri big up wote

  • @producermaiko1762
    @producermaiko1762 4 года назад

    Malinyi uranga ahahahahaha😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃😃nyumban uko ifakara mbele ukooo

  • @tembomnyamaOG
    @tembomnyamaOG 4 года назад +131

    Tulio wahi Naombeni Likes5 tu.... Zinatosha 🤓🤓🇹🇿🙏

  • @michaelramadhan9466
    @michaelramadhan9466 4 года назад +3

    Je
    *1. Unasumbuliwa na Presha ya kupanda (B.P) ?*
    *2. Unateseka na Vidonda vya tumbo (Ulcers) ?*
    3. Una U.T.I sugu ?
    4. Umepungukiwa na Damu mwilini ?
    5. Una Kisukari (Diabetes) ?
    6. Umepungukiwa na Kinga ya mwili ?
    7. Una tatizo la Homoni (Hormonal Imbalance) ?
    8. Unashida ya kupata maziwa ya mtoto kwa mama anaenyonyesha ?
    9. Una shida ya mifupa ?
    10. Una aleji (Allergy) ?
    11. Una matatizo ya macho ?
    12. Una mafuta mengi mwilini / lehemu (Cholestrol) ?
    13. Una shida kwenye mmeng'enyo wa chakula tumboni (constipation) ?
    14. Una tatizo la nguvu za kiume ?
    15. Je, mayai ya uzazi hayapevuki kwa wanawake?
    16. Huwezi kupata mtoto kwa shahawa kutoka ikiwa nyepesi mno kwa wanaume (low sperm count) ?
    Piga0629280027
    WhatsApp+255629395655

  • @thierybien7051
    @thierybien7051 4 года назад

    Uyu jamaa cheko yake ya kitajili inaniacha hoi kabisaaa 😀😀😀😀

  • @claraedwardmalingumu3565
    @claraedwardmalingumu3565 4 года назад

    Baba wawili weeee unanifanya nisahau shida zangu zote za mchanaa,suluali hiyoooo baba wawiliiii mie hoi ,mungu azidi.kukupa.ubunifu wako.mzuri mnoooo

  • @hopechami521
    @hopechami521 4 года назад +6

    Vitu iv nlivipata kwenye ndoa Yang ya 1saiv nandoa 8,😃😃😃

  • @abdallahmohammed7947
    @abdallahmohammed7947 4 года назад +12

    United states apa California nawaona gonga like hujachelewa

  • @franciskomba4144
    @franciskomba4144 4 года назад +1

    Suti ya mbuge imechanika nani kaona 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @fadhiliignusy3790
    @fadhiliignusy3790 3 года назад +1

    koti la mbuge sopa hapo nyuma ya bega 😂😂😂😂

  • @naomirobert4867
    @naomirobert4867 4 года назад +2

    Nan ameckia mama Dame anawakilisha mbele 😁😁😁😁😁😁😁

  • @samytexas
    @samytexas 4 года назад +5

    Man so creative 😂👌🏽🤲🏾🤝🔥

  • @zuwenaalamin8985
    @zuwenaalamin8985 3 года назад +2

    🤣🤣🤣🤣joti bhana

  • @harryvice77
    @harryvice77 4 года назад

    Broooh joti awajamaa zako skuizi umeshawaambukiza ugojwa wa kuvunjambavu jamaa alipoanza apo mwanzo kwa kucheka kanivunja mbavu sanah

  • @kelvindidas3612
    @kelvindidas3612 5 месяцев назад

    Naona kaona koti la mbunge limechanika 😂

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 4 года назад +3

    Joti ukitoaga kitu kizuri nakosa hata kukomenti. 😂😂😂😂 eti mvua ikinyesha 120 moaka ndani

  • @berthamakortha8387
    @berthamakortha8387 2 года назад

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁 ukweliiiiiii kabisaaa nyie watoto aki ya MUNGU walai

  • @obenitejailos7007
    @obenitejailos7007 4 года назад +3

    Mvua zote zikipiga 120 ndani 😂😂😂

  • @ramadhaniramji7048
    @ramadhaniramji7048 4 года назад +2

    Kuna watu wanatambaa kama kengee😂😂😂

  • @teclasimba5389
    @teclasimba5389 4 года назад +3

    Leo sijasikia mtoto akilia 😂😂
    Wapi tangazo letu la giggles

  • @sandromirroso479
    @sandromirroso479 3 года назад

    Kazi nzur xana

  • @عليمحمد-و6ي9غ
    @عليمحمد-و6ي9غ 3 года назад

    Mim ni mzung ndoman sipati like

  • @salummigezo3729
    @salummigezo3729 4 года назад

    Eti kwani huyo nae anataka kugombea😂😂😂😂

  • @danielpallangyo380
    @danielpallangyo380 2 года назад

    Alie ona koti la Mbunge limechanika kwapa like tujusne🤣🤣😆😆😆😆🤣🤣

  • @amirmwashembe4340
    @amirmwashembe4340 4 года назад

    Cheki shat la mbunge mwenyewe alivolichomekea Hadi raha 😀😀😀

  • @abdulkillya2655
    @abdulkillya2655 4 года назад +1

    Nitawakuta wananchi au nitakuta wamekufa 😂😂😂

  • @خسنموس
    @خسنموس 4 года назад +178

    Kama unamkubal JOTI 100 parcent gonga like hapa!

  • @johnsaid9525
    @johnsaid9525 4 года назад +1

    Kuna watu wanatambaaa kama kenge 😂😂😂😂😂

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 4 года назад +1

    Nani kaleta maendeleo huku😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @wazilijuma4738
    @wazilijuma4738 4 года назад

    Wabunge wana mambooh hatar😁😁

  • @khadijaamour7654
    @khadijaamour7654 4 года назад +33

    Nimelielewa ilo gari tu apo😂😂😂

  • @saidyhamidy286
    @saidyhamidy286 4 года назад +5

    😂😂😂😂 joti talehe 28 nitalehe ya kuchoma sindano

  • @josephNdichu879
    @josephNdichu879 4 года назад +15

    Qatar tuko ndani 🇶🇦

  • @helenamusa432
    @helenamusa432 4 года назад +1

    joti nashindwa niwekeje commert maana hii comedy ya leo kiboko cha wale😂😂😂

  • @zainabzuber1779
    @zainabzuber1779 4 года назад +4

    Vitu hivi nimevipata ndoa yangu ya 1 maana Sasa hivi nipo ya 8😂😂😂

  • @feisalfarid147
    @feisalfarid147 4 года назад +12

    Mjomba jotiii ukooo juuuu sanaa👍

    • @templerfx4212
      @templerfx4212 4 года назад +1

      🙏🏻naomba uchukue muda mchache kubonyeza picha yangu ku subscribe channel yangu kujionea mengi mazuri kwenye uislam nahitaji support yenu🙏🏻🧘‍♀🙏🙏🏻

    • @simonimwanamasi6527
      @simonimwanamasi6527 4 года назад +1

      Joti wewee Mungu Ana kuona

  • @laurianvallentino9958
    @laurianvallentino9958 4 года назад +7

    Kama na wewe leo Joti kakunyoosha, kama mimi hajatanguliza lile tangazo tunalosogezaga mbele, kama mimi like hapa...

  • @youngchillags998
    @youngchillags998 4 года назад +4

    Nanukuu 7:30
    ``kwani huyo anataka kugombea huyo"
    Joti bana..😂😂

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 4 года назад +1

    Wasiwasi wangu tutawakuta kweli wananchi au tutakuta wamekufa@@@Nimependa hii

  • @tecklaadam6146
    @tecklaadam6146 4 года назад +2

    Kicheko cha mbunge 😂😂

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy7043 4 года назад +1

    😁😁😁ifanye fanye iwe takirima nasio rushwa🤣🤣🤣

  • @furahishashaban3422
    @furahishashaban3422 4 года назад +4

    Unajua haya magari meusi ndo yanatekateka watu😂😂😂😂

  • @abelmange5430
    @abelmange5430 4 года назад +1

    Gari la kibabe Sana 🤠

  • @neemapaul2162
    @neemapaul2162 4 года назад

    Dah sopa Kama vile Ana hela kweli 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @zakomone7672
    @zakomone7672 4 года назад +1

    kuna watu wanatamba kama kenge 😅😂😂🤣🤣🤣🤣🤣

  • @queenalimoja4386
    @queenalimoja4386 3 года назад +1

    zamani ulikuwa namagaga😃😃😃

  • @samgaya
    @samgaya 4 года назад

    Joti fala sana etibumekujaje kujaje mana huku kijijini kumekuwa kama mjini😂😂😂

  • @zulekhamnene9462
    @zulekhamnene9462 4 года назад +14

    Likes zanguu Kama unamkubali mama dame😅

  • @nevdtv6436
    @nevdtv6436 4 года назад

    Wap ulanga-malinyi# Safi san kaka

  • @beautylicious6165
    @beautylicious6165 4 года назад +1

    Umekuja kujaje 😂😂😂

  • @saidjaphar1377
    @saidjaphar1377 4 года назад +2

    😂😂😂😂😂😂Eti kuna watu wanatambaa kama kenge.

  • @dearnamypastime2435
    @dearnamypastime2435 4 года назад +1

    Kwan na huyu anataka kugombea. Hahahaaa