Kwaya ya Mt. Kizito Makuburi Walivyofanya Maajabu Uwanja wa Taifa katika Warsha, Waimba kwa Ufundi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024
  • 𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
    Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
    Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
    KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
    KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
    Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
    𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
    Instagram: / jugo_media
    Facebook: / jugomedia2019
    𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
    JUGO MEDIA,
    Sokoine Drive, Posta
    P. O. BOX 34014,
    Dar es Salaam.
    For Bookings and other Enquiries
    Phone Number +255757560764/657790405
    #jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Комментарии • 54

  • @tmasingida2392
    @tmasingida2392 2 года назад +5

    Mama Mwalimu, Baba Mwalimu, Dogo organist. Hongera familia ya Mr. Mukasa.!
    Nawapenda sana KMKM.

  • @julianacellestine801
    @julianacellestine801 Год назад +2

    Endelea na kuimba hivyo mko vzr. Katu msijeweka mapambio siyo sera ya kanisa katoliki. Wala kanisa haliendi na wakati. Ndilo aliloliacha Bwana wetu Yesu Kristu. Kweli mnatishaaaaa Hongereni sana keep it up

    • @AnnaPremsingh
      @AnnaPremsingh 7 месяцев назад

      100% well said ❤❤❤🙌🙌🙌🙌🤜🤛🤜🤛🤜🤛👏👏👏👏👏👍👍👍👍👂👂🙌🙌🙌🙌🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝👏👏👏👏👏❤❤❤❤❤❤❤

  • @patriciakavengi7365
    @patriciakavengi7365 Год назад +1

    Congrats makuburi,you our pillars of East Africa.lkazi nzuri Benard mukasa

  • @janemwangi6065
    @janemwangi6065 2 года назад +2

    WAAAOOOOO WONDERFUL KEEP ON KEEPING ON AND GOD WILL CONTINUE TO SHOWERS OF BLESSING UPON YOU ALLWAYS. HAKUNA WAKATI NITACHOKA NIKIWASHUKURU, HONGERENI SANA WANAKWAYA WA KMK MAGUBURI. GOD BLESS YOU ALL. FROM QATAR BUT KENYAN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @VictoriaChirchir
    @VictoriaChirchir 7 месяцев назад

    Very organised,,pongezi Wana Tanzania,,best. Catholic choir,,,, congratulations from Kenya,,love you

  • @monicahkwamboka3611
    @monicahkwamboka3611 Год назад +1

    Nice singing makuburi congrats am proud to be a catholic as well as a choir member

  • @monicahkwamboka3611
    @monicahkwamboka3611 Год назад +1

    Nice singing makuburi congrats am proud to be a catholic as well as a choir member

  • @ancillahhulilo8871
    @ancillahhulilo8871 Год назад

    Tumsifu Yesu Kristu! NATAMANI nami ningekua mmoja wa wanakwaya hawa. Mbona raha. Hongereni sana

  • @eugenekeragori
    @eugenekeragori 5 месяцев назад

    Mwalimu Bernard mungu akupe maisha marefu..unaweza

  • @furahambughi4977
    @furahambughi4977 2 года назад +1

    Hongereni sana, maana kuimba uwanjani kama hivi sio kazi nyepesi!

  • @mwalimueliasngothowangari4417
    @mwalimueliasngothowangari4417 2 года назад +1

    Honestly your performance is just wonderful. heko kwenu

  • @furahaburomo522
    @furahaburomo522 2 года назад

    Hongera mwl Benard, nakuona classmate wangu B'mlo Primary School

  • @LeanardNdikumuremyi-ds3ys
    @LeanardNdikumuremyi-ds3ys 4 месяца назад

    Mungu awabaliki sana Nawa penda

  • @daudmatandula3692
    @daudmatandula3692 2 года назад +1

    Hii siku Hawa jamaa walitisha sana

  • @bettykaduma1260
    @bettykaduma1260 Год назад

    Asante Wana Makuhuri

  • @AnoManfred-wu7nn
    @AnoManfred-wu7nn Год назад

    Mmetisha

  • @tonnymwenga1888
    @tonnymwenga1888 Год назад

    Prout to be the member of Catholic and choir 😊

  • @AvaKimario-rf6zs
    @AvaKimario-rf6zs Год назад

    Hongereni wanakwaya nimewapenda

  • @manumbubujiba8610
    @manumbubujiba8610 2 года назад +1

    Nawakubali Sana Kmk

  • @franciskironjo9369
    @franciskironjo9369 2 года назад +1

    Kitu kipya.. twasubiria

  • @calistashio1295
    @calistashio1295 Год назад

    Naipenda san hi kwaya

  • @amanikiteve5195
    @amanikiteve5195 2 года назад

    Lovely choir Mt kizito makuburi DSM

  • @DeograsiaNziku-xx2go
    @DeograsiaNziku-xx2go Год назад

    Asante kwa utume

  • @catholicvibemusic3151
    @catholicvibemusic3151 2 года назад +1

    🔥🔥🔥🔥

  • @joanwasitayi5242
    @joanwasitayi5242 Год назад

    Mungu awabariki Sana kwa kazi yenu nzuri

  • @patrickmohamed3639
    @patrickmohamed3639 Год назад

    Mshoboz unajuaaaaa xaaaaana

  • @denissilayo9768
    @denissilayo9768 Год назад

    Kanzi musung

  • @innocent3954
    @innocent3954 2 года назад

    Asante sana wimbo muzuri

  • @lazarusmulwa6128
    @lazarusmulwa6128 Год назад

    mshobozi ❤‍🔥❤‍🔥❤‍🔥

  • @annmueni7005
    @annmueni7005 Год назад

    Mungu awabariki ndungu zetu

  • @jovinusjulius9840
    @jovinusjulius9840 Год назад

    Nawakubali sana..

  • @agatonngailo6632
    @agatonngailo6632 2 года назад

    Hongeren san mt kizito organist mushobozi umeupiga mwing

  • @teleziajemus-7687
    @teleziajemus-7687 Год назад

    Hogereni

  • @yohanambano872
    @yohanambano872 2 года назад

    Hongereni

  • @peninajuma9735
    @peninajuma9735 2 года назад

    Good work.

  • @dennisondari94
    @dennisondari94 2 года назад

    Beautiful

  • @stanslausbernard5950
    @stanslausbernard5950 2 года назад +1

    Hongereni sana. Hata hivyo, naonai Kama hamkujiandaa vema.

    • @joycegondwe517
      @joycegondwe517 2 года назад

      Hali ya uwanja inazuia sauti kutoka asilia

  • @alicewangari2839
    @alicewangari2839 2 года назад

    You are my favourite choir.
    Your compositions are full of real preaching.
    Keep it up

  • @thewhisperske883
    @thewhisperske883 2 года назад

    The best

  • @ambrosiamlinga8402
    @ambrosiamlinga8402 2 года назад +1

    Mmeimba vizuri hongerani ila kanisa la roma inabidi mmbadilike, mngeimba nyimbo za mapambio ili watu wote wangejumuika. Anzeni kutunga mapambio sass ili sehemu kama hiyo mngeimba na wote wangeimba. Badilikeni mwende na wakati. Hizo nyimbo za zaburi, za komunio sio mahala pake.

    • @jacobpatrick7936
      @jacobpatrick7936 2 года назад +7

      Hapana, kanisa lina utaratibu wake na alama zake,uimbaji ni moja ya alama za kanisa katoliki,ndo maana ukiskia wimbo wa kikatoliki huulizi unajipambanua wazi kuwa ule ni wimbo wa RC

    • @veronicamtitu8512
      @veronicamtitu8512 Год назад

      Na wasabato utawaambiaje sasa?kanisa lina utaratibu wake

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 Год назад

      @@veronicamtitu8512 ndio kanisa katoliki libadilike waende na wakati sehemu ya sherehe wao wanaimba nyimbo za msiba au zaburi.

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 Год назад

      @@sylvestercameo6263
      Hao walio waletea ukatoliki wamebadilika na wanaimba mapambio
      Pia wasio funga ndoa wanapokea komunio lakini tanzania nyie bado mpo backward. Ulaya wamesema waache wapokee kama ni dhambi basi tumuachie mungu atawahukumu sio sisi binadamu. Jambo jingine la kukera mtoto ana dhambi gani ya kukataliwa kubatizwa kisa tuu wazazi wake hawajafunga ndoa au hawapo kwenye jumuiya. Padre unakataaje kumzika mtu kisa tuu hayupo kwenye jumuiya. Mapadre ulaya hawafanyi hivyo. Ndio maana waumini wanakimbia kwenye makanisa mengine ambako wanafeel accepted and appreciated
      Ovehaul changes is needed in tanzania Catholic Churches

    • @ambrosiamlinga8402
      @ambrosiamlinga8402 Год назад

      @@sylvestercameo6263
      Una kipimo gani cha kusema mimi sio mkatoliki
      Basi mie ni mkatoliki my dad and my mum are both catholic including myself. I was raised and practised all the rituals of catholism
      It is very sad to see how Catholic in Tanzania are treating its believers.
      The churches in Tanzania are going backwards which is very sad while in Europe are going forward to make it easy for people to practise without judging. The implementation of jumuiya is example of control and discrimination of its believers
      How can a priest refuse to bury someone, just because he/ she is not a member of JUMUIYA??
      And how can a priest refuse to baptise a child just because the parents are not married? Why do you punish a child who is innocent?
      I love being a Catholic but, you people needs to request/push for change instead of being ignorant.