KATEKELLA TV is live

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • HII NI CHANEL AMBAYO ITAKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU PAMOJA NA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA KWA MCHUNGAJI AMIEL Y KATEKELA KWA HUDUMA YA MAOMBI NA MAOMBEZI PAMOJA NA KUWEZESHA KWA SADAKA YAKO WASILIANA KWA NAMBA 0756 275 511.

Комментарии • 75

  • @HelenKodi
    @HelenKodi 5 дней назад

    Amen ombea mtoto wangu ambae ametekwa na roho ya Ulevi

  • @Karen-o6e
    @Karen-o6e 9 дней назад +1

    Dah Mtumishi Katekela, Mungu akusaidie sana na akupe hekima na maarifa namna ya kujibu maswali halisi na yale ya mtego. Ili usije ukamkosea Roho Mtakatifu na Yesu Kristo. Barikiwa sana.

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o 7 дней назад +1

    Na sisi uwe unatuombea Mtumishi!!!!

  • @lovenessmtaita1879
    @lovenessmtaita1879 10 дней назад +2

    Amina mchungaji mungu akulinde

  • @user-jo3cs3yu3o
    @user-jo3cs3yu3o 7 дней назад +1

    Nakusalimu sana kutoka Mozambique, bwana akulinde saana!!

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 4 дня назад

    Miguu yangu inavimba naomba maombi yako

  • @JacksonFrances
    @JacksonFrances 11 дней назад +3

    UBARIKIWE SANA MTUMISHI ACHA TUMWAMINI YESU KRISTO ALIYETUFIA MSALABANI KALVALI ATATUSHINDIA KILA MAJARIBU na MAPITO TUTAYASHÌNDA KTK JINA LA YESU KRISTO "

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 4 дня назад

    Mungu akubariki sana

  • @neemajoseph-c6z
    @neemajoseph-c6z 8 дней назад +1

    Amen mtumishi mungu akubariki sana

  • @NephiapiusiMbwelwa
    @NephiapiusiMbwelwa 11 дней назад +3

    Amina mtumishi

  • @annenakhumicha4194
    @annenakhumicha4194 4 дня назад

    Bwana Yesu Kristo asifiwe Mchungaji? Pia mimi Mchungaji wangu aliniambia sitawahi faulu kimaisha maana kile alichotaka nimfanyie sikutimiza na hivyo ndivyo maisha yangu yaliharibika nafanya kazi ila pesa sijui iendako naomba unisaidie😢

  • @neemakamgisha2951
    @neemakamgisha2951 10 дней назад +1

    Hongera Mimi nakuelew mno nakupenda sana

  • @nyangiboke
    @nyangiboke 4 дня назад

    Pastor naomba naomba Miguu wangu naomba maeneo mapajani

  • @elijahwambugu8301
    @elijahwambugu8301 8 дней назад

    Amina

  • @yalalaambobe9528
    @yalalaambobe9528 11 дней назад

    Amen amen amen Mtumishi wa Mungu Katekela ubarikiwe, na mimi nahitaji maombi ya kufunguliwa juu ya nguvu za mauti na nguvu za uchawi

  • @MariaMossi
    @MariaMossi 10 дней назад

    Amen

  • @user-ib7sk5ry4p
    @user-ib7sk5ry4p 8 дней назад

    Bwana asifiwe kusali jmapili na kusali jmamosi ya sabato ipi ni siku sasahii

  • @MariaMdemu-xt5cv
    @MariaMdemu-xt5cv 9 дней назад +1

    jamani mchungaji mimi leo nimeota shemeji angu amefariki na nilikua nalia, Kwa jina la Yesu hatakufa

  • @FailaMwangaza-x5s
    @FailaMwangaza-x5s 12 дней назад +1

    Amen ubarikiwe sans mtumishi

  • @annkim2690
    @annkim2690 11 дней назад +1

    Waa ama hakua mtumishi wa Mungu huyo yani hata inasikitisha pole sana

  • @everinestephano680
    @everinestephano680 12 дней назад +2

    Mtumishi nina mume ambae hajaokoka nam nimeokoka plz nataman mungu ambadirishe

  • @upendomhagama3236
    @upendomhagama3236 11 дней назад +1

    Amen, ubarikiwe

  • @annissdaprincess3846
    @annissdaprincess3846 11 дней назад +1

    Amina hallelujah

  • @MapiganodelleMasobeji-sq3oc
    @MapiganodelleMasobeji-sq3oc 7 дней назад

    Vp baba kuhusu suruali ya jinsi😂😂😂

  • @zipporahmibei9007
    @zipporahmibei9007 10 дней назад +1

    Ubarikiwe sana

  • @florakwayu5646
    @florakwayu5646 День назад

    MTUMISHI 🙏🙏

  • @margaretnekesa2019
    @margaretnekesa2019 11 дней назад +1

    Asnte. Sa na. Baba

  • @FailaMwangaza-x5s
    @FailaMwangaza-x5s 12 дней назад +1

    Amen sana

  • @laita8218
    @laita8218 11 дней назад +1

    Ameeeeen

  • @absalimlufyagile4974
    @absalimlufyagile4974 8 дней назад

    Mimi niko ilinga naomba niulize kwa mtumishi kuna biashala nataka nifanye Sasa kuna upinzani mkubwa Sana Sasa nitafanikiwa au sitafanikiwa kuomba ninaomba Sana Sasa majibu yana wewe mtumishi naomba jibu

    • @NURU-YA-BWANA-TV
      @NURU-YA-BWANA-TV День назад

      Kama wewe unaomba kwann usimuulize Mungu ,nae atakujibu,Mungu anajibu kila Mtu mpendwa .Amini tu

  • @KaniniMunyi
    @KaniniMunyi 10 дней назад +1

    Naitwa zipora kutoka Kenya mtumishi nataka uombee vijana wagu hawajaoa

  • @JaneUrio
    @JaneUrio 9 дней назад

    Mtumishi huwa nikiota jambo linakamilika,nifanye nini

  • @margaretnekesa2019
    @margaretnekesa2019 11 дней назад +1

    Amin

  • @ArnoldMuleya-e4l
    @ArnoldMuleya-e4l 11 дней назад +1

    Mimi Nina uliza uliwai kusema muntu mwenye
    Mukono wahalama ya m kwani ana nyota Gani li wamuto we kafala?

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 12 дней назад +4

    Swali langu la pili nimekusikia uliwahi kusema kuwa kama Mtumishi yeyote wa Mungu alikujia kwenye ndoto na akazini na wewe basi huyo sio Mtumishi wa Mungu tena umkimbie,ila mimi niliwahi kusikia kuwa wachawi au majini wanaweza wakavaa sura ya mtu mwengine na kwenda kufanya mabaya,sasa kama mchawi au jini amevaa sura yako na tunakuamini na tunajua wewe huwezi kufanya hivyo itakuaje sasa?

    • @MaaDii-iz3ur
      @MaaDii-iz3ur 11 дней назад +6

      Mchawi au majini haiwez vaa sura ya mtakatifu wa MUNGU

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 10 дней назад

      ​@@MaaDii-iz3uryaani hiki kitu kinanichanganyaga kweli kwa hyo inakuwa na maana Gani kumuona vibaya mtumishi wa MUNGU mfano anazini au anaroga inakuwaje?

    • @wisdomhalisi......8891
      @wisdomhalisi......8891 10 дней назад

      Km wewe ni mtakatifu omba sana, km ni yeye KWELI atakuwa mkali,lakn km hauna roho wa MUNGU yeyote anaweza tumia sura yako na usizuie japo maranyingi alliyekuja huwa Ndo yeye.

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 10 дней назад

      @@wisdomhalisi......8891 na je ukishaon hivyo ufanyehe?

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 10 дней назад

      @@wisdomhalisi......8891 mfano niliwahi kutoa mm na rafiki yangu tumeenda kumtembelea mchungaji wetu ana mke na watoto tulipofikia baada ya yote tukapewa chumba Cha kulala gafla mchungaji akamtoroka mke wake akaja chumbani kwetu na kutaka kuzin na sisi mm nikabahatika kukuambia nilipokuwa nje mwenzangu akatoka nikamuuliza vp imekuaje akanijibu si alitaka na mm nmempa alafu mm jikashtuka usingizini na mara nyingi namuota anatoka kufanya vitendo vya zinaaa Sasa nikawa nawaza labda shetani anabeba sura yake anikatishe tamaaa nisimsikilize lakini huwa najuuluza pia inawezejanaje mtumishi wa MUNGU akae kwa uaminifu alafu shetani abebe sura yake?

  • @KaniniMunyi
    @KaniniMunyi 10 дней назад +1

    Mtumishi. Nataka uombee vijana wagu hawana wake

  • @leylasai6860
    @leylasai6860 11 дней назад

    Mimi niko Kenya naitaji maombi ya kufunguliwa nitkupataje mtumishi

    • @JESUSISLO891
      @JESUSISLO891 11 дней назад +1

      Jifunze kumtegemea MUNGU kibinafsi

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 10 дней назад

      ​@@JESUSISLO891afadhali ulivyomjibu sawa kabisaa

  • @everinestephano680
    @everinestephano680 12 дней назад +2

    Kama je hajaokoka na ni mume umemuotea vbya inakuaje? Na wakt mwingin anaota anarishwa nyama

    • @faithe4063
      @faithe4063 11 дней назад

      Bwana Yesu asifiwe mpendwa, naomba nikujipu hili swali lako iko hivi; kama mtu yeyote ajeokoka na ajepokea Yesu kristo awe mwokozi mtu huyo ana ulinzi wowote katika maisha yake, kwa hiyo basi wachawi wanatumia watu kama awa kufanyia uchawi wao kwa example mchawi akitaka kurooga mtu au kuwanga mtu awesi enda vile alivyo kwa sababu akienda kule atajulikana na atawawa sasa anafanya hivi anatafuta mtu mwenye ana kinga yeyote anaingia ndani mwake alafu anafanya uchawi wake kwa kutumia nafsi ya mtu ndio maana Yesu akasema kaenda ndani yangu nami ndani mwenu soma Johanna 15v4 alijua kwamba kuna ulimwengu wa Giza wanatumia watu kufanya maovu wao, ukiona mume wako ajeokoka na wewe unamjua Yesu ni vizuri unapo omba unamwombea na unaita damu ya Yesu kristo ili afunikwe bure ata wewe utajikuta imeanguka katika Imani kwa sababu waliyo pokea Yesu wako vitani soma efeso 6v10 adi 19

    • @wisdomhalisi......8891
      @wisdomhalisi......8891 10 дней назад

      Mwom e MUNGU sana Maana anashirikishwa uchawi.

  • @franshule-hp7co
    @franshule-hp7co 12 дней назад +1

    Asatekwaneno

  • @franshule-hp7co
    @franshule-hp7co 12 дней назад +1

    Jambomtumishi

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 12 дней назад +3

    Bwana Yesu Kristo asifiwe Mtumishi wa Mungu,mie nilikuwa na swali kwani shetani wapo wangapi? nilipokuwa mdogo niliwahi kusikia shetani kuwa amefungwa minyororo huko kuzimu hafunguliwi mpaka siku ya mwisho,kuna siku uliwahi kushuhudia kuwa mlikuwa na kikao na shetani nae alishuka akaja

    • @Mamshika
      @Mamshika 11 дней назад

      Usiamini kila kitu wanachokisema hawa watu vingine ni uongo

    • @faithe4063
      @faithe4063 11 дней назад

      Bwana Yesu asifiwe mpendwa naomba nikujipu hii swali lako kwanza shetani ni Roho akuna cha kuhesabu eti ni 10 au 3 shetani ni Roho na anaesa tokea kwa njia yeyote na kwa mfano wowote 2. Umeuliza kwamba ukiwa mdogo uliambiwa shetani amefungwa iko hivi shetani bado ajefungwa ila mamlaka alinyang'wa na Bwana Yesu, sasa ukitaka kujua kwamba bado anefungwa ila siku za mwisho malaika kutoka binguni atakuja na minyororo na atamfunga miaka 1000 soma ufunuo 20v1, 2,3, kama utapenda soma hiyo 20 yote,

    • @LucyKapinga-fg4dk
      @LucyKapinga-fg4dk 11 дней назад +3

      Kama UNA ROHO MTAKATIFU UNAOMBA AKUSHUHUDIE KUWA NI ZA KWERI AU HAPANA MKITUMIA AKILI ZENU MTAONA KAMA NI MUONGO KUMBE NIKWERI TUACHE UVIVU WA KUOMBA NABKUMTAFUTA MUNGU na Kumjua Ili atufundishe nabKutuongoza Nabkatekela ​@@Mamshika

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 11 дней назад

      Ha ha haaaaaa! Ni swali zr sn, acha tusubr majb bt ..

    • @chrisdeoglatias8665
      @chrisdeoglatias8665 11 дней назад

      Wat gan?

  • @franshule-hp7co
    @franshule-hp7co 12 дней назад +2

    Mtotowanguanakuywapombenisahidiyemahombi

    • @faithe4063
      @faithe4063 11 дней назад +1

      Ombea watoto wako kama wewe umeokoka mwambie Yesu aokoe mwanao kwa sababu shetani ana furaha na mtu wa Mungu anapitia ata watoto ili ukasirike ila mimi nakwambia usikate tamaa omba bila kukoma Mungu ni mwaminifu wa haki atamwokoa

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 11 дней назад

    Hayo ndio maswali yangu Mtumishi wa Mungu nasubiri majibu kutoka kwako

  • @faithe4063
    @faithe4063 11 дней назад +1

    Ni ukweli kabisa ukiwa na Roho mtakatifu atakua anakufundisha tena atakuwa mlinzi wako

    • @HappyFlowers-ee8ru
      @HappyFlowers-ee8ru 10 дней назад

      Nampenda sana Roho mtakatifu anatusaidia sana saa nyingine Hawa watumishi wanajiona wajanja kutudanganya Roho mtakatifu anawafunua tofauti kabisaa

  • @JofreyDamson-nm6ec
    @JofreyDamson-nm6ec 11 дней назад

    Mchungaji bwana yesu asiwe Mimi Kuna Siku nimeota ndoto mbaya nanikaamka naumwa

  • @faithe4063
    @faithe4063 11 дней назад +1

    Amen

  • @hezronbihogora3603
    @hezronbihogora3603 12 дней назад +1

    Amina

  • @dadafrida9202
    @dadafrida9202 12 дней назад +1

    Amen

  • @everinestephano680
    @everinestephano680 12 дней назад +1

    Amina