IKIWA HERUFI N NDIO JINA LILILOKULEA MWANAMKE USITAFUTE MCHAWI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 25

  • @irinenanciebarasa5566
    @irinenanciebarasa5566 2 месяца назад +3

    Woyeeeeee😢😢😢😢😢, mm aki waaaaaa mm Nancy' natesega, nasaidia watu waaaaaa lakini asante ni kuniblock weeeeeee mm.nimmbambanaji kweli...yote unayosema ni kweli ,weeeeeee 😢😢😢

  • @benjo_brighter
    @benjo_brighter 3 месяца назад +1

    Umenigusa kabisa 🙌
    Mimi ni B, niliwahi kuwa na mpenzi mwenye herufi N. Tulikaa ktk mapenzi kwa muda wa miaka 5,mwaka wa 6 nikamuoa. Na mimi ndio nilikuwa mwanaume wa kwanza kumuoa. Maisha ya ndoa yalikuwa mazuri sana, ila kitu cha ajabu, hatukumaliza mwaka. Tuliachana baada ya kwenda kwao kujifungua na hakurudi kwangu tena kutokana na sababu ambazo mpaka leo sijazifahamu.

  • @NuruSeif-z1i
    @NuruSeif-z1i День назад

    Doctor nauliza je nikiolewa na heruf A na mm herufi yangu N inafaa?

  • @HattaHatta-pk7hr
    @HattaHatta-pk7hr 2 месяца назад +3

    Haki brother hapa umenigusa me

  • @FaithNamunyak-m1p
    @FaithNamunyak-m1p 2 месяца назад +2

    Jamani kila kitu is about me

  • @BarakaBituro
    @BarakaBituro 5 дней назад

    Jamani mbona me sitaki kuachika kwa mme wangu

  • @thamraabdul3740
    @thamraabdul3740 2 месяца назад +1

    Jeee akipendaA❤❤❤

  • @HamiduMbaraka
    @HamiduMbaraka 29 дней назад

    Kwaio utafanyaje ili msiweze kuachana

  • @노사장-o5c
    @노사장-o5c 2 месяца назад

    Jaman nafulah umelizungumzia jina langu la n

  • @NeemaMbanile
    @NeemaMbanile Месяц назад +1

    je erufi n na h zinaendana

  • @Muheramaneva
    @Muheramaneva Месяц назад

    😂😂😂😂😂 kumbe

  • @NasibuAlban
    @NasibuAlban Месяц назад

    Je N akimuoaN itakuwaje udongo kwa udongo

  • @NeemaMpota
    @NeemaMpota 3 месяца назад +1

    Duh kama umenisema mie

  • @Dihekafi
    @Dihekafi 3 месяца назад +2

    Nshapenda kwa M😢

    • @dottopaul6738
      @dottopaul6738 2 месяца назад

      Mimi ni pacha naitwa dotto,jina lingine naitwa N,na hayo yute huwa nayatimia,sas hapo nyota yangu ni nini

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le 2 месяца назад

      ​@@dottopaul6738Jina ulilozaliwa nalo ndo jina lako

  • @KishepPambe
    @KishepPambe 3 месяца назад

    Mimi nataka kujuwa mwinyi inasimama herufi gani ?

  • @Dihekafi
    @Dihekafi 3 месяца назад +1

    Mh 😢

  • @jonasngolyama-xk8fs
    @jonasngolyama-xk8fs 3 месяца назад

    Kama akiolewa na Herufi B jee maana mimi ninampenzi Mimi ni B yeye ni N

    • @antusajoseph9360
      @antusajoseph9360 2 месяца назад

      Mtaachana

    • @NusuraDamass
      @NusuraDamass 2 месяца назад

      Mimi naishi na s umesema anawez kufa sijaelew

    • @salimlocksandkeys8992
      @salimlocksandkeys8992 2 месяца назад

      ​@@NusuraDamassndio atakufa pale ukimkataa na yeye bado anaakushikilia hakuachi ,patamu apo 😅

    • @NuruSeif-z1i
      @NuruSeif-z1i 2 дня назад

      Mm heruf yangu ni N je nafaa kuolewa na heruf A