Napamoja nakusajili msisahau uchawi wa mtani kwawachezaji wetu lkn pia angarieni sana kupaza sauti hata Hawa tff wanatuhujumu kwahiyo ziundwe kamati zakusili na hujuma mbalimbali
Kaka GB kwani haiwezekani mkapewa Fursa yakushauri chakufanya Ili badae tusije Kuanzia kulaumu tena badae ebu mkuu jikusanyenu nyie mshabiki wenye ushawishi muombe kuonana na mkuu namkubariane hizo tofauti zetu tuzizike Ili twende pamoja kwaumoja
Baba karundi mjengoni tunasumbulia mazuri mwakan zaid kazi ipo jangwan 😁😁 MO akisema Jambo lazma litimie.. Kaka Gb64 unacho kiongea kuwa SIMBA popote alipo lazma hyo lingi iwe tamu we sumbilia shirikisho kutakavyo kuwa kwa Moto. ✍️ Mabetu &Co
Nakubali mwanangu GB64
Najua wanaumia sn mo.kusimama mwenyewe ila ndio ishakua
😂acha uoga ww unaanza tena kuwasifia viongoz ,,, ao ni hawafai hawafai ,,,, mwendo ni ule ule watoke wakina mangungu na genge lake
haya sio maneno matupuuu???
Timu za hapa tz viongozi ndiyo wanao sajiri wachezaji siyo matakwa ya kocha
Mutale ni mchezaji wa rada zangu hata kabla ya mchezo wetu na power Dinamo
Utopoloo kaeni kimyaa
Hao mnaozungumza utaona baada ya ligi kuanza wanakuja akina Jobe
Napamoja nakusajili msisahau uchawi wa mtani kwawachezaji wetu lkn pia angarieni sana kupaza sauti hata Hawa tff wanatuhujumu kwahiyo ziundwe kamati zakusili na hujuma mbalimbali
Kaka GB kwani haiwezekani mkapewa Fursa yakushauri chakufanya Ili badae tusije Kuanzia kulaumu tena badae ebu mkuu jikusanyenu nyie mshabiki wenye ushawishi muombe kuonana na mkuu namkubariane hizo tofauti zetu tuzizike Ili twende pamoja kwaumoja
Mna bajeti ya club, mkidaiw kelele kama paka
Baba karundi mjengoni tunasumbulia mazuri mwakan zaid kazi ipo jangwan 😁😁 MO akisema Jambo lazma litimie.. Kaka Gb64 unacho kiongea kuwa SIMBA popote alipo lazma hyo lingi iwe tamu we sumbilia shirikisho kutakavyo kuwa kwa Moto. ✍️ Mabetu &Co
SIMBA POPOTE ALIPO INAKUWA MSHIKEMSHIKE Mfano SIMA akiingia Jijini DAR ES SALAAM Kila mmoja atajua .
Tim inatengenezwa ww c mangng na genge lake, ww na genge lako la umalaya mnann zaid magonjwa