Hbr za kazi kaka mm tangia kuzaliwa nilipewa jina la Bahati hadi nafika umri wa miaka saba, baada ya hapo nikapewa jina la Fatuma lkn wengine bado waniita jina ambalo nilipewa utotoni. Sasa naomba kujua mimi nitakua kundi gani la nyota?
Habar kaka mm tangu kuzaliwa nilipewa jina la vumilia hadi kufika umuri wa miaka saba baada ya hapo nikapeawa jina la zainab sasa mimi hapo nyota yangu ni yepi
Nakuelewa sana kk
Asante kwa kutujuz yaliyojifich
Salute mwambaa
Upo vzr bro. Big up. Nakufatiliaga Sana. Mungu akulinde.
Kaka mwanangu anaitwa zainab
Safi sana mtabibu
Upo Vyema sanaaa
Salutes sana
Uko vema bro!
Nakusoma broooo. Congrats 👏👏👏👏👏
Mmungu akulinde sn
Kumbe na yeye ni kama mim mamake Fatma je ninaeza kumbadil ana miaka 12
Manshallah shukran
Mimi naitwa mwanaidi nyota yangu ni ipi na jina langu linasimama m au w i
Jazakallahulkheyr.
Kweli kabisa. Thanks
Huwaga nakufatiliaga kwa umakin Sana shukran
nakupata kk
S na G je mavazi ya kuvaa hujataja
kaka umetisha apo
Saf xana br
Shukrani sana
Thank you so much .
Enyew wwe n zaidi ya professor
Kaka sasa mimi jina langu linaanza na Th itakuwa inasimama kweny herefu gani
Nikweli Babu
Na hilo nyota lenyewe nalo una ombaje
Hapo cjaelewa.kunamajina ya kimila yautt nayakanisani tunatumia lipi
Umeambiwa ulivyozaliwa jina ulilopewa ndiyo anaongelea
Kaka I nyota gn na yupo kundi gan? nliona sehemu ni nyota ya Simba vipi ni kwel?
Tafuta clip hapo ilio andika njia tatu kuu
Jina la kaz unaweza ukaombea sku yake
🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪🙏🙏
Unaongea sana mpaka naskia usingiz😢
Adam
Sayar yangu ni upepo ila jina langu lina anziwa na j hapo inakuaje kaka??
Hyo sio sayari yako
Hbr za kazi kaka mm tangia kuzaliwa nilipewa jina la Bahati hadi nafika umri wa miaka saba, baada ya hapo nikapewa jina la Fatuma lkn wengine bado waniita jina ambalo nilipewa utotoni. Sasa naomba kujua mimi nitakua kundi gani la nyota?
NYOTA ya Ng'ombe
Udongo heluf B
Habar kaka mm tangu kuzaliwa nilipewa jina la vumilia hadi kufika umuri wa miaka saba baada ya hapo nikapeawa jina la zainab sasa mimi hapo nyota yangu ni yepi
Nyota yako ni udongo udongo mzuri yani ukilima kitu lazima kiote maana yake ni udongo wenye rutubaaa
Ckuyangu nijnne.
Kaka kama jina linaanza na herufi shabani au sharifu hapo herufi ip inahusika ya kwanza naomba msadaa
S
Hapo ni s ya mwanzo
M bona sijasikia
IPO hapo
Nipo kundi la Moto nivaenguogani hasa cku hiyo baada ya maombi
Je,ukibadiri, nyota yako,sinabadilika?