Huu ndio ukweli wa nyota 12. Jifunze hapa usidanganywe tena.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 30

  • @OmanOman-gu1wy
    @OmanOman-gu1wy Год назад +4

    Kumbe haziibiwi zinachafuliwa hapo nimekupat Asante San

  • @wardaally7233
    @wardaally7233 Год назад +4

    Asante sana Kwa elimu 👏👏👏👏👏👏

  • @ManirumvaIsaac
    @ManirumvaIsaac 3 дня назад

    Asante Sana baba tunahitaji utuambie tafsiri sasa

  • @mariamomran6144
    @mariamomran6144 Год назад +3

    Yasalaam. Ubarikiwe kaka Ally kk kwakutuelimisha

  • @ngongomamy2968
    @ngongomamy2968 Год назад +4

    nikweli babu Mungu akulide

  • @jenipherkachecheba8097
    @jenipherkachecheba8097 Год назад +3

    Umesema nyota haiibiwi Ila inapmbwa.inaombwa nn na inaombwaje na Nani anaweza kuiomba

  • @wardaally7233
    @wardaally7233 Год назад +4

    Tuletee na Afya ya akili tujue kweli

  • @Isaacsichalwe162
    @Isaacsichalwe162 Год назад +1

    Nashukuru kwa somolako mwalim

  • @welcomeorange7357
    @welcomeorange7357 Год назад +1

    Mashaallah wewe ni best of best really Allah akulinde❤ amiin

  • @magdalenaspliani293
    @magdalenaspliani293 Год назад +5

    Samahan kaka Eti jina linaloanzia M inaweza dumu na jina linaloanzia C

  • @nabrah5415
    @nabrah5415 20 дней назад

    Naomba niambie me nyota yangu ni ipi nimezaliwa tar 28 December

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Год назад

    Umejitahid kadri ya kiwango chako cha elimu hii, ila bado endelea kujifunza kwa kujiweka vizuri zaidi na kujua mengi hasa kuibiwa na kupandishwa kwa nyota 🌟

  • @INFOPACKAGE-sp9zz
    @INFOPACKAGE-sp9zz 2 месяца назад +1

    Nyota mnazingatia herufi au miezi make sielewi

  • @salimuismaily693
    @salimuismaily693 9 месяцев назад

    NYOTA NI TAREHE ZA KUZALIWA NA MWEZI AU NI HERUFI ZA MAJINA TUELEWESHE SHEIKH

  • @YusufFaraji-pb6cu
    @YusufFaraji-pb6cu 2 месяца назад +1

    Kati ya nyota zote izo ipi nyota kubwa kuliko nyingine

  • @NemayanMeliyo-oj5ux
    @NemayanMeliyo-oj5ux Год назад +1

    Santeee kaka ally, mm ni herufi n na mpenzi wangu ni m je kimahusiano ziko vip?

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    😢😢 aisee haya maisha yana historia

  • @SaintNjuguna
    @SaintNjuguna 9 месяцев назад

    Kama unaitwa John Kassim, ni herufi gani utachukua kama nyota yako.?

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 Год назад

    😢😢😢 ndo maana siogopi chochote

  • @jacklinibrahim8805
    @jacklinibrahim8805 Год назад +1

    Jee eruf j na a wanaweza kudum kwenye ndoa

  • @MrforcingOfficial
    @MrforcingOfficial Год назад

    acha uongo kajifunz vzur elem ya nyota

  • @-zj2zd
    @-zj2zd Год назад

    Miminaitwa Elias

  • @jonnyboyduma-th8cj
    @jonnyboyduma-th8cj Год назад +1

    Uongo herufi s ni nyota ya mizani