Woyeeeeee😢😢😢😢😢, mm aki waaaaaa mm Nancy' natesega, nasaidia watu waaaaaa lakini asante ni kuniblock weeeeeee mm.nimmbambanaji kweli...yote unayosema ni kweli ,weeeeeee 😢😢😢
Umenigusa kabisa 🙌 Mimi ni B, niliwahi kuwa na mpenzi mwenye herufi N. Tulikaa ktk mapenzi kwa muda wa miaka 5,mwaka wa 6 nikamuoa. Na mimi ndio nilikuwa mwanaume wa kwanza kumuoa. Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana, ila kitu cha ajabu, hatukumaliza mwaka. Tuliachana baada ya kwenda kwao kujifungua na hakurudi kwangu tena kutokana na sababu ambazo mpaka leo sijazifahamu.
Woyeeeeee😢😢😢😢😢, mm aki waaaaaa mm Nancy' natesega, nasaidia watu waaaaaa lakini asante ni kuniblock weeeeeee mm.nimmbambanaji kweli...yote unayosema ni kweli ,weeeeeee 😢😢😢
Umenigusa kabisa 🙌
Mimi ni B, niliwahi kuwa na mpenzi mwenye herufi N. Tulikaa ktk mapenzi kwa muda wa miaka 5,mwaka wa 6 nikamuoa. Na mimi ndio nilikuwa mwanaume wa kwanza kumuoa. Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana, ila kitu cha ajabu, hatukumaliza mwaka. Tuliachana baada ya kwenda kwao kujifungua na hakurudi kwangu tena kutokana na sababu ambazo mpaka leo sijazifahamu.
Doctor nauliza je nikiolewa na heruf A na mm herufi yangu N inafaa?
Haki brother hapa umenigusa me
Jamani kila kitu is about me
Jamani mbona me sitaki kuachika kwa mme wangu
Jeee akipendaA❤❤❤
Haendani kabisa na na herufi A
Kwaio utafanyaje ili msiweze kuachana
Jaman nafulah umelizungumzia jina langu la n
je erufi n na h zinaendana
Mm n mume h je tutaachana
😂😂😂😂😂 kumbe
Je N akimuoaN itakuwaje udongo kwa udongo
Duh kama umenisema mie
Nshapenda kwa M😢
Mimi ni pacha naitwa dotto,jina lingine naitwa N,na hayo yute huwa nayatimia,sas hapo nyota yangu ni nini
@@dottopaul6738Jina ulilozaliwa nalo ndo jina lako
Mimi nataka kujuwa mwinyi inasimama herufi gani ?
Mh 😢
Kama akiolewa na Herufi B jee maana mimi ninampenzi Mimi ni B yeye ni N
Mtaachana
Mimi naishi na s umesema anawez kufa sijaelew
@@NusuraDamassndio atakufa pale ukimkataa na yeye bado anaakushikilia hakuachi ,patamu apo 😅
Mm heruf yangu ni N je nafaa kuolewa na heruf A