KIMEUMANA:MAKAMU(OMO)SERIKALINI ZANZIBAR TAIFA LA CHAWA MPAKA KWAPANI HILI JAMBO LINAMCHUKIZA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • TOA MAONI YAKO KWA KUTUMA SMS AMA KUPIGA KWA KUTUMIA SIMU NAMBA 0773 95 35 31 AU 0777 94 54 74 AU 0777 37 37 87 FACEBOOK PAGE TIFU TV ZANZIBAR ,TIFU TV KIJAMII ZAID.
    #Tifutv #zanzibar #kijamiizaidi

Комментарии • 6

  • @YahyaOthman-et2ki
    @YahyaOthman-et2ki 2 месяца назад +1

    Upo vizuri hujawahi kutuangush ktk mawazo yako

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 2 месяца назад +1

    CCM WANAHARIBU WATU KWA TAMAA ZA MATUMBO TU👁️👁️!

  • @lusakaone7782
    @lusakaone7782 2 месяца назад

    Makamo umeongea point tupo tunahamu yakutoa michango yetu ili nchi isonge mbele ila chawa waliovaa magwanda rangi ile wanaleta changamoto kwelikweli, sijui lini watazinduka kutoka usingizini, somo hili pengine litawanusuru na usingizi wa kufa. Wakati ni sasa.

  • @omarmohammed5157
    @omarmohammed5157 2 месяца назад +1

    Zanzibar imetawaliwa na viongozi baadhi ya wengi wana choyo,ubinafsi na ubaguzi ndio maana hatufanikiwiii

    • @user-jh5ne9mw4w
      @user-jh5ne9mw4w 2 месяца назад

      Swsw tumekuelewa sana makamo

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 2 месяца назад +2

      Na tatizo kubwa ni wale Watanganyika waliopo Kisonge na miongoni mwao ni Wamakonde walioletwa Kwa ajili ya Mapinduzi!Hawa ndio wanaoleta shida sana,maana ndio wanaojifanya wenye nchi