Unafanya kazi nzuri, unayo sema ni kweli asilimia nyingi nimeyaona kwa familia yangu, nimeona ilo la kuchelewa kwenda chooni na kutongwa kaburini kuondosjewa bahati. 85% umepatia
Yaan jamn hiyo miguu ni mm hiko kichwa ni hatar tumbo ni balaaa lakin kweny kupenda sasa ni mgonjwa lakin napendwa na kila mtu sio wanawake wala wanaume😂😂
Dah😊 umenena kaka sure umeongea kitu really yan sawa kabsa na maisha haris ya mtu mwenye heruf S au sio wanangu wa herufi S em mshkuru kwanza Mzazi wako kwa kukupa jina lenye herufi ya kujidaia 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🥰🥰
Waah kwaiyo yanibidi nijitaidi nizae mwengine nimwokoe mwanangu maisha yake asante sana kwa kunifungua Macho Mungu akubariki kazi yako izidi kua na mafanikio Ameen
Mdogo wangu kwenye mahusiano ndio shida lakini darasani alikuwa kichwa saana na akifanya biashara yoyote anatoboa halafu aliumwa saana utotoni pia harogeki anasema akija mchawi kumkaba anastuka anaamka anawasha taa na anamjua sura mpka jina hata kama wameongozana wawili jamani jina lake linafahamika saana
NI kweli kaka unayo ongea wakati bado Binti mdogo nilikuja kuchumbiwa na mama mdogo akamtia fitina yule kijana ni kweli kabisa kupendwa na watu ni kweli kabisa urembo NI kweli
Aiseee sijui nikuite doctor au ni kuiteje ?mbona kila unalo ongea linanihusu mm au umeniona mm tafadhali naomba no yako wsp kama huto jali mmmmh imebidi ni kusake kwa ukarib😂😂😂 barikiwa sana
Mm ni wajina wako kipenz huna cha kufanya kipenz ndoa na mtt ni Baraka ni neema na rehma za Allah hat upitie changamoto gan Allah awe ndy kimbilio lako ni ushauli tu dada yang. Wajinah
Asante mungu kwakuwafanya wazazi wangu wanipe jina la helifi S sara
Na bahati uwe nayo piya
Asante mungu
Wabaliki
Sana
WazaZ
Wangu jina
La
Salome
Jaman
Kina
Salome
Tujuwane
Unafanya kazi nzuri, unayo sema ni kweli asilimia nyingi nimeyaona kwa familia yangu, nimeona ilo la kuchelewa kwenda chooni na kutongwa kaburini kuondosjewa bahati. 85% umepatia
Saumu piga like
Wajina❤
Weweeeee
Napenda sana majina ya s aturogeki namshukur Sana Mwenyezi Mungu kwa hapoawatupati
Ni kweli kabisa imenigusa Sana unapanga Jambo unaishia kusaidua watu Niko radhi niache Jambo langu
Yaan jamn hiyo miguu ni mm hiko kichwa ni hatar tumbo ni balaaa lakin kweny kupenda sasa ni mgonjwa lakin napendwa na kila mtu sio wanawake wala wanaume😂😂
Dah😊 umenena kaka sure umeongea kitu really yan sawa kabsa na maisha haris ya mtu mwenye heruf S au sio wanangu wa herufi S em mshkuru kwanza Mzazi wako kwa kukupa jina lenye herufi ya kujidaia 🤗🤗🤗🤗🤗🤗🤗🥰🥰
Umenena ukweli Niko n shida y tumbo n ndoa kubreak all the time I thank God amesimama n maisha yangu
Nimesikiliza vizuri lakin naamini Ktika Yote YESU NI JUU YA MAMBO YOTE😂
Hakika kbc im proud My name to start S ❤🎉
Hiz tabia ninazo zotee na kuhusu mkojo asee mim kiongozi alfu simimi adi bint yangu ni shadya tuliend ad hospital akaambiwa anabana mkojo mno Uwiii hap kweny ndoa NiKweliii kabisaaaaa embu ninyamazee
Asante kaka yetu kwa kutujuza,baadhi so warembo mfano mm.lkn kwa nyota nakubali 100%
Asante baba umesema tumepata kupona, ubarikiwe sana❤
Nikweli kabisa mm nilikua nikiumwa na tumbo sana udogoni ila miguu yaniuma saizi ukubwani
yaani ni vyote vyaniuma sana
Kwa kwel s tupo vzr na mungu katujalia neema kubwa
Jaman kweli kabisa hapa pakuumwa kichwa na miguuu uwiiii mara kwa mara inaniumaga sanaaa
Tumbo.lilinisumbua nikiwa mdogo
Nasumbuliwa na kichwa na miguu
Najua kupenda kwa kwa kweli
Hapo kwenye kupenda na kupendwa jamani mungu atucmamie tu uko sahihi asilimia mia moja
Na kichwa kweli naumwa mara kwa mara
Jamani upendo nawoo umezidi kwangu Asante mungu na Asante kwa wazazi wangu❤
Kwa miguu duh my child swabra anapitia kuumwa mpaka namhurumia ur words r true
Waah kwaiyo yanibidi nijitaidi nizae mwengine nimwokoe mwanangu maisha yake asante sana kwa kunifungua Macho Mungu akubariki kazi yako izidi kua na mafanikio Ameen
Acha ujinga mungu ndio atoa mafanikio ya mtu
Kweli shamsa wangu ni mrembo sana na yuko vizuri sana darasani
Ndio masala mdogo ndo haja ndogo .au kwenda choon wanasema msalani.umenikumusha kuna mgonjwa kawekwa chumba chenye choo akasema kawekwa chooni
Ni kweli kabisa nilianza kuchumbiwa nikiwa mdogo sana ila ninavita kubwa sana lkn Mungu ananipigania sana
Hata mm pia
Tuko kimoja😢
Tuko pamojaaa😢
Kuna ukweli wa kutosha kbs....❤❤❤❤❤
Nikweli kabisa unachoongea kaka yangu
Upo vizuri sana bro umeongea ukweli
Ni kweli kabisa
Wewe hukoseagi 💯💯💯
Bro asante kwa msaada wako kwa Jamie
Sayuni najivunia kupewa jina nzuri na wzazi wangu ❤
Napendwaaa❤️❤️❤️🥂🥂
Ahsante sana nimekuelewa vizuur .
Allah Akubarki❤❤
Mimi hapo kwenye kupenda na kupendwa na sifa za muonekano na kutamaniwa na wengi sijifii ila naviona kwangu uuuwi wasema kweli Dr.😂
duh! kumbe jina ndo shida kbwa kwngu duh! Allah nipumzishe nimechoka maradhi.
Kweli kaka sisi S ni warembo mnoo
sanaaaaa
😂😂😂😂😂
Nikwl sana kaka mm nimependw sana t
Kweli brother tunapendwa
Kweli kabisa.akina Sofia mpo?
Yaan mm kichwa toka shule ya msingi mpaka hivi leo..ni kichwa zaid, wanasema kipanda uso
Asante kwa kunivumbuwa kama mwasiti ni s
hapo kwenye kupata ndoa mmmmh!!!! ikikaribia kuipata vinaharibika
Nikweli kabisa hayo Mambo nayaona kwangu mwenyewe
Nitapata an
Aenipenda naitwa salimin
Kweli sisi tumebarikiwa sana na tunapendwa sana
Hapa pa kupenda na kupenda❤
Ni kweli sha sa wangu yuko vizuri sana
Ni kweli kabisa nashukuru Nina watoto4 na majini wanatupenda cjui Kwa Nini Mimi Sina Kaaba lkn sio mbeya nasemaga ukweli
Nice job congrats
Kwel kuna kaka s yupo reception kwenye hotel.ndio g na s inafanana
Ni kweli mpenz wang ni A naendana naye sana wala hanifatishi ukorofi wangu na ananipenda mno
wangu ni R na ananipenda sana tukigombana hata km mkosaji ni mimi anaomba radhi yaani tuna raha hadi raha
Nimimikabisa shukran
Kweli kaka Mimi naitwa shamira izosifa ninazo ila kunamda zinatoeka
kwel kaka mm dada angu alipitia hayo maumivu ya tumb mpk kufanyiwa operation
Umesema kweli najua kupenda,ninabahat ya kupendwa,na kuonewa pia na wanawake bila hata kuwakosea chochote, kwenye hedh pia hujakosea Mungu simama nami
nikwelii somo yangu
maumiv yote anayosema ninayo na kuchelewa mwakani ni tabia yangu kbs 😂😂 kupendwa na kupigwa mazongi ndio nshazoea
Inakuwa pure S yani SA akimuoa SA mwenzie je watakuwa na mafanikio maana wote upepo??
Tunapepea wote ivo ivo mm saumu mmewangu seif karas
@saumumoh😂😂😂😂amedi6439
Ni kweli bro
Ila kwenye mapenzi mm wameniharibia
Hapo kwenye maradhi nimechoka kiteseka
Upepo kwa upepo kumbe zinaweza kuendana mimi nilisikia nyota inayoendana wenyewe kwa yenyewe ni udongo peke yake
So goooooood my letter
S wa kuzaliwa ❤
Umenena kweli kabisa
Amiin
Mdogo wangu kwenye mahusiano ndio shida lakini darasani alikuwa kichwa saana na akifanya biashara yoyote anatoboa halafu aliumwa saana utotoni pia harogeki anasema akija mchawi kumkaba anastuka anaamka anawasha taa na anamjua sura mpka jina hata kama wameongozana wawili jamani jina lake linafahamika saana
Mm pia mchaw akij naonaga kivuli,
Docta majina yaubatizo jee kama ume batizwa naunatumia jina ilo shule kuanzia ya msingi je vipi hapa
herufi S unapendelea kuvaa nguo gan na siku yake nzur ni ipi??? nijb please
Ni kwel wifi yangi g anamatatizo ya kupata mtoto
Jamani mbna unanisema mimi kaka yote hayo matatizo ninayo nifanyeje jamani
Kweli kaka mwanangu mimi alichelewa atakutembea alikuwa anaumwa malakwamala😢
Nimekuelewa Je herufi E iko wapi?
Upo sahihi mm yamenikuta hayo tangu mdogo
Napenda kujua said herufi
Hapo kwenye..ajandogo.
Ni mimi..Na kutengeneza pesa..Na zinatumika kabra ya rengo...😭😭😭
NI kweli kaka unayo ongea wakati bado Binti mdogo nilikuja kuchumbiwa na mama mdogo akamtia fitina yule kijana ni kweli kabisa kupendwa na watu ni kweli kabisa urembo NI kweli
Mashallah ❤❤
Mimi sijaolewa jinalang laanza na (sa) naendana naherufi zip jaman munisaidiye nimesikia ni A, y ,k .niizotu?
Kaka mbona mwanangu hadi Leo ana miaka kumi lkn bado anasumbuliwa sana na tumbo na kichwa,?
Nikweli kabisa tupo wakina sharifa❤❤
Sasa ndo umejikuta umezaliwa na jina s na ukakutana na majanga ufanyeje
S tunapigwa vita sana
Aiseee sijui nikuite doctor au ni kuiteje ?mbona kila unalo ongea linanihusu mm au umeniona mm tafadhali naomba no yako wsp kama huto jali mmmmh imebidi ni kusake kwa ukarib😂😂😂 barikiwa sana
Mim ni salma nimefunga ndoa na H. nime zaanae mtoto wa kwànza wakiume duh nifanyeje
Mm ni wajina wako kipenz huna cha kufanya kipenz ndoa na mtt ni Baraka ni neema na rehma za Allah hat upitie changamoto gan Allah awe ndy kimbilio lako ni ushauli tu dada yang. Wajinah
Ni kweli naomba namba
An me kwenye kichwa hapo ndo hat spumnzk jmn
Uko sawa kabisa
susan naoba kujua maisha yangu nishida sana😢😢😢😢
Mbona kuna tarh yangu yakuzaliwa? July 20 nani s
Mh mimi sikubark kabisa hasa ndugu Hawa nipeni kabisa hata nihitahd kuwafanyia mwema maladhi Sasa ndo mwake
Mimi ni s na mpenz wangu anaitwa matatizo je yyy jina lake linanifaa??nisaidie
Kwenye urembo hujakosea mm mwenyewe mrembo🤣🤣
Mom
Wewhupo vizuri
Mm mwnyw hapa nilipo naugulia tumbo n miguu kaka pokea maua yako kichwa ht imekua mazoea kwangu
Mimi nlianza na mvulana na after two years nkazaa msichana hapoo Kuna tatizo
Nikweli kabisa unacho sema dr kila kitu ni kweli
Unalo sema umepatia kwangu , ni machache tu ndio sina
Upo sahihi kabisa Mimi iliwahi kutokea kwangu nikiwa mdogo
Mm ulinisumbua mguu mmoj kw mda mrf ila nilipona
Naam
Kweli kabisa naitwa Sandrine yote unayo hongea ni kweli
Apo kwenye kupenda apo ndo mm kabisa😅
Jmn wew ni kama mm halafu natendwa sana