KATEKELLA TV is live
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- HII NI CHANEL AMBAYO ITAKUPA MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU PAMOJA NA MASWALI NA MAJIBU KUTOKA KWA MCHUNGAJI AMIEL Y KATEKELA KWA HUDUMA YA MAOMBI NA MAOMBEZI PAMOJA NA KUWEZESHA KWA SADAKA YAKO WASILIANA KWA NAMBA 0756 275 511.
Amen ombea mtoto wangu ambae ametekwa na roho ya Ulevi
Dah Mtumishi Katekela, Mungu akusaidie sana na akupe hekima na maarifa namna ya kujibu maswali halisi na yale ya mtego. Ili usije ukamkosea Roho Mtakatifu na Yesu Kristo. Barikiwa sana.
Na sisi uwe unatuombea Mtumishi!!!!
Amina mchungaji mungu akulinde
Nakusalimu sana kutoka Mozambique, bwana akulinde saana!!
Miguu yangu inavimba naomba maombi yako
UBARIKIWE SANA MTUMISHI ACHA TUMWAMINI YESU KRISTO ALIYETUFIA MSALABANI KALVALI ATATUSHINDIA KILA MAJARIBU na MAPITO TUTAYASHÌNDA KTK JINA LA YESU KRISTO "
Mungu akubariki sana
Amen mtumishi mungu akubariki sana
Amina mtumishi
Bwana Yesu Kristo asifiwe Mchungaji? Pia mimi Mchungaji wangu aliniambia sitawahi faulu kimaisha maana kile alichotaka nimfanyie sikutimiza na hivyo ndivyo maisha yangu yaliharibika nafanya kazi ila pesa sijui iendako naomba unisaidie😢
Hongera Mimi nakuelew mno nakupenda sana
Pastor naomba naomba Miguu wangu naomba maeneo mapajani
Amina
Amen amen amen Mtumishi wa Mungu Katekela ubarikiwe, na mimi nahitaji maombi ya kufunguliwa juu ya nguvu za mauti na nguvu za uchawi
Amen
Bwana asifiwe kusali jmapili na kusali jmamosi ya sabato ipi ni siku sasahii
jamani mchungaji mimi leo nimeota shemeji angu amefariki na nilikua nalia, Kwa jina la Yesu hatakufa
Amen ubarikiwe sans mtumishi
Waa ama hakua mtumishi wa Mungu huyo yani hata inasikitisha pole sana
Mtumishi nina mume ambae hajaokoka nam nimeokoka plz nataman mungu ambadirishe
Amen, ubarikiwe
Amina hallelujah
Vp baba kuhusu suruali ya jinsi😂😂😂
Ubarikiwe sana
MTUMISHI 🙏🙏
Asnte. Sa na. Baba
Amen sana
Ameeeeen
Mimi niko ilinga naomba niulize kwa mtumishi kuna biashala nataka nifanye Sasa kuna upinzani mkubwa Sana Sasa nitafanikiwa au sitafanikiwa kuomba ninaomba Sana Sasa majibu yana wewe mtumishi naomba jibu
Kama wewe unaomba kwann usimuulize Mungu ,nae atakujibu,Mungu anajibu kila Mtu mpendwa .Amini tu
Naitwa zipora kutoka Kenya mtumishi nataka uombee vijana wagu hawajaoa
Mtumishi huwa nikiota jambo linakamilika,nifanye nini
Amin
Mimi Nina uliza uliwai kusema muntu mwenye
Mukono wahalama ya m kwani ana nyota Gani li wamuto we kafala?
Swali langu la pili nimekusikia uliwahi kusema kuwa kama Mtumishi yeyote wa Mungu alikujia kwenye ndoto na akazini na wewe basi huyo sio Mtumishi wa Mungu tena umkimbie,ila mimi niliwahi kusikia kuwa wachawi au majini wanaweza wakavaa sura ya mtu mwengine na kwenda kufanya mabaya,sasa kama mchawi au jini amevaa sura yako na tunakuamini na tunajua wewe huwezi kufanya hivyo itakuaje sasa?
Mchawi au majini haiwez vaa sura ya mtakatifu wa MUNGU
@@MaaDii-iz3uryaani hiki kitu kinanichanganyaga kweli kwa hyo inakuwa na maana Gani kumuona vibaya mtumishi wa MUNGU mfano anazini au anaroga inakuwaje?
Km wewe ni mtakatifu omba sana, km ni yeye KWELI atakuwa mkali,lakn km hauna roho wa MUNGU yeyote anaweza tumia sura yako na usizuie japo maranyingi alliyekuja huwa Ndo yeye.
@@wisdomhalisi......8891 na je ukishaon hivyo ufanyehe?
@@wisdomhalisi......8891 mfano niliwahi kutoa mm na rafiki yangu tumeenda kumtembelea mchungaji wetu ana mke na watoto tulipofikia baada ya yote tukapewa chumba Cha kulala gafla mchungaji akamtoroka mke wake akaja chumbani kwetu na kutaka kuzin na sisi mm nikabahatika kukuambia nilipokuwa nje mwenzangu akatoka nikamuuliza vp imekuaje akanijibu si alitaka na mm nmempa alafu mm jikashtuka usingizini na mara nyingi namuota anatoka kufanya vitendo vya zinaaa Sasa nikawa nawaza labda shetani anabeba sura yake anikatishe tamaaa nisimsikilize lakini huwa najuuluza pia inawezejanaje mtumishi wa MUNGU akae kwa uaminifu alafu shetani abebe sura yake?
Mtumishi. Nataka uombee vijana wagu hawana wake
Mimi niko Kenya naitaji maombi ya kufunguliwa nitkupataje mtumishi
Jifunze kumtegemea MUNGU kibinafsi
@@JESUSISLO891afadhali ulivyomjibu sawa kabisaa
Kama je hajaokoka na ni mume umemuotea vbya inakuaje? Na wakt mwingin anaota anarishwa nyama
Bwana Yesu asifiwe mpendwa, naomba nikujipu hili swali lako iko hivi; kama mtu yeyote ajeokoka na ajepokea Yesu kristo awe mwokozi mtu huyo ana ulinzi wowote katika maisha yake, kwa hiyo basi wachawi wanatumia watu kama awa kufanyia uchawi wao kwa example mchawi akitaka kurooga mtu au kuwanga mtu awesi enda vile alivyo kwa sababu akienda kule atajulikana na atawawa sasa anafanya hivi anatafuta mtu mwenye ana kinga yeyote anaingia ndani mwake alafu anafanya uchawi wake kwa kutumia nafsi ya mtu ndio maana Yesu akasema kaenda ndani yangu nami ndani mwenu soma Johanna 15v4 alijua kwamba kuna ulimwengu wa Giza wanatumia watu kufanya maovu wao, ukiona mume wako ajeokoka na wewe unamjua Yesu ni vizuri unapo omba unamwombea na unaita damu ya Yesu kristo ili afunikwe bure ata wewe utajikuta imeanguka katika Imani kwa sababu waliyo pokea Yesu wako vitani soma efeso 6v10 adi 19
Mwom e MUNGU sana Maana anashirikishwa uchawi.
Asatekwaneno
Jambomtumishi
Bwana Yesu Kristo asifiwe Mtumishi wa Mungu,mie nilikuwa na swali kwani shetani wapo wangapi? nilipokuwa mdogo niliwahi kusikia shetani kuwa amefungwa minyororo huko kuzimu hafunguliwi mpaka siku ya mwisho,kuna siku uliwahi kushuhudia kuwa mlikuwa na kikao na shetani nae alishuka akaja
Usiamini kila kitu wanachokisema hawa watu vingine ni uongo
Bwana Yesu asifiwe mpendwa naomba nikujipu hii swali lako kwanza shetani ni Roho akuna cha kuhesabu eti ni 10 au 3 shetani ni Roho na anaesa tokea kwa njia yeyote na kwa mfano wowote 2. Umeuliza kwamba ukiwa mdogo uliambiwa shetani amefungwa iko hivi shetani bado ajefungwa ila mamlaka alinyang'wa na Bwana Yesu, sasa ukitaka kujua kwamba bado anefungwa ila siku za mwisho malaika kutoka binguni atakuja na minyororo na atamfunga miaka 1000 soma ufunuo 20v1, 2,3, kama utapenda soma hiyo 20 yote,
Kama UNA ROHO MTAKATIFU UNAOMBA AKUSHUHUDIE KUWA NI ZA KWERI AU HAPANA MKITUMIA AKILI ZENU MTAONA KAMA NI MUONGO KUMBE NIKWERI TUACHE UVIVU WA KUOMBA NABKUMTAFUTA MUNGU na Kumjua Ili atufundishe nabKutuongoza Nabkatekela @@Mamshika
Ha ha haaaaaa! Ni swali zr sn, acha tusubr majb bt ..
Wat gan?
Mtotowanguanakuywapombenisahidiyemahombi
Ombea watoto wako kama wewe umeokoka mwambie Yesu aokoe mwanao kwa sababu shetani ana furaha na mtu wa Mungu anapitia ata watoto ili ukasirike ila mimi nakwambia usikate tamaa omba bila kukoma Mungu ni mwaminifu wa haki atamwokoa
Hayo ndio maswali yangu Mtumishi wa Mungu nasubiri majibu kutoka kwako
Ni ukweli kabisa ukiwa na Roho mtakatifu atakua anakufundisha tena atakuwa mlinzi wako
Nampenda sana Roho mtakatifu anatusaidia sana saa nyingine Hawa watumishi wanajiona wajanja kutudanganya Roho mtakatifu anawafunua tofauti kabisaa
Mchungaji bwana yesu asiwe Mimi Kuna Siku nimeota ndoto mbaya nanikaamka naumwa
Amen
Amina
Amen
Amina