Imebidi ni watch hii interview yote saa saba ya usiku.. kataka kujua uliyoyasema, nice one... still follow ur interviews.. watoto wa millennium wapewe somo!!
Konk master nakubali sana interview zako unani inspire kweli unaongea fact brother usikate tamaa kaza mpk mwisho.............Muogope Mungu tu wengine Mapaka hawajui game lilipotok
Umeongea point ila hao watoto unaosema kua hawana adabu basi inatokea kwako kutokana unawatolea maneno km ni shoga mwanaume unatakiwa kupotezea mambo mengine
Kama unamkubali dudu mkali was interview. Gonga like hapa.
Uyo Dem anaitwaje mtangazaj
Mwenye kumwelewa vyema DUDU KONKI MASTER goungeeer LIKE...
Ngoja me nugonge meza
One of the best interviews ive ever watched... This guy is real...
KizAzi sana
Sema Konki uo mkato wa kichwan wakikonki sana.. all in all we ni mnoma.. REAL MAN #longliveLilommytv
Imebidi ni watch hii interview yote saa saba ya usiku.. kataka kujua uliyoyasema, nice one... still follow ur interviews.. watoto wa millennium wapewe somo!!
Eti Yule wa bongo movie anaejiita bakaa sijui bangi mm huyo simjui 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
l can listen to Dudu All day
Kiukweli konk master uko vzr Sana brother unaongea fact
Kama kuna interviews siwezi kosa moja wapo ni ya Dudu Baya na Unju na Chidi
Unju mbona sjampata aisee
Dudu yupo poah sana mzee
Upo sahihi kabisa brother hwa watoto wa juzi awajui kitu hao
Ili jama linaongea point sana
True
Hivi Times fm mnapiga nyimbo za dudu...?..inakuwaje kweli Mtu anakuwa na Bifu na clouds anabaniwa station zote...
Duduuu.. jonijoo na lil ommy ni nduguu.. ndio mana tunagonga mezaaa.... ila usiendee cloudz ukawambia gonga mezaa..
Kwani ni ndugu kweli
Umeongea vizuri sana mwamba
Dudu baya ni fire
Dudu nakuelewa kama unamwelewa konki gonga like hapo chini
From Count 001 Mombasa Kenya Nakukubali sana Konky
Dudu anakichwa cha kumbukumbu 💪
Sanaaa
hii interview nimeenjoy sana from 001 Mombasa
Moja ya Interview niliyo Enjoy Sanaa
Luana Mwambigija
Luana Mwambigija nilitaman kuwe na part 2
Napendaga interview za konki
I need a hookup with you
Dudu jaman, hadi raha...Love nyingi kwako'
Legend the dudu nakubali sana bro
Konki uwa namkubali sana
Konki master nilisubiri sana hii interview
Dudu ni legend au sio :)
Mmh! Sema dudu katakata sahivi! Shikamoo hela
Ungeuliza camera iliyotumika ni cannon gan... 😄😄😄..kutananae LIVE
hahahaha na kweli
The real O'G dudu baya respect for saying it as it is....
Leo Lil Ommy amekalishwa bench😂😂😂😂 maswali anayajibu yeye akiwa na Amy Gal😂😂😂😂
Dudu ni fire
Ni kweli show ameitawala
Chezea konki ww😂😂
konKliquid
Sheria watulie
😀😀😀 Konki 3, vzr kama Pombe umeacha, Nakukubali sana Ng'wanangwa.
Nice one
Konk3 uko vizuri sana
point mzee bb nakubali
Napenda interview zako sn #Dudubaya
Uwahunaongea point
Sis ambao tunaokuelewa
Kizazisana #lilOmmy
Akili mingi huyu dudu baya
Gonga meza, gonga meza, gonga meza 😁😁😁😁 kweli Konki Master!! Ukweli mtupu ongea babaaa 💪👍🤗🤗
One of the best interviews Konki konki konki ame dominate show nzima MVP umekuwa msikilizaji but you're the best
USA,dudu,mpeni soda mate yamekauka! Chapa kazi master.
Konki toka nikufahamu kwenye muziki sijawai kosa enterview yako kivyovyote..🔥🔥🔥💪💪💪💪💪😂
Ni kweli albam ya mwisho ili fanyiwa fitina na sana tuliogopa kuchukua
Gd 💯✔️ Sana mkubwa
Watanzania tupendane na kupeana Heshima, nakuheshimu Brother kok3 master
Fact🤔Bro kasimamia ukwel pia n muazi xanaaa??vitu alvyozungumzia ni full maukwel
Aiseee eee gongaaaaa mezaaaaaaaaaaaa😃😃😃👌✌💪
Konki much love from #USA
Konki konki konki master
Konki. Kichwa sana
kale keupe ni fireeee
👌👌
One of my best interview in ds year🔥🕐🔥🔥🔥🔥🔥🔥✔✔
Bonge la Intavyuuuuuuuuu asei 🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Lilomy big up
Wanamapinduz watachukiwa kisha wanaweza kuuwawa lakn fikra za mapinduz ztaish milele keep doing Dudu
Hili show ni zaid ya kawaida
lilommy mbn leo kimyaa MVP 😀😀😀
Interview nzima kongea mzee baba Dudu..Lilommy leo mbn umenywea leo sissikii maswli yako😀😀😀😀😀
Leo kafanikwa
😀😀😀😀😂 lilomy presenter dudu leo
Lily ommy no1
Leo kipindi Dudu Baya ndio kakitawala, it's like Lil Ommy Leo hakujipanga vizuri....
steve wanga unajua nn MTU akifunguka kama hiv unamuacha aongee everything azungumze vitu vingne ambazo hukutegemea if airtime ikiiwepo
nacheka sana leo lilommy
Dah Dudu Baya entertainer sana aisee!!
Point big up sana dudu baya
Konki konki konki💥💥💥💥
Konk master nakubali sana interview zako unani inspire kweli unaongea fact brother usikate tamaa kaza mpk mwisho.............Muogope Mungu tu wengine Mapaka hawajui game lilipotok
MB zangu hazijaenda bure Leo umekuwa mstarabu xaxa nitakuita konki konki master
@@azizalph9197 uuuuii89
Bongo ukiwa mkweli lazima uonekane mbayaaa
Kabisa bro na si Bongo tu bali sisi watu weusi tuna matatizo ya kuelewa kabisa
Si TZ pekee,adi Kenya ni vyenye Kenyan's people are crazy
Most MVP lil ommy... Much love from 🇶🇦 🇶🇦 🇶🇦
Where are you? I'm here also 🇧🇭🇧🇭🇧🇭
Nakukubali sana faza Konki
Unaongeaga point Sana #konk
Umeongea point ila hao watoto unaosema kua hawana adabu basi inatokea kwako kutokana unawatolea maneno km ni shoga mwanaume unatakiwa kupotezea mambo mengine
Ruby anamlaumu Malehemu Ruge
amsikilize Dudu apa anavyo sema kuhusu show
Kumbe jamaa kichwa kaongea point sana
Nakukubali sana konki konki konki master 🔥
Lil ommy Umepoa sana
Mzazi😂😂
Leo kafunikwa
Konk daima nakuelewa sana jamaa bonge la intavwe
Konki konki konki master achia vitu back to back brother from another mother & deferent further
unasema ukweli
Show zenye ubora zlizo baki ni hii na block 89
Hapo kwa baraka niko na wew 100% konki
Jamaa Saa nyingine anaongea points sana
Nampenda sana uyu mtu m.mungu akuongoze broo
Uko fine dudu
Duduuuuuu
Konki umetisha
Nakukubr sana broo
Interview kaliiiiiiii Sana za konk
Kizazi sana
Hakika leo nimeelewa hasira za dudu zilikotokea
LilOmmy gonga meza 😂😀
Big up Konki
Dudu siku hizi unapendeza, unakula vizuri,unavaa vizuri, safi sana
Kama na ww hutaki kupitwa na interview ya ommy gonga like
Dudu baya: blah blah blah
Lilommy: Mhhh Mhhh Mhhh mhhhh
Joseph Mataba 😀😀😀😀😀😀😀😀
@LilOmmyTV nitampataje Dudubaya plz
Well said bro
Always love ya show Ommy
Dah leo umeongea point sana Hongera dudu
Dudueh!! Namjua jamaa alieimba ngoma flani iitwayo Dudu baya 🏃🏃
Konki mastar is best artist msema kweli.
❤❤ Dudu baya SANA
I love this guy for real
Dudu anajua kuvaa yuko simlpe anapendeza kweli
Bro wee ni star 🌟
Kizazi duu Konki konki konki Master