Ili upate utajiri au mafanikio kupitia herufi ya jina lako,sikia hii mpaka mwisho wa somo, namba 1.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 49

  • @SaidiKilobo
    @SaidiKilobo 2 месяца назад +2

    Nakuelewa sana kk

    • @SaidiKilobo
      @SaidiKilobo 2 месяца назад

      Asante kwa kutujuz yaliyojifich

  • @alwynnunes8956
    @alwynnunes8956 2 года назад +2

    Salute mwambaa

  • @annageorge43
    @annageorge43 2 года назад +1

    Upo vzr bro. Big up. Nakufatiliaga Sana. Mungu akulinde.

  • @ETt-r3e
    @ETt-r3e Месяц назад

    Kaka mwanangu anaitwa zainab

  • @KimbilimaSocial-dy9cl
    @KimbilimaSocial-dy9cl Год назад +1

    Safi sana mtabibu
    Upo Vyema sanaaa

  • @evnctmb1824
    @evnctmb1824 Год назад +3

    Salutes sana

  • @nivesmapunda694
    @nivesmapunda694 Месяц назад

    Uko vema bro!

  • @annageorge43
    @annageorge43 2 года назад +1

    Nakusoma broooo. Congrats 👏👏👏👏👏

  • @ReshmaFaridi-z4q
    @ReshmaFaridi-z4q 8 дней назад

    Mmungu akulinde sn

  • @ETt-r3e
    @ETt-r3e Месяц назад

    Kumbe na yeye ni kama mim mamake Fatma je ninaeza kumbadil ana miaka 12

  • @RayaAli-d3w
    @RayaAli-d3w 11 месяцев назад

    Manshallah shukran

  • @Mariamu-r1z
    @Mariamu-r1z 5 дней назад

    Mimi naitwa mwanaidi nyota yangu ni ipi na jina langu linasimama m au w i

  • @gasoredjuma1674
    @gasoredjuma1674 2 года назад

    Jazakallahulkheyr.

  • @vallerymkawandu8664
    @vallerymkawandu8664 4 месяца назад

    Kweli kabisa. Thanks

  • @fabiantz1431
    @fabiantz1431 2 года назад

    Huwaga nakufatiliaga kwa umakin Sana shukran

  • @bonifacenkwabinyashimbahom275
    @bonifacenkwabinyashimbahom275 2 года назад +2

    nakupata kk

  • @ShadyaIssa-gs2ej
    @ShadyaIssa-gs2ej 2 месяца назад +1

    S na G je mavazi ya kuvaa hujataja

  • @JacobFanuel-x4h
    @JacobFanuel-x4h 8 месяцев назад

    kaka umetisha apo

  • @mussamsagati6191
    @mussamsagati6191 6 месяцев назад

    Saf xana br

  • @Dhawani-t8s
    @Dhawani-t8s 11 месяцев назад

    Shukrani sana

  • @MugishaWilliam-q2r
    @MugishaWilliam-q2r 7 месяцев назад

    Thank you so much .

  • @etrillyodfrex97
    @etrillyodfrex97 10 месяцев назад

    Enyew wwe n zaidi ya professor

  • @gwaruboy2836
    @gwaruboy2836 5 месяцев назад

    Kaka sasa mimi jina langu linaanza na Th itakuwa inasimama kweny herefu gani

  • @BolasieNgongo-rh9wm
    @BolasieNgongo-rh9wm 11 месяцев назад

    Nikweli Babu

  • @JaneDoe-hf3zy
    @JaneDoe-hf3zy Год назад +1

    Na hilo nyota lenyewe nalo una ombaje

  • @anastelaemmanuel7150
    @anastelaemmanuel7150 Год назад

    Hapo cjaelewa.kunamajina ya kimila yautt nayakanisani tunatumia lipi

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 Год назад +1

      Umeambiwa ulivyozaliwa jina ulilopewa ndiyo anaongelea

  • @salomeraymond2051
    @salomeraymond2051 2 года назад +2

    Kaka I nyota gn na yupo kundi gan? nliona sehemu ni nyota ya Simba vipi ni kwel?

    • @allykk1459
      @allykk1459  Год назад

      Tafuta clip hapo ilio andika njia tatu kuu

  • @ramadhanimohamed880
    @ramadhanimohamed880 Год назад

    Jina la kaz unaweza ukaombea sku yake

  • @TurabagaboJeanMarie
    @TurabagaboJeanMarie 6 месяцев назад +1

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮💪💪🙏🙏

  • @mwanaidgharib8276
    @mwanaidgharib8276 7 месяцев назад

    Unaongea sana mpaka naskia usingiz😢

  • @adamsanga062
    @adamsanga062 Год назад

    Adam

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho 3 месяца назад

    Sayar yangu ni upepo ila jina langu lina anziwa na j hapo inakuaje kaka??

  • @ZuwenaSuwedi-tr2ny
    @ZuwenaSuwedi-tr2ny Год назад

    Hbr za kazi kaka mm tangia kuzaliwa nilipewa jina la Bahati hadi nafika umri wa miaka saba, baada ya hapo nikapewa jina la Fatuma lkn wengine bado waniita jina ambalo nilipewa utotoni. Sasa naomba kujua mimi nitakua kundi gani la nyota?

    • @DuduMagau-sm3pd
      @DuduMagau-sm3pd 6 месяцев назад

      NYOTA ya Ng'ombe

    • @CralenceClavely
      @CralenceClavely 6 месяцев назад

      Udongo heluf B

    • @SimbliuthusKomba-dy3dm
      @SimbliuthusKomba-dy3dm 5 месяцев назад

      Habar kaka mm tangu kuzaliwa nilipewa jina la vumilia hadi kufika umuri wa miaka saba baada ya hapo nikapeawa jina la zainab sasa mimi hapo nyota yangu ni yepi

    • @deogratiusyudatadei5658
      @deogratiusyudatadei5658 5 месяцев назад

      Nyota yako ni udongo udongo mzuri yani ukilima kitu lazima kiote maana yake ni udongo wenye rutubaaa

  • @anastelaemmanuel7150
    @anastelaemmanuel7150 Год назад

    Ckuyangu nijnne.

  • @dogoshazzy761
    @dogoshazzy761 2 года назад +1

    Kaka kama jina linaanza na herufi shabani au sharifu hapo herufi ip inahusika ya kwanza naomba msadaa

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 Год назад

    M bona sijasikia

  • @anastelaemmanuel7150
    @anastelaemmanuel7150 Год назад

    Nipo kundi la Moto nivaenguogani hasa cku hiyo baada ya maombi

  • @mahmoudmpitabavuma3158
    @mahmoudmpitabavuma3158 Год назад

    Je,ukibadiri, nyota yako,sinabadilika?