THE CLASSIC KALAPINA : NLIJUTIA KUMTEKA SOLO THANG/KUMPOSA MR BLUE/UGOMVI NA MTOTO WA RAIS JK /BEEF

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Hii ni interview ya The Classic na Mwanahiphop mahiri Kalapina ambae alikua kiongozi wa ukoo mkubwa wa hiphop wa Kikosi cha mizinga,Interview hii ilifanyika mwaka mmoja uliopita na Kalapina alituelezea kiundani kuhusu tuhuma nyingi ambazo zilizungumzwa juu yake,hii ni sehemu ya maongezi yake

Комментарии • 67

  • @darhustler
    @darhustler 10 месяцев назад +7

    Hii ni interview bora sana kwangu kusikia na imeeleza vizuri sana hizo background gossips za bongo fleva kuhusu kikosi na hiphop. Pina is very nice guy 🖖

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 10 месяцев назад +10

    Binadamu wanaomba mabaya/
    Mtaani kwangu wazee hawana haya/
    Wamejaa husuda chuki na roho mbaya/
    Hakika wasingetupenda Hata tungeimba kwanya

  • @alexmisheto7925
    @alexmisheto7925 10 месяцев назад +7

    Watu wa Hip hop wanaakil sana

  • @nailahharith4745
    @nailahharith4745 10 месяцев назад +5

    Those days I remember biliads hip hop ilikuwa real kinyama kikosi dah

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 10 месяцев назад +10

    HAO WANAKATAANA,,MI NAFATILIA SANA INTV ZAO,,DUDU,,LORD,,KALA NA HIP HOP WENGI WANAOKUJA HAPO,,KILA MTU ANAJIONA YEYE NDO ALIKUWA MBABE KULIKO MWENZIE,,ILA TUNAWAAMBIA NYIE SIO MASELA MSINGEKUWA URAIANI.

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 месяцев назад +6

      Hujielewi, Kwani msela lazma aende jela .?...kwenda jela ni UFALA ww .!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 10 месяцев назад +1

      @@ismailmasoud6001 WE ndi fala kaka,,,si msela si umepinda?? Waliopinda wote wako chimbo wanasubiri kifo 😀,mnamuiga 2 pac kufa amfi 😃,,nyie mabinti tu

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 месяцев назад +2

      @@hassanbakari4525 ...ukiona mtu Kenda JELA Kwa wizi au ugomvi ujue fala ..!..ndio maana ukiingia JELA uliowakuta wanakuuliza umekuja Kwa kesi aina Gani ..!

    • @hassanbakari4525
      @hassanbakari4525 10 месяцев назад +2

      @@ismailmasoud6001 ASA UNABISHA NN,,UKIWA MTUKUTU MANAKE WE UMESHINDIKANA,,,SEHEMU ZAKO NI MBILI TU,,KIFO NA JELA,,,,VINGINEVYO WEWE NI RAIA MWEMA TU...HAPO HUELEW NN APO

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 10 месяцев назад +3

      @@hassanbakari4525 ...Kwani Kuna watukutu wangapi hawajaenda JELA na WEMA wangapi wameenda JELA..?..

  • @MichaelAnthonyGuni
    @MichaelAnthonyGuni 7 месяцев назад +1

    sema kalapina na ubabe tofauti sana he is so innocent ukimuangalia

    • @iHoppin25th
      @iHoppin25th 7 месяцев назад

      Mwamba Mtu Guddi Sanaaa

  • @dicsonmollel5915
    @dicsonmollel5915 4 месяца назад +1

    Nabii Choco namuongezea stress akisikia hzo vocal

  • @silvergold5855
    @silvergold5855 10 месяцев назад +3

    Napenda kumsikiliza brother pina

  • @MichaelJohn-lb6uu
    @MichaelJohn-lb6uu Месяц назад

    Appreciation

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 9 месяцев назад +3

    Muongo wewe Arusha before 2005 walikuwa wanafanya live, Via Via. Hii habari ya kujifanya pioneers ndio inaleta ego.

  • @abubakarishariff8489
    @abubakarishariff8489 9 месяцев назад +1

    Ashim dogo Kala Pina is the best hip hop bongo akuna tena atakuwa kama awa awa ndio wagumu kamili

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama 10 месяцев назад +3

    Kikosii Cha mzinga🔥🔥🔥

  • @HusseinGullam
    @HusseinGullam 3 дня назад +1

    UKWELI USIOPINGIKA KIKOSI NDIO BABA YAO .
    KALAPINA

  • @JimyMnyama
    @JimyMnyama 10 месяцев назад +5

    Walikuwaa wababe sana adii kutekanaa😁

    • @simas.a1003
      @simas.a1003 10 месяцев назад

      Game ilikuwa real sana. Mabifu ya Hip hop kama mbele. Ila hichi kikosi cha mizinga nakikubaligi sana 🙌🙌🙌🙌🙌😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @JumaJuma-fu7ji
      @JumaJuma-fu7ji 10 месяцев назад

      Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mabifu live na yaukweli

  • @RichardCossan-rk1ub
    @RichardCossan-rk1ub 10 месяцев назад +2

    Kalapina sikungi broh

  • @VisualsByEnokaOti
    @VisualsByEnokaOti 8 месяцев назад

    Napenda Sana the classic

  • @ronaldissack3338
    @ronaldissack3338 10 месяцев назад +2

    Kalapina alikuwa shida sana

  • @yudaogonyi2383
    @yudaogonyi2383 2 месяца назад

    😝😝😝😝😝 jamaa ni storyteller mzuri sana . Hyu atafutiwe EP ingine

  • @cassanovarcousin7973
    @cassanovarcousin7973 10 месяцев назад +1

    Nabiii koko📌

  • @matolasalumu2625
    @matolasalumu2625 10 месяцев назад +2

    Tuleetee yuni besti Kona walio imba tisheti na jinzi

  • @yusuphrashidi-dr1kb
    @yusuphrashidi-dr1kb 10 месяцев назад +2

    Kikosi cha mizinga block 41

  • @hassaningorombe3477
    @hassaningorombe3477 10 месяцев назад +1

    💯💯

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 10 месяцев назад +2

    Hamna ndefu?

  • @nicholouspaschal3586
    @nicholouspaschal3586 9 месяцев назад

    Hip hop forever

  • @tozzaalexandar4905
    @tozzaalexandar4905 10 месяцев назад

    Noma Nabi coco

  • @nasrikileo
    @nasrikileo 10 месяцев назад +1

    Sijui wanasahau au nini, age sawa ila kila mtu akiongea issue zinapishana, brother kuvi can u please intervene on my coment for learning purpose

    • @rogertuga007
      @rogertuga007 10 месяцев назад

      Kila mtu anavutia upande wake

  • @EmanuelyMbagalla-rt2vm
    @EmanuelyMbagalla-rt2vm 10 месяцев назад

    Kwa nini hao watangazaji wamevaa barakoa?

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 10 месяцев назад +2

    Wasanii waZamani walikuwa wanaishi kimerekani sana mapifu mengi na yaukweli

    • @Joseph-lu4yj
      @Joseph-lu4yj 6 месяцев назад

      ila mkwara imezidi sana kuliko vitendo

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 10 месяцев назад

    Sasa mnavaa ayo yanii intaviyu ainogi

  • @MudaRamadhani
    @MudaRamadhani 10 месяцев назад

    Mnazingua mabarakoa ya nini sasa hapo mmezingua kuweni wastaarabu

  • @ejtjr2647
    @ejtjr2647 2 месяца назад

    Kalapina was STUPID na hujui Hiphop . Mwili mkubwa akili KISODA.

  • @Abuukhatibu
    @Abuukhatibu 6 месяцев назад

    😂😂😂😂pina

  • @usercabal
    @usercabal 9 месяцев назад

    Kaka voda sio msanii ni msela wa maskanii

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 месяцев назад +1

    Vipi humor ndani Corona dizaini flani kama imewarudia au ndio ugumu?

  • @alextarimo4972
    @alextarimo4972 10 месяцев назад +1

    Hizi barokoa vipi tuambine..

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 10 месяцев назад +1

      Huyu Alishwahi kupata Corona, ila Mwenyezi Mungu aliweka Shani yake akapona.
      Kwahiyo bado anahisi kama bado ipo. Tahadhari kwake ni muhimu zaidi kwasababu ilishampata.

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  10 месяцев назад +3

      Sahihi intvw hiyo nlifanya wakati ndo nmeanza kupona hivyo bado nlikua navaa

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  10 месяцев назад +4

      Nlikua natoka kuumwa covid mkuu

    • @kibwamoko8767
      @kibwamoko8767 10 месяцев назад +1

      @@KuviFacts Sawa nimekuelewa, ahsante kwa kuniweka sawa

    • @Papifreshh
      @Papifreshh 10 месяцев назад

      Nice

  • @Charles-x8c
    @Charles-x8c 10 месяцев назад +2

    Sema fupi uyu jamaa uchoki kucheki intaview yak Yani

    • @jumajuma6612
      @jumajuma6612 10 месяцев назад +1

      Ndefu ipo nenda kwenye account ya E FM hii ya kitambo kuvichaka kairudia kwenye account yake

  • @JumaJuma-fu7ji
    @JumaJuma-fu7ji 10 месяцев назад

    Uyu jamaa alikuwa so mgomvi ila alikuwa mbabe wa kundi ukimchokoza ndo anakuzingua

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata3650 9 месяцев назад

    Kala pina amekua mtu mzima siku hizi ameacha ubabe wa kijinga.. bug up bro😂😂😂😂

  • @raphaelkaswahili323
    @raphaelkaswahili323 10 месяцев назад

    Ndio Leo nimeelewa kwanini kalapina wanamtaja saana wana hiphop,,,, alijulikana kwa ubabe na sio kwa mziki ua nafatili mziki wake lakini cjawahi kukutana na kibao Cha kutisha sana

    • @adinanimuhidini5894
      @adinanimuhidini5894 10 месяцев назад

      Mstari wa mbele

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 9 месяцев назад +2

      Kasikilize singeli na amapiano wewe. Hujui hip hop😢

    • @raphaelkaswahili323
      @raphaelkaswahili323 9 месяцев назад

      @@frankkajoba8372 naludia tena Kalapina hakua msaani wa kutisha kwenye hip hop ,,,, Kuna vichwa kama Sol seng walifanya makubwa kwenye game

    • @EmmanuelKibila-lk8pv
      @EmmanuelKibila-lk8pv 9 месяцев назад

      U don't know

  • @vincentcharles4385
    @vincentcharles4385 10 месяцев назад

    Kalale mkundu wewe,hip hop waachie wenye akili,huna rhymes hujui mziki,kelele nyingi maku wewe,kaimbe taarabu,

    • @frankkajoba8372
      @frankkajoba8372 9 месяцев назад +1

      Duuu, ivi ww una akili kweli? Haya matusi ya chuki yanatoka mdomoni au?😢

    • @bobnasser862
      @bobnasser862 9 месяцев назад

      Tulia mdogo wetu unaona unatatizo aupo sawa

  • @MrishoMohamed-ey5zf
    @MrishoMohamed-ey5zf 8 месяцев назад

    Nakubali sana the classic