GB 64 AFUNGUKA USAJILI WA CHUMA JOSHUA MUTALE NA KELVIN KAPUMBU KUTOKA ZAMBIA, MAGORI KARUDI KAZINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 июн 2024
  • Usajili wa simba
  • СпортСпорт

Комментарии • 14

  • @abumuhammad9615
    @abumuhammad9615 21 день назад +1

    Nakubali mwanangu GB64

  • @mirajikawimba8648
    @mirajikawimba8648 22 дня назад +1

    Najua wanaumia sn mo.kusimama mwenyewe ila ndio ishakua

  • @patrickkilongo3214
    @patrickkilongo3214 22 дня назад +2

    😂acha uoga ww unaanza tena kuwasifia viongoz ,,, ao ni hawafai hawafai ,,,, mwendo ni ule ule watoke wakina mangungu na genge lake

  • @josephpaul6998
    @josephpaul6998 22 дня назад +1

    haya sio maneno matupuuu???

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 19 дней назад

    Timu za hapa tz viongozi ndiyo wanao sajiri wachezaji siyo matakwa ya kocha

  • @longidakivuyo6544
    @longidakivuyo6544 18 дней назад

    Mutale ni mchezaji wa rada zangu hata kabla ya mchezo wetu na power Dinamo

  • @KigumiHamisi
    @KigumiHamisi 22 дня назад

    Utopoloo kaeni kimyaa

  • @msabahaissa6201
    @msabahaissa6201 22 дня назад

    Hao mnaozungumza utaona baada ya ligi kuanza wanakuja akina Jobe

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 11 дней назад

    Napamoja nakusajili msisahau uchawi wa mtani kwawachezaji wetu lkn pia angarieni sana kupaza sauti hata Hawa tff wanatuhujumu kwahiyo ziundwe kamati zakusili na hujuma mbalimbali

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 11 дней назад

    Kaka GB kwani haiwezekani mkapewa Fursa yakushauri chakufanya Ili badae tusije Kuanzia kulaumu tena badae ebu mkuu jikusanyenu nyie mshabiki wenye ushawishi muombe kuonana na mkuu namkubariane hizo tofauti zetu tuzizike Ili twende pamoja kwaumoja

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 22 дня назад

    Mna bajeti ya club, mkidaiw kelele kama paka

  • @BellaTuyi-hd7tw
    @BellaTuyi-hd7tw 16 дней назад

    Baba karundi mjengoni tunasumbulia mazuri mwakan zaid kazi ipo jangwan 😁😁 MO akisema Jambo lazma litimie.. Kaka Gb64 unacho kiongea kuwa SIMBA popote alipo lazma hyo lingi iwe tamu we sumbilia shirikisho kutakavyo kuwa kwa Moto. ✍️ Mabetu &Co

  • @YOSHUAMWAMPETA
    @YOSHUAMWAMPETA 20 дней назад

    SIMBA POPOTE ALIPO INAKUWA MSHIKEMSHIKE Mfano SIMA akiingia Jijini DAR ES SALAAM Kila mmoja atajua .

  • @RamadhanHamis-oq7ut
    @RamadhanHamis-oq7ut 20 дней назад

    Tim inatengenezwa ww c mangng na genge lake, ww na genge lako la umalaya mnann zaid magonjwa