Mchungaji Amieli Katekela MASWALI YA UFAHAMU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • HII NI CHANEL AMBAYO ITAKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU PAMOJA NA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA KWA MCHUNGAJI AMIEL Y KATEKELA KWA HUDUMA YA MAOMBI NA MAOMBEZI PAMOJA NA KUWEZESHA KWA SADAKA YAKO WASILIANA KWA NAMBA 0756 275 511.

Комментарии • 77

  • @user-ef7pn5wt7g
    @user-ef7pn5wt7g Месяц назад

    Barikiwa mtumishi wa Mungu aliye hai ..hiii ndio injili tunayotaka kusikia ... Mungu awatie nguvu katika kuileta hii injili inayogusa nafsi na roho

  • @user-ef7pn5wt7g
    @user-ef7pn5wt7g Месяц назад

    Roho Mtakatifu akiwa ndani yako kweli anaganya yote... Unajibu Kwa Hekima na mamlaka ya kiungu kabisa Mungu akubariki mtumishi wa Mungu...haya maswali ingekuwa si huyu Roho Mtakatifu ndani yako ni magumu kuyajibu papi Kwa papi.

  • @DoroseraPaul
    @DoroseraPaul Месяц назад

    Bwana Yesu asifiwe mchungaji naomba unisaidie Mimi naota ndoto nyingi lakini nasahau je nikiamka tu nasahau kabisa

  • @violetnasimiyu8718
    @violetnasimiyu8718 5 месяцев назад +4

    Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu, hongera kwa hiyo hatua. utukufu kwa Mungu.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 5 месяцев назад +3

    AMINA AMINA AMINA MTUMISHI Amiel Yaledi KATEKELA, HONGERA BABA KUFUNGUA TV YAKO. NAOMBA KUJIUNGAMANISHA NAYO NIKUE KIROHO.

  • @mwambakibucheche1119
    @mwambakibucheche1119 2 месяца назад

    Amina ubarikiwe sana

  • @faithe4063
    @faithe4063 4 месяца назад +4

    Mtumishi wa Mungu kitekela, naomba unisaidie hapa,bibi yangu alikufa kwa njia ya kutatanisha, alafu uwa inanitokea kila mara ikisema sijekufa naomba unisaidie kutoka

    • @katekelatv
      @katekelatv  4 месяца назад +2

      Okay tuwasiliane kwa simu siku ya jumatano

  • @misnasma7875
    @misnasma7875 5 месяцев назад +3

    Amen....hongera mtumishi wa Mungu Kwa KATEKELA TV

  • @caxtonojiambopreaching
    @caxtonojiambopreaching 4 месяца назад +1

    Amen Mchungaji katekela, Asante Kwa kufungua tv, Umekua baraka maishani mwangu, na Tena utaendelea kuwa baraka kwangu, katika jina la Yesu kristo., Mungu akujalie maisha marefu sanasanasana. Nakupata kutoka "Mombasa" Kenya.

  • @user-ru5pk9bh8p
    @user-ru5pk9bh8p 4 месяца назад

    Yesu asifiwe mtumishi,naomba unisaidie mimi nilikuwa mshirika mzuri wa madhabahu zinazotumia maji na mafuta ya upako baada ya mafundisho yako nikaachana nazo ni miez sita sasa ila ndugu zangu wamegoma kuziacha nifanyeje nisaidie baba

  • @user-ey8ug1hg2j
    @user-ey8ug1hg2j 5 месяцев назад +1

    Kweli mungu SI mwanadam ubarikiwe katekela na hongera pia kwa tv

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 5 месяцев назад +1

    Amen
    Asante kwa kujibu maswali nimejifunza jambo zidi kubarikiwa mtumishi wa Mungu..

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael 2 месяца назад +1

    Ubarikiwe mtumishi kwaafundishoazuri

  • @user-zq8xg9oq4p
    @user-zq8xg9oq4p 5 месяцев назад +3

    Mungu akubariki sana shuhuda zako zinajingeza kila siku, mungu akutunze

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 4 месяца назад

    Amina mchungaji kateleka.... nabarikiwa sana Kwakweli Mungu akukumbuke katika ufalme wake.....unaokoa wengi🙏🙏🙏

  • @MarthaHerman-sm9wr
    @MarthaHerman-sm9wr 5 месяцев назад +2

    Bwana Yesu asifiwe Mchungaji naomba niwe mshirika wako

    • @katekelatv
      @katekelatv  5 месяцев назад +1

      Karibu sana

    • @zengopaul
      @zengopaul Месяц назад

      Ndg Mchungaji Katekela
      nmebarikiwa saana na shuhuda zako.Mugu akubariki na akutie nguvu ushuhudie mataif yote ile wapate kupona kwa nguvu ya Yesu Kristo wa Nazareti

  • @servantofgod4340
    @servantofgod4340 18 дней назад

    Mtumishi Katekela asante kwa MUNGU kwakukutumia.
    Naomba kuuliza: Je, wayahudi wa sasa waisrael najua wanamuabudu ADONAI / YAHWE ambaye ndie baba wa YESU. Je kuzimu inawaweza kuwaharibu wayahudi ambao wanabidii na kumpenda MUNGU ingawa hawamwamini YESU?
    Mlikuwa mnawapata wayahudi wachamungu?

  • @agnethapaul6057
    @agnethapaul6057 5 месяцев назад +2

    Amina,mtumishi wa Mungu.

  • @user-ew3fq7re2t
    @user-ew3fq7re2t 4 месяца назад

    Hongera kufunguka tv maana umetusaidia tutakua kiloho. Barikiwa na Mungu.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 5 месяцев назад +1

    hongera umefungua Tv aise

  • @gracemutono5023
    @gracemutono5023 5 месяцев назад +2

    Asante sana mtumishi

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 5 месяцев назад +1

    Ndoa zipo, kuokoka ni jambo jingine. ASANTE

  • @sophiamakani6133
    @sophiamakani6133 4 месяца назад

    Ongera sana Mutumishi wa Mungu furaha ilioje sifa kwa Bwana YESU

  • @JaneKuyokwa-ng2qf
    @JaneKuyokwa-ng2qf 5 месяцев назад +1

    Amen mtumishi

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 5 месяцев назад +1

    Majibu mazuri

  • @Majison-qm2sv
    @Majison-qm2sv Месяц назад

    Thanks for your answers

  • @HeryDaudi
    @HeryDaudi 5 месяцев назад +2

    Mchg Niko mara naomba msaada wakiroho

  • @witmartha1059
    @witmartha1059 5 месяцев назад +2

    Asante

  • @noelashaoona
    @noelashaoona 5 месяцев назад +1

    Amen 🙏

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 5 месяцев назад +1

    Amen

  • @alexanderobaye7576
    @alexanderobaye7576 5 месяцев назад

    Safi kabisa mtumish, Nina swali katika bibilia kuna neno kiroho kama lipo maana yake njni? Ila mimi najua tu Roho au Rohoni. Alexander juma nikowa Kenya

  • @elishapaul1706
    @elishapaul1706 21 день назад

    Pastor naomba kuungwa group la komboa familia

  • @labankalumiye4117
    @labankalumiye4117 2 месяца назад +1

    Bwana Yesu asifiwe? Mimi nawapenda sana. Nauliza je, hii ni tv yenu halali?

    • @katekelatv
      @katekelatv  2 месяца назад +1

      @@labankalumiye4117 ndioo ni halali

    • @katekelatv
      @katekelatv  2 месяца назад

      @@labankalumiye4117 ndioo ni halali

    • @labankalumiye4117
      @labankalumiye4117 2 месяца назад

      @@katekelatv nashukulu sana MUNGU awabaliki,

    • @labankalumiye4117
      @labankalumiye4117 2 месяца назад

      Naomba namba yenu niwe natuma sadaka yangu kwenu

    • @labankalumiye4117
      @labankalumiye4117 Месяц назад

      Bwana Yesu asifiwe sana mtumishi wa MUNGU? Naomba unisaidie Jana nimeota ndoto ambayo inanichanganya kuifaham naomba unisaidie. Nimeota nyumbani kwangu kuna maji mengi yanakuja kutoka mlimani yakaizingila nyumba yangu mala nikaona inaanza kubomoka nika mwambia mke wangu twende tuka chukue baadhi ya vitu tuviokowe wakati naanza kusukuma niingie ndani kupitia dirishani mala nika shituka nikaomba sana. Naomba nisaidiwe nini maana yake mchungaji

  • @everinestephano680
    @everinestephano680 3 дня назад

    Niliokoka nikaanguka kwenye dhambi ya zinaa nikaolewa bila ndoa na mwanaume asiyeokoka ndoa ikawa ngumu sana mpaka sasa ni ngum nina miaka nane kwa ndoa watoto watatu mwanaume ni mlev,malaya, hana mda mm anaish tu na mm ila naota moto ni meng ila kuna wakat nataka adi kuachika nawaza tena nidhambi plz plz ushauri natubu nilifanya kosa but ndoa ni ngum

  • @raelnangila3006
    @raelnangila3006 5 месяцев назад +2

  • @catemacharia8499
    @catemacharia8499 4 месяца назад

    Mtumishi asante kwa majibu yako lakini nina swali,mimi nafanya kazi uwarabuni na nimeokoka lakini lazima niagizwe na boss yangu kuchoma ubani wanapo hitaji,nitafanya aje na boss yangu ni ajuza hawezi enda jikoni kuwasha makaa moto aichome!

  • @JENIPHAIBRAHIM
    @JENIPHAIBRAHIM 4 месяца назад +2

    Mch naomba no yako

  • @elishamafulu106
    @elishamafulu106 5 месяцев назад

    AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN AMEN

  • @user-iw1yq3op8f
    @user-iw1yq3op8f 4 месяца назад

    Sawa mchungaji nimekuelewa ila nko na swali moja je kijana mukristo naeza Olewa nkijana Muslim

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 5 месяцев назад +1

    Kweli kuokoka Ni kuamia

  • @faithe4063
    @faithe4063 4 месяца назад

    Umejipu vyema mtumishi wa Mungu barikiwa zaidi kwanza hapo kwa sabato, ndio maana Yesu akasema ng'ombe ya mtu akianguka katika shimo mutawaja kuokoa kwa sababu ya sabato?tena akasema yeye Yesu ndiye Bwana wa sabato,mimi nitazidi kumwabudu Mungu katika jina kuu la Yesu kristo katika siku ya Sunday

  • @jameskajenge3109
    @jameskajenge3109 5 месяцев назад +1

    Hongera sana mchungaji kakufungua TV yako. Pia huduma yako ni njema sana

  • @neemamarko176
    @neemamarko176 5 месяцев назад

    Amina, Barikiwa sana

  • @florakwayu5646
    @florakwayu5646 5 месяцев назад +1

    🙏🙏🙏🔥🔥🔥

  • @user-wt9kj7gl1i
    @user-wt9kj7gl1i 5 месяцев назад +1

    Asanti sana kuwa kufungua TV yako ni swali mtu akiwa Kenya unapatikana kwa Channel ngani

    • @katekelatv
      @katekelatv  4 месяца назад

      Katekela tv pia promover tv

  • @user-gn5bw4dr1e
    @user-gn5bw4dr1e 3 месяца назад

    Mimi nona ku fata toka Goma DRC,
    Una sema Kitabu ya LUKA ina sema tuabudu juma pili iyo ni uwongo
    Ya pili SABATO maandiko inasema ni Amri ya milele na YESU alisema aku kuja ku badili Amri n'a Kitabu ya Ifunuo ina sema tusi punguze wala ku ongeza
    Tena YESU akasema yeyote anaye fundisha mwengine ku shika Amri ataitwa mkubwa katika Ufalme wa MUNGU
    Kitabu cha Marko inasema munaacha Amri ya MUNGU na muna shika maagizo ya wanadamu n'a iyo maagizo ni yale imeandikwa mu Kitabu ya Danieli 7:25 n'a ambayo wa KATOLIKI Waka badilisha siku ya ibada ya kweli ya MUNGU

  • @vailetlemenya6576
    @vailetlemenya6576 5 месяцев назад +1

    🙏🙏👏👏💪

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 5 месяцев назад +1

    🎉🎉🎉🎉

  • @rakaieva5472
    @rakaieva5472 5 месяцев назад +2

    Bwana Yesu kristo asifiwe Mchungaji Amiel niko na swali shahada inamaanisha nini?

    • @fwambamarkd5735
      @fwambamarkd5735 5 месяцев назад

      Certificate

    • @katekelatv
      @katekelatv  4 месяца назад

      Shahada ni cheti cha ndoa kinachothibitisha kuwa umeoa au umeolewa. Mtu hupewa baada ya kuoa au kuolewa

  • @veronicambilinyi3854
    @veronicambilinyi3854 2 дня назад

    Kuvaa bangili , ukufu na pete ni dhambi?

  • @clarisotieno3858
    @clarisotieno3858 5 месяцев назад +2

    Unapatikana kwa NB Gani ya kenya

    • @katekelatv
      @katekelatv  4 месяца назад

      +254795 417 141 Amiel Katekela

  • @everinestephano680
    @everinestephano680 3 дня назад

    Kama umeshafanya makosa ukaolewa na mtu ambae hajaokoka unafanyaje? Ufanyajee

  • @user-jl9gq3ws8x
    @user-jl9gq3ws8x 5 месяцев назад +2

    Kuolewa bila kutolewa mahali ni dhambi?

  • @patrickanselim
    @patrickanselim 5 месяцев назад +2

    Mchungaji je ni sahihi kuoa au kuolewa na mtu wa dhehebu lingine?

  • @faithmwaura-sq9gm
    @faithmwaura-sq9gm 4 месяца назад

    swali langu ni sawa kukomboa first born?

  • @messimessi7255
    @messimessi7255 5 месяцев назад +1

    Mchungaji nina swali ...JE KUBETI NI DHAMBI?

    • @user-fu6fx8if6w
      @user-fu6fx8if6w 5 месяцев назад

      Kubeti ni dhambi inakatazwa hata Kwa biblia.

  • @user-vw5ul8kd5i
    @user-vw5ul8kd5i 4 месяца назад

    Ni nini maana na shaada ya ndoa

  • @d.lutherjr5382
    @d.lutherjr5382 5 месяцев назад +1

    amen

  • @leahngerageza
    @leahngerageza 5 месяцев назад +1

  • @HannahNjoroge-dd8fg
    @HannahNjoroge-dd8fg 4 месяца назад

    Amen